kzitem.info/news/bejne/l5qmqmyvoYloh6Q BONYEZA LINK HII KUPATA VIDEO YA KACDA MPYA YA RAMADHAN KUTOKA KWETU 🔥🔥🔥
@mwadiniudimmarumbihalisi9257
11 ай бұрын
good
@yshabakar-ci3kl
Жыл бұрын
Mwalim juma,faki na rashid mungu azidi kuvilinda vipaji vyenu👏👏kaswida nimeikubali sanaa🔥🔥🔥👏👏👏🔥🔥🔥
@AbdulSaidi-sk3bs
6 ай бұрын
Nawakubali sana mwanzanzibar wezangu allah awajaaliye maixha marefu
@suleimanamour
2 ай бұрын
Kazi nzur san mashaallah hack sheikh juma Huna mbaya Allah akulinde tuendelee kuona kaz zako zaid inshaallah
@jumafaki1697
2 ай бұрын
Asante sana
@yshabakar-ci3kl
Жыл бұрын
Aqaz watabaki kuwa aqaz tuu milele🔥🔥🔥🔥allaah awazidishie kheri inshaallaah👏👏👏👏
@abdillahakida3010
Жыл бұрын
Kabisaa ✍️✍️
@jumafaki1697
Жыл бұрын
Aamin
@asharamdan363
Жыл бұрын
mashallaaah ❤ ❤ ❤ ❤ ❤ ❤ ❤ ❤mashallaaah ❤
@HdYusuph
2 ай бұрын
Mashallah mashallah
@orerasaid4703
Жыл бұрын
Mashaallah hongera sana kazi imeeleweka kabisa ujumbe umetufika
@zaitunimustapha9718
Жыл бұрын
Mashaa allah mashaa allah mashaa allah🥰🥰🥰🥰🥰🥰 sijui niseme nn jaman nimejaw na furaha mpaka nakosa Cha kuzungumza Sina mengi Ila nakuombeen kwa Allah awajaalie mwisho mwema na akutangulien kwa Kila hatua mnayopiga nakupenden Sana👏👏👏👏❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@wardahaji-tc9wu
Жыл бұрын
Allah akubariki fanani mwlimu juma
@hassanabbas5869
3 ай бұрын
Allah awalinde na kila shari Aqaz nawakubali sana kutoka kenya Allah ibarik fikum Ajmaiin
@shadyasaid5892
Жыл бұрын
Mashaallah mabruuk hamjawah niangusha akaz ❤❤❤❤
@allyissa2744
Жыл бұрын
Shekh juma wewe hodari mashaallah kwa kweli qadiria mtabak kua juu tuu kwa kasda bor na vipaj bor vy kaswida
@jumafaki1697
Жыл бұрын
Shukran Sana
@yshabakar-ci3kl
Жыл бұрын
Hakikaah nbila ya pingamizi👍👍👏👏🔥
@mudiruabdallah6091
Жыл бұрын
Masha Allah kazi imekamilika kwa mahodari
@mulasdigitaltv131
Жыл бұрын
Nyie watu wabadi sana doh 🙌🙌🙌
@jumafaki1697
Жыл бұрын
Duh Asante sana kijana wangu
@ayubumohamed3325
Жыл бұрын
mashaallah allah awazidishie kheri ahbab rrassul
@haleemahissa5449
Жыл бұрын
Mashaallh👌👌👌
@mjedatumbe
Жыл бұрын
Mashaa Allah mungu aeke ulizi
@asharamdan363
Жыл бұрын
mashallaaah ❤ mashallaaah ❤ ❤❤❤❤
@azizahassan-wl4qt
Жыл бұрын
Mashallah
@nurucinemax
9 ай бұрын
Maashallah ❤❤
@SaidWaKonde
Жыл бұрын
Mashaallah maalim juma na AQAZ kwa pamoja
@jumafaki1697
Жыл бұрын
Shukran kaka
@kariimbenzema8154
Жыл бұрын
Kak shukran
@MudiKuku-do1qc
Жыл бұрын
Fantastic qawwida
@SalmaMdak
Жыл бұрын
Mashaallah Allah awaongezee
@awahaabdallah9050
Жыл бұрын
Vita vimefaana mshallah aqaz itabaki kua juu tena juu kabisa
@jumafaki1697
Жыл бұрын
Vittaa
@AllyAlly-lo3yy
Жыл бұрын
Masha Allah
@hanifukuzenza5686
Жыл бұрын
Qaswida-leo nzuri
@abubakarhaji-8005
Жыл бұрын
Mashallah mungu awabarik
@rauhiyasuleiman4626
5 ай бұрын
jaman akaz mtaniuwa na izi kaswida 🤍🤍 nazipenda mpaka nazipenda na tena, Juma faki jaman ...
@Mama-t8p5k
10 ай бұрын
Sikweli❤
@mwajumarashid3283
Жыл бұрын
Hongera kwko kiongoz kz nzr
@mulhatomar6953
Жыл бұрын
Alhamdulillah alakully hal
@ShamratOthman
5 ай бұрын
❤❤❤
@yahyamohd4308
Жыл бұрын
Imetulia sanaa hongereni
@OmanOman-vb4uj
Жыл бұрын
Mashaallah...kun Ile kaswida ya kharus Abu bakari naomba link yak
@MwahijaHidi
11 ай бұрын
❤
@haidar438
Жыл бұрын
Bombastic 🤗
@hassanmakame4016
Жыл бұрын
Maalim jum n fakih MA Shaa Allah.. Nyiny c km waimbji wengine mnaelimish... Nwkubli San...... Album mpya lin??
@jumafaki1697
Жыл бұрын
Bado kacda mpya
@hassanmakame4016
Жыл бұрын
@@jumafaki1697 hdi lin yaan mwk gni tutegemeee
@mudrikhkhamis4634
Жыл бұрын
Hizi ndo qaswida hakika aqaz peponii amiiiiin n ss kw ujumla
@Mukhlis-w8k
Жыл бұрын
Huwa tunaona Raha mafakhari wawili Hawa wakiwa Pamoja
@bintqassimidarous1636
Жыл бұрын
❤️🔥❤️🔥❤️🔥hatari mpaka hatari tena
@jumafaki1697
Жыл бұрын
Hatari kubwa 🔥🔥
@hassanjuma869
Жыл бұрын
Naama hapa imenifika vyema leo babu jaru
@jumafaki1697
Жыл бұрын
😂😂😂 imebidi nicheke kwanza Asant Babu jaru
@kanaliomar7413
Жыл бұрын
Sina maneno kwa mwalimu , kazi yenye shida kuiga Kwa Aliekuwa hawezi hizi kazi
@khadijahali4837
Жыл бұрын
Mbn wasichana hamjatuwekea
@abdallahfakih7640
Жыл бұрын
sina lakusema zaidi ya hongereni mafundi
@khamisrubea5083
Жыл бұрын
Ramadhaan tutapata kasida mpya
@lutfiamohd1959
10 ай бұрын
Mashallah 👌🏻
@RashidIsmaili-nl8ju
Ай бұрын
Mashaallah
@mjedatumbe
Жыл бұрын
Mashaa Allah mungu aeke ulizi
@laithalfairuz1189
11 ай бұрын
Masha allah❤
@ShamratOthman
5 ай бұрын
❤❤❤
@abdoolshakuruswalehe546
Жыл бұрын
Hamjawahi kuniangusha Aqaz, Allah awajaalie mueendelee kutuelimisha na kutoa ujumbe kwa njia ya ushairi.....@jumafakhiOnFire
@othmanothman6762
7 ай бұрын
Mashallah
@salimsalekhe8286
Жыл бұрын
Mashallah
@mudrikhkhamis4634
Жыл бұрын
Mashaallah hakika qadiria n moja nchi nzima kutka aman Zanzibar 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@latifaabdallah3020
Жыл бұрын
Mashallah mashaallah kt roho inapenda hamg mbaya love aqaz
@FaidaRamadhan-oo4it
10 ай бұрын
Mashaallah allah akujazen kher chuo chenu nakusimamien😢 kwaujumbe mnzur jazaka aallah khaira ❤😅
Sina manen mbele yenu ladha za ajemy hizi mashallah
@saleemabdallah-gb2ru
Жыл бұрын
Mashaallah wallahi Qaswida nzuuri sana jamn, mola ajaalie kheri
@mwanatumu7012
9 ай бұрын
Mashaallah qaswida nzuri sana Allah awajaze kila kheri inshaallah 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
@abdillahsalum1457
Жыл бұрын
Mashallah allah awape umri mref vipenz vyetu munatupa burudan yenye mawaidha mazito ndani yake hatar sanaaaa
@mohdsalim-ei1lp
Жыл бұрын
Mwalimu juma unafanya balaaaaaa mashallah fundi
@tawakalimankasim82
10 ай бұрын
Hebu rudini katka asili yenu ilo tuloizowea ya Qadiria. Mbona saiv munapiga Disko Nnabiyy. Jitahid musome kama vile mwanzo salum rashid anasom kwa upole na wengine wanaitikia bila ya kupiga disko kama saiv. Fanyane kam zamani mutakuw na nguvu ndani na nje ya chi kama hpo zamani. Allah Awabarik nyote.
Mashaallah hongera sana kazi imeeleweka kabisa allah awazidishiye muzidi kutupa vitu vizur kama hivi
@panduhussi-zs6wp
Жыл бұрын
Hakika
@orerasaid4703
Жыл бұрын
Shukran
@enjiidasnan2851
Жыл бұрын
kazi imetendèwa hakki na ma fannani mashallah! kaka kazi kubwa hii. hakika mtume s.a.w kapata shida sana kwa dini hii.aisee !!!...sijui hata niseme nini mnajua mnajua mnajua tena💯💯
@saidside-xq8ch
Жыл бұрын
Hawa vijana wanatisha
@jumafaki1697
Жыл бұрын
Ahsante sana Hodari wetu
@sirajiatibu3232
Жыл бұрын
Pls can you explain to me what is Qadiria?
@shehaabuubakar6485
Жыл бұрын
@@jumafaki1697 mwalim mwalim mwalim nakuita mara tatu kazi mzur mashaallah sasa umeikonga nyoyoo yang🤝
@aliysilima8470
Жыл бұрын
Safi sana nipo mtwara ila nazipenda kazi zenuu mungu awalipeni jamni
@allysamwenguo7262
Жыл бұрын
Mungu awalipe kheri na awaepushe na fitna za kuwatenganisha
@jumashaali1268
Жыл бұрын
Be blessed Qadiria
@omarikombo5079
Жыл бұрын
Mashaallah kazi nzuri Allah azidi kuwabariki
@ghulammaabad1659
Жыл бұрын
Nyie hatar Kwel ust juma na ust faki Marshall munajuwa mpk munaker mashallah
@jumafaki1697
Жыл бұрын
Shukran Sana
@salhamohammedsalha-sl8lp
Жыл бұрын
Team aqaz heshima kwenu yan duh 🙄big up sana
@OmarMohd-z5b
3 ай бұрын
Hakika hii kaswida ipo ngazi za juu sana kuliko walizo toa hapo kabla.
@jufakmedia
Жыл бұрын
Mashallah Sauti ya Huzuni kubwa sana
@hemednassor2362
Жыл бұрын
MashAllah mambo super super
@abrazakchum
Жыл бұрын
Maalim JUMA kazi ni nzuri sana ili shida inakuja kwenye Quality ya Videos tu ndio shida yenu mpaka sasa 🙌
@princehalawa_official7980
Жыл бұрын
Kuna waimbaji Qaswida halafu kuna AQAZ lazima tuelewane hapa ifike stage tukubaliane tu hawa viumbe waachwe tu mana kuanzia Audio Producer kafanya kazi yake inavotakiwa na kwa upande wa waimbaji ctk kuelezea sana ❤❤❤
@jumafaki1697
Жыл бұрын
Dooh Asant sana mwamba Fundi wa mafundi 😭😭
@sabihahamadi2287
Жыл бұрын
Mashaallh mwenyezi mungu awabariki nyote muzidi kuendeleya
@saidside-xq8ch
Жыл бұрын
Mwaka huu umeanza hivi 😭😭😭
@nakshinaksh9594
Жыл бұрын
Mashaallah mashaallah mola awazidishie Kila la kheri awaepushie na Shari hakika kaka faki uko juu
@mudrikhkhamis4634
Жыл бұрын
Ost juma aqaz shikamoo🖐️🖐️🖐️n hatriiii
@fahadmwita4223
Жыл бұрын
Yesssssssssss bless my nation Madras allah blessing
@salumungohu5413
Жыл бұрын
Juma faki kam juma faki nakupenda kwaajili ya Allah 👏👏👏
@jumapembe9424
Жыл бұрын
Mashaallah tunazitaka nyingi za style hii inapendeza sana
@SaidyKipipa-rx8sy
Жыл бұрын
Mashallah
@salimramadhani7151
6 ай бұрын
Nawapenda sana jaman mungu awajaliye afya
@shufaarajab5509
Жыл бұрын
Mashaallah Allah awadumishe hapohapo mucje kuiga watu mukaimba nyimbo
@fatma-ft3jt
Жыл бұрын
Mashallah kasida pambe sana inakubalika haswaaa
@salhamohammedsalha-sl8lp
Жыл бұрын
Masha allah mafundi wetu wa aqaz kwa kutuletea tena burudani ya roho mungu awabariki sana
@makamehaji1871
Жыл бұрын
Masha Allah. Walimu wangu salut kwenu from arshaz
@FaridaOmar-i8q
6 ай бұрын
Asante sana Allah barik ❤
@yasirmtumwa8915
Жыл бұрын
Kazi ya Mwaka,💥
@OfficialEl-khaify_Production
Жыл бұрын
MASHALLAH
@khalefcanal6600
Жыл бұрын
Hio style yenu ndio kiwe kitambulisho chenu kwa Sasa
Пікірлер: 288