2024 naitazama hii ngoma na teyari hawa jamaa now wote ni waheshimiwa na wametimiza ndoto zao
@deogratiusmeela1953
4 жыл бұрын
Kama unaangalia ngoma hili 2020 gonga like twendsawa watutumetoka mbali asee mkot wamwana FA😁
@amonilazaro829
2 жыл бұрын
2021
@amonilazaro829
2 жыл бұрын
2021🇹🇿
@innocentking5709
11 ай бұрын
2023
@ramsdenjames9782
4 жыл бұрын
Wanaotazama hii 2020 like hapa
@ramadhansaid5179
3 жыл бұрын
Malengo Ya Muda Mrefu Hatimaye Yametimia Kikubwa Muda,Kuna Cha Kujifunza Kwenu,#WabungeWawili#💪
@sylvesterchisenga3707
4 жыл бұрын
Yes! 2020 Wazo huumba, kutoka wazo mpaka kiumbe! Kama wewe unavutiwa na kitu komaa nacho utafika mbali..like tafadhali
@Mpakauseme
3 жыл бұрын
hipo hivyo
@barakaelmwanga3447
6 жыл бұрын
mafundi ni mafundi tu, heshima kwenu kings of bongo songs
@issackchalahani1235
3 жыл бұрын
Sio mchezo, hii inaitwa I've may dream. Hakuna shaka kwamba Fasihi iliyo kazi ya Sana iliweza fikisha ujumbe kwa Hadhira, na ndio hii tunaiona kwa Professor Jay na Mwana Fa.
@borekcermak6073
9 жыл бұрын
Professor Jay anakipaji cha dhahabu. Nyimbo zake kamwe si zakipumbavu, na kama wananchi wangemwelewa anachokisema kwenye nyimbo hii,Tanzania ingekuwa mbali sana. He is the most intellectual and activist musician in Tanzania. I love your music and always enjoy them. From Czech republic
@issackchalahani1235
3 жыл бұрын
Yeah, coz is very conveyed message in society.
@lusekeloswilla6247
3 жыл бұрын
Sure very intelligence in using rap to express social and political issue he is the GOAT in that level
@zomasamweli
8 ай бұрын
Kweli kabisa
@yohanadeusi9084
Жыл бұрын
Naitazama leo 2-3-2023 baada ya mwanafa kuteuliwa kuwa waziri Mungu mukubwa
@MrMwala
5 жыл бұрын
WALE TUNAOANGALIA 2019 GONGA LIKE TWENDE SAWA
@isaacshehe414
4 жыл бұрын
Uko juuuuu from 254
@emmanuelcosmas6616
4 жыл бұрын
Mheshimiwa kweri kipaji uribarikiwa na mungu
@mwanduhokas3667
4 жыл бұрын
Kali xana hii ngoma kitambo xana
@papaitoernesto3506
3 жыл бұрын
2021
@papaitoernesto3506
3 жыл бұрын
2021
@chaulachaulaya5259
Жыл бұрын
Nmejikuta tu nmekumbuka hii nyimbo leo (2023.05.01) mziki mzuri sana tuliwahi kuimbiwa..
@mufamozmufash166
6 жыл бұрын
Those days when music was on the right channel of reality life and even educating pple a round all ujamaa.
@nicholausyustine9872
3 жыл бұрын
Leo wote mnaingia bungeni,Hongereni sana Prof J & FA
@hashtagdarling4738
3 жыл бұрын
Acheni mungu aitwe mungu.yani nikama mlijua mtakuja kua viongozi waleo
@jamawarsame7670
9 жыл бұрын
This Guy should be big in whole Africa coz the music he is producing is quality music prof Jay nisha kubali we ni the best tangu kitambo....Guyz enjoy the gud work kutoka kwa prof J n mwana fa
@buruanisaidi2411
Жыл бұрын
Nimerudi hapa baada ya afya ya Professor kuimalika
@isackyakobo7829
3 жыл бұрын
Kuna watu Tunamchukulia mwana FA kama Msanii tu! But mm namwelew kama kiongozi flan mpenda maendeleo! Mungu akusaidie ufanikishe kuwawakilisha wananchi wa Muheza! #Najiskia vbaya polepole akimwta jamaa et Msanii
@rumayojr4638
3 жыл бұрын
2021✍️✊ Mwana FA Bungen nae km Prof. J✊
@allythebest3371
3 жыл бұрын
Itapendeza Sana wakiwa watatu
@deogratiusilomo7624
3 жыл бұрын
Like hapa kwa wabunge wetu, kweli Mungu kawaona hadi mmekuwa wawakilishi kweli.
@meddyhazali1470
3 жыл бұрын
Ma mc ma genius wamekutana..... ninge omba wa irudie hii video iwe kali zaidi
@rashidisaidi8535
Жыл бұрын
Dah maisha bana eti hao ote washashiriki bungeni na mmoja naibu waziri dah
@robertabel6984
Жыл бұрын
Hawa jamaa huu wimbo ni kweli walitabiri leo hii 2023 wote ni viongozi wa kisiasa wanatetea jamii dah kweli hiphop inaona mbali ni miaka zaidi ya kumi imepita toka hii ngoma ipigwe..big up legendaries
@fadhiliissa1716
8 жыл бұрын
Prof.J and mwana fa are very intellectual artists in tz na nyimbo zao ni za kuelimisha jamii
@issackchalahani1235
3 жыл бұрын
Exactly is the really Artist.
@diegokalziz3269
3 жыл бұрын
Dream big and you will achieve sasa wote soon wataongoza taifa..✌️👍
@agreyraban8859
16 күн бұрын
Ninapo ona hii nyimbo alfu washikaji wakapata uongozi serikalini hapo ndiyo naona ukuu wa mungu
@erickngatunga2359
2 жыл бұрын
two members of TZ parliament teaming together to make another hip hop masterpiece.
@Yegon254
6 жыл бұрын
Wimbo huu ulichangia sana msingi wa prof jize kwenye siasa
@fransavinhonacmela827
3 жыл бұрын
Mmefikia sasa ndoto zenu.mimi sina like jamani like hapa nione
@meddyhazali1470
3 жыл бұрын
Very interesting.....hawa jamaa ni vichwa vikali...... nyimbo ya akili nyingi saaana hii
@nyuniclick9422
6 жыл бұрын
Mbunge wa Leo akiwa na mbunge wa 2020 Kura yangu
@ibrahimkingdom9664
3 жыл бұрын
Jaman watu mnajua kutabili aisee
@barakamalinga
3 жыл бұрын
Dah watu mnajua kuotea
@denicemwitakabwere9152
3 жыл бұрын
@@barakamalinga yaani aisee Mr nyuni hongera kwa utabiri
@nyuniclick9422
3 жыл бұрын
@@denicemwitakabwere9152 Ahsante sana ndugu. Siku zote Juhudi huja na malengo
@hemedmtunguja9788
3 жыл бұрын
Umetisha kaka
@ommynations.9157
4 жыл бұрын
2020 I'm watch! ngoma Kama hizi hazijapewa airtime kwann?
@AbdallahNorman
10 жыл бұрын
old is gold to hold and not to be sold..!
@oyabarjuma8825
7 жыл бұрын
yeye ni baba East Africa,,no one like him
@profkrayshelu5379
3 жыл бұрын
Surprisingly, in 2020 they're both becoming MPs. # the power of subconscious mind.
@nabetv8024
6 жыл бұрын
Waloona hii 2018 like hapa
@josephyaa6858
Ай бұрын
Big up waheshimiwa you’ve fulfilled your Dreams,,,
@humpreysodakha426
5 жыл бұрын
prof j napenda songs zake ju ni za mafunzo,watching from Kisumu Kenya
@tonyarikahgaba6674
9 жыл бұрын
Wooooo professor ni east african number one sio chameleon Bongo deep inside south sudan.lets follow him woooooooooooooo waaaaaaaaaa
@derrickjuma8173
6 жыл бұрын
Someone to give professor a gift,the guy sings real life situation .Maudhui mazito mazito ,Masaulaibuka.Wakenya tuigize Watanzania ,twapenda kusikiza kelele tupu
@vinnocky_b1430
Жыл бұрын
Good job brother I'm proud
@shadrackmwelela6935
6 жыл бұрын
Professor J ulikuwa na idea za mambo ya mbele,naikubali hii nyimbo
@benjaminsamson7468
3 жыл бұрын
Kazi kazi uchama pembeni 2020 amazing kama mlikuwa manajitabilia
@mo_hustler9099
2 жыл бұрын
Dah! Maisha haya......., yaaaan Jamaa wametoka kwenye Uzee saivi Vijana
@footballpassion6438
2 жыл бұрын
Such a great song🇰🇪🚀🚀
@user-yz2lr9eg5e
9 ай бұрын
Wabunge watarajiwa walojijua kuwa lazima waje wawe kweli!!
@fikakibona1722
5 жыл бұрын
Wanao itazama hii 2019 gonga like hapa
@jumatano242
3 жыл бұрын
Ndoto zinaelekea kuwa kweli, muwajibike sasa mfuate kero na mzitatue mkiweza
@chimbaonline1418
4 жыл бұрын
Ase hawa jamaaa walionambali sanaaaaaaa baba jpm tunakuombe uishi utupganie wanyonge 2020
@emmanueljosephkalumbetekal9623
7 жыл бұрын
Who else is still watching en listening this Song...2017
@mwambogogeorge242
6 жыл бұрын
hii song ni kali sana,ni wakati wake kujukumika kuhudumia wananchi wa tanzania kwa ujumla
@derrickjuma8173
6 жыл бұрын
Emmanuel Joseph Kalumbete {Kalou} these two men are talented
@johnsonjmbilinyi712
6 жыл бұрын
Emmanuel Joseph Kalumbete {Kalou} 2018
@saidomar9847
3 жыл бұрын
Imebidi nirud kuskiliza madini ya zamani 2021
@lupasaintertainment6166
4 жыл бұрын
Daaah hawa jamaa wanaharakati kitambo sana
@wahidkombokhamis4330
3 жыл бұрын
Hawa walijitabiria kuwa viongozi, mmoja utabiri ulitimia mmoja yupo njiani
@amoskagika8884
3 ай бұрын
Uko sahihi na huyo mmoja tayari alishaupata. Kwahiyo hivi Vichwa viwili ni Kama walijitabiria
@empressmamakeh9535
7 жыл бұрын
Mwana Fa was soo young here love this collabo though #Walewaanzilishi
@tawfiqmoha8103
8 жыл бұрын
Duuu!!!Kumekucha Aisee..Wafalme wa Bongo rap wamekutana
@nyandaikombe7263
Жыл бұрын
Daaaah!!!! dreams are Valid
@rajabhussein4088
3 жыл бұрын
Daa mnakwenda kukutana bungeni,mungu awajalie mshinde wote uchaguzi huu brothers
@zainulabideen6955
Жыл бұрын
Watanzania wote wange walipa awa wasani code......
@jumannekibuo4629
Жыл бұрын
Ahsante bro afya njema kwako
@remigiuspius8798
3 жыл бұрын
Jamaa walijitahabiria aisee ndani ya mjengo
@jerrjamary2649
2 жыл бұрын
Asante mungu enzi za wimbo huu kama upo mpaka leo tumshukuru mungu 2022 like hapa sema asante mungu🥰😍🥰😍😍
@innocentking5709
11 ай бұрын
2023
@paliscoedison2752
4 жыл бұрын
Nomaaaaa sanaaa bongee la ujumbe
@kiba_bishoo
2 жыл бұрын
Nani ana tazama ii gold ya tanzania 2022 weka like twende sawa
@santiagokenya6294
2 ай бұрын
One of the best diplomatic song
@ericknziku9473
3 жыл бұрын
Sasa ni jukumu letu. Pale Fa na pale Jay the profesa
@abdulrahmantraure2087
7 жыл бұрын
mjomba fa na ako ka mwili kama ankali poooool kagame
@shairanadam1443
3 жыл бұрын
Kitambo snaaa mlijitabiria na kwli yote ymetimia kwnu
@santiagokenya6294
7 ай бұрын
Uongozi ndani yenu ilionekana kitambo
@jemamasawe7325
3 жыл бұрын
Jukumu letu sasa tunaekekea uchaguzi 2020 ni jukumu letu.....
@thomaschawe1744
8 жыл бұрын
wafalme wawili walipokutana noma sana aisee
@abdulrahmansalim3016
3 жыл бұрын
Naamini wakiingia bungeni pamoja wataleta mabadiliko kwa pamoja. Hehehe
@salimomary6279
3 жыл бұрын
Haya sahivi wote viongozi tuone mtakavyo ongeza kipato kwa wananchi, au mlikuwa mnaimba tu,,,
@fasterwalker1464
4 жыл бұрын
2020 we are here March put like from Tz 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@maturireprince
Жыл бұрын
I listen this song everyday 2022🇺🇲💙💯💯💯💯
@essaugeorge47
8 жыл бұрын
MBUNGE AKIWA NA MBUNGE MTARAJIWA
@leonardoscarkitime145
3 жыл бұрын
Ulitabiri vyema mkuu
@ibrahimkingdom9664
3 жыл бұрын
Ulijuaje kiongozi
@onesmojohn559
3 жыл бұрын
Aisee unastahili pongezi
@tanzania_celebs
3 жыл бұрын
maneno yanaishi
@ashrafgeorge9384
3 жыл бұрын
Uliona mbali ndugu, nataman sana uzione comments zako. Hongera zako🤗
@damyenmwey972
6 жыл бұрын
Daah, the Jumbos of Bongo flava, Wapi Mr. Bue?
@mumenguvuze5505
9 жыл бұрын
This is just so cool, rap with a meaning. wah! jay and mwana falsafa hii ni kali.
@amanibenjamini9637
3 жыл бұрын
Mwana FA umemgeuka mwenzako
@selemanibididas3988
3 жыл бұрын
Tumekuja kuwatazama waheshimiwa 2020 tujuane maana mawazo huumba
@salumramadhani5566
3 жыл бұрын
2020 nawaona wote ndani ya bunge la 12, nendeni mkayasimamie sasa yote mliyo yaongea humu..
@iddisheshambo9944
3 жыл бұрын
Wabunge kama Wabunge watarajiwaa
@tomplexbrigedier2282
5 жыл бұрын
Ndoto nyingine ni kua kiongozi mkubwa... Na imewezekana .....huko kwake #Mikumi WOTE KWA PAMOJA TUSema #NDIOMZEE
@mufamozmufash166
6 жыл бұрын
Fight poverty and 4get about love music
@jevasonimoshi8256
3 жыл бұрын
I can't believe hii nyimbo naichek 2020 wakat hawa jamaa wapo kwenye siasa tayari.
@camiliusmassao5686
3 жыл бұрын
Prof J. Mziki anautendea haki, ukisikiliza nyimbo zake unaelimika. Viva prof.🙏
@jokhamuhene8402
7 жыл бұрын
profesa j vp tuletee kama hizi sio mchezo hongera
@reinerbrainer811
5 жыл бұрын
Huu wimbo ufanyiwe remix ft Nikki wa 2,Sugu,roma,kala Jeremiah nk
@bragga8622
3 жыл бұрын
Sure
@ramadhanseyyid3441
4 жыл бұрын
Old is gold
@victormudanya641
6 жыл бұрын
Pro used to educate us thru his songs.very talented.sio zile za inama kidogo,...
@peterjohn1969
3 жыл бұрын
Mungu ua anaona wazalendo wakweli
@benfordmathias2140
3 жыл бұрын
wabungeee aooo 🤝🇹🇿
@innocentking5709
11 ай бұрын
Waliopo hapa gonga like,
@cleverlandmusicbyshakur423
4 жыл бұрын
Dah hv wanajiangaliaga asa hv hawa naona wanacheka balaa
@mumenguvuze2093
3 жыл бұрын
Wow, Nakumbuka huu wimbo , na sasa 2020 Professor amekuwa mbunge wa mikumi kwa miaka tano , na sasa ni Mwana FA mbunge kwa miaka mitano hadi 2025. , How I wish AFANDE SELE , naye pia . I love old bongo rap .
@zainulabideen6955
2 жыл бұрын
A luta continua........
@michaelbuoro3015
4 жыл бұрын
2020... STILL RELEVANT
@gadsonndato2941
3 жыл бұрын
Unatuwakilisha vyema mwakan mnatuwakilisha vyema mwana fa vs jay
@user-iu7dy1mb2i
2 ай бұрын
Sa hivi mnajifaidia tu tozo zetu haya yote mmesahau
@dr.j7533
2 жыл бұрын
never tired of this ....
@nguliissa2783
3 жыл бұрын
Umetisha mkulungwa
@denniobersen2547
7 жыл бұрын
I like this kind of hip-hop 🔥🔥🔥
@husseinkibua631
5 жыл бұрын
May mosi 2019. Still naikubali ngoma hii
@user-yv6bi8rj5z
10 ай бұрын
Hpa ndo niliona kbsa mmejtbilia uongozi
@muhyelajafari4530
10 ай бұрын
Yaani huu mziki unapenya kwenye nafsi halisi...mashairi yalikuwa vizuri sana
Пікірлер: 363