TANZIA
Wapendwa wote mliomo humu ndani na mliobahatika kufundishwa na Padre Profesa Charles Nyamiti au hata kumfahamu, tunasikitika kuwajulisha kwamba ameitwa na Mungu leo Jumanne trh 19/05/2020. Alikuwa kalazwa hospitali ya Ipuli Tabora. Aliporudishwa jimboni juzi kutoka huko hospitali bado hali yake haikuwa njema sana.
Ni mwaka jana alirudi rasmi jimboni kutoka Nairobi alikofundisha kwa miaka mingi.
Alizaliwa mwaka 1931 Apumzike kwa amani.
Chanzo cha taarifa: uongozi wa Jimbo Kuu- Tabora
Негізгі бет PUMZIKA KWA AMANI FR. NYAMITI, NGULI WA MUZIKI MTAKATIFU, MWALIMU WA JOHN MGANDU. R.I.P
Пікірлер: 24