Safi sana wewe ni kiongozi makini na sahihi kazi iendelee
@nadhifamustapha7557
Ай бұрын
PROF :KABUDII HOYEEEE 😮
@user-cu3cl4yy5s
2 ай бұрын
Waaaaaah asante sanaaaaa mipango mizurikabsa
@johnbahati478
Ай бұрын
Asset hii haitumiki ipasavyo
@user-ze6lx9ng6s
Ай бұрын
Mmamshukuru rais, lakin mafisadi wake anawalea Sana
@Kmasterjuniourtz-ry3cj
2 ай бұрын
Tanzania nzima uyundio kiongozi mzalendo pekee aliebakia mwenye mapenz na nchi
@lunangabenjamin3121
Ай бұрын
Malaya,malaya dah kusiya jina lenyewe nimejikuta nacheka hadi jozi machoni.😂😂😂.
@user-fx6zr6ij5y
2 ай бұрын
Professor umebadika kwenye katiba😂😂😂😂😂😂
@badiomary822
Ай бұрын
Alikuwa anaomba Kiwanja cha ndege Kilosa !! Kabudi yupo Serikalini muda mrefu sana Sijui ni kwa nn leo ndo ayaseme hayo Mgogo Mwenzangu huyu !!
@cooperinsurance819
Ай бұрын
professor kabudi akuwahi kua serikalin kwa maana ya serikali kuu...alikua mhandhiri mwandamizi wa chuo kikuu cha dar es salaam kitivo cha sheria mpaka alipoteuliwa kua mbunge na RAIS MAGUFULI alipoingia madarakan... hana ukongwe kwenye siasa na sio akua mwanasiasa
@user-mm4uy7cy9w
2 ай бұрын
Mwamba sana huyu mzee
@Mrlucaspascal-gd4uz
Ай бұрын
Mzee namkubali Sana one day nitakuwa kama yeye
@philipjoseph5931
Ай бұрын
Palamagamba kwa kisukuma maana yake ni mkwangua magamba. Kweli unastahili ku kwangua magamba yaliyoganda kwenye bongo za watu yanayozuia fikra za Maendeleo. Kabudi Kisukuma ni Koti kubwa. Akili zako ni kubwa sana (Zamani nilidhani wewe msukuma sasa sijui haya majina kwa Kigogo maana yake)
@user-hb3ip9it2j
Ай бұрын
Katiba mpya tunataka✌️✌️✌️✌️✌️✌️
@mboneanyiru9589
Ай бұрын
Ingekuwa sio kuwa Kila kiongozi anawateule wake huyu mwamba angestahi kuendelea kubaki kwenye wizara
@deniccgabriel6153
Ай бұрын
Mimi namkataa uyo mnaemnadi prof,unawezaje kujichanganya na wezi wanaoonea watanzania wenzao kutokea chama tawala CCM
@richardshumbusho5077
Ай бұрын
Mimi nakukataa wewe, you can find a gold in dust and the place where dust is could be valuable due to gold's presence
@deniccgabriel6153
Ай бұрын
@@richardshumbusho5077 we huna jipya kuongea kingereza kinakusaidia nini wakati ata bibiako hakuongea lugha izo senge kwel
@udatuonna905
Ай бұрын
Bora ukae kimya lugha hujui@@richardshumbusho5077
@kelvincharles7263
2 ай бұрын
Makerubi na Matherubi
@BenjaminiPastiani
Ай бұрын
Mzee Ana jua huyu haswaaaaaa
@renatusblandes1131
Ай бұрын
Mama alimnyazisha ili tusipate nondo za prf
@KelvinMtavangu-ow8yo
Ай бұрын
PROF KABUDI, HONGERA SANA KWA MCHANGO WAKO NA KULIELIMISHA TAIFA. NA ULIMWENGU.. HAPO UMEWEKA HISTORIA KUBWA KUHUSU MATARAJIO YAJAYO. ASANTE.
@gauchogaucho7583
Ай бұрын
Iliii jmaaa linaa akilii htrii alitazam sana karatasi
@allysaidi431
Ай бұрын
Mbona kama n maagizo ya mjeruman,,😮😮, Kwan hatuwez kuplan ss wenyew kwa mujibu ya mahitaji yetu,
@massawemrlowprice3949
2 ай бұрын
Mheshimiwa Mungu
@badiomary822
Ай бұрын
Machawa wa Magu Walimuitaga Mungu na pia akatamka ya kwamba Magu kamtoa Jalalani Yaani kutoka Uhadhiri wa Chuo Kikuu na Kuwa Waziri wa Nje isitoshe akatumwa na Magu kwa ndege ya Serikali hadi Madagascar akatuletee Dawa ya COVID19 Na hakuruhusiwa Mwandishi wa habari Kuhoji wala Madaktari Bingwa !! Ni popo wa Kisiasa tu hana jipya !!
@abdulhamis9825
Ай бұрын
Watu Makin Walimaliza Muda Wao Kwa Mtu Makin Sasa Hv Ni Mipasho Na Show Tu
@zawadix9574
Ай бұрын
Wazungu jamani bunge ya 2024 tuna ongea serekali ya miaki 100 ili yo pita tume logwa na nani
@ramadhankavisille7482
Ай бұрын
Hahahaha Hadithi za kufikirika
@shabantelack5716
Ай бұрын
Sometime Kabudi Huwa anatumia uprof wake
@fadhiliibrahim9702
Ай бұрын
Hapana hiyo ndege iitwe Dar es salaam recognizing the importnace of the city as a commercial city of Tanzania kama ilivyo ile iliyoandikwa Dodoma, Zanzibar
@profs.a5412
Ай бұрын
Kama watu haijiii tz akisikiliza wabunge anaweza akasema watu c ndio hawaa😂😂 wanamipango kweli kwel😂 kumbe wanasubir posho tu , hapo wanapiga story😂🏃🏃
@dkalbertoanyasime9357
Ай бұрын
Nyie ni kupongezana tu reli ya treni kuja Arusha haipitiki sasa Au wakoloni nyie mmewaona wajinga?
@babaabro8847
Ай бұрын
😂😂 kila kitu iungane na kilosa 😅
@user-tu9ps9kr2o
Ай бұрын
Mzee wa madini hajawahi tereza anapo simama. Na Jambo lake
@peterdeus6093
Ай бұрын
Mawazo kama haya CCM huwa hawayapendi mana hayawaachi na pesa
@salumkarim69
Ай бұрын
kila kitu kiandikwe nyerere na bahari na maziwa yaandikwe nyerere bora eh jamaniiii😂😂😂
@abdulpagali7476
Ай бұрын
NO
@alfinmbilinyi5985
Ай бұрын
Yeah mawazo mazuri tatizo usimamizi isijeikawa kama wahindi waliuwa trc na afrika kusini walivyoua air Tanzania.hizo reli 100%zimilikiwe na serikali yenyewe hakuna kumpa mwekezaji reli ya kilwa Mtwara songea ni muhimu kwa uchumi na usalama wa inchi hasa nyakati kama hizi za mafuriko barabara zimekatika uchumi unasimama na usalama pia kingine kule kusini hasa songea kuwe na uwanja mkubwa wa ndege kwa ajili ya mambo ya haraka ya kiusalama ndege kubwa kama dreamliner iweze kutua muhimu sana.
@denniskado3990
Ай бұрын
Anapiga tuu kelele hakuna kitakachofanyiwa kazi
@drallan6879
Ай бұрын
prof kabudi mbona upo low Sana nowadays?
@edsonkahesi8603
Ай бұрын
Shida kubwa reli tunajenga kwa hela zetu lakini ikishakamilika tunaenda kukabidhi kwa mwarabu..hii ni akili au nn..ila kwa kuongea mnatupaka mafuta kwa mgongo wa chupa. #Katiba mpya haiepukiki
@king_maik6375
Ай бұрын
😂
@gaspermatovu2899
Ай бұрын
Bandari zetu zirudi, ongelea na Hilo prof.
@ramadhanchenga4606
Ай бұрын
Ngonjela tu hizo
@benedictinelusambo069
2 ай бұрын
Labda mumuimbie shetani
@jamesraphaelmdima4729
Ай бұрын
Hakuna mtu mwenye sifa za Kerubi na Serafi hao ni Maraika wanaomtumikia Mungu,sasa Prof ufanye toba umemkosea Mungu.
@MaryNehemia
Ай бұрын
Wewe ndo hukumwelewa amesema miaka 90 au 100 ijayo nafikiri sisi zote humu ndani hatutokuwepo tutakukuwa pamoja na maserati na makerubi tukishangilia indapo wakiiendelea hiyo miradi anayoizungumzia
@wazarendotv7966
2 ай бұрын
Mzee muongo huyu anatetea jimbo lake kilosa
@jumaally4263
Ай бұрын
Sasa asitetee jimbo lake wewe vp
@FahadAbubakari
Ай бұрын
We unaakili kweli sasa kazi ya mbunge si kutetea jimbo lake Kwanza au
Пікірлер: 62