Shukran sheikh kwa ufafanuzi huo kua ni kharamu kabisa shukran na jazakallah khairan 🍒
@Emedroadtocanada
3 жыл бұрын
swalha assalam alaikum
@abdullahhashimu2380
3 жыл бұрын
Alhamdulillah, Jakika hili jambo lilikuwa linanipa wakati mgumu sana Allah akulipe khery Jazakallah khery
@amrubinannasannas9185
3 жыл бұрын
Acha kufata mkumbo we ndugu yangu Mwambie akwambie wapi mtume kaharamisha asikuzungushe maulamaa kuwa wameharamisha na wapi maulamaa waliohalalisha mbona hakuwasema
@abuuhafswaqaasim6
3 жыл бұрын
@@amrubinannasannas9185 wewe ndg yangu mkarimu allah akuongoze ktk haqi nasi atuthibitisheshe kwenye haqi maneno yako yagongana akhiy mwalimu katoa dalili za wazi kua jambo hilo halifai kwanamna walivyo zungumzia wana wachuoni kisha wasema kumuambia ndg yetu kua asifuate mkumbo eti wataka utajiwe nay wana wachuoni walio halalisha hilo jambo yatakiwa wewe ulio sema usifuate mkumbo ndio yatakiwa uweke hao wana wachuoni walio ruhusu ili tuone kwamba kweli jambo hilo lafaa ima kama huna baasi wewe yatakiwa baada yakusikia ubainifu huu uwache kufuata matamanio ya nafsi yako akhiy
@sofiabakari3052
3 жыл бұрын
Shukran sheikh kutufahamisha jazaka Allahu kheri
@fatmaalnabhani3609
Жыл бұрын
Ahh kwa mimi naona inatosha kujamiiana sehemu za siri bila ya kuingizana midomo kwenye tupu zote mbili. Wallah a'alam.
@hassancharo1496
Жыл бұрын
Ina tosha haitaki maido ido
@jumamsangazi2872
2 жыл бұрын
Mche Allah Shaikh wangu...ila suala hilo si Barahiyani pekee alotolea Fat-wa bali ni Mashaikh wengi....rabda una chuki tu na Huyo Shaikh wa watu....
@abuushaymaatz
2 жыл бұрын
Jielewe wewe, Allah kayaacha mambo mengine kuwa ni Rah'ma, lkn hapa tunaiunganisha hiyo hadiith na hadiith nyingine ya Rasuul alaih swalaatu wa salaam "Halali iko wazi na haramu iko wazi, na baina ya halali na Haramu Kuna mambo yenye kutatiza(Shubuha), Mwenye kujiepusha na Shubuha, ameitakasa diyni yake na heshima yake, na atakaye ingia ktk Shubuhat, atakuwa ameingia ktk haramu,..." Pili Allah kakuachia kulamba tupu iwe ndo Rah'ma kwako?, Hivi Rah'ma ya Allah kwako yaweza kuwa kulamba najsi?, Wewe ndo una Inswaaf hapo?, Iko wapi nafasi ya akili ambayo mwanzo Allah kakukirimu nayo?
@abubakarisaidi471
5 ай бұрын
Sahihi kabsaa ...angetumia hekma zaidi, angezungumza tu kuhus hukum ya hilo jambo sio kuanza kumtwaani sheikh mwenzake hata kama amekosea
@jofreyjames117
2 жыл бұрын
Kulambana lambana utupuni ni kutwaa maelfu ya mabakteria ambao wataleta athari mbaya kwenye siha za binadamu kama saratani ama fangasi za koo .
@husseinmohamed9365
3 жыл бұрын
Baraka allahu feekum
@alihijiiddi8977
Жыл бұрын
SASA WEWE UMEYASIKIYA KWA HUYO TU AU NA WALIOKUTANGULIYA WAMESEMA PIYA SIYO WA TANZANIYA TU NA KAMAHUJUWI SASA WENGINE WAMESEMA KUTOKA KENYA MWAMBASA SASA UNASEMAJE 💪💪💪🌎🕌❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@abuunajat4450
3 жыл бұрын
Jazakaallahu khaira
@hysamadam9838
2 жыл бұрын
Shukrani shekh, Allah akupe maisha marefu inshaallah kherii
@MohamedMohamed-ng2rm
3 жыл бұрын
Allaah akulipe kheyr sheikh na akuhifadhi بحفظه
@hishambakar5785
2 жыл бұрын
Shukran sheikh
@zohoraramadan4540
3 жыл бұрын
Waleykumusalamu warahmatuLLAHI wabarakatuh MashaALLAH asante sana shekhe wameshstuambia ni halali kumbe wame tudanga ninaanza mmemkwa sasa
@mohamedswaleh6778
Жыл бұрын
Itakuaje dhakar uingie kwenye tu iwe nisawa lkn ulimi uwe aufai
@mohamedswaleh6778
Жыл бұрын
Kwani tende landowa c niuchafu2
@rehemasaid70
2 жыл бұрын
Shekh asante kwa kututoa gizani
@muhammadabdallah5304
2 жыл бұрын
Jazakallah kheyr
@Wastara001
3 жыл бұрын
BaarakaAllah fiy kum
@salamakhamis8092
3 жыл бұрын
Mimi Naona jambo hilo hata kwa Akili ya kawaida tu ni Unyama na Ujibwa Alla atuhifadhi na vizazi vyetu
@rajabuhassani4504
3 жыл бұрын
Du!! Mtihani sana.
@mujahidibnimrani3058
3 жыл бұрын
Alhamdulilahi sheikh kiukweli na mm mwanzoni nilijua ni sahihi kumbe BARAHIYANI ameongea tu pasina dalili yoyote
@yusuphbaraka9025
3 жыл бұрын
Allah akulipe kheri ktk hili sheikh nakupenda sana nakukalibisha kahama
@zuheorsalim7759
3 жыл бұрын
Na ulifanya ?
@mujahidibnimrani3058
3 жыл бұрын
Apana kwanza mm sijaoa na siwezi kufanya kitu kama hicho
@salhacker7728
2 жыл бұрын
@@zuheorsalim7759 duh kMa angekua kFNyA?!
@ahmedrashed7138
2 жыл бұрын
Shukran sana kwaujumbe
@mirajihamza2892
Жыл бұрын
Hata wewe shekhe bado hujatoa hoja yenye mashiko maana hata wewe umetoa dalili za vitabu vya wana wazuoni kama alivotoa huyo salim,,,tupe dalili tutafuatatu
@jumamsangazi2872
2 жыл бұрын
Mimi nitoe QAULI....waislaam jambo hili hakuna katazo sio katika Qur aan wala Sunna hakuna kabisaaaa...ilobaki ni Ij-tihaadi za Ulamaa tu na hakuna vingne....ndio maana BARAHIYAANI NA SIO YEYE TU MPKA MASHAIKH TOKA LAMU nao walitoa maelezo kama BARAHIYANI kwa kunukuu ambao wanaona lafaaa na wanaona haifai na ndio maana wengne wakifika ktk Jambo la khilafu na kukawa hakuna Nasswin Swaraaha juu ya uharamu wanaliacha kama lilivo....QAIDA INASEMA (LAA UNKARU MUKHTALAFUN FIIHI INNAMAA UNKARU MAJ-A ALAIH.....
@abuushaymaatz
2 жыл бұрын
Jielewe wewe, Allah kayaacha mambo mengine kuwa ni Rah'ma, lkn hapa tunaiunganisha hiyo hadiith na hadiith nyingine ya Rasuul alaih swalaatu wa salaam "Halali iko wazi na haramu iko wazi, na baina ya halali na Haramu Kuna mambo yenye kutatiza(Shubuha), Mwenye kujiepusha na Shubuha, ameitakasa diyni yake na heshima yake, na atakaye ingia ktk Shubuhat, atakuwa ameingia ktk haramu,..." Pili Allah kakuachia kulamba tupu iwe ndo Rah'ma kwako?, Hivi Rah'ma ya Allah kwako yaweza kuwa kulamba najsi?, Wewe ndo una Inswaaf hapo?, Iko wapi nafasi ya akili ambayo mwanzo Allah kakukirimu nayo? Kwahiyo Kama dalili ya quruani au hadiith haipo ndo ufanye uchafu?, Iko wapi matumizi ya hadiith ya Rasuul alaih swalaatu wa salaam inayo tanabaisha kuingia mambo yenye kutatiza?, Yako wapi matumizi ya akili ambazo Allah amekuruzukun?, Afalaa taaqilun?, Afalaa tatafakarun?, Ainal uquul?
@albashirwesonga5742
2 жыл бұрын
@@abuushaymaatz najsi iko wapi hapo?
@abuushaymaatz
2 жыл бұрын
@@albashirwesonga5742 Manii ni najsi au sio?
@abuushaymaatz
2 жыл бұрын
@@albashirwesonga5742 au yanafaa kunywewa na kuchezewa chezewa mdomoni?
@abuushaymaatz
2 жыл бұрын
@@albashirwesonga5742 twende taratibu Kaka, ebu tuanzie hapo
@islaminmyheart9348
2 жыл бұрын
Allaah akubarik sheikh wetu
@jumamsangazi2872
2 жыл бұрын
Iweje kwako weye kutumia maneno ya Wanazuoni ni haq ila kwa wenzi wako ni haramu?watu wafahamishe Umma kama jambo lina khilaafu au laa.....lakini usiharamishe jambo kwa Qauli za Ulamaa....MUSHARRIU NI ALLAH PEKER kesha Na Mtume....wajuze Umma ni Mauqifu ya QAR AAN NA SUNNA juu ya hukmu ya jambo hilo?waambie Umma ukweli usigwavyegwavye
@rahmangadu
Жыл бұрын
Hujui nafasi za ulamaa ndio maana wasema hivyo. Kasome kwanza
@abuyunusmohamed6961
Жыл бұрын
Hayo ni makubaliano ya mke na mume.Muhimu kuzingatia afya ya wote wawili
@mohamedamini4268
Жыл бұрын
Toa ushahidi bwana maneno mengii , wapi ulielekezwa kwenye dini chukua dhakari uingine kwa mkeo , mapenzi ni sanaa shekh
@zainabjuma5177
Жыл бұрын
Allah akuhifadhi
@fakihassani3
Жыл бұрын
Ww usituvuruge ukataka sifa uonekane mkweli km ww una dalili tupe aya au hadith na sio kufanya ria hatutaki wanaofanya ria
@allymtungunyu2425
Жыл бұрын
Kwani si unafanya ww na mke wako shida iko wp mfanyaji afanye na muachaji aache raqib na atik wapo waandishi wasio lala
@sharrifidris3422
3 жыл бұрын
Tatizo ni kuwa jambo hili umetowa kauli za wanachuoni wa sasa,na sheikh barahayan pia vile vile alisoma kitu cha wanachuoni..nyote hakuna aliyetoa dalili ya waziwazi kutoka kwa mtume wala maswahaba..jambo hili kwa kweli hata Mimi naliona halifaai ila tunahitaji mulifanyie uchambuzi vizuri sio kutegemea kauli za masheikh hawa kwa kuwa pia hawa ni binaadamu
@albashirwesonga5742
2 жыл бұрын
kweli
@ninononi3674
Жыл бұрын
Sikuungi mkono maadam hujatumia aya wala hadithi
@allymtungunyu2425
Жыл бұрын
Kwakuwa kila mtu anafanya na mke wake kwao kwa siri iwe ucku au mchana afanye yeye au aache yeye km zinaa tu watu hufanya siri ama kwa kujifaharisha Hamna shaka kuna waandikaji maalum malaika wa Allah akib na atik wanaandika hayo kila mtu atayakuta hayo, hakuwa yeye alisema wanapenda uchafu na kuchukia usafi.
@ninononi3674
Жыл бұрын
@@allymtungunyu2425 unapo jiita Mwana Sunnah "Unatakiwa uthibitishe jambo kupitia aya au hadithi " si maneno ya mtu fulani au mtazamo wa mtu fulani
@ninononi3674
Жыл бұрын
@@allymtungunyu2425 Hii sio Dini ya wajinga (atubebi jambo kichwa mchunga)
@jumamsangazi2872
2 жыл бұрын
Wacha kutafuta umaaruf kwa kupitia migongo ya watu....
@jumamsangazi2872
2 жыл бұрын
Wewe wanukuu kama wanavonukuu wenziwako....iweje maneno ya wanazuoni hao hao kwako ni halali kuwatumia maneno yao...na kwao iwe haramu?mche Allah....Qauli yenye haq na uhalali wa kuharamisha jambo ni QUR AAN NA SUNNA tu....hakuna kingne....na ikiwa jambo hilo hakuna NASWIN SWARAHA juu ya uharamu bas jambo hilo litaingia upande wa MUBAAHU AU MAKURUHU....na mubahu ni jambo laachiwa watumiaji kuna apendaye na asiye penda.....kwaivo MCHE ALLAH AL -AKH......Ulimi uangalie sana na wanaokusikiza na kufatilia ni Umma
@aishathabit3732
2 жыл бұрын
#salafy kama #manasara maulamau wao wakisema jambo tu bila hata dalili wao wanachukua na kuona kauli zao ni kama qur,an #jinga-kabisa
@elimusahihi
2 жыл бұрын
Sasa kwa manasara unafata nini au unataka kuritadi?
@aishathabit3732
2 жыл бұрын
@@elimusahihi umeeleewa nilicho andika?
@user-ty8le4vq7o
8 ай бұрын
SHEKHE UNGEFANYA BAHTHI KWANZA KABLA YA KUPINGA
@aishathabit3732
2 жыл бұрын
والله إن هذا لعار وقعت فى نفس فخ وانتهيت من حيث ابتدأت Alicho fanya Barhayan ndicho ulicho fanya wewe sasa huu ni zaidi ya ujinga
@leblue4768
2 жыл бұрын
Kweli kabisa
@abdulrahmanmussa4479
Жыл бұрын
Kabisa 😂😂
@fakihassani3
Жыл бұрын
Ww km unadalili itowe tu mana sheikh musona hekma ndio kipaombele kufanya ria ya kukosoa wenzenu muonekane mumesoma kumbe hamuna lolote mana km muna elimu kwanza mungejua hekma ya kuzungumza na kurekebishana na sio kukashifiana
@AbuumaryamAbuu
Жыл бұрын
Allah akulipe kheir
@user-ty8le4vq7o
8 ай бұрын
FANYA BAHTHI KWANZA SHEKHE BARAHYAAN KANUKUU KAULI ZA WANAZUONI WAKUBWA TUSIKOSEE KABLA YA KUFANYA UCHUNGUZI
@burhaanmamboleo3551
5 ай бұрын
Tena asema kitabu alichonukuu Barahiani pia akijui lkn yy abweka tu!!
@mussamohamedmohamed7048
2 жыл бұрын
Kinachonipa mashaka,na ukosoaji,wa shekh kwa shekh mwenzake,ni kuwa hata kitabu alicho tumia shekh ,Salim kashindwa kukitaja, anasema sijui nikitabu Gani alicho halalisha,ukija kurekebiaha shekh wangu tuwekee Kila kitu wazi,kuwa Hadith hii au kitabu hiki au qauli hii ni dhaif ndio tukuelewe,lkn ukikosoa TU bila ushahidi unatupa mashaka ,,isije ikawa ni chuki binfsi,,,,,mashekh mnaongaza umma mkubwa sana ,,jihesabuni kesho Kuna hesabu,,
@albashirwesonga5742
2 жыл бұрын
masheikh wanatuchanganya bana...tufate yapi sasa.
@abdullahali4956
2 жыл бұрын
Kama mashekhe wanawachanganya bas jahhil ni ww kwa sababu haukusoma shekhe kasoma Masha Allah Allah amhifadhi tatizo liko kwako hata ibliis akikuamrisha jambo unamfuata
@abdullahali4956
2 жыл бұрын
Clip iko KZitem unaweza kuifuatilia ya bahriyaan musitetee uovu baana hakuna aliokua na chuki na mwenzake ila nyinyi mwakataa ukweli munafurahia uovu ... Kusoma muhimu
@albashirwesonga5742
2 жыл бұрын
ss ww unasema na we pia umefata kauli za mzungumzaji.. ebu na wee toa dalili ya katazo hilo kwenye fil qur an au hadith... mashkh wote wanatoa wanasoma kauli za wanazuoni wala sii kauli moja kwa moja toka qur an au hadith... we unaejidai umesoma ebu toa.
@albashirwesonga5742
2 жыл бұрын
clip nlishaaitazama yote mapema sio we unambie
@allymohammed7323
2 жыл бұрын
Mbona Ametoa dalili za maulamaa tunataka uzipinge zile dalili kwanza ndo umradi barahiyani mana masalafi mnaa sifa moja jambo akilisema mwanazuoni alikua so salafi hamlikubali na mnaona kua salaf tu walioko kwenye hakki
@abuushaymaatz
2 жыл бұрын
Sasa Kama sio salafi na hayuko ktk njia ya salafi huyo ni mwanachuoni gani? Ukisema sio salafi maana yake anatumia falsafa zake, hahukumu kutokana na quruani na Sunnah kwa ufahamu wa wema walio tangulia ktk maswahaba, Tabii, na atibau tabiin. Sasa tutamuitaje mwanazuoni na wakati Rai zake zaenda kinyume na walio ipokea diyni hii ikiwa mbichi, kutoka ktk kinywa Cha Rasuul alaih swalaatu wa salaam?
@abuushaymaatz
2 жыл бұрын
Pili ikutoshe kuwa Kufuata quruani na Sunnah kwa ufahamu wa wema walio tangulia ndo haqi kwani wao ndo walio Kita magoti mbele za mtume Alaih swalaatu wa salaam wakaisoma hii diyni, Kila Aya na Kila Hadith na maana, faida na makusudio yake ktoka ktk kifua na kinywa Cha mbora wa viumbe? Sasa nani atakaye ijua haqi zaidi yao?
@mkude
Жыл бұрын
@@abuushaymaatz watu kama nyinyi anachosema sheikh unaemkubali basi ndo haki 100 kwa 100 kwenu nyinyi,lakini wakisema wanazuoni wengine wa ahli sunna kwenu nyinyi mtalipinga,
@abuushaymaatz
Жыл бұрын
@@mkude ukishasema mwanachuoni wa ahlu sunnah, bila shaka ni mwanachuoni tunaye mtegemea, kuna vitu viwili hatuwezi kukubari 1. Kutunga mtu wako ukamuita mwanachuoni wa ahlu sunnah na wakati aqida yake imepinda. 2. Kufanya talbisat ktk Maneno ya ulamaa, ukaenda op na maksudio ya Maneno yake.( Hapo hatuta kufuata hata ungetoa akuwali 100, sababu ushazi changanya na uongo 1000) Lastly ujue hakuna kauli ya ulaamaa wa sunnah utaileta alafu isiwe ilifanyiwa taaliq nao au maulamaa wengine na kudhibitiwa kwenye nukuu mbalili mbali
@user-qe9fb4qw3i
Жыл бұрын
Sabbu salafi ndio njia ya hakki mtume (s.a.w) alikua salafi ss pia tunatakiwa tuwe hivo na mpka hadisi ushasomewa apo huelew ww tukutaftie pipa
@muhammadmjara6776
Жыл бұрын
allaha akuhifazi shekhe abuu Hashim kwan mambo mangine hata kiakilitu haliingilii akilini mtu kunyonya utup kama mbuzi na punda
@mwalimuzuber8024
3 жыл бұрын
Ninachotaka taka shekh unithinitishie yale maneno aliyonunukuu shekh salim hayapo kwenye vitabu ndio tunachotaka
@abuushaymaatz
2 жыл бұрын
Jielewe wewe, Allah kayaacha mambo mengine kuwa ni Rah'ma, lkn hapa tunaiunganisha hiyo hadiith na hadiith nyingine ya Rasuul alaih swalaatu wa salaam "Halali iko wazi na haramu iko wazi, na baina ya halali na Haramu Kuna mambo yenye kutatiza(Shubuha), Mwenye kujiepusha na Shubuha, ameitakasa diyni yake na heshima yake, na atakaye ingia ktk Shubuhat, atakuwa ameingia ktk haramu,..." Pili Allah kakuachia kulamba tupu iwe ndo Rah'ma kwako?, Hivi Rah'ma ya Allah kwako yaweza kuwa kulamba najsi?, Wewe ndo una Inswaaf hapo?, Iko wapi nafasi ya akili ambayo mwanzo Allah kakukirimu nayo? Kwahiyo Kama dalili ya quruani au hadiith haipo ndo ufanye uchafu?, Iko wapi matumizi ya hadiith ya Rasuul alaih swalaatu wa salaam inayo tanabaisha kuingia mambo yenye kutatiza?, Yako wapi matumizi ya akili ambazo Allah amekuruzukun?, Afalaa taaqilun?, Afalaa tatafakarun?, Ainal uquul?
@farajimtana123
3 жыл бұрын
Mambo mengine bwana hata kiafya yana madhara. Sehemu yatoa najis na wewe waweka mdomo unataka kunywa mkojo au. Vitu vyengine hata akili tu ya kawaida tu haingii akilini.
@mafishotechtv3379
2 жыл бұрын
Kama hamna ujualo kaa kimya
@farajimtana123
2 жыл бұрын
@@mafishotechtv3379 sawa wewe unaye jua bwana endelea kujua hahahaha
@omadal1
2 жыл бұрын
@faraji je kula Riba, Dhuluma na mengi hayo sio Najisi?
@talibmuhsin5221
2 жыл бұрын
Yatoa najisi bas naww najis maana ni maji ya mchupo ww
@albashirwesonga5742
2 жыл бұрын
kama hiyo ni najsi basi pia we ni najsi.. sababu hapo ndo kiwanda chako ulikotengezwa ww..
@allymohammed7323
2 жыл бұрын
Tunataka dalili ya qur-an au hadith
@abuushaymaatz
2 жыл бұрын
Jielewe wewe, Allah kayaacha mambo mengine kuwa ni Rah'ma, lkn hapa tunaiunganisha hiyo hadiith na hadiith nyingine ya Rasuul alaih swalaatu wa salaam "Halali iko wazi na haramu iko wazi, na baina ya halali na Haramu Kuna mambo yenye kutatiza(Shubuha), Mwenye kujiepusha na Shubuha, ameitakasa diyni yake na heshima yake, na atakaye ingia ktk Shubuhat, atakuwa ameingia ktk haramu,..." Pili Allah kakuachia kulamba tupu iwe ndo Rah'ma kwako?, Hivi Rah'ma ya Allah kwako yaweza kuwa kulamba najsi?, Wewe ndo una Inswaaf hapo?, Iko wapi nafasi ya akili ambayo mwanzo Allah kakukirimu nayo? Kwahiyo Kama dalili ya quruani au hadiith haipo ndo ufanye uchafu?, Iko wapi matumizi ya hadiith ya Rasuul alaih swalaatu wa salaam inayo tanabaisha kuingia mambo yenye kutatiza?, Yako wapi matumizi ya akili ambazo Allah amekuruzukun?, Afalaa taaqilun?, Afalaa tatafakarun?, Ainal uquul?
@ashamzee1443
3 жыл бұрын
Maashaallah
@ashamzee1443
3 жыл бұрын
نعم
@Emedroadtocanada
3 жыл бұрын
asha assalam alaikum
@mwalimuzuber8024
3 жыл бұрын
Mbona shkhe umenukuu mashekh hao tu, na wale maulama alionukuu shekh Salim barayan je yapo kweli? Unachotakiwa ni kuthibitisha yale meneno alionukuu sheikh Salim yapo kweli kwenye vitabu au hayo kisha ndio umkosoe
@abuunajat4450
3 жыл бұрын
Usifate hawaa ndugu yangu haki ipo wazi
@minnahhers7437
2 жыл бұрын
Naaam shukran Allaah akubark
@Alkaburu
2 жыл бұрын
Sheikh Kuna kauli ya mtume au swahaba wema walio tangulia juu ya jambo hili itakua vyema Sana kustafidi nayo.maana kauli za wanazuoni zinakinzana.
@abdullahali4956
2 жыл бұрын
العلماء ورثة الأنبياء Bas kazi yenu nyinyi ni kuunga mkono bida'h tu .....Ina maana hujatosheka na hizo dalili alizokupa sheikh mpk unaanza kutafuta uzushi mwingine. Kuna vitu vingine hata mwenyewe ukifanya unajua kabisa hili halikuthubutu katika dini ...... Ndugu shikamana na Sunnah ndio hatowadharau wanachuoni
@fakihassani3
Жыл бұрын
Tunaomba hoja ya aya au hadith sio mineno yako tu
@zuhuramohamed7306
11 ай бұрын
Mm ninavyo juwa kumwongilia mkeo sehemu ya nyuma ndio haram lakini jambo hili la kunyonya hili lanipa mushkolil coz tumeambiwa chezini nao wake zenu so yaonyesha pia romance haifai!
@amirishauur5795
Жыл бұрын
Mnawezaje kwanza ivii mdomo kwa tupu
@allymohammed7323
2 жыл бұрын
Msizitakase nafsi zenu allah ndo anaejua na nyiny mnamchukia barahiyani kwa sababu amewaita salad jjadida
@abuushaymaatz
2 жыл бұрын
Jielewe wewe, Allah kayaacha mambo mengine kuwa ni Rah'ma, lkn hapa tunaiunganisha hiyo hadiith na hadiith nyingine ya Rasuul alaih swalaatu wa salaam "Halali iko wazi na haramu iko wazi, na baina ya halali na Haramu Kuna mambo yenye kutatiza(Shubuha), Mwenye kujiepusha na Shubuha, ameitakasa diyni yake na heshima yake, na atakaye ingia ktk Shubuhat, atakuwa ameingia ktk haramu,..." Pili Allah kakuachia kulamba tupu iwe ndo Rah'ma kwako?, Hivi Rah'ma ya Allah kwako yaweza kuwa kulamba najsi?, Wewe ndo una Inswaaf hapo?, Iko wapi nafasi ya akili ambayo mwanzo Allah kakukirimu nayo? Alafu ni muhimu ujue kumkosoa mtu arejee katika haqi ndo mapenzi sahihi, hiyo ndo mapenzi kwaajili ya Allah, hivyo hawa mashekh ndo kiuhalisia wanampenda Barihiyani kuliko Wewe unaye mfuata kichwa mchunga, wewe ni kipenzi chake huwenda mbele za watu lkn siku ya qiyama huwenda mkawa maadui wa kubwa, ninyi ni maadui mbele za Allah.
@salehal-oufy5380
2 жыл бұрын
Hao ndo masalafy
@ninononi3674
Жыл бұрын
Kaeleza maneno mazuri lakini Sijaona dalili aliyo itumia kulikataza jambo hili
@aishathabit3732
2 жыл бұрын
Sub,hana Alalh kumfuta bin Baaz au Uthaimin ndio kufuata qur,an? Masheikh hawa wanao halalisha kutii mamlaka ya kitwaghuut ndio wa kufuata? #salaf(sahaba) gani alitoa fat,waa za kutii mamlaka za kitwaghuut? أنتم التلف ولستم السلف
@othmansaid1567
2 жыл бұрын
Assalamu alaykm vipi hali yako
@fakihassani3
Жыл бұрын
Tofautisheni km ni haramu au kunapatikana madhara tu ya kiafya kuweni makini dini musiivuruge
@ankaldally2734
Жыл бұрын
Kwan sio kaida kuwa kila chenye kudhuru ni haramu
@mohamedswaleh6778
Жыл бұрын
Xx xhekhe tafuta kile kitab alosoma yye utafute iyo dalili alosema uibainishe xx tuelewe xx kua maneno yake n ya uongo
@aishathabit3732
2 жыл бұрын
هم علماء السلاطين لا نأخذ منهم ديننا أتو بفلسفة بلا الدليل
Пікірлер: 127