Promover mbarikiwe mnoooo kazi njema. Dada Yesu akulinde mpaka mwisho. Shika Yesu dada usimuache
@wanjirumuhoro7553
10 ай бұрын
Asante dada kwa kufikisha unjube,ubalikiwe katika jina KUU LA YESU KRISTO.Roho wa Mungu wa Abraham atufungue macho....
@juniorkalinge5861
10 ай бұрын
Amen&Amen, may promover TV be highly blessed IJN, FOR BRINGING us touching testimony at all times. Hi Channel imefanya IMANI YANGU IKAKUWA MARADUFU KWA MAMBO YA YESU KRISTO.
@SarahWilson-g2u
10 ай бұрын
Amina nakukubari sana jactani huna utani na Mambo ya Mungu, ubarikiwe sana❤
@charlesyotham7977
10 ай бұрын
Jamani Yesu kristo anatupenda sana tuwe watu wa maombi sana Asante Mungu kwa ushuhuda mzuri.
@charlesyotham7977
10 ай бұрын
Kaka janctani Mungu akubariki sana kwa kazi nzuri.
@hildandeda3348
10 ай бұрын
May the Lord have mercy on us following from Kenya 🇰🇪
@lydiamichael5509
10 ай бұрын
Asante sana dadangu kwa hizi siri zagiza barikiwa
@lilymwashumbe4890
10 ай бұрын
Mungu akubariki dada yangu kwa kutufunulia siri zote
@HoseaMwapindule-rw5nr
10 ай бұрын
BWANA YESU abariki kazi ya mikono ya promover Tv.
@SarahWilson-g2u
10 ай бұрын
Uwiiiiiiiiiiii!!! 🙆Mungu atusaidie sana wanawake tunapenda mapambo
@carolinemiano2416
10 ай бұрын
Nafuatilia nikiwa Saudi Arabia mimi ni mkenya ,langu ni kumshukuru Yesu Kristo kwa ufunuzi wa hizi siri za giza. Shetani mwovu ashidwe na giza zake katika Jina la Yesu Kristo.
@maryandason1815
8 ай бұрын
Amen blessed caroline❤..karibu tanzania
@ElizabethJuma-e4z
10 ай бұрын
Akika mungu atusaidie sana atufungu mojo ya kiroho akika .ubarikiwa sana dada
@mbelemmunga-ps4df
9 ай бұрын
Pole sana
@sallymumia8425
10 ай бұрын
Amina, Amina Kwa hii channel
@henrysizya239
10 ай бұрын
Alichosema kuhusu kunyonyesha au kuwa na mtoto hii ni kweli kwa upande wangu. Watoto wangu wawili wa mwisho kabla ya kuzaliwa mke wangu alikuwa anasema nimeota na nyonyesha mimi nikawa namwambia kuwa itakuwa ni majini au watoto wa kichawi. Ila baada ya muda ulikuwa inatokea anapata ujauzito. Mambo mengi ambayo yanatokea katika ulimwengu wa kawaida huwa yaanza kujulikana kwanza katika ulimwengu wa Roho. Nimekuja kulitambua hili baada ya kuwa na mtoto wa mwisho kuwa alichokuwa anaota haikuwa ni ndoto bali ilikuwa ni jambo halisi katika ulimwengu wa roho. Ila inakuwa bado haijazihilika katika hali ya maisha ya kibinadamu.
@kizadorcas3321
10 ай бұрын
Mungu atusaidiye maana Dunia inamambo mengi tusiyo yajuwa
@elietiniswimzava4757
Ай бұрын
Ushuhida huu unajenga nimejifunza tuangalie majina tunayowapa watoto wetu.Alafu njia ya kutoka huko mpaka upate mafunuo ya wokovu kwa kuongozwa na roho wa Mungu
@valenakomba9218
10 ай бұрын
Bwana wetu Yesu kristo atukuzwe sanaa.
@ReganNyanda
9 ай бұрын
Amen
@valentinanduku8718
10 ай бұрын
Yesu atusaidie tufunuliwe yalio sirini
@EZRA-b1c
10 ай бұрын
Kupitia Promover Tv
@felixBenos
10 ай бұрын
Yesu atusaidie sana
@neemamarko176
10 ай бұрын
Mbarikiwe
@maryandason1815
8 ай бұрын
Blessed kka jacktan❤.cjachelewa
@HesboneMalangalila-ek6te
10 ай бұрын
Asante ila ushuhuda wa albogast na mchungaji aliyemwingiza kuzimu tunahitaji pt3 Na tunatamani kumsaport atoe video
@MariamGodfrey-oe1bn
10 ай бұрын
Jesus is lord thanks jactan
@user-28Gerardineakimana
10 ай бұрын
Uwachane na mawigi watu wa Mungu hata kama zambi zi wigi na cheni plz
@joymkenya2359
10 ай бұрын
The best story ya kufunza wenye masikio 😅 welcome to kenya ,,, Mimi City yangu ni nakuru,,, I wish mngekuwa mnnakuja huduma this side ,,, niwa host for free,,,, wa TZ tunawapenda, pia Mimi nawauliza nikija TZ kutembea nitapata wapi wakunikaribisha, gharama kwangu
@PromovertvTz
10 ай бұрын
Karibu sana nasi tuko tayari kukupokea
@DottoMartin-u2e
10 ай бұрын
Karibu sana Tz usiwe na wasi utatembea vizuri bila shida.
@Munguyupo_
10 ай бұрын
Karibu sana Tanzania,tunawapenda pia wakenya!!
@joymkenya2359
10 ай бұрын
Thanks all,,, nimefurahia your soft replies, God bless you 🙏
@maryandason1815
8 ай бұрын
Karibuu kila cku tzd inasehemu nzur nying watu wake n wakarimuu njoo
@PaulinaMajengo
10 ай бұрын
Tuzidishe maombi na utakaso
@Yohane-b5e
27 күн бұрын
Kweli, ukiijua kweli itakuweka huru Mungu anajifunua sasa raivu maana kwa sauti watu hawasikii wahubiri tuna piga kelele sana kuhusu mapambo, tumeesabiwa kuwa wajinga wahubiri sasa mimi nawapa kitabu 1Timotheo2;9kuendelea hadi 14 kuhusu mapambo Mungu mwema
@blessedlovedandfavoured4129
10 ай бұрын
Aston adam anakuja lini Kenya
@valenakomba9218
10 ай бұрын
Ameen asante Yesu.
@HappyMwaigwisya
10 ай бұрын
Haya anavyoongea yanafundisha mno na ni kweli. Mizimu inatesa wengi sana hata wachungaji na watumishi lakin wanashindwa kusema ukweli kwa nafasi zao. Wanaota wanalala na wanawake au wanaume ndotoni. Kusema inakuwa ngumu unakuta ni watumishi watu wanawanyenyekea kwahiyo wananyamaza. Lakin ni Bora kutafuta suluhisho kwa YESU maana hiyo inamkondesha mtu mbingu unyakuo ukitokea anytime.
@Pasfiqueabel
10 ай бұрын
ila jitahidi uwe unatuwekea beat ya emotion tunabalikiwa san
@MtumishiLoveness
10 ай бұрын
Mhhh kuna haja ya kuombea watoto wetu ubarikiwe mtoa ushuhuda
@valentinanduku8718
10 ай бұрын
Mimi tokea nisome kuhusu kusuka nywele ni dhambi niliwacha hata herini pia
@EZRA-b1c
10 ай бұрын
Amen YESU Kwa kuendelea kufunua na kufichua yaliyo sirini
@geitandelwa299
10 ай бұрын
Umeonaeeee
@kashindibakari7726
10 ай бұрын
Bwana tesu asifiwe milele na milele
@RodahAdonice-dz4sm
6 ай бұрын
Uuwi niliwavalisha wanangu rosali mmoja mdogo alikuwa haitaki ila nilikuwa namlqzimisha mwisho akaitupa sasa huyu mkubwa ndo alikuwa anachubuka ngozi shingoni had nikamuachisha kuivaa looh Mwenyezi Mungu nisamehe sikujua nitendalo
@neemamatiko3745
10 ай бұрын
Nijua wasioamini ulimwengu wa roho wanasikia mashokoro
@charlesmutunga6952
10 ай бұрын
Naomba kuelezwa tofauti ya mizimu na mapepo
@DottoMartin-u2e
10 ай бұрын
Mizimu ni roho zinazotokana na maagano ya kifamilia, mapepo ni mashetani yaliyoasi yaliyo tayari kumharibu yeyote anayelikiri jina la Yesu.
@charlesmutunga6952
10 ай бұрын
Nashukuru kwa hili jibu. Baraka kwako.@@DottoMartin-u2e
@MtumishiLoveness
10 ай бұрын
Mzimu na mapepo yanataka kufanana kwasababu zote ni roho ila mizimu imepewa kusimamia familia (koo) sasa mapepo yapo Chin ya majin yenyewe ni ni cheo cha chin ndio maana mapepo yanaweza kuombewa mtu yakatoka lkn mizimu Watu wamekaa nayo hta makanisani lkn hakuna anajua kwasababu maagano yake ni mazito yanahusisha damu
@MtumishiLoveness
10 ай бұрын
Naamin hii Tafsir utaelewa
@charlesmutunga6952
10 ай бұрын
Hivi sasa nimeelewa. Baraka.@@MtumishiLoveness
@ainekishagodwin1877
10 ай бұрын
Baba zetu walitenda dhambi na Sasa hawako tena na tumeyabeba maovu yao
@fatumaminyeko1875
10 ай бұрын
Unatupeda BWANA YESU diomana unatufunulia mengi yaliyo jifisha
@joycekaphevemba7215
10 ай бұрын
Jameni Niko mombasa ila watu WA nairobi nawaonea wivu jameni natakani Ningekua Kenya ningejitahidi kufika aki😢😢
@maryandason1815
8 ай бұрын
Karibuuuu tzd
@LodvolaLameck-jl5vs
10 ай бұрын
Hosea 2:13
@livinhillary9804
10 ай бұрын
Jesus is Lord
@salamadickson8108
10 ай бұрын
Ezekiel 16 :11 mtu anaweza nielezea au ni Mungu yupi huyo
Yaan kuhusu mapambo shetan kawateka sana wanawake huwambii kitu
@rerisamba
10 ай бұрын
5hours na mumefika 1.5 haya hata mimi wacheni ni changamke
@bonifasiemanueli21
10 ай бұрын
Shuhuda nyingi Kuna mchanganyiko na Kauongo kadogo,ushauli Kwa Promov TiV kabla ya kurusha muwe mnajilidhisha Ktk kuwahoji kwanza,vinginevyo mtapoteza umahili wenu Ktk wasikilizaji
@rerisamba
10 ай бұрын
Hio ndio story ya mbinguni nasikia ukifika utakumbuka uliishi huko zamani sana
@florencenshimi9353
10 ай бұрын
Mi niulize suali ! Kwahio dhahabu tusivae nivya shetani pia ?
@stellapaul2442
10 ай бұрын
Hiyo si miungu migeen
@bedykedy3428
10 ай бұрын
We hyo dhahabu ukivaa inakusaidia nn?
@paulomtweve3819
10 ай бұрын
Kama wewe n sayuni kwa Bwana haupaswi kuvaaa hayo madude maana ukiyavaa huitwa sayuni mwenye madaha na maringo Sasa ukifikia hapo sio sayuni Tena Bali umeharibikiwa. Soma isaya 4:16-25 ndugu utajifunza
@paulomtweve3819
10 ай бұрын
Pia Kama wewe n sayuni haswa kwa kristo basi haupaswi kuambatana na mapambo kwasababu anayevaa mapambo huyo huitwa kahaba je wewe n kahaba hapo humaanisha hivyo kwakuvalia mapambo huonekana Kama kahaba. Ufunuo 17:1-5. Soma hapa utaona mwanamke kahaba na mama WA makahaba ndio alikuwa anavaa Sasa je Kama wewe unavaa kwa ajili gani je na wewe n mama wa huyo kahaba ifikie hatua tuokoke kwelikweli.
@paulomtweve3819
10 ай бұрын
Ni isaya 3:16-25
@DoricEverist
10 ай бұрын
Duuu huyu mwingine tena amekuja nakusema habar za mizimu ushuhuda unathibitika kwa watu wa2 au wa3 Sasa itabidi nichukue hatua mwenye ulewa zaidi jinsi ya kufanya kujitenga na mizimu sababu hata mimi nna jina la ukoo
@DottoMartin-u2e
10 ай бұрын
Tafuta mtumishi anayeongelea habari za deliverence.
@micahnjoroge3685
9 ай бұрын
Uongo na ujinga
@ErnestinaKisinga
10 ай бұрын
Yesu anatupenda hakuna kitu anacho ficha
@rerisamba
10 ай бұрын
🤣🤣🤣ati makatani gani hayo yasio isha nayasio paliliwa
Пікірлер: 87