Mkubali mkatae Nigeria wapo juu kimuziki under ground wa Nigeria ni msanii mkubwa east Afrika ubishi haufai
@hubimogela9167
2 жыл бұрын
Akubali Nani kuku wewe kwani wewe ni mnigeria
@simplissamba1943
2 жыл бұрын
Mond mbn ni mkali kuliko burna tatizo ni nchi t mfano ngoma kama gidi, jeje, melody, loyal, fine n.k mbn ni mulemule t
@Oldskulgemini9991
2 жыл бұрын
Uko serious kwel?😂burna na mond?😂 Hizo nyimbo za mond zote ni maadhi ya Nigeria Yani afro beat Burnaboy ana ainai ya mziki wake na sound yake mwenyew huwez kuwa mkubwa kuwazid wanigeria Kama ww mwenyew unaiga staili ya mziki wao alafu unataka ushindane na mtu mwenye mziki wake angechagua staili ya mziki wake mwenyew hatoweza fika levo zile akiendelea hivyo ndomana hata wakina Omaha let, Rema,Fire boy, na Ckay wameshamuacha kimataifa kwasababu wanaimba muziki wa kwao amboa Wana utaalamu nao hawaigi muziki wa sehemu nyingine Kama yy na hiyo ndo sababu hata hao watoto wanamuovatek na sio kwa sababu ya lugha jerusalema imehit Dunia nzima na hawakuimba kiingeleza😂
@ibrahimkhamis9732
2 жыл бұрын
Simba 🦁🦁🦁🦁🔥🔥🔥💯🔥
@ibrahimkibira9943
2 жыл бұрын
Was a good interview 👌 very inspiration 🙌
@miketzee806
2 жыл бұрын
Ni kweli, bundala mtangazaji wa next level, q chilla hapa hujakosea, Ila bundala, jaribu kuwarekebisha watangazaji wengine, hii channel isiharibike, Wako ambao kusema ukweli hamna kitu humu, ila wewe ni tofauti, Hivyo ushauri, Weka jina lako kwenye kila videos mnazopost, utaona kweli watu wanakukubali, maana kuna nyingine wanakuharibia humu
@Hillary_Daudi_Mrema
2 жыл бұрын
Namkubali sana Q Chillah ana uwezo mkubwa. Jamaa angekuwa hatumiii Vilevi kama Pombe na Sigara pale BASATA kuna nafasi ya Q Chillah kuwa Kiongozi. Diamond Platnumz Simba wa Afrika.#FOA#
@chybuwagwantaz8054
2 жыл бұрын
Well said
@abisinamustafa3118
2 жыл бұрын
Yaani umeongea point sana. Kiba hana kelele.
@hilalmohd8941
2 жыл бұрын
tutafika bongo kunavipaji mno I believe in Tanzania legend katwila umeongea sana
@navanjkiba2439
2 жыл бұрын
Alikiba is the greatest of all time
@nicolenabintu2509
2 жыл бұрын
Q-chief namkubali since 2003 ,Mungu ana juwa pekeake mwisho wake,happy birthday 🥳 🎈👏🏾
@HabibWeza26-gf1yw
Жыл бұрын
HAKUNA MSANII MKALI KAMA #QCHILA TANZANIA NZIMA💯
@sundayeyenga4269
2 жыл бұрын
If you see someones EP being compared to someones ALBUM..hmm...now wait untill platnumz drops his album
@zephaniazacharia519
2 жыл бұрын
Umeongea ktu
@abubakarkapena739
2 жыл бұрын
Unajua ep ni nyimbo ngapi ofsa... diamond katumia trc ya kibiashara ile ni album sio ep
@kakorejrboyz6447
2 жыл бұрын
No music 🎼🎼 in Tanzania without #Diamondplatinum💎💎💎🇹🇿🇹🇿🇹🇿🎼
@boysondeniclousTv
2 жыл бұрын
Mawazo yako
@Sean1877
2 жыл бұрын
Tz🇹🇿 ndio inaongoza kwa talented artists East Africa.
@kakorejrboyz6447
2 жыл бұрын
@@boysondeniclousTv wewe mziki ni pesa nan hapa Tanzania mwanamziki anapesa Kuliko wengine?
@boysondeniclousTv
2 жыл бұрын
@@kakorejrboyz6447 so wengine hawako na pesa, wote hawawezi kuwa level Moja, ndio maana Kuna tajiri wa kwanza Duniani japo matajiri ni wengi, sijui kama unanipata vizuri ndg,
@kakorejrboyz6447
2 жыл бұрын
@@boysondeniclousTv 🤣🤣🤣🤣🤣#WCBWASAFI tupo vizuri Leo tupo ETHIOPIA we msanii wako Yuko .........ana....🤣🤣🤣🤣
@tinamahega9848
2 жыл бұрын
Qchief ni kama kachanganyikiwa haeleweki alafu ni kama u much know umemzidia
@godsson5954
2 жыл бұрын
SKY kipnd chako kina muonekano mzuri sana video grapher wako anafanya kazi kubwa sana
@yusufulimo5737
2 жыл бұрын
Nimekupata kwa uzuri brother chila🙏
@siliviasimon7970
2 жыл бұрын
Mond👑❤️♥️
@juniorjotham1524
2 жыл бұрын
Very true 👍
@mohayussuf2057
2 жыл бұрын
Q chief you true man kweli umefunguka
@fatmaalabdsalam9960
2 жыл бұрын
salaam alaikum pls naomba Gsm Yako Nina private talk bro am in Oman muscat
@kakorejrboyz6447
2 жыл бұрын
Ina bangi na madawa ya Kulevia ni Hatari sana Kwa Watu hasa wasanii wa mziki 😭😭😭😭
@aishaomarry6996
2 жыл бұрын
Kwakweli Q chief anaongea kwa uchungu pole sana
@mariamnuru9939
2 жыл бұрын
Nakupenda Qchila
@MohdAli-cx7bc
2 жыл бұрын
Yaani uyu anaongea maneno mazuri sana ni kweli chief
@diamondplatnumz255
2 жыл бұрын
#WCB4LIFE
@omyj8942
2 жыл бұрын
Nais Nigeria kama kila msanii ana uwezo mara mbili ya kwetu katika kila level wasanii wetu wamezidiwa mara mbili
@ibrahdedonny4073
2 жыл бұрын
Ni bora ungekaa kimya kuliko kuandika ujinga
@omyj8942
2 жыл бұрын
@@ibrahdedonny4073 ni bora nawe ungeungana nami kuliko kuliko kubisha kwa sauti kubwa bila fact mbupu wew
@ibrahdedonny4073
2 жыл бұрын
@@omyj8942 izo sio fact ni upumbu tu, ata kma wako mbele sawa ila huwezi toa sauti ya kejeli kama io, Pumbavu ww
@ezeedi871
2 жыл бұрын
@@omyj8942 naungana na wewe maana Kuna kipindi nilisema simsikilizi tena music ya Nigeria na nikaanza kuwa hate kabisa but ukikaa unakuta Kuna kangoma kakali Sana kaknigeria kametoka kuangalia msanii unakuta nikama underground wa Nigeria lkn ukisikiliza ngoma yake daaah mpaka unavutiwa kusikiliza tena na tena yaan mpaka unaanza kumpenda na ukisema uangalie labda utamcompare na msanii gani wa kwetu unakuta labda hayupo anaekupa Radha kama ile
@patrickmukundichalamila3038
2 жыл бұрын
Ushauri wako ni upi? Sio kukatisha tamaa watu wakati upo huko Madaba Songea
@omarabdallah372
2 жыл бұрын
well spoken chiller🎉🎉🎉
@agogomgagagigigogo2672
2 жыл бұрын
Hivi kwann media haziwezi kutafuta habari,zikiishiwa ni lazima zitafute namna ya kulieka jina la Mondi ili ziuze habari. 🤔NAWAZA ya Mondi ndo nayoisikiliza
@shwaibukhatibu2838
2 жыл бұрын
Kwan katajwa peke yake hapo?
@agogomgagagigigogo2672
2 жыл бұрын
@@shwaibukhatibu2838 Umekurupuka ukiwa unakunya mavi hujachamba mbio kwny umbea, Mm nachozungumzia hapo ni Hivi vichwa vya habari vya media husika na ndivyo huvutia watu kabla hajaview,umenielewa japo, kichwa cha habari kimetaja jina lako hapo ? Kimetaja lako nakuuliza ewe shubamit👌😏. Wangesema Q-Chief akosoa haya.,..au Chilla achafukwa na hili,hebu ona. Au Q-Chilla auchambua mziki wa mastaa hawa. Au pia hata wangesema Chilla aikubali albam ya King Kiba . Hapo sasa ndo wanapoona ka vile hawatopata watazamaji,wanahic na ndo ukweli mpaka ulitaje jina la dogo ili uuze kazi yako coz wanajua ana watu but unamtaja ktk nyanja ipi yakumpa moyo au ya kumvunja moyo,upo titi👌
@Mentorship_clips
2 жыл бұрын
Kwan yey huyu Q chief si ni msanii,,, sasa ameshindwaje yeye kuwapita hao akina burnaboy na wizkid ?? anawashaur wasanii wenzake kwa kipi sasa wakat yeye mwenyew amefeli
@twalibkibiriti8990
2 жыл бұрын
Age limit and time.
@furahawalter7823
2 жыл бұрын
Umeongea vizuri jay Z ni legend anaweza kukaa kushauri ila huwezi kusema anatakiwa ampite burna wakati na wew ni msanii pia anatakiwa apambane why wamkazanie mtu ambaye amewakuta kwenye game
@kakorejrboyz6447
2 жыл бұрын
Q chila na Child Benz ukiwahoji hawaeleweki kabisa Yani kama wamechanganyikiwa Sijui kwann munawahoji na wakati inaonekana hawapo sawa
@ogdosho93
2 жыл бұрын
na TID kwa mbaaalii😄
@kakorejrboyz6447
2 жыл бұрын
@@ogdosho93 ✔️✔️✔️✔️Yani ni bangi bangi
@salim02tv24
2 жыл бұрын
Kuwasikiliza aoo inabidii ujiongezee kiakilii
@josephstephen1079
2 жыл бұрын
Effects za mabange na mihadarati
@theafricanprincevivecongo8632
2 жыл бұрын
@@salim02tv24 facts
@patrickmukundichalamila3038
2 жыл бұрын
Shida ya ma legendary wetu bongo washapaniki zaman kuona hawa madogo wanawapita kirahisi kama Madrid kuchukua UEFA,so ushauri kusapotini cha home it's just a matter
@ziyandamhlana8776
2 жыл бұрын
Wewe South Africa habali ni Amapiano mussa keys ft Tanzania guys
@m___ck799
2 жыл бұрын
@… You know his Talent 🤔🤣 smart dude! Limit imefika lakini tunaforce. Burna habari nyingine!!
@hamadsaburi3569
2 жыл бұрын
Bangi mbichi
@subirajohn728
2 жыл бұрын
Q chief❤️❤️🧡🧡
@siliviasimon7970
2 жыл бұрын
Sema mganga maisha yanakushinda vibaya
@veenpoul900
2 жыл бұрын
Kutoka usaniii mpk uganga wajadi duuh niatar xnaaaa,,,,hahahHaha bongo raha xnaaaaa jmn
@davidboniphace2023
2 жыл бұрын
@fair comment form chief
@maryrungwe1373
2 жыл бұрын
Nakupenda sana q cheif toka 20005
@ashrafunassorodorralmanfei5142
2 жыл бұрын
Maisha ni kupambana bro hvo usione watu wanatumia nguvu kubwa ndo fighting hzo acha ulembo
@hamadsaburi3569
2 жыл бұрын
Ukijidharau uta dhauriliwa
@hamisijumanne4137
Жыл бұрын
Yani umeongea kitu kikubwa sana ada simba aliwai kusema ivo kabisa
@nilufaallyhussein7678
2 жыл бұрын
He is absolutely right their is only one Lion in Africa and that’s BURNA and the baby lion is WIZKID the rest is MBUZIS 🤣🤣🤣🤣🤣
@AbuBakar-fu9ov
2 жыл бұрын
Qchilla💥💥💥💥💥💥💥💥💜💜💜💜💜💜💜💜💜💜💜💜💜
@SUNDAYMRGAMINGTZ
2 жыл бұрын
Duuuuh point tupu
@cleveronlinemedia820
2 жыл бұрын
Uyu jamaa ana siri nzito kwenye game anaongea vitu kwa mafumbo
@buharimwanga284
2 жыл бұрын
umeongea mno pointtt
@emanueljohn5643
2 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@pitbullfamily4499
2 жыл бұрын
Real Talk Chief 🩸💯💯
@hasnatramadhan4676
2 жыл бұрын
Nice bro ❤️❤️
@chiziwayesu
2 жыл бұрын
Mbona rayvanny nimkali kuliko hao wote lakin huwa hamuulizi mzikiwake
@markkayun7939
2 жыл бұрын
Chilla uneongea ukwel lugha ndio tatizo
@abdoulkarimmabulu1416
2 жыл бұрын
Very tough Q_chief
@exaudmphuru6172
2 жыл бұрын
Q chief hana lolote. Ni wivu tu. Wewe umeshashindwa muziki kaa kimya mwache diamond anajua. Wewe utabaki na majungu tu
@stiviemshuza7683
2 жыл бұрын
Kwani kuna baya aliloliongea hapo
@halimazako4019
2 жыл бұрын
Nashangaa
@yonamakeleleilenge2545
2 жыл бұрын
Tatizo mashabiki wa daimond amuku somaka Njo mana amukuwe muna elewa ushauri
@damasmassawe3601
2 жыл бұрын
Burna ,ametoa last last
@hassaniissa9444
2 жыл бұрын
Chila ana jipya labda anataka kutoa nyimbo maana ana chakujinyanyua yeye kama yeye enzizake zilishapita
@ndikumanarodrigue5657
2 жыл бұрын
Well done
@kakorejrboyz6447
2 жыл бұрын
#SKYWALKER #SNS tafadhali Sana MWAMBIE Diamond platinum Arudi kushuti na #GOODFATHER wa South Africa tafadhali fikisha huu Ujumbe Kwa Mondi
@peteremmanuelymatwimatwiem3258
2 жыл бұрын
Unaakili kweli wew au unamhemko
@chybuwagwantaz8054
2 жыл бұрын
Nice interview
@meislive5234
2 жыл бұрын
Huyu ana juwa kuyimba wapi nibangi tupu
@mapitotv6837
2 жыл бұрын
🇧🇮🤝🤝🤝🇧🇮
@Makavelithedon2086
2 жыл бұрын
*Kama namuelewa Q chief hivi*
@elishaelisha6755
2 жыл бұрын
Savimbiiiiii
@aminanamoyo83
2 жыл бұрын
🙌❤🇨🇭🇹🇿
@Mid327
2 жыл бұрын
Yaani ww mswizi
@lareineminah1353
2 жыл бұрын
Ni mganga?
@Callkingb
2 жыл бұрын
Ni pini gani alipiniwa
@farajibuteta6258
2 жыл бұрын
Hahaha sema sharifu mwinyi sana ila ako poa
@junelatifa2618
2 жыл бұрын
Q chila kumbe ajua english ila kiba matatizo, from +254
@abisinamustafa3118
2 жыл бұрын
Kumbe mganga.
@leadrcdiva4144
2 жыл бұрын
💯
@victorrocky5339
2 жыл бұрын
💥
@mr.vionge
2 жыл бұрын
Amfikie hata REMA KWANZA ndo aanze kukimbizane na moto wa BURNEY
@liliansingenda7492
2 жыл бұрын
Wapumbavu hawa washafeli nawote wanaowatuma wajinga nyie wote mnaomsapot nakumponda mond wote mumefeli cc tuko namondi juu
@sihabasihaba5155
2 жыл бұрын
Wewe umepatia wapi??
@musiccaentertainment100k8
Жыл бұрын
Kama sio madawa huyu jamaa angekuwa mbali
@enockmgonja4479
2 жыл бұрын
Q chief.
@Basagamp4
2 жыл бұрын
Chiiichiiifu
@coolzeddy_official9216
2 жыл бұрын
Hakunaga mtanzania anayependa mwenzake aliyefanikiwa,q chief unachekesha ww n msanii umeshndwa nn kumupta huyo burna boy unayemsifia??na ww andika nyimbo ukamupte huyo burba boy,umenihuzunisha unakuwa mnafk kwa sababu ulinyimwa kuwa WCB,huna lolote
@audaxlaban1701
2 жыл бұрын
Hamsifii anaongea kinachotakiwa kuongelewa
@josephstephen1079
2 жыл бұрын
wcb hawawezi kuchukua huyu mwendawazimu
@rogerrhoden4427
2 жыл бұрын
Mkal Sana jamaa
@lazaromaria5334
2 жыл бұрын
UTU kaandika Vanilla bro
@kasoa2271
2 жыл бұрын
Mbona yeye hakufanya hivyo?
@plusabracadabra5166
2 жыл бұрын
FIA ya Davido ni Konyo, tuache kukopy na kupest
@bongoupdatestv9322
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 q chief bana
@wahapahapa3279
2 жыл бұрын
Ukiachana na mapungufu ya q Chief kama binadamu lakini hapa HAKUNA ALICHOONGOPA KASEMA KILA KITU ambacho watu wanataka kuskia na wasio taka kuskia ,Diamond ni mkubwa lakini mziki na kipaji chake kina mlimit nadhani kama angekua na Talent na sauti kama ya harmonize au MARIOO nadhani hakuna mtu angemgusa na angekua na tuzo KUBWA,kinachotokea sasa Diamond anataka tuzo kubwa kama Grammy kwa kukofosi kila njia na ndio maana kaamua swizz beat asimamie Album yake iwe kama ya burna boy na p Diddy lakini kipaji chake kina mlimit na kama Grammy zingekua wanapiga kula bhass angechukua sababu uwezo wa kuchukua TUZO za kupiga kula anao lakini sio tuzo za majaji,Q CHIEF ANACHOJARIBU kusema ni kwamba diamond ni mkubwa na wanamuona watu wanataka kupata kile kitu ambacho vile ukubwa wake wa mitandaoni na KZitem lakini wanakosa SABABU Talent yake ni ya kawaida ni ujanja ujanja JUHUDI na NYOTA TU MUNGU ALIOMPATIA lakini zaidi ya hapo hamna kitu
@Mollel69
2 жыл бұрын
Ndugu yangu uko right mnoo👏👏
@mamukinyogoli5549
2 жыл бұрын
✍️✍️
@fareed_09
2 жыл бұрын
For sure
@vonramar7410
2 жыл бұрын
Fact👌
@unclepwechnov1381
2 жыл бұрын
My opinions are completely contrary to yours though I respect your analysis because we cannot see things the same way. Harmo in terms of talent to me it's a big NO, Marioo is an average artist but his flows sound good for the local audience so if he'll aim for the international market he has to step up the game and change in terms of flows. Kiba with his type of music he can never win the international market. The reason why Diamond is where he is right now is the talent plus the strategies, in terms of marketing himself internationally he has a long way to go. Those dudes(I mean Nigerians) they don't joke when it comes to pushing their products on the international market, I live with a lot of Nigerians and with them it's not about the talent and intelligence but rather the aggressiveness of pushing things.
@starmullon4932
2 жыл бұрын
Team kiba watu wa natural tusikilize na hii cc c natural bn😂😂🔥 kzitem.info/news/bejne/woh6vGWVb3-qg5g
@azzamahamdu7039
2 жыл бұрын
Q CHILLA NA TID AKILI ZAO ZINAFANANA KIZUNGU CHAO KINAFANANA ILA NAPENDA INTERVIEW ZAO lkn inabid utumie akili ya Ziada KUWAELEWA🤣🤣😂AFU WAJUAJI
@lelarubea6405
2 жыл бұрын
Sasa wewe chief siufanye pia
@vanderjoe2551
2 жыл бұрын
Hahahah
@smfkingdom9944
2 жыл бұрын
Balaa la buku jero kzitem.info/news/bejne/jmiZm61-rHimqYo
@djnajma5627
2 жыл бұрын
MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA ILI UPONE KANSA.DAWA YA KANSA .*#.*# kzitem.info/news/bejne/u52cqKt9enydpYY
@starmullon4932
2 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/woh6vGWVb3-qg5g Aah sikiliza na hii maybe utanisifia na mm aisee
@elishaelisha6755
2 жыл бұрын
Savimbiiiiii
@djnajma5627
2 жыл бұрын
MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA ILI UPONE KANSA.DAWA YA KANSA .*#.*# kzitem.info/news/bejne/u52cqKt9enydpYY
Пікірлер: 151