UYU MWAMBAA PUTIN HUWA NAMKUBALI SANA HAPA DUNIANI KUSHINDA RAIS YEYOTE YAANI
@MajutoElliasi
3 ай бұрын
Msimpe kichwa vita haina macho uwa inageuka ni kuomba amani tu maisha ya hendere
@atutweve4160
3 ай бұрын
@@MajutoElliasi USIMFUMBUE MACHO MJINGA 🤣🤣🤣ANAMKUBALI? AU MSHABIKI MAANDAZI TU
@MajutoElliasi
3 ай бұрын
@@atutweve4160 hii dunia wote ni wapitaji tu kushangiria vita sio vizuri ni amanitu na upendo watu wanashingiria kwasababu ayako kwetu yagekuwa ni kwetu asige shagiria mutu
@minicooper9642
3 ай бұрын
Wewe ndio mjinga Kama bado kaka sasahivi hujajua unwell wa Marekani kua ndio anaesababisha vita Finish basi wewe utakua mjinga.
@atutweve4160
3 ай бұрын
@@minicooper9642 udini unasababisha vita sio mmarekani 🙄
@bogoheidaso2628
3 ай бұрын
Najua nchi ya urus haikupenda kuchukua watumwa inapenda sana haki kwahiyo natto wanachezea shilingi kwenye tundu la choo
@MathewNathan-yb2bz
3 ай бұрын
Mbona kwa sasa watu wanakufa wakienda ulaya.Hadi sasa tuko utumwani tena tungekuwa tuko chini ya hao wazungu tungekuwa mbali sana kuliko kutawaliwa na hawa wakoloni weusi.
@CharafimalisalimoAli-qw3hk
3 ай бұрын
NA UGANDA NAO WAPEWE HIZO SILAHA😂😂😂 MANA MZEE MUSEVEN NAE HATAKI UPUMBAVU😂😂😂.
@heridunia
3 ай бұрын
mapema sana tunaomba mana kenya wanajifanya wao wanawapenda wamagharibi
@louangesid
3 ай бұрын
😅😅😂😂
@sharifuahmed8340
3 ай бұрын
BABA WAPELEKEW HAMAS, HEZBOLLAH MIFUMO YA ULINZ NA SIRAHA KALI NA MAELEMENT NA BULLET PROOF, NA VIFARU ALAFU TUONE KUMANYOKA HAO MASHOGA WANAOJIITA TAIFA LA MUNG YAAN BABA UKIWAPA SIRAH KM WAO WANAVYOWAPA UKRAINE NAKWAMBIA VIBARAK WA MAREKAN WENG MAJI WATAITA MMA KUMANYOKO ZAO
@Maxpaul-oi8pw
3 ай бұрын
Yaan ata urusi mwenyewe hathubutu kuanzisha vita ya moja kwa moja na israel maana wale wana uwezo na akili ambayo sio ya kawaida
@davidwalalason7630
3 ай бұрын
Apeleke silaha palestine na yemen
@MichaelMathew-j3f
3 ай бұрын
Kuna jambo? Nahisi sio kuzuri hata kidogo. Maana najua nuclear sio kitu cha mchezo. Hii silaha mbaya kwelikweli inatisha vibaya!! Usiombe!!
@FranckDaniel-cc5rg
3 ай бұрын
Piga hao mashoga marekani ni washenz,dunia bila marekan ni amani mungu awaondoe marekani wanaitesa dunia
@officialBongoFlava
3 ай бұрын
😂😂😂😂 kweli Akili una 😅
@hafidhyakoub8369
3 ай бұрын
Ww dvoice na ww shoga au
@Jgjgjggjaieifhfv
3 ай бұрын
D pambana n'a muziki achana n'a siasa marekani ni ovyio Sisi wa Congo 🇨🇩 tuna juwa match Zao n'a Rwanda
@MiriamAbdallah
3 ай бұрын
@@Jgjgjggjaieifhfvpoleni ila muda utasema mungu yupo
@lakasid3860
3 ай бұрын
Hii KZitem ni ya hao Marekani saa wakiondoka sijui utatumia mtandao gani kutukana 😂😂
@Hassanbaoma
3 ай бұрын
M/mungu mlinde putin
@atutweve4160
3 ай бұрын
HAWEZI HATA MUOMBE DUNIA ZIMA 🤣
@melkizedck
3 ай бұрын
Kweli Mungu amlinde putin maan amekaribia kufa.
@pilotmadata5791
3 ай бұрын
Alie sikia mbwa akibweka na mtoto akilia, gonga like hapa, ...
@RamadanPaul
3 ай бұрын
😅😅 nilikuwa natafuta hii comment 😅😅
@DjMswati
3 ай бұрын
@@RamadanPaul kaka unazingua😂😂
@afandechanel1507
3 ай бұрын
😅😅😅😅😅
@SwedyMohamed-vt5zm
3 ай бұрын
Mtakatifu Putin wamemwaga mboga,we mwaga ugali.Kama mbwa Wacha iwe mbwa kiumane mpaka kieleweke tata.Bhita ni bhita ntakutemego.Ulabhugabhwi.Marekani ni mrisha TU.
@MiriamAbdallah
3 ай бұрын
,swedy swedy kama mbwayi na iwe mbwayi 😅😅😅😅😅😅
@melanialeonard4031
3 ай бұрын
Mtakatifu tena????
@Maxpaul-oi8pw
3 ай бұрын
Nafurah sana mwislam unavyomsifia mkristo
@fahadabdalla8194
3 ай бұрын
@@Maxpaul-oi8pw Hamna ajabu kumsifu mkristo kwani ajabu ikiwa utafanya wema basi utasifiwa ili mradi humkashifu mungu au ushawahi kumsikia putini akasema ushoga,freemanson, au shetani ndio mungu wake tulia kijana soma usitafute chokochoko
@adrianomaulaga1599
3 ай бұрын
@@melanialeonard4031mtakatifu kwasababu hajawahi sapoti ushoga kama wale wengine
@MosesiJemsi
2 ай бұрын
Urussi 🇷🇺 🇷🇺 wanazidi kuitilia vikwazo wakati marecani ndicho kichochezi cha vita. Mashabiki wa marecani ni wakoloni oya sisi kama wa Africa tuwe nyuma ya Urissi sawa mungu akubariki
@MasterOil-qm6vw
3 ай бұрын
Kuna wapumbavu wakati vita vinaanza walaizani urusi atashindwa hawajui kua marekani hana silaha za kuizidi Urusi bali ana maneno na porojo nakutishia vitaifa vidogo
@atutweve4160
3 ай бұрын
Weeeee tusubir tuone 🤣
@MathewNathan-yb2bz
3 ай бұрын
Sasa kwani urusi kashinda?unaota nini ww
@MathewNathan-yb2bz
3 ай бұрын
Urusi bado hajashinda na wenzake washamweka kwenye tageti na akijichanganya tu wanammaliza.
@MathewNathan-yb2bz
3 ай бұрын
Urusi hana uwezo wa kupambana na NATO hata kidogo
@atutweve4160
3 ай бұрын
@@MathewNathan-yb2bz hata hivo 😉
@athumaniamani9905
3 ай бұрын
Mwnangu putin usisahau nami kunipa hata bomu moja la nyuklia
@MiriamAbdallah
3 ай бұрын
Athumani kakaangu unalipeka wapi au g......
@evelynemugeni2369
3 ай бұрын
@@MiriamAbdallah😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
@subrynerysegerow1323
3 ай бұрын
Tena kalipue israhell mamae
@josephfrank4446
3 ай бұрын
Safi sana😂😂putin nakukubar mkuu
@YustaMfugale
3 ай бұрын
Putin anatumia sana akili,,, tuombe mungu tu putin amekataa vita kuanzia mda sana wanamtaka ,,ila mungu is with you
@philemonyesaya4353
3 ай бұрын
Hii sio wala ya kushabikia nani ampige mwenzake, kwa sasa sisi tunaongea tu kua wazichape lakin tuombe mung sana haya yasije yakatokea maana kama kweli wakipgana basi hata sisi tutaifeel ile ladha halisi ya vita ya wakubwa, cha msingi ni kuomba mungu huu mgogoro uishe salama ili maisha mengine yaendelee...
@AbdiBendera
3 ай бұрын
Nilisubira sana uchambuz wenu juu ya taarifa hii
@GraceMashinga-be9wb
3 ай бұрын
Sana tu
@abdulhalimomar5329
3 ай бұрын
Oya huyu jamaa kwanni tusimpe uraisi wa mataifa yote huyu jamaa anajuwa hesabu
@hafidhyakoub8369
3 ай бұрын
Huyu jamaa anahisabu rahisi sanaa
@AbdulMichael-g4o
3 ай бұрын
Ni pumbav sema hamjui tu mpaka Leo wazungu washamuona Kama urusi ni dhaifu na Kama wangemsaidia Ukraine moja kwa moja bac Leo hii tungekuwa tunazungumza mengne
@issalyanali4119
3 ай бұрын
Sip kweli,,,,,siaha zaNATO zimechakazwa Sana uwanja was vita😂
@adrianomaulaga1599
3 ай бұрын
@@AbdulMichael-g4ombona hawamsadii sasa huyo jamaa anawashirika wengi China, Korea kaskazini, Iran, Vietnam ni washirika wa Urusi huyo jamaa anatumia akili sana huyo hakurupuki kurupuki
@issalyanali4119
2 ай бұрын
@@hafidhyakoub8369 silaha za NATO zimechakazwa mpaka zikapelekwa urusi wananchi wakapiga nazo selfie,,,wewe ulikuwa umelala Nini na usingizi,,,ahhh kumbe mwafrika Bado western civilization inakusumbua ikiwepo ushoga,,,,urusi kapigana vita nyingi ,,,,halafu,,,watu waliojaribu kugombana na Russia hawajawahi kuwa salama mfano Napoleon Bonaparte,,, Adolf Hitler,,,,sasa USA Ataweza wapi,,,kuhusu teknolojia ya vifaa vya kivita marekani mchumba TU ,,we ndo unamtukuza,,,,china ,,urusi,,,north Korea,,,wanaona america taifa la kawaida TU ,,SI kama wewe mwaafrikaaa😄😄
@jamilaathumani5481
3 ай бұрын
Hii ni mbaya Sana ...mungu ajalie Kila la heri..hii hali sio nzuri kabisa ...mwenyezimungu tusaidie Kwa hili
@johnmwangi9231
3 ай бұрын
Mungu awasaidie kwa gani? ni SAWA atoe hizo silaha,juu Putin Ako na shida na makafiri Hao wazungu dio wanafanya binadamu kumkufuru Muuba,nani analazimisha ushoga Gender equality Wizi wa mali ya wengine Mauaji ya watu bira hatia!
@mariaalenge2106
3 ай бұрын
Swali kwako ndugu Putin ni mwehusi ahu macho yenu aya honi?mimi najuwa ni wao kwa wao akuna mzuri kati yao wote maana wote wana huwa watu wasiyo na atia ingekuwa wana malizana Marausi kwa Maraisi inge kuwa vizuri lakini wanao kufa ni rahiya Putin na wenzake wote vichwa maji tu
@sebastiansalamba313
3 ай бұрын
Ujinga donda la kichwa shahidi mkono,nashangaa binadamu Tena maskini mwenye kg 10 za unga ndani unashabikia vita kama sio kulaaniwa ni nini?ombeni Mungu anusuru Hali hii
@ibrahimaziz7158
3 ай бұрын
Kiduku km namuona anavosubiri kifurushi chake cha gawio
@elikundangoye7633
3 ай бұрын
Mwamba huyuuu.lazima NATO wakaee
@yusafbayu7016
3 ай бұрын
Awape silaha yemeni na houth uone watakavyo choma dunia
@aziza9093
3 ай бұрын
Pige mashoga hao
@josephelias7364
3 ай бұрын
Hii sasa ndo inaitwa COLD WAR
@abdullahhilalabdullahalmug3168
3 ай бұрын
Putin yupo Sahihi kabisa
@AllaudinMeghji
3 ай бұрын
Faza watandike hao mashoga wa magharibi
@leonardjohnson2058
3 ай бұрын
Na hawa mashoga wa kwetu vipi kule mafia
@YohanaMasebo
3 ай бұрын
Sauti ya dhahabu shukrani mtangazaji
@yuvencepatrice792
3 ай бұрын
Si awashe 🔥 tu! Kwann anasem iv na kutokutekeleza
@Brunotarimo10
3 ай бұрын
Mwamba Putin namkubali sana
@melkizedck
3 ай бұрын
Urus wamechoka, vitisho tu.
@stevenlugojeremia2323
3 ай бұрын
@@melkizedckhivi wewe upo kwenye dunia hii au ndio umeanza kurumia smartphone leo inamaana huoni anavyo itembezea kichapo dunia mpaka wanalia kilio cha kuku😅
@Brunotarimo10
3 ай бұрын
@@stevenlugojeremia2323 watamkoma mwamba
@BizzBoy-g4o
Ай бұрын
Mzee wakumbuke na Alishababu
@ReyzDon
3 ай бұрын
Putin ni mtu asiyekiwa na masihara
@magigesabai8674
3 ай бұрын
Amefanya nini toka vita ianze mbona ni maneno tu
@sleifikhajjir262
3 ай бұрын
Putin 🎉🎉🎉
@Aziz-p6s
3 ай бұрын
Piga nuklia mzee time Time befor
@democritenzoisaba9117
3 ай бұрын
Apewe hizo siraha kwanza Iran Cuba na Syria
@peterilimwa5754
3 ай бұрын
so raia wa urusi ni bora kuliko raia wa Ukraine
@africanmandetraveler2847
3 ай бұрын
Uliza Zelensky kwanini anatumiwa ili kuiandama urusi ,hata kama nini niweke siraha mlangoni kwako utafanyaje.
@yusuphmashallah3732
3 ай бұрын
Yeah uko sahihi urusi ni bora zaid ukihitaji shule mm n mwalim
@africanmandetraveler2847
3 ай бұрын
@@yusuphmashallah3732 sihitaji shule yeyote kwako unae ona mrusi hana haki ya kujilinda dhidi ya wanao taka kuweka missile mlangoni kwake,pili huwezi kua mwalimu wangu labda uniambie baada ya mapinduzi 2014 ukraine kwa nini iliua maelfu ya warusi walioko Donbas na mariupol .
@godfreydavid6847
3 ай бұрын
Putin ameshachanganyikiwa....US amepigana vita Iraq, Afaghastan, Vietnam ila sijawahi kusikia kuwa atatumia silaha za Nuclear japo mambo wakati mwingine hayakwenda sawa. Putin amechoshwa na vita ya Ukraine. Raisi anawainyesha waandishi wa habari Security Doctrine ya nchi. Vilw vile pia NATO wana silaha za nuclear Poland, Italy na Ujerumani Mashariki!! Je wewe Urusi upo salama?
@ramadhanhassan5285
3 ай бұрын
Huyu ndie kiboko wa marekani
@atutweve4160
3 ай бұрын
🙄🙄🙄
@HappyAlbatross-us3bg
3 ай бұрын
Hakika Putin ni mwanaume Hana uoga
@ebengapierre8826
3 ай бұрын
wapewe au wahipige wingereza napia waige marekani napenda iyo
@Khalid-oi9qb
3 ай бұрын
Awape tu
@christiankambuga9338
2 ай бұрын
Safii wazee
@JosephKapanga
3 ай бұрын
Putin ni mtu mwema sana,watu wa magharibi ni washenz TU.
@paschalfausitine7108
3 ай бұрын
Baba Putin. Wape hamasi , na isbora , na wahusi wawapige mashoga wa teravivi, wakimwaga mboga wewe mwaga ugari, kama wanawapa Ukraine wakupige nawewe isbora na hamasi, wawashone mashoga wa teravivi
@Maxpaul-oi8pw
3 ай бұрын
Vita ya hamasi haiusiki na ukraine
@peteremmanuelymatwimatwiem3258
3 ай бұрын
😅😅😅Akili zako
@ShedrackShedrack-c2b
3 ай бұрын
Kwani hamasi badowapo wanakimbia kimbia kwenye taifalao kama mmbwa kicha aliyekulaganja
Vita uwanjani imeshindana inakua tena zenlekys kushambulia urusi 😂😂😂😂
@peterilimwa5754
3 ай бұрын
wakati unaanza kuipiga Ukraine ulizan Dunia itakaa kimya
@yuvencepatrice792
3 ай бұрын
Ila sidhan Kam Ukraine anauwez w kishambulia
@AliNassor-qt6fm
3 ай бұрын
Time wii tell
@emiliankomba5217
3 ай бұрын
Sasa emb chambuen hzo mada kwa umakin, putin alianza vita dhid ya ukraine, sasa iweje yy putin ashambulie ukraine lakin hatak yy kushambuliwa!? Hyo ni vita gan ww upige ila ukipigwa hutak,!
@FaizaJeizan-q5d
3 ай бұрын
Poga hao wafe manyangau
@abdullahnassor9433
3 ай бұрын
ili kumfahamisha tu mchambuzi kuwa, silaha zote zikiwemo vifaru vya Abrahams wamepewa ukraine lakini wanajeshi wa Ukraine wanakiri kuwa vifaru hivyo vilitengenezwa kwa ajili ya kupigana na watu wenye silaha ndogo ndogo vifaru hivi kwa kweli havina maana nyingi sasa hivi vinawasilishwa moscow kwa ajili ya watu.
@NasraYusufu
3 ай бұрын
Nakupenda sna dj smaa
@BreezyMnyama
18 күн бұрын
Acha uwongo mze Ivi taifa gani litakubali kupewa silah na mpuuzi mmoja tu afu aishambulie us au ulaya taifa gani embu litaje
@hamishatibu699
3 ай бұрын
MWAMBA XNA PUTIN Namkubali xna VIVA RUSIA
@MasterOil-qm6vw
3 ай бұрын
Kuna jimbo kule marekani linaitwa alasaka ni mali ya urusi ile na itauchukuliwa wameanza wenyewe putin atamaliza
@rumdeesonsoa1811
3 ай бұрын
Ilishauzwa hiyo
@BreezyMnyama
18 күн бұрын
Ile Alaska makao maku ya nyuklia puttin akisema vyoko nyuma vinafumuka palepale avi
@ALIMANIZIGIYIMANA-yd7jc
3 ай бұрын
Putin yaipe silaha nzito Burundi kama izo iwape somo mabeberu
@babumrisha
3 ай бұрын
Inatakiwa awape Alqaeda au Al shababu hizo zilaha, tuuone huo mtanange...
@AbdallahSalim-is3db
3 ай бұрын
Putin wacha kuwabembeleza shambulia haraka dunia haihitaji kucheleweshwa.
@GregoryModaha
3 ай бұрын
Naanzaje kumpinga kuhusu Hilo nawakati anawashuulikia mashoga yaan kwa Vladimir Putin watakunywa maji kwenye karai, namtegemea sana uyu mwamba kwa usalama wa vizazi vyetu
@MOHAMEDMGONDWA
3 ай бұрын
PUTIN safi sana ww unakemea ushoga lakin hao marekani na mashoga wenzie wa magharibi wanashabikia ushoga na wamefikia kuwaambia viongozi wetu wakubali ushoga ili wapewe misaada
@mohdhilaly7900
3 ай бұрын
Putin ajizi nyumba njaaa mashoga hawana subiri we tishia hivyo hivyo ngoja wakupatie timing uone wanavokupoteza mashoga hawana masihara kabisa hususan wakitaka lao
@ramadhanmazije3882
13 күн бұрын
Jamaa kumbe anajua kiingereza. Ilaa Urusi ina haki ya kulinda uhuru wake
@HajiAmbali-jq9dr
3 ай бұрын
Putini wape wahuthi nyukria kidogo wafanye mambo
@ekimnkande2873
3 ай бұрын
Rais wa urusi kaAnza lini kutishia apige maneno kila siku vita siyo maneno na nyuklia siyo ya kutishia wenzako nao kama wanazo vita siyo kutishana😅unatishaje wanaume wenzako unaweza kutishia wenzako na ukapewa mkono
@kulwamgaya
3 ай бұрын
Hana uchumi huo wakuwapiga nchi za magharibi mikwara tu kama Ana weza aqnzishe kila nchi ina nyukilia hapo Acha kutisha wqtu wewe mikwala tu
@HajiKlein-so1rk
3 ай бұрын
🇹🇿❣️🇷🇺
@heridunia
3 ай бұрын
popote pale litakapoonekana chembe ya silaa ya USA bas iyo ni vita tu akuna kulud nyuma
@elvira9325
3 ай бұрын
Sauti ya sns inanikosha unajua kusimulia hadi kero, msukuma watu piga kaz
@Aziz-p6s
3 ай бұрын
Piga vitu visitors baba hawa mbwa wamechoka kuishi hapa duniani
@Shehasweet-hy6xn
3 ай бұрын
Safiiiiiiiii
@BhuzoheraBhuzohera-w5i
3 ай бұрын
Maneno mengi vitendo ziro hakuna wakumshinda us
@academicsite8524
3 ай бұрын
US alishamchunguza Putin na hakuna nchi inapigana kwa akili na tafiti kama USA
@meckmussa1840
3 ай бұрын
Kabisa aisee
@MankoWeitala-pe7mi
3 ай бұрын
Putini❤❤❤
@ALIMANIZIGIYIMANA-yd7jc
3 ай бұрын
Putin atupe Burundi nasie tumusaidie kuwa capa ma beberu
@KayongoOba-ht2rf
3 ай бұрын
Putini ni muoga una maneno
@jamilaathumani5481
3 ай бұрын
Hii ni mbaya Sana ...mungu ajalie Kila la heri..hii hali sio nzuri kabisa ...mwenyezimungu tusaidie Kwa hili vita isitokee kwamana sio powa ujuwe
@MiriamAbdallah
3 ай бұрын
Kule gaza mnongea au ni Ukraine tuu
@magigesabai8674
3 ай бұрын
Maneno tu amna kitu hapo huyu urusi hii vita awezi kushinda
@GraceMashinga-be9wb
3 ай бұрын
Bro sky tupe gps ya hii topic 🙏
@PhilipoMwita-b2x
2 ай бұрын
Mm yangu macho tu sipo upande wowote
@MackDizo
3 ай бұрын
Safiii wape
@noel3290
3 ай бұрын
Hii ni shida kweli, we unasherehekea vita unathani hutaathirika? Fikiria tena
@MiriamAbdallah
3 ай бұрын
Mbona hamfikirii kuhusu Gaza
@festokasongi4537
3 ай бұрын
gaza acha wafe mbona auwazi kongo
@FaizaJeizan-q5d
3 ай бұрын
Mungu mlinde puttin
@Njiwamichael-km1dm8et9x
3 ай бұрын
Smaa mwongo yani leo unsema hamas ni wa iran si ulitudanganya ni wa izlael
@jackhans7708
3 ай бұрын
Kiufupi mmarekani safari hii ameyakanyaga
@magigesabai8674
3 ай бұрын
kivipi na uku raia wake wako salama
@YusuphLiyanga
3 ай бұрын
Sns mnatisha kwa habar
@AshaDany
3 ай бұрын
Vita ya dunia inakuja
@AlexChonanga
3 ай бұрын
Msijidanganye hata siku moja kuwa urusi kaishiwa silaha uyo mkuu wa nato mwenyewe juzi amekiri kuwa urusi anazalisha silaha za kutosha mara tatu ya nato na nchi zote za ulaya wewe ni shoga wa wapi unaedanganywa kua urusi kaishiwa silaha acheni upuuzi huo russia anapigana kwa akili sana uku anapandisha uchumi wake na kuharibu uchumi wa nchi za magharibi kama haujui kaaa kimyaaaa au kaolewe marekani kwa mbwa wenzio uko
@ShabaniNuru-o1y
3 ай бұрын
Safi sana wachambuzi... Putin ana experience ya vita hakuna wa kumtisha apeleke silaha jule parestina tuongee mengine
@leonardjohnson2058
3 ай бұрын
Mwenye uzoefu anaogopa silaha za masafa
@ekimnkande2873
3 ай бұрын
Hivi marekani akigawa silaha kwa bara lote la ulaya
@KassimKhalaid
3 ай бұрын
Bora walikoroge tu kwani vp watu waowane potelea kwete
@ErickMwashambo
3 ай бұрын
Alie skia mbwa akibwe weka comment
@RajabuHussein-to7jz
3 ай бұрын
Acha uruss iwatandike hao maboyo
@jkifutu7936
3 ай бұрын
Absolutely 💯 💯 💯
@raymrash
3 ай бұрын
Israel wameokoa mateka wao wanne wakiwa hai
@ShehaHaji-k8t
3 ай бұрын
Asichelewe sasa maña ulaya tyr washampa ukrein na yy asichelewe
@zainabwage4658
3 ай бұрын
😂😂😂
@babumrisha
3 ай бұрын
Mbona hujaitaja North Korea?
@Aziz-p6s
3 ай бұрын
Sisi ni kuombaomba tu kutwa kucha
@MathewNathan-yb2bz
3 ай бұрын
Urusi anatapatapa.sasa ukiwapa hizo silaha hao wa nchi nyingine si nao wataangamizwa.Acha kuwasababishia wenzako matatizo,pambana na hali yako.
@melanialeonard4031
3 ай бұрын
Anawaingiza mkenge wachachatwe anataka kujua kama ni mtiti au hawajiwezi
@YustaMfugale
3 ай бұрын
Hvi unamfuatilia Putin vizuri, hapendi vita cuz anajua madhara ya vita hata kama atashinda vita,kwa uwezo wa kijeshi Putin peke ake ,bila washirika wake anawazid NATO,sembuse aungane na mkorea
@MathewNathan-yb2bz
3 ай бұрын
@@YustaMfugale putin hana uwezo wa kuipiga NATO hata kidogo.Hata yeye mwenyewe Putin anajua uwezo wa kuipiga nato hana.
@YustaMfugale
3 ай бұрын
@@MathewNathan-yb2bz hvi unajua nchi inayoongoza kwa kumiliki silaha za nyuklia ni nchi gan ,, okay not only Putin Kam Putin anamiliki vifaru vya kivita 12000, while NATO wote wanamiliki vifaa 8000 ,Yan 12000 hyo bado anapika vingine,Putin anachohofia sana ni matokeo ya vita uhakika wa kushinda anao 100% kama angekuwa anawaogopa nadhan hata vita ya Ukraine asingeanzisha ila ni mstaarabu wa kufikria mbali,, NATO wanaona Putin anakwenda kuwaangusha vibaya kiuchumi ndio maana wanamtafutia sababu Putin namna ya kumuangamiza ili watimize Yao Kam utawala wa Dola,,na neo colonialism
@MirajiMiraji-v2j
3 ай бұрын
@@MathewNathan-yb2bzwewe subili uone vita itakavyo malizika . Hivi wewe mpaka sasa huoni na hata husikii ? Urusi kwanza anapigana na mataifa mangapi uvyo jua wewe ?
@kiatu
3 ай бұрын
Aimalize kwanza Ukraine ndio ashindane na Marekani. Kuvimba tu.
@subrynerysegerow1323
3 ай бұрын
Sa anashindwa we unavyoona kweli???😂
@Saidkhel
3 ай бұрын
Tatzo hujui Ukrein yuko vipi na urusi iko kama Zanzibar na tanganyika kwaiyo huwez piga nchi nzima maana Zanzibar kua wabongo na wazanzibar na urusi na Ukrein ndivyo ilivyo
@omarybakunda2554
3 ай бұрын
Putin piga mashoga wote
@assateke7199
3 ай бұрын
Ila Putin ni kichwa sn...😂 Western na hela zao na silaha zao na Kila kitu chao lkn huyu jamaa amewazidi...😂😂😂
@josepheriah5977
3 ай бұрын
Acha waliuee
@Emanueli-vz6fd
3 ай бұрын
Nani ss mbona usomeki
@Dr.O-md1hy
3 ай бұрын
Tunaomba na makala kuhusiana na silaha maaana tunaziskia tu Lakini tunawakubali sana
Пікірлер: 397