Serikali imetangaza rasmi kufuta pori tengefu la Msomera wilayani Handeni mkoani Tanga na ardhi yake itapangiwa matumizi mengine,ikiwemo kupewa wananchi kwaajili ya shughuli za maendeleo.
Akitoa taarifa ya serikali katika mkutano mkuu maalum wa kijiji cha Msomera uliojumuisha wananchi wageni na wenyeji,mkuu wa wilaya ya Handeni Albert Msando amesema ardhi hiyo itakabidhiwa serikali ya kijiji kwaajili ya matumizi mengine.
Негізгі бет Pori tengefu la Msomera Handeni lafutwa, kupangiwa matumizi mengine
Пікірлер: 1