ماشاء الله،راءعا جدا ما رءيت فنان في تنزانيا منك يا اخي
@yassinrashid1192
3 жыл бұрын
Nimeitafuta sana hii qaswida dah... maashallah shukran
@aham5350
2 жыл бұрын
wewe kama Mimi hatimae Leo nmeipata kaka
@mahamud-tech-channel
Жыл бұрын
wewe jamaa ni hatari masoud
@dachboy6137
4 жыл бұрын
Maashaa allah maalim allah akujaze khery akupe ujuzy zaidi ya huu maalim Tz nzima cjaona fannan kama wewe wallah
@omarsaid3005
2 жыл бұрын
Mashaallah kazi nzuri Mungu awalinde hii Qaswida radio ya Zanzibar wanaiweka kuanzia UKIITAKA SAFARI nimeitafuta mpka basi nilichofanya nikaichukua hii naskiliza mwisho ndo nikaisikia nilifurahi sana😄😄.Hii mwanzo mpka mwisho nzuri daaah wallah kuna watu wanajua Mungu awazidishie,Sheikh wangu lete mzigo mwengine kuliko huu me mshabiki wako namba moja ❤❣❤
@nurudinisalmu4912
5 жыл бұрын
duh qaswida nilikua nalikua naitafuta kwa hamu jazaakumullaahu khaira
Пікірлер: 20