masha allah ilahayow dambigoda iyo dambi walidkoda iyo dambi kuwi so waxbaraybo illah dhaaf anagane illah hanagadhigo kuwo ku daysada amiin amiin yarabi
@milangoyadhikri5512
4 жыл бұрын
Nitafute kwa jina muridun nyerere kwenye KZitem
@ahmadzubeir9113
5 жыл бұрын
Waliyyullaah Sheikh Muhammad Nassor
@user-jz5ss9yt9c
7 ай бұрын
Hii dua inaitwaje hii ambyo inamalizia hpa ahmada
@user-fm5cq4bl6b
6 ай бұрын
Mashallah
@fathiemohamed7554
6 жыл бұрын
Mashaallh. Naomba kushare
@musabmahmoud2787
5 жыл бұрын
يارب صل على محمد نبينا اشرف الانام
@ahmadzubeir9113
5 жыл бұрын
Yaa Allaah,yaa Rasuulallaah
@jumanyanza2619
8 жыл бұрын
waliu shekh Muhammad nassoro. (r a)
@hassanasefu1706
7 жыл бұрын
Hakika ni clip yenye manufaa kwetu. Ni moja ya sauti inayompendeza yeyote kuanzia dk 2 na sekunde .
@hustlerjailan2287
5 жыл бұрын
Hakika ni Shekh Hakika...Muhammad Nassor(RA)
@hustlerjailan2287
5 жыл бұрын
Shekh Hakikatii
@hustlerjailan2287
6 жыл бұрын
MASHAH ALLAH...MASHAH ALLAH...MASHAH ALLAH...
@nobodycanstop6011
3 жыл бұрын
allahu akbar
@famyk1
4 жыл бұрын
Maashallah
@nabiljumbe
2 жыл бұрын
Mashaallah Mashaallah
@abdiyos
13 жыл бұрын
masha allah beatiful gathering.
@iddydaruwesh8650
5 жыл бұрын
Allah amrehem sheikh wetu Mohammad nassoro
@is-hakamohamed8825
2 жыл бұрын
R.A
@mazikunaila7456
Жыл бұрын
Mashaallah
@maimunaali3131
2 жыл бұрын
Yaan napend sana maashaallah
@asiamwarabu7510
6 жыл бұрын
Ma shaa Allah
@ahdahmed8383
5 жыл бұрын
Maashaallah
@mohammedramadhan7153
4 жыл бұрын
Yaani namkumbuka kaka yangu mwana muliidu Juma chande MUNGU amrehemu
@hamisijuma7581
4 жыл бұрын
shamsu al atiqya R.A
@abdoulsalamanyabenda1594
6 жыл бұрын
Mansha ALLAH
@hassanasefu1706
6 жыл бұрын
Sauti nzuri yenye kuchochea kutochoka kusikiliza clip hii hasa kuanzia dk 2
@aslamnegro3488
6 жыл бұрын
walii wa Allah huyo sheikh mohammed nassor mashallah huyo mzee ukimshika tu baraka tupu unapata
@sajumahege4903
2 жыл бұрын
Duh
@himidiselemani4850
4 жыл бұрын
Dhikri
@ahmadzubeir9113
5 жыл бұрын
Yaani kila niunapo uso wake sheikh,USO luliojaa nuru ya Allaah(sw) machozi yananitoka. Na ni macho gani yanayoona uso wa sheikh Muhammad Nassor kisha usitoke machozi kupitia macho yake?
@abbasmabewa320
7 жыл бұрын
Muhammad Nassor Habiiballah
@ahmadzubeir9113
5 жыл бұрын
Ni wa hache katika hao unaowaona ambao hadi sasa wapo hai.
@nungunungutv3172
8 ай бұрын
aliyekaa pembeni kulia mwa sheikh Muhammad r.a anaitwa nani
@asnathabdallah4557
11 ай бұрын
Hii code hamuwezi kuijua mpaka cc watu wa twarika
@user-ql2om7qj3v
2 ай бұрын
Hivi ndio kina omar abu bakar na ali hivi maswahaba walikuwa wanicheza hivi? Niswali nauliza
@ahmadzubeir9113
5 жыл бұрын
Mustafa Abduli jibu lako lipo njiani na karibu utalipata tuu
@abubilal4319
4 жыл бұрын
Sheikh naomba kuuliza ni nani Swaahibul maqaam aliyechukua nafasi ya Waliyyullah Sheikh Muhammad Nassor (R.A)
@mohamedibra8322
2 жыл бұрын
Ni Sharif Sayyid Othman
@stvesdiwe221
4 жыл бұрын
Zikr ndio dawa.
@MrMohamed04
12 жыл бұрын
masha allah .. where are they from ?
@hustlerjailan2287
5 жыл бұрын
From Tanzania...
@yasinomary2147
Жыл бұрын
Masjid camel At mburahati Dar es salaam Tanzania.leader Al marhum Sheikh Muhammad bin Nassor Al qadiry
@fikirially6841
4 жыл бұрын
Subhanallah uslam huu ni ule mliyourithi kutoka kwa mababu zenu Laakin si uislam waliokuwa nao mtume sala na salam ziwe juu yake na maswahaba Nalaiti jambo hili ingalikuwa ni dini basi wangelikuwanalo mtume na maswahaba zake Nyinyi tunawajuwa ni watu washirikina wenye kutufu na kuzunguka ktk majeneza na ktk makabuli Na uchafu wenu emeenda mbali mno mpaka mkawazika mashekhe zenu ktk miskiti na mkawa mnayatumia makaburi hayo kuomba sa,ada na majambo yenu maiti hizo badala ya kumuomba allah Na mkazunguka kwa kutufu ktk makaburi hayo NYIE NI WATU WACHAFU KTK DINI HII TUKUFU ni watu ambao mnatakiwa kupigwa vika kama tunavyo wapiga vita mashia qaatala humullah Nyie mskiti wa ngamiani mburahati mmemzika shekhe wenu na mnatufu ktk kabuli lake hii ni shirki acheni uchafu huu Njia yenu hii ni khabitha MUOGOPENI ALLAH KWAKE MTAREJEA
@jebbywise
4 жыл бұрын
Hujaijua dini nenda kasome umjuwe MUNGU na mtume wake
@nasserm.nasser5087
3 жыл бұрын
Nenda kasome adab na jinsi ya kujibu watu kwanza kisha njoo ujibu maswali haya chini: Kukaa pamoja na kumkumbuka Allah ni dhambi au ibada ambayo huzungurukwa na malaika? Sheikh wetu kazikwa nyuma ya msikiti tunakotawadha, wala siyo ndani ya msikitini na hatumuombi yeye haja zetu bali allah pekee Tatizo la mawahabi ni ukosefu wa tarbiya na adab. Mtu asiye na akhlaq huwa anawafukuza watu ktk dini
@fedfed8838
3 жыл бұрын
Allah akbar
@sajumahege4903
2 жыл бұрын
Shehe Allah akuhifadhi, hawa majahili yapaswa kupigwa jihadi kwa ushirikina wao na kuwatukuza mashehe zao badala ya Allah
@sajumahege4903
2 жыл бұрын
@@jebbywise akishasoma ndio ataoa sehemu watu wanakohoa?
@mustayoo
6 жыл бұрын
Huko ndo kumtaealisha shetani.mtume alituachia dini safi sio mambo ya kipuuzi
@salaamclinicoftraditionalm3641
6 жыл бұрын
Wewe kijana huna Dini...!
@mohamedzeinab8035
5 жыл бұрын
mpuuzi ni ww na babako
@abubakarsalim1977
5 жыл бұрын
Usipende kuita watu wapuuz jambo kama huna ilmu nalo usiliingilie
@muhammadialliy1237
5 жыл бұрын
shetan atawalishwi hivo mtume kaacha din saf ndio maana ana swaliwa hapo kama ujui maana yake yaarabbi swalli alaa muhammad
@sittacharlesmaendeleo778
5 жыл бұрын
sikiliza mtume s.aw. alifundisha dhikr ya kujikohoza
@abubakarimwasumilwe7293
7 жыл бұрын
kwa bidaa" Aah! mtihan
@abubakarsalim1977
5 жыл бұрын
Kasome bado hujawa na ilmu juu ya mambo ya bidaa
@muhammadialliy1237
5 жыл бұрын
bidaa umeanza wewe unae tuma SMS na kuponda mambo haya hali zama za rasuwli sim aikuwepo
@mwalimameir4305
4 жыл бұрын
Wewe unaesema ni bidaa unajuwa maana ya bidaa? Nenda kasomeshwe ndugu yangu usiwe mjinga.
@mwalimameir4305
4 жыл бұрын
Mtihani unao wewe usiyetambuwa jambo.
@sajumahege4903
2 жыл бұрын
@@muhammadialliy1237 wewe nae ndio shehe wa kisufi
@ahmadzubeir9113
5 жыл бұрын
Yaani kila niunapo uso wake sheikh,USO luliojaa nuru ya Allaah(sw) machozi yananitoka. Na ni macho gani yanayoona uso wa sheikh Muhammad Nassor kisha usitoke machozi kupitia macho yake?
Пікірлер: 72