Baarakallahu fiyk Sheikh Mujahid. Ni suala la Tawhid ambayo tumeumbiwa kwa ajili yake hivyo ninategemea Masheikh wengine nao wajitokeze kwenye kuonya hili. Tuwekeni pembeni maswala mengine kama vile ya mwezi juhudi zielekezwe kwenye hili mpaka haki iwabainikie watu.
@mussayahya1726
4 ай бұрын
Allah Akuhifadhi Sheikh
@TahfifuAlly
4 ай бұрын
Hakjan
@aljalilatiba9873
4 ай бұрын
Nikweli huyu amepotea kabisa mungu amrudishe ktk njia ya haki. Jini hawezi kukulinda wakati yemwenyewe ni kiumbe dhaifu. Allah anasema ktk quran Akiwaambia wanaume wa kibinadamu walivyotafuta ulinzi kwa wanaume wa kijini allaha akasema wamewazidishia madhambi hii ni hatari sana Ayah ni hii وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi
@aljalilatiba9873
4 ай бұрын
QURAN YENYEWE INAKATAA KUWATUMIA MAJINI ILI KUPATA PESA AU KUPATA ULINZI. AYAH HII YA QURAN INABAINISHA وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi
Пікірлер