Mnapiga na magitaaa jamaaa .....wanaume na ndevu zenu jamaa eti ni dini hiiii?????hivi hamuoni aibu mbele ya ALLAH
@jamalishoo3802
Жыл бұрын
Hatoni aibu hata kidogo
@jimjam4148
Жыл бұрын
Tatizo lako ni gita ama kuswaliwa mtume Mohammad (S.A.W)
@mdumbemalongo4518
Жыл бұрын
@@jimjam4148 kwani kupiga Gita na kuimba kama wanwake ni katika uislam......acheni ujinga nyie yan haya mauchafu mnataka kumsingizia mtume s..w....eti katika dini .........muogopeni ALLAH
@mdumbemalongo4518
Жыл бұрын
@@jamalishoo3802 sasa si muanzishe bendi ili mkatike viuno.....kama wakongo mani au makristo.....halafu msiingize huu uchafu wenu kweny UISLAM
@jamalishoo3802
Жыл бұрын
@@mdumbemalongo4518 mbona tumesha anzisha tayar Ukichukia sana tutie motoni basi
Пікірлер: 15