Mwenyezi Mungu atusaidie tuchukue ubingwa wa kombe hili la CAF CHAMPION LEAGUE
@nimujocentre2173
7 ай бұрын
Inshaalah❤
@radhiamussa1629
7 ай бұрын
Amiiin Allauma Amiiin
@Ave712
7 ай бұрын
Amina kubwa
@tusajigwe7491
7 ай бұрын
Amina kwa utukufu wa Mungu
@kanchitarshi
7 ай бұрын
Amen 🙏🙏
@stevenemwakasimba-pt8er
7 ай бұрын
Huyu mwana fc yuko na busara sana love you waziri kijana Mungu akuongezee busara
@didasmswete678
7 ай бұрын
UONGOZI BORA 💚⚽💪 DAIMA MBELE NYUMA MWIKO
@sylvestercameo6263
7 ай бұрын
Here is Guede, there is Mudathir and Pacome. No Mayele, no Fei, no Nabi, no problem!
@ramladhire
7 ай бұрын
Period
@sadikidaudi460
7 ай бұрын
Mungu mwema ila Engneer Hirs saidi wewe nizaidi yakiongozi
@radhiamussa1629
7 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💚💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛💥🔥🔥🔥🔥💥💥💥💥🇹🇿🏆asanteni sana wachezai wetu ,viongozi, mashabiki na benchi la ufundi na watu wote waliotupa support
@MohamediHussein-o9b
7 ай бұрын
Naibu waziri full happy Tunakupenda sana wana YANGA Upo pamoja na sisi tunakuona kila hatua unaunga mkono kwa Club ya YANGA tunakukubali sana prezidaa wetu Basi kuna hapo kuna mijitu haikawii kusema Watacoment nakusema naibu waziri ni YANGA Yaani madunduka hawana jema hao Badala ya kufocus na litimu lao na msemaji wao wanaanza kufocus na majjini eti mayele katupiwa majjini ili mradi tu kumtoa YANGA mchezoni sasa ili mjue kama YANGA ya wasomi na inaendeshwa kisomi na viongozi vijana na mashabiki wote wa YANGA wanaopendeza kila idara kuanzia rangi za jezi zote mpaka ambazo sio jezi ni nguo tu zenye nembo ya YANGA basi pia tunapendeza mpaka mademu zetu wa wana YANGA full pozi na bado tutawakera zaidi tukirudi kwenye ligi sijui mtaramba dawa gani Labda mrambe juice za mo😂😂😂😂😂 Tutawakera sanaaa na pua zenu hizo kama simba jike na dume kule serengeti mbuga yao ya makolo😂😂😂😂😂 Msinune YANGA ikishinda kueni wazalendo watani zetu tukirudi kwenye ligi yetu ndo kila mmoja na dini yake lakini sio wivu kwenye hizi za kimataifa achani roho mbaya mnaona sasa mmekimbia na muarabu wenu sasa sijui ni muarabu yule au mdosi kama yule boss wao😂😂😂😂 YANGA mbele nyuma mwiko pira machop chop na marost kama yote na blich full kumeremeta Eti walikua wanasubiri tu YANGA afungwe na bingwa wa Algeria sasa bashaa wao kafungwa na bingwa wa ligi ya Tanzania bara Kudadadeki Eti kuna mchambuzi mmoja alisema mbwembwe nyingi mpira hawana baada yakuona watu wamepaka blich sasa nsubiri kwa hamu ajichanganye kuisifia YANGA Mi namkubali sana bro Kessy, miraji, Muro, mchome, 64GB Rikado momo, kampiska, shafii dauda, na timu yote ya cloudz na timu yote ya wasafi bila ya kimsahau Sisco na Muro❤❤❤❤all of U.
@michaelatilio2107
7 ай бұрын
Barua ya kuomba kazi😂🤓🤓🤓
@abdunnurahmedsilim7456
7 ай бұрын
@@michaelatilio2107we kolokwinyo bin dunduka nani alikutuma usome? Kama hujaipenda sisi tumeipenda si unaona mwenye likes hizo za kumwaga!!!! Na utateseka sana mwaka huu kwa sababu yajayo yanafurahisha zaidi....sasa sijui utajinyonga? Kama una mpango huo wa kujinyonga mi najitolea kamba imara ambayo haitakuchelewesha 😂😂😂
@JaffariNiyongabo
7 ай бұрын
naam umenena 5:54
@rehemamahendeka-rm2ek
7 ай бұрын
Nimeelemewa,nimeelemewa,nimeelemewa !,yaaani cjui nianzie wp kuwapa neno la kuwashkr,Uongozi mzima/vjn wetu pia wanachama/mashabiki,shkrn mno kwa DUA'A mujarab,asanteni sana kila la kheri chama lng,Wananchiiiiiii ! Aluta continua
@nsubilimwampeta9920
7 ай бұрын
Success of the club is determined by good leadership and not otherwise... Mhandisi hongera kwa uongozi uliotukuka you have made it dude..congrats!
@abdunnurahmedsilim7456
7 ай бұрын
What an insightful comment!! Absolutely true! No mbambamba, no blah blah...we need no many words in football however attractive they may look...we need actions...
@rashidjuma1969
7 ай бұрын
Mm ni Simba ila Leo nimepata furaha sijwahi kuipata
@zakiakondo2849
7 ай бұрын
Karibu sana mtani
@petermanala6138
7 ай бұрын
Huo ndo mpira unakasirikaje na hatujacheza na timu yako penda weye😂😂😂😂😂😂😂
@mgobanyapazi7738
7 ай бұрын
Daima mbele 💚💛💚💛 kidogo wapate zile gwala.
@samuelmweipongwe140
7 ай бұрын
Asanteni sana wachezaji wetu, benchi la ufundi na team nzima ya Wananchi, hakika mmetuheshimisha 🙏🏻
@kudramzee5769
7 ай бұрын
Mwana fa simba damu lakini ana bahati sana na Yanga hongera kwako muheshimiwa binamu
@lucymsheshi5871
7 ай бұрын
Tunamshukuru Mungu KWAKUIPA YANGA USHINDI SIFA NI ZAKE
@adozenaziz8362
7 ай бұрын
kitu kilichofanyika leo kikubwa sana😊❤
@FredyMkemwa
7 ай бұрын
Ahsanten wachezaji pamoja uongozi pamoja na mashabiki
Maana halisi ya matunda ya uongozi thabit,mipango mizuri na umoja ndani ya club ndio hii.Wote tunazungumza lugha moja.Hongera sana wananchi
@sheysarahnjeno5207
7 ай бұрын
Hongera Timu langu
@Ba63828
7 ай бұрын
Big up YANGA na uongozi Bora chini ya Eng.
@AishaMsungi-hm8rd
7 ай бұрын
Inatisha kam njaa
@russia1253
7 ай бұрын
💚💚💚💛💛💛🇷🇺🇹🇿✔️
@adozenaziz8362
7 ай бұрын
ilove youuuuuu yangaaaaaaaaaa
@lawrence_kameja
7 ай бұрын
Kiongozi Bora zaidi hakuwahi kutokea kama huyu jamaa kuwapa wachezaji motisha ni Jambo la heri Sana hongera wachezaji Kwa kutupa Raha
@amanisalumu4682
7 ай бұрын
Tumu ya Wananchi 🔰
@rodricklwamayanga6154
7 ай бұрын
Namwona Gerson Msigwa kaweka bleach
@GodfreySteven-cv9bd
7 ай бұрын
Yanga daima mbele nyuma mwiko
@hakiba1207
7 ай бұрын
Hio ndio young nyie
@OfficialRuchanila
7 ай бұрын
Vamo's
@salehwaziri5062
7 ай бұрын
KatorokaFeitoto kajaMudasili yaani nisawa nakuibiwa baisikeli kisha ukazawadiwa pikipiki.ainayaboxa
@bigdully
7 ай бұрын
All the best technal benching management
@RajaboSaide-hi5qk
7 ай бұрын
Nimengalia live
@jrkaluli5638
7 ай бұрын
Anacho Fanya naibu waziri MwanaFA kina positive impact ktk mpira wetu na Taifa. Your real a stateperson. Keep it up!
@Economically-Growth-Musicians
7 ай бұрын
Congratulations🎉🎉🎉
@malietamaliet
7 ай бұрын
Mungu ni mwema Yani me Sina ata neno mayele na madunduka wanalia kule
@mwajumanambimbi2274
7 ай бұрын
Kuiponyaje nchi kwani nyinyi ndo wakwanza kufikia hapo mlipofikia ???? Acha mambo ya siasa simba ameingia mara ngapi na hamkusema hayooo
@claratango9262
7 ай бұрын
Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏
@adamabui6121
7 ай бұрын
Hongera sana sana sana 🍓 dar yanga afrika 🌍 tunatakiwa timu za tizifunge kama hivo maana hata kulalamika tumeonewa wasiweze na bado shuhuli haijesha tunaweza timu zetu zote tz. From skandinaviska
@anetboaz8783
7 ай бұрын
Might God we trust in you
@EmmanuelLucas-g2h
7 ай бұрын
Mo ajifunze kitu kutoka kwa GSM mpira c maneno na ukweli ni kwamba mo ndo anaeimaliza simba ogopa mtu. Kama mo ni mtu wa kuzirazira yaani ye ataki asara Amna biashara bila asara
@marwajoseph8060
7 ай бұрын
Majini fc mmeupiga mwingi pongezi kwenu
@ajumimisanana8095
7 ай бұрын
Mwendo we2 mpaka fainali.wataisoma namba,mbele daima nyuma mwiko
@musawaziri648
7 ай бұрын
daah inapendeza sana yanga team kubwa
@ChenchiKing
7 ай бұрын
Daima Mbele Nyuma Mwiko 🇹🇿 💛 💚 🎉🎉🎉
@afterfull-time1348
7 ай бұрын
Kumbe ndo wanacheza Robo fainali kwa mara ya kwanza😅😅😅
@augustinomkongwa5444
7 ай бұрын
Rais mwamba kwelikweli amesherehekea mpaka anasweat dadadeeekiiii 😂😂😂
@omaryamiri3175
7 ай бұрын
Mashallah ❤❤❤❤❤ Allah awajalie afya njema wachezaji zetu na viongozi wazidi kuongeza umaridadi kwa Hali ya juu
@VumiliaMgendi
7 ай бұрын
Majini fc najana mliyamwaga yakutosha kumamae zenu
@WilliamPeter-ky7sx
7 ай бұрын
Hongereni watani ila lile tambara jeusi refu la kufutia jasho la diarra lilikuwa na jambo
@bruhankuhunguru4810
7 ай бұрын
Kombe letu hili Tutampiga mtu goli nyingi sana Robo fainali
@SalumOmary-t5y
7 ай бұрын
Simba kinachotukwamisha ni Uongozi tu hamna kingine
@immaabukuku7180
7 ай бұрын
This is our moment
@ZaiNdogondogo-wf7mw
7 ай бұрын
Yanga tamuuuu
@ISAACMBAGO
7 ай бұрын
HIKI NDICHO KITU NILICHO TAKA KUKI SIKIA AU KUKIONA MIMI MCHUNGAJI ISAAC LUCAS MBAGO! BASI, NINA TAMKA KWA UJASIRI KUWA: YANGA ITAPITA ROBO FAINALI NA ITA INGIA NUSU FAINALI, HATIMAE FAINALI NA KUCHUKUWA KOMBE NAAM NIMENENA, NAAM NIME TAMKA KWANI NINA ITAZAMA YANGA IKI INGIA LA LIGA
@vivanyboy9743
7 ай бұрын
kwa Moto huu ahly, ajiandae tunaenda kumpigia palepale Cairo fainal naiyona
@peternyambo1439
7 ай бұрын
MAJINI FC HONGERENI
@MaulidiMkima-gx4jv
7 ай бұрын
Big up jamani Mungu mkubwa tumefuzu robo finally
@chollejr_
7 ай бұрын
😅😅😅mwamnyeto kaitwa captain yeye kaitikaaa kweli "oyaaa"
@HamisRashid-hd4cl
7 ай бұрын
Hiii tim nihatar xan kwa tanzania hiii...nishida wekambal nawatoto...
@godfreymakau3932
7 ай бұрын
Asanteni sana wachezaji hatuna Cha kuwalipa ila mungu awatienguvu tupate ubingwa
@HAMISKITWANGA
7 ай бұрын
timu ya mpira.... achana na vile vilabu vya pombe
@fredyalex8909
7 ай бұрын
Congratulations engines Hesi Said💛💚💛💚
@amaniomar1755
7 ай бұрын
Mpaka waseme
@abdalahmohamedi1806
7 ай бұрын
Hongera sn Rais nimekupa nyota 3 begani
@HassaniYahaya-u6r
7 ай бұрын
Aminaa
@abdurabihassan1188
7 ай бұрын
Allah atujalie tubebe ndoo
@jumamabu3650
7 ай бұрын
Leadership nzuri huleta matokeo mazuri, hongereni sana wananchi
@nuhumbembati
7 ай бұрын
Kombe ni la simba awamu hii hata mkioga mjini hamuendi
@exaverysimon1064
7 ай бұрын
Saf sana af uwanja ongezen AC bana watu wanaswet AC wap bana
Пікірлер: 263