Natak kuuliza ndoa bila ya sheh ndoa afungisha babu mzaa baba amuuliz mwaaum umekubal ajib ndiy aulizwa mwanamk ajib ndiy Mar moj Kish aseme ndoa teal ishapit inahesabik ndoa au sio ndoa
@Armsdady
5 жыл бұрын
Jamn kuna kaswida naiomba cjui kwa jina inaitwaj alisoma ust Salim rashid kuna kibwagizo kinasema wanaqadiria tumejawa na faraja jamn anaeijuia aniambie jina la hio qaswida plz
@mariammganga6607
5 жыл бұрын
Mashallah SHEkHE Juma and SHEkHE Fakhu♥️👍🙏❤️
@saidaliali634
5 жыл бұрын
MASHALLHA KWA WALE WANANDOA INA UJMBE MKUBWA HII KASWAIDA AMAKWELI QADIRIA IPO KWA AJILI YA KUELIMISHA JAMII AHSANTE KIONGOZI FAKI & JUMA
@sabrinakassim7441
5 жыл бұрын
Naombeni namb za madrasa hii plz
@saidikingazi1995
5 жыл бұрын
Yani qaswida imepangiliwa maneno yalioenda shule hakika mnajua maostadh zangu allah awanongoze katika kuelimisha umma allahumma aamiyn.
@hassanally1032
Жыл бұрын
8faàķ
@mudkhamis3078
5 жыл бұрын
Maashallah, we juma hivi ilo koromeo lako likoje mbona kama la ajabu, dahh we hatari sna
@zobidaal4423
4 жыл бұрын
Masha Allah kasda nzuri na inaujumbe mzuri sana asante ustadhi Juma Faki ujumbe umeshawafikia wanandoa kaz kwao waufanyie kazi
@hassandarwesh641
5 жыл бұрын
Allah Akbar wallah raha hongereni kwa burdani iliy beba ujumb mzitoo. aaaah (no meng sihabaaa)
@salehkhamis3063
3 жыл бұрын
Ndugu Waislam tumeandaa group letu la wattsap hilo grup linahusika na kutumwa qaswida mbali mbali kwa anae hitaji kujiunga anitafte kupitia namba 0772379025
@salehkhamis3063
3 жыл бұрын
Ndugu Waislam tumeandaa group letu la wattsap hilo grup linahusika na kutumwa qaswida mbali mbali kwa anae hitaji kujiunga anitafte kupitia namba 0772379025
@habarikazanzibar3667
5 жыл бұрын
Ma Sha Allah Kimya kingi kimeonekana maana yake, Ujumbe mumeupangilia AQAZ
@habibahamiss707
5 жыл бұрын
❤❤❤❤ maa shaa Allah maa shaa Allah maa shaa Allah maa shaa Allah qaswida nzuri sana 👌👌👌👌👌👌😗😗😗😗😗😗💞💞💞💞💞💞😍😍😍😍
@DullaHamadi
3 ай бұрын
Kwa kwely kila nnapo skiaa kasd hii namkubuka snna marehem Bekka Thabit Allha amrehemu ananiliza sna Allha masamehe
@kakamkubwa9848
5 жыл бұрын
Sijui ata niwape tunzo gani naona kila ntayowapa haitofaa itakua ni ndogo kwa jitihada munayotufanyia ila bora niwaombe kwa Allah awape kila la kheri na awafanyie wepesi juu ya kazi zenu.... Mashallah uongozi wote wa Aqaz & Qadiria na pia niwapongeze wale waliofanikisha kazi zenu....
@kassimallysharif6308
5 жыл бұрын
juma nakukubali sana kasida zako .unatisha sana ongeza juhud ili uwe juu zaidi ya ulipo
@nooraallahuakibarumwenyeez3079
5 жыл бұрын
mashaa Alla Qaswida nzuli nimeipenda mashaa Alla
@salumali7031
4 жыл бұрын
Unajua mabroo mko saw sana na mumshkuru mpga beat wenu jamaa yuko swa sanaaaa then we jamaa unajua mana una melody za kaswida big up
@ZongaPingu-cv5fk
6 ай бұрын
Kikweli mm nawashangaa wanao badili maadili ya kasida kuzifanya tarab ila sio vzr turudi kwenye mila zetu mifano tuna inayona kwa ustadh juma
Ndio burdan zangu nyumban kwangu kawsida za aqaz maana wamekamilika kila sector
@tibud9109
5 жыл бұрын
Mashaallah aqaz mnatishaaaaaaaaa
@SafinaAbbas-es6ox
7 ай бұрын
❤
@shabanhaji4790
3 жыл бұрын
Mashallah
@nassorrashid2857
3 жыл бұрын
Mara hii sijapata kaswida zenu mpya nitazipataje?
@wizoowizoo6997
5 жыл бұрын
fakhii
@hassankofa1234
2 жыл бұрын
ما شاء الله أدام الله فيكم الخير في العلم
@ZuuAbuu-q1g
10 ай бұрын
Mashaallah ❤❤
@ashamrutu7217
5 жыл бұрын
Mashaallah ujumbe mzuri sana.
@wardahsihaba2848
5 жыл бұрын
masha Allah
@fathumramadhan7567
4 жыл бұрын
Masha Allah yani sikosi kila siku kuisikiza mashahiri mazuri Alf mabrouk ❤️❤️❤️❤️ from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@bilalaliy5449
4 жыл бұрын
Qur-an je?
@fathumramadhan7567
4 жыл бұрын
Quran lazima
@ilhamhaji933
4 жыл бұрын
Mashaa Allah
@mchamcha3431
4 жыл бұрын
Nzuri Sana team Aqaz
@fatmakhamis8605
3 жыл бұрын
Aloo juma tutakuwa hatuswali jmni kwa unavyoimba yaan Allah kakupa kipaji
@NextonlineTv
3 жыл бұрын
Hhhh asnt
@khamisally6924
3 жыл бұрын
Ww ushwali usijeukamtia mwenzako makosani
@abdulrahmanturki4137
Жыл бұрын
Qadiria mambo Ni mazuri. Muimbaji Ana sauti powa.
@omarmsellem9969
4 жыл бұрын
Edy mdo
@chidychidy5507
3 жыл бұрын
Mashallah dah natama muda wote niangalie
@maryammoj152
4 жыл бұрын
Nakukubali sn ujumbe umetufikiya mashaallah mashaallah
@mrsmohammadnguche4165
5 жыл бұрын
Mashaallah zenjibari ntakuja sikumoja kujakutembelea hicho chuo in shaaallah
@alimaganga8224
5 жыл бұрын
msalemu
@uweismohammed6959
5 жыл бұрын
Njoo
@tatotambwe6085
4 жыл бұрын
Barak allah fy kuma
@mahijakapingu395
5 жыл бұрын
ManshaAllah
@seccucharlse7867
5 жыл бұрын
mashaalh
@suleimanmwalimu3018
5 жыл бұрын
walio wengi wanaipenda sana bidaa zama hizi za sasa
@azizially1592
5 жыл бұрын
Suleiman Mwalimu Ni kweli kabisa maneno yako kwa sababu dini hatuna kabisa katika mioyo yetu tumebakiwa na dini ya baba ni muislam na mm ni muislam
@bubbleminho9092
5 жыл бұрын
Mashaa Allah 💜💜💜kasida nzuri Mashaa Allah
@ramadhanikola3899
4 жыл бұрын
swadactor hery ziende kwao
@mudathirsaid872
4 жыл бұрын
❤️❤️❤️❤️❤️❤️🔥🔥🔥🔥
@mchamcha3431
4 жыл бұрын
♥️💯👌
@ismailjuma3692
5 жыл бұрын
Wamejitahidi kidogo ila mambo hayanogi tanzania one hayupo sheikh HAFIDH tukitaka tusitake
@uweismohammed6959
5 жыл бұрын
Sikweli
@shehahamad8156
5 жыл бұрын
Yaani nyinyi hamna mpizani kwakweli Qasida nzuri na ujumbe mzuri
@mudkhamis3078
5 жыл бұрын
Kila m1 naufundi wake ila aqaz kwangu asa wako juu, kwa7b wasomaji wake wanauwezo wakusoma kitu usichoweza kukiigizia na uo ndoufundi ila hafidhi hana atakaposoma mimi nisiweze kumuigizia utofauti itakuwa ni sauti tu yeye atakuwa na sauti yke namimi nitakuwa na sauti yang, lkn kiongizi fak au juma fak sio utofauti wa sauti tu hata kuigizia nitashindwa km ataamua kutaka kusoma ili nishindwe uwezo uo hafidh hana na uo ndoufudi wa hali ya juu
@mudkhamis3078
5 жыл бұрын
Tuna no yko ya whatsap kuna qaswida nikurushie ikisha ww mwenyewe utakubali haya maneno yngu kuwa kwa kiwango chake wako km yeye mana naamini wewe utabisha na kusema ni hafidhi kumbe wala si hafidhi asaa, jamaa kila kitu km hafidhi kuanzia usomaji mpaka sauti hakuna tofauti
@mindiathuman8778
4 жыл бұрын
Mud Khamis nirushie nami whatsaap0746537880
@aminhakhamisi7742
4 жыл бұрын
mashaallah napenda qaswidah zenu sjw nazipataj audio zake
@fundihaji5958
4 жыл бұрын
Choyo tu
@aminahassani2179
5 жыл бұрын
Asante sana ustadh juma
@faridajuma881
3 жыл бұрын
Asante sana ustadhi juma
@abbyad5638
5 жыл бұрын
Mshaallah
@nihifadhiabdul5211
5 жыл бұрын
mashallah nawapenda qadiria kwa kaswida zenu zina ujumbe ndan yke
@hamadsaidi4902
5 жыл бұрын
Hongera fundi
@rahmakhatib3901
5 жыл бұрын
Thnks soooo
@jumafaki1697
4 жыл бұрын
Ingia kwenye Channel yangu hii uweze kupata kasida mpya ambazo karibuni nitazutuma.
@sebaboy192
4 жыл бұрын
JUMA FAKIH pamoja fundi juma fakin🕌🕋
@yakoubvpmohd9727
3 жыл бұрын
Juma mashaalah kwa kazi kubwa uliyoifany mpk kfky hp hv allah akubariki
@TwalaaTaib
5 ай бұрын
Allah akuzidishi mashairi mzuri sana MashaAllah ustadth juma Faki Mabruk Frm Kenya
@SalmaSalum-d7z
3 ай бұрын
Ukhty dida
@SaeedBakari-vt9il
6 ай бұрын
Maaaashallah😊
@rashidsalum1569
5 жыл бұрын
qasida iko poa jamani
@HawaSefu-on2jg
Жыл бұрын
khutubu ya ndoa
@abdirahman7321
4 жыл бұрын
May the blessings of the Almighty shower on you...well read...it sound great
@maryamnice3205
4 жыл бұрын
Mashaallh mungu Azidi kuwapa nguvu
@mubamikur4941
2 жыл бұрын
Mashalhaa alha awape elimu zaidi yahy
@SumaiHaji-rc3kc
4 ай бұрын
Mambo nini
@JusminAbdhuli-tf5ep
Жыл бұрын
Mashallah tabarakallah
@omarchedi
5 жыл бұрын
Assalam Aleikum ndugu zangu mwenye number ya hawa vijana wa wadiria naomba kwa ihsani yenu shukran
@safinomar2159
Жыл бұрын
Gosto muito
@QwieeenamaranthiniTanzania
3 ай бұрын
Manshallah ❤
@rahmamtumwa4437
4 жыл бұрын
Jaman tuachen kuimba ujanja kasda haitiw biti
@jabirimwadini8868
3 жыл бұрын
Wanasema halili kupiga dufu na kucheza
@JAMILAsaid-fm1nc
4 ай бұрын
😢mashaalah
@HaweyAli-b2c
8 ай бұрын
Mashaalwaaa
@issamohd9955
4 жыл бұрын
Mashaallah nimeipenda sanaa hii kaswida
@zainabukhalifa3967
5 жыл бұрын
Mashaallah
@Aishyun6554
5 жыл бұрын
Juma fakih and fakih mbarooq are they relate?
@mwajumasaidi577
5 жыл бұрын
Aisha you two
@nasrikaniki3942
4 жыл бұрын
Mashaa Allah
@ZaitunSaid-h4v
6 ай бұрын
Mashaallah😂
@chidychidy5507
3 жыл бұрын
Qaswida nzur mashallah aqaz
@ZawiyaUlotu
9 ай бұрын
mashallah😅❤
@mrsomani9664
5 жыл бұрын
Mashallah tabaraka rahman
@hidayabura8575
4 жыл бұрын
Mashaallah kaswida nzur sana
@abdoolshakuruswalehe546
2 ай бұрын
Nimekuja Mara moja hapa leo 2024 mwez July, nimeimis hii qaswida
@HassaniAbdi-l6c
Ай бұрын
Jamn mm hii naipenda San qaswida hii aaah🤲🙏
@uweismohammed6959
5 жыл бұрын
Qaswida nzuri
@alisalum2528
3 жыл бұрын
Saf
@daleylahdaleylah2018
5 жыл бұрын
MashaAllah
@ibrahimodoii9693
Жыл бұрын
Asante for this
@sabrialharthy7090
3 жыл бұрын
Mashaallah
@dorahndabona6394
5 жыл бұрын
Masha Allah❤❤❤
@tumadhraiddyomary9716
5 жыл бұрын
Hongera ustadh Juma na Fakih mashallah mukovizur yaan daaah 😍😍😍😍😍😍
@mahfoudhjuma4833
4 жыл бұрын
mm mziki wenu siupendi ila kwa ngoma hii naikubali mia fy 100
@allyhaji8361
3 жыл бұрын
zanzbar mishono
@allyhaji8361
3 жыл бұрын
Zanzbar mishono
@FauziaMohamedi
11 күн бұрын
🌹❤
@abdulrahmanturki4137
Жыл бұрын
Thanks alot
@husseinabdalla5218
5 жыл бұрын
Masha allha
@hadijabgapsanauyomamaamiri6381
2 жыл бұрын
kaz nzur manshallah mungu awaongoze nawapenda kwa ajili ya allah
Пікірлер: 271