Shekh Muhammad Maashaa Allaah, umesimama imara sana kuwaweka sawa ndugu zetu majadida, ila nina ushauri kwako; 1-Ndugu zetu masalafy hawana inswaaf sehemu kubwa ya kutaja kasoro za wenzao. 2-Hutumia lugha zisizofaa, na zisizo ridhisha kwa hao wanao wafanyia ruduud. Jitahidi usije kusifika kwa sifa hizi, kwani Watu tunakuelewa vyakutosha kabisa, kwaio Mashaayikh wa kisalafy wataje kwa lugha ambazo ziko tofauti navile wanavyo taja wao, kwani kufanya hivyo ni miongoni mwa inswaaf na wema uliokua mkubwa. Baaraka Allaahu fiik.
@NaduuAbdilah-uj5vj
26 күн бұрын
Allahuma Aamiiiin
@ShamsudeenOmary
25 күн бұрын
Wallah kuna watu mnakusudia na mnapenda kheri😢 umeongea vyema akhi Allah akulipe
@user-nu7ce6tq6f
26 күн бұрын
Asalam aleykum sheikh muhammad mimi nakuelewa sana au zaidi nakupenda sana kwa ajili ya Allah natamani nikuone mdogo wangu japo kukupa mkono tu kwa ajili ya Allah umenifumbua macho kwa kuiona haki Allah akuhifadhi inshallah.
@user-ye3fy9kk6r
27 күн бұрын
Baaraka llahu fik,sheikh Muhammad Bachu Allah akuongoze,unaongea kwa evidence
@AjmalTV-ng4yi
27 күн бұрын
Mashaallah sheikh Muhammad bachu Allah akuhifadhi
@malelembaabdulrahim9107
27 күн бұрын
Inaonekana wazi ya kuwa SOLOKA hakufanya utafiti wa kutosha Jazzakallah kheir Allah akuhifadhi sh Mohammed, endelea kuufahamisha umma.
@NaduuAbdilah-uj5vj
27 күн бұрын
Soloka kakurupuka yeye kadhanii mashekh zake walivyo nyamaza ni wajinga wenzake wame soma alama za nyakatii waka piga kimyaa
@Cherehanitanzania
25 күн бұрын
Soloka Kawakosea Sana Majadida Sabab Yeye Kakirupuka Na Sasa kakamatika Mno Hapo Hawezi Ongea Akaeleweka Sabab Ameshakosea Arudi Akashauriane Na Masheikh Zake kwa Aibu Hii😂
@ZuberiVesso
25 күн бұрын
Tusomeni jamani kwani ujinga ni adhabu
@FadhilaBakari-q8t
27 күн бұрын
Mashaallah allah akujifadhi kila siku zinavyokwenda tunaelewa haki iko wapo
@omarabdullah3412
24 күн бұрын
Allaah *Akuweke akulipe kwa kutuelimisha. Akulinde duniani na akhera. Aamiyn!
@jambojomba9042
15 күн бұрын
Allah azidi kukupa ilmu ya manufaa,msimamo ,hikma na ufasaha
@yusufathman2478
27 күн бұрын
Assalam aleykum warahmatullahi wabarakaatu sheikh..nakupenda kwa ajili ya Allah. Ni mwanafunzi wako uyu. Yusuf Athman Sampuli
@user-jo1pd1fk1w
26 күн бұрын
Maashalaa barakanllahu fiiika baba utawauwa Hawa jamaa hongera Sana anllah akupe jannat frdaws
@ZuberiVesso
25 күн бұрын
Ujinga ni adhabu
@khalifa_kuchi
27 күн бұрын
Wallah wengepatikana w2 km 10 ambao wapo km ww sheikh muhammad bachu bx naamin dini yengekaa sw na msimamo mmoja tu. Allah akuhifadhi na akulipe ujira ulokua bora InshaAllah
@laisamaujud1157
27 күн бұрын
Ahaaa wapii soma baba
@NaduuAbdilah-uj5vj
27 күн бұрын
Hakuna jadida anae furukuta hapoo wote kimyaaa
@sakinasakku8340
26 күн бұрын
Wallahi
@user-zf3fz5lf4m
27 күн бұрын
HUYU NDIYO SIMBA KWA SASA NA HILI HALIPINGIKI
@rajabTaratibu
27 күн бұрын
Bachu Jamani hawezekan kwa majadida Allah amleta mkombozi
@laisamaujud1157
27 күн бұрын
Hanalolote uyo uyo hamu yake anataka ajibiwe na shk kasim
@sumaisabu9816
27 күн бұрын
@@laisamaujud1157 icho Cha kumjibu anacho sas 😀
@HassanHamad-rf9tq
26 күн бұрын
@@laisamaujud1157 wewee unachojua nini njoo utufundishe hapo tukuone acha mipasho kakaa leteni hoja nyinnyi mukiishiwa hoja mwaleta tantarira nyingi
@mahfoudhcalender2747
26 күн бұрын
hawezi kujib uyo mafuta, na wala usimtetee@@laisamaujud1157
@abiabi9353
26 күн бұрын
@@laisamaujud1157kama hana lolote jibuni hoja zake
@universitylink
27 күн бұрын
Na sehemu anayo darsa sheikh Mohamed Imam ni area ya mahuthi na Marka yake ni ya pili kwa ukubwa katika halaqat za Yemen wanafunzi kuanzia mia saba kwenda juu na wakati wa summer wanakuja watu kutoka nchi mbali mbali wanakuwa wengi zaidi sasa haipendezi waingizwe kwenye vita
@saidjuma4547
20 күн бұрын
maashaallah Allah akuhifadhi maana hawa majadida wanalia sasa
@ImanSaid-ox3po
27 күн бұрын
Subhanallah hawa majadida wanahitajika kuogopwa kama maradhi ya kuambukiza
@youngtomuller-vh2pu
21 күн бұрын
Together ostaz for everything insha-Allah
@seifsaid9905
27 күн бұрын
BAADA YA SIMBA LA MWANZA ABUU ISMAIL .NAANZA KUKUBAL DAWA YAKO ALLAH YAAN WEW NDIO UNAZIBIT HAO MAJADIDA
@seifsaid9905
26 күн бұрын
@@ABUUBAAZNYUNGU-j4x Kwa kia's kip Lin na wap chin ya dolla lisilo kuwa la kiismu papatikane mtu ka hyo? Kam wapo bc nn HUKUMU ya muislmu ane ishi miji y makafir wanahukumiana Kwa Sheria isyokuwa ya Allah
@chibuharuna
23 күн бұрын
alhamdulillah tunamshukulu allah amemtoa tena kwamara nyingine tena japo kuwa walimfanyia fitna hao massalafy feki wa ccm maana alikuwa anawashinda kwahoja ikabidi watumie dola iwasaidie maana wao hawamuwezi na walitamani asiludi tena bali auwawe huko huko lakini allah amemtoa tena tena na daawa ile ile tena ndio imezidi mara dufu allah amemrejesha tena SIMBA LA MASIMBA SHEIKH AALIM ABUU ISMAIIL ASSALAFY AL MUJAHIDUN allah amuhifadhi tunamuombea duwa inshaallah
@ABUUJAAFAR92
21 күн бұрын
@@chibuharunaAllah akuongoze na akupe ufahamu uufahamu ukhawariji na umfahamu abuu Ismail kuwa si mtu wa sunnah bali ni khaarij ,,
@AliKhamis-xb7et
25 күн бұрын
ماشاءاللہ الله حافظ
@tayt4086
25 күн бұрын
Bachu km bachu mashalha we basi
@sakinasakku8340
26 күн бұрын
Jazakallahu kheir sheikh
@AbuFawzaanAlly
24 күн бұрын
ALLAAH akuongoze kuiona hakki Muhammad Bachu...
@HemedSerious
27 күн бұрын
Mashallah unafanya kazi nzr
@twaibumikidadi7377
27 күн бұрын
Hawa watu n MAKADA WA ..... BE carefully guys Jazakum Allah khayran yaa shekh Tumeshawajua !
@user-lc5cp1hx5s
26 күн бұрын
والله أنا في الله ربي أحبك حبا خالصا لله يا شيخنا ومعلمنا
@AllyKame-rx2zd
25 күн бұрын
Shekh Kasim punguza mpango kwa Doktoor Islam, ukimya wake..
@mobilespecialschool4216
25 күн бұрын
Mwambie alogwe ajichanganye huku maccm hao
@leylamajid3439
27 күн бұрын
بارك الله فيك
@ismailmakame7183
27 күн бұрын
Shida kubwa nihasad ndio inayotusumbua Allah atuongoze
@user-xb6tr5vq4b
27 күн бұрын
Waleykum salam warahmatullah wabarakatuh
@maalimhamad1297
27 күн бұрын
Yani nyinyi mnashangaza mnataka mistiriwe kwa uchafuwenu lakini nyinyi hamuwezi kumsitiri mwenzenu nyinyi si ndio mnamkashifu barahini hadharani muoopeni mungu nyinyipoa mtakwenfa kuilozwa😊
@DR.SAIFILLAH.5363
26 күн бұрын
USALAFI NI ULAFI. Nitabaki kufata elimu ya wanazuoni wa kale ambao wao walichukua elimu kutoka kwa wanazuoni wa kale. Usalafi sijui ujadida haya yote ni makundi yaliyozuka juzi tu na sio uislamu bali ni mfano wa vyama vya siasa tu. Leo kwenye vikundi vya usalafi unaweza kutolewa usiwe miongoni mwao km vile vyama vya siasa tu. Tuamke waislamu.
@kassimjey1480
27 күн бұрын
Allah akulipe khery
@mwanaishajuma4166
26 күн бұрын
Amiin
@adnanomary1955
22 күн бұрын
Maalim wetu bachu uwe makini sana kwa hizi nondo jamaa wanaweza kukudhuru
@nahlaaasidee1848
19 күн бұрын
We mpumbavu
@Daawa-l8s
26 күн бұрын
جزاك اللهُ
@issaabdallah1205
27 күн бұрын
Kweli ndugu hamisi hawa ksim mafutana bachuwote ni watuwa sunna tupaaswa kuwasikiliza nakuchukuwa faida kwa yale mazuri na kama mtu kateleza tumuache
@Hamis-ks1sy
26 күн бұрын
Swadaqta
@user-ro1fn7lv1l
23 күн бұрын
Safi ya akhy bachu
@NuryaMusa
27 күн бұрын
Kwakweli. Bachu ALLAH subhanah wataalah Amuhifadh kwa kuwaaibisha. . maswaafiqah mahadadiyah..
@NuryaMusa
27 күн бұрын
@@ABUUBAAZNYUNGU-j4x sawa niite. Jadida tu maan. Nawakubali. Nakataa hii tabia. Walomfanyia ubaya mpaka akiwa. Maiti. . Abuu muawiya. Allah mtukufu Amrehem. .hawakua. Wanampenda. Mbona Anuary khatibu .Answar Sunnah .yule. Allah mtukufu Amrehem pia mbona yy. Hawajamfanyia uadui ??
@NuryaMusa
27 күн бұрын
@@ABUUBAAZNYUNGU-j4x ndiyo Akhy maan. Aloandika. Makala. Abdul Kareem urassa amekimbia. Msala. Amemuachia. Abul Abbas hasani waziri. Anashambuliwa. Huku na kule kwa akina Abuu zaghar kwakweli. Wameaibisha. Uhl Sunnah waljamaah kwa. Magonvi. Yao. Na kushindwa. .kuendeana. Nakunasihiana. Mdogo. Mdogo mpaka. Yule. Alopinda. Snyooke. Wao wanakimbilia. Mtandaoni. Kusemana. Na kutiana kwenye bida.ah
@hafidhwajina6718
27 күн бұрын
@@ABUUBAAZNYUNGU-j4xok ulikua unasema amesingiziwa kuwa ni mwanachama, Bachu kathibitisha, Thibitisheni ninyi wizi wa barahiyani
اللهم أرح الامة من هولاء المفسدين الضالين اذا دخلوا قرية أفسدوها
@mohamedimiraji5495
23 күн бұрын
Dini kwa sasa inaendeshwa kishabiki. Haswa hili ombwe la vijana wasio na busara kuendeshwa na mihemko ya kusoma dini kiitikadi badala ya kuisoma kama mfumo wa maisha. Innalillahi wainnailayhi raajiuun
@ukweli19
27 күн бұрын
Raddi ya Leo ni atomic bomb...
@abdurashidinasorodini
27 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 kwa nn akhe
@MattarOnlineTV
27 күн бұрын
😂😂😂😂
@user-op5ii7bc1c
27 күн бұрын
Wewe unayesema anaperua anayofundisha ummah ni ya uwongo Allah atamwihifadhi shk bachu ili aendelee kutupa faida
@SuolFat
18 күн бұрын
Tulieni mubainishiwe uongo wenu
@haroubsalim779
26 күн бұрын
Kasim Mafuta na Mohd Mafuta chawa hao wananainika
@amouromar6943
27 күн бұрын
Mwaka mzitoo huu kwa watu wa sunna. Hakuna uwezekano wa kukaaa vikao vya siri vya kielimi mukaweka sawa hayo MASHEKHE ZETU.
@IbnuAlly-wm8il
25 күн бұрын
Ikiwa siri ww ungeelewa? na km hawakuafikiana je?
@Hamis-ks1sy
27 күн бұрын
Cha ajabu kuna salafy wanaambiwa wasisikilize watu wa bidaa ila unaweza ukaona wakifika kwa Bachu wanasikiliza akiwa anasoma qur an.Hatar sana mtu anaambiwa usimsikilze Qassim Mafuta na watu wanamskiliza darsa zake.Msimamo wangu kwangu hawa wote siachi na sitoacha kuwasikiliza naitakidi ni watu wa sunna katika sehemu zenye faida Allah atanisamehe nilipoteleza.
@MuhammadJaffary-uu6zl
27 күн бұрын
Maa shaa Allah tabarakallah hauko peke yako Akhil karim
@Hamis-ks1sy
27 күн бұрын
@@ABUUBAAZNYUNGU-j4xna huyo alosema haifai kusikiliza hata qur an ya mtu wa bidaa vipi nae maana Bachu nae si wamemtia humohumo? Masalafy wapo wanaosiliza Kisomo cha Bachu alhamdulillah,na hata wanaosemwa mahizbi hawawapend masalafy kisomo cha sheikh Abdallah Humeid Allah amhifadhi wanasikiliza basi2 ubishi na mijazba
@Hamis-ks1sy
27 күн бұрын
@@ABUUBAAZNYUNGU-j4x Na hicho Kisomo cha kawaida kawaacha mbali masheikh wengi wakisalfy hata kama hamumpend ukweli ndo huo na hata kama ikitokea siku1 akawa pa1 na nyie basi rundo la wanafunzi watatamani kufubdishwa na huyu jamaa kujua jambo na kupresent ni jambo lingine.
@isihakamgeta5433
27 күн бұрын
HAO MAHAAJAWIRAH MBONA WANA KHERI KULIKO KIKUNDI CHA KINA MAFUTA.
@kasimubangu1875
27 күн бұрын
@@ABUUBAAZNYUNGU-j4xyaan wejamaa ndo miongon mwa watu wenyekujitakasa nafsi zao
@MALELEMBARIMO
26 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂. BACHU BASI TENAAA
@pavillioncry5241
27 күн бұрын
Makada wa pongwe hamjambo kampeni karibu
@mobilespecialschool4216
25 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@abdurashidinasorodini
27 күн бұрын
kweli yaani kati ya nyundo uliowahi kugongo hii babukubwa lao mwakahuu mpaka waseme nawataseme
@mfalmenajjash2128
27 күн бұрын
Ngoja na mm nifunguwe taasisi yangu ya sunnah najina lataasisi yangu itaitwa Muhammad Nasour Bachu foundation , ah majajida nimewachoka kabsaaa 😂😂😂
@sakinasakku8340
27 күн бұрын
Hahahahaaaa hahaaaaa ushasemaaa hahahaaa
@mfalmenajjash2128
26 күн бұрын
@@sakinasakku8340 ee ndiyo kutoka taasisi kuwa haramu mpaka dharura hadi taasisi za sunna wallah simchezo niboratu namm nifunguwe yakwangu nipeleke mahujjaji uko makka
@mfalmenajjash2128
26 күн бұрын
yaani hawajamaa nihatar zaidi ya ukoma
@sakinasakku8340
26 күн бұрын
Niushindani tu lakini habari wanazo
@hidayaramadhani1833
19 күн бұрын
Bachu nimbumbumbu asiejijua
@abdulmalicktvabdulmalicktv3750
21 күн бұрын
Hahaahahhahahahahaha kwa hapa shekh Muhammad nakuunga mkono umeacha nkacheka pekee yangu ofisn dah
@YussufHamad-i5k
26 күн бұрын
Mashallah
@abuushakiraddausiy8666
25 күн бұрын
Jamman kaasimu mafuta na kundi lake muacheni muhammad bachu hamumiwezi nyie wakina mafutanakundi lake mnakuruupuka sana ....
@Abutwalhamwanyuki
27 күн бұрын
Mtoto wa simba wa MIMBARR!!!
@pavillioncry5241
27 күн бұрын
Majadida yashaaabika hoi kwisha hawana la kuwaambia watu tena wakawaamini
@why-ir8zl
16 күн бұрын
Wewe mwenyewe kazi yk kutoa watu kwenye dini kama vile ni dini ya famila yenu!
@jamalsaid7475
4 күн бұрын
Majadida na CCM ndio Hawa na watu wa Siasa Ma Hizbiy ndio nyinyi. Wacheni Fitinah na Chuki zenu.
@HassanHamad-rf9tq
27 күн бұрын
Jamani eee nipo pongwe Maranzara napata wapi kadi ya CCM naombeni namba ya muhamed mafuta anisaidie 😅😅😅
@mobilespecialschool4216
25 күн бұрын
😂😂😂 nipe namba yako nikuinganishe na Muhammad mafuta
@AdamAli-mh4bk
27 күн бұрын
Tunawajuwa zamani hao ni waovu tusipoteze muda
@AdamAli-mh4bk
27 күн бұрын
Mm nalijuwa hilo tangu 2014 alipokuja unguja na akasababisha mabombo ktk msikiti wa darajani
@QudraIbnUmar
21 күн бұрын
Hebu tueleze ulijiua vip na kasababisha vip mabomu??
@user-iu7bl7cc2g
25 күн бұрын
Tunatamani siku Moja utuelezee historia yako ya kusoma
@Najma_Mbaruk
24 күн бұрын
Ili iweje, kama unataka mazingatio basi soma historia za maulamaa huko... na kama unataka kejili basi umefua dafu😂😂😂😂 chuma kinatandika kisawa sawa😂😂😂 apo ndo munasema hajasoma😂😂😂😂 sijui akisoma itakuwaje
@MusaNjalo
21 күн бұрын
Porojo tu@@Najma_Mbaruk
@ahmedseif-cu4ex
26 күн бұрын
Assalam alaykum sheikh Muhammad twaomba skumoja utupe history kidogo kuhusu kadhia ya dammajj mpk kuripuliwa kwake
@issaabdallah1205
26 күн бұрын
Hawa hawana tafauti na wale wasemao DAWA ZA KISUNNA . baada ya kusema Dawa za miishamba ...
@JapharyMawanza-q3q
26 күн бұрын
Kwanzia dakk ya ngapi anazumgumzia U ccm wa Sheikh Muhammad Mafuta?
@saidimpako5186
19 күн бұрын
ALAFU HAWA MASALAFI WENGI WAO NI MASHUSHUSHU WA SEREKALI
@FadhilaBakari-q8t
27 күн бұрын
Mashaallah
@JumaRashidRamadhan
26 күн бұрын
Huyu kijana Muhammad Bachu,hamuwezi kumpenda na munamchukia sana kwa sababu anakwambieni kweli .na hayo najibu sio yy Buchu anoyajibu ,ni vitatu ndio vinawajibu, na kuitwa wajinga sio neno baba kwani mjinga akielewesha na akaelewa hutoka katika ujinga, mungeitwa wapumbavu ndio ingekuwa neno Baya,lakini Bachu mchukieni lakini elimu yake ichukuweni ili musiwe wajinga (huo ni ushauri) na kuhusu hao makada wa CCM vp? Majadidaaaaaaaaaa.
@KhalfanMassoud
27 күн бұрын
Assalaamu aleikum, enyi waja wa Allah.
@Hamis-ks1sy
27 күн бұрын
Wa’alaykum salaam warahmatullah ndugu yetu
@user-ik5hl2be5g
23 күн бұрын
Shekh bachu leokwahili umenifurahisha naukosawa mm penyehaki naukweli nitakuungamkono lakini kwenyemaulidi barazanje sikuungimkono mpakakiama
@jumamahmoud9271
23 күн бұрын
Unasema kwenye haki na ukweli unaunga mkono lkn kwenye maulidi huungi mkono unaonyesha wewe bado hujajua kupambanua haki na batwil
@user-ik5hl2be5g
22 күн бұрын
Kwenye maulidi hajuwi nawalahanahoja
@jumamahmoud9271
22 күн бұрын
@@user-ik5hl2be5g unajua kama haki na batwil hafikai sehemu moja kwaio amua kumueka upande moja sheikh muhamed bachu either yupo ktk haki au batwil
@Athumaniomari-ge2gs
27 күн бұрын
Maaashaallah
@MahirJamilMahir-td7sr
22 күн бұрын
Sheikh kaa na wanaokuzidi umbri na ilmu na wala sio kuongea mitandaoni utafika sehemu utashanga
@HanifaOman-oo4pl
25 күн бұрын
Sikuza mwisho makundi yatakuamengi. Kwahiyo kilamtoatabebamxigowake. Kikubwa tuache ushabiki ndiyo salamayetu tusigeuze dinikama mpila misifa. Nakuitana majina mabaya nakutoleana sili. Jueni kwamba nyie mashehe mnadhima ..kubwa mtalipwa nyuekwahiyo chungeni sifambaya
@JafariNyallu
24 күн бұрын
mashekhe wengi watamfata dajjal, huu ni utabili wa mtume s.a.w.
@naimasbuguza2395
26 күн бұрын
Ccm, Ikiwa ni ccm basi yeye na wenzake wanafanya daawah wasioijua.... U_ccm, chadema n.k wote ni uhizbuuuu... Na bila shaka wanajua, ikiwa kweli wanajua kwann ni wanachama wa ccm??!! Kuna nn nyuma ya pazia
@user-ye3fy9kk6r
27 күн бұрын
Asitushughulishe
@rajabTaratibu
27 күн бұрын
Kweli ninyi majadida kwa kupinga haki ndio zenu eti simpi masikio yangu kumsikiliza we vp lazma ww usikilize na unasema husikiliz mbona umecoment ndo Kaz yenu hata ukweli mkiubain
@AliKhatib-vy1oj
27 күн бұрын
Nasaha yangu yaleo musifanye khiyana shekh kassim mafuta hataki kuonekan picha yake kwann muiyeke
@JafariNyallu
24 күн бұрын
nimeamini Pepo ni ya watu wachache wenye iklhaas sio maneno
@JumaOmar-ku6cr
26 күн бұрын
Wanawadanganya vijana ambao hawajui hostoria ya vit vya sunna tanzania
@user-pe9nq3wu4p
20 күн бұрын
Hujuwi Jambo
@user-xb6tr5vq4b
27 күн бұрын
Shekh tumekuewa na umeeleweka hata kwamajadida halafu tunaombi kuhusu yule mshirikina wakichawi yusufu diwani anavo Tukana watu wasunat alijamaa kua niwarokole au wakatolika namengin matusimeng tunakuomba umutuekeesawa
@Hamis-ks1sy
27 күн бұрын
Yaani yule bahat yake amezima comment mbwa yule.
@IbraFareed
25 күн бұрын
@@Hamis-ks1sy Asalaam aleykum warahmatullahi wabarakatu… USILAM UMEKATAZA KUITANA HAYA MAJINA YASIOFAA Surah Hujurat Aya 11 imetusihi mambo haya, unamuita muumini mwenzako SubhanaAllah, aya hii ilikuja kwa walioamini wote tusiitane kwa majina mabaya (ya kejeli), kwani ubaya wa sifa na jina ni utokaji nje wa maadili ya Dini, na yeyote yule asiyetubu (kutubia kwa tabia yake hiyo), basi hao ndio walio wadhalimu. ALLAH ametueleza kuwa “kuitana majina mabaya na utokaji nje wa maadili ya Dini, baada ya kuwa mmeingia kwenye Uislamu na mmeufahamu. basi watu wenyekufanya hivyo ndio watu waliozidhulumu nafsi zao kwa kuyatenda mambo haya yaliyokatazwa. يا أيها الذين آمنوا لا يسخر قوم من قوم عسى أن يكونوا خيرا منهم ولا نساء من نساء عسى أن يكن خيرا منهن ولا تلمزوا أنفسكم ولا تنابزوا بالألقاب بئس الاسم الفسوق بعد الإيمان ومن لم يتب فأولئك هم الظالمون Tumekatazwa hata kutukana na kuikejeri miungu isio kuwa ALLAH وَلَا تَسُبُّوا الَّذِينَ يَدْعُونَ مِن دُونِ اللَّهِ فَيَسُبُّوا اللَّهَ عَدْوًا بِغَيْرِ عِلْمٍ كَذَلِكَ زَيَّنَّا لِكُلِّ أُمَّةٍ عَمَلَهُمْ ثُمَّ إِلَى رَبِّهِم مَّرْجِعُهُمْ فَيُنَبِّئُهُم بِمَا كَانُوا يَعْمَلُونَ HAPO UMEEENDA KINYUME NA MAFUNDISHO YA DINI YA UISLAM Allah سُبْحَانَهُ وَتَعَالَى ametuambia إِنَّا نَحْنُ نُحْيِي الْمَوْتَى وَنَكْتُبُ مَا قَدَّمُوا وَآثَارَهُمْ وَكُلَّ شَيْءٍ أَحْصَيْنَاهُ فِي إِمَامٍ مُّبِينٍ Hakika Sisi tunawafufua wafu, na tunayaandika wanayo yatanguliza, na wanayo yaacha nyuma. Na kila kitu tumekihifadhi katika daftari asli lenye kubainisha. hajo maneno uloyacomment utakuja kuulizwa ndugu yangu
@MshihirDguyya
25 күн бұрын
Yule hamuwezi yule Sufi ni anajua
@Hamis-ks1sy
25 күн бұрын
@@MshihirDguyya mjinga2 kama wajinga wengine wanaojua wapo wengi2 sio Yusuph Diwani alitaga kwa Bachu akaambiwa alete kjtabu kutoa ushahidi kaingia mitini mpka saiv anazima comment
@HassanHamad-rf9tq
24 күн бұрын
Hana lolote ajualo anajifanya anajuwa lugha 😂😂 hio lugha yenyewe hata uwe vip makosa lazima yapatikane Maana si lugha yetuuuu@@MshihirDguyya
@ameirameir4349
26 күн бұрын
Aibu Kwa majadida
@jamalsaid7475
4 күн бұрын
Swadaqta Majadida hawana Hoja wala Ushahidi Ni makelele pekee. Hatari. CCM ndio chama chao Subhana'Allaah
@nadraiddi8064
27 күн бұрын
Usalafi majanga
@AllyKame-rx2zd
25 күн бұрын
Naam
@HimidAli-s5v
21 күн бұрын
Muhammad kinachomsumbua ni umaarufu t ili au pate soma kwanza ili uipate elim na huwez kupata elim ukiwa na kibri
@jamalsaid7475
4 күн бұрын
Muhammad Mafuta ni Mwanasiasa mkubwa Na mbona hamusemi ni Hizbiy ? Ust Kassim Mafuta mbona kimya? Majadida mbona kimya? Kiboko yenu ni Sheikh Muhammad Nassor(Allaah Amhifadhi)Bachu
@omarylucas97
26 күн бұрын
yawezekana ilikuwa zamani
@massoudhaji8963
26 күн бұрын
Hiyo apo ndio picha halisi shekh kasim mafuta
@HabibuMakoja-y3f
27 күн бұрын
Mbona Abuu rajab amesharaddiwa sheikh
@hafidhwajina6718
27 күн бұрын
Na nani? Kuna waliompa udhuru,hii ndio mada walio radd ni watu ambao walishahitilafiana baada ya kupita sulhu wakawa pamoja,so aliyeradd alirad kwa kuzingatia htlafu za zamani, Hawakuradd watu wa upande wake mulimpa udhuru,ndo mada iko hapo ,huelewi?
@WakaliFashionTz
27 күн бұрын
Sawa na vp kuhus Muhammad mafuta ?? 😂😂😂😂 Au kwasbb kaka ni salafi tumpe udhur?? Daaa kweli dini haitaki kujikweza Kwa wengine na kuwazarau kumbe we wawez kuwa mbaya zaidi kuliko wao"
Asisikilizwee akiwapiga raddi wa2 wa maulidi salafy wafurah lakini hawawezi sema wanamsubir akosee wamlipue,asisikilizwee akimtetea Sheikh Islaam dhidi ya yule shia mjinga watu wafurahi wamsubir akosee wamlipue.
@nasirdinmohammed8741
27 күн бұрын
يا أيها الذين آمنوا إن جاءكم فاسق بنبأ فتبينوا أن تصيبوا قوما بجهالة فتصبحوا على ما فعلتم نادمين Watu wangetaamal na hii aya na wakasoma vizur sababu ya kuteremshwa kwake na madhara yaliyopatikana kwsababu ya watu ambao nia zao ni kuwachafuwa watu bila kujali habar imesihi au haijasihi kafanya au kajafanya mpka kwsababu ya watu mfano wa hawa ( Muhammad bachu) baadhi ya maswahaba walitumbukia kwenye fitna ikapelekea kuchapwa viboko thamanini kwsababu ya dhana yao kwa bibi aisha tufatilieni tujikinaishe na si kila jambo unalosikia unatengeneze chuki kwsababu ya mtu ambae unamuona amekuja kwenye mtandao kwa njia ya nasaha kwsababu hata iblis aliwaapia adam na hawa kwmba yeye ni mwenye kuwanasihi وَقَاسَمَهُمَا إِنِّي لَكُمَا لَمِنَ النَّاصِحِينَ Allah allah fatilieni mambo yasije wakuta mfano ya waliyowakita Hassan bin thabit Allah amrehem kwsababu ya habar ambazo hamjazifanyia tathabut mkajikuta mnaingia kwenye mzigo ambao hamtaubeba mbele za Allah wala barahiyan hakuraddiwa kwsabab ya taasis Tu yapo mambo ya msingi ambayo kwsababu yake akapelekewa kutahadharishwa na sheikh ameyaaeleza bayaan alipokuwa akikiradd kitabu cha ni UPI usalafia jadida akatowa kikao kizima cha kueleza ni UPI usalafia jadida
@kasimubangu1875
27 күн бұрын
Sheikh barahiyan kosalake nini au ni chuki binafsi naco dini?
@user-mq6lu2po3y
21 күн бұрын
Catholic Church Movement
@NuryaMusa
27 күн бұрын
Qasim bin mafuta kweli ni swaafiqah hadadiyah.kwanini. Aseme taasisi. Hazifai .harafu tena. Baadae. Nayy akaja. Kusema taasisi. Sio. Bida.ah 😂😂😂😂😂😂😂😂
@HassanHamad-rf9tq
27 күн бұрын
Kabisaa Dadaa akajifanya kumponda shekh Salim yeye alipo anzisha taasisi ya ibn taymiya akajifanya ooo dharura dharura iwe kwake yeye tuuuu wenzako hakuna dharura hadadiya huuuu
@sumaisabu9816
27 күн бұрын
Njaa ni mbaya Sana wanasema redio Imani na nyengine ni kharam kuskiliza Kisha wakapeleka matangazo Yao kulekule😂😂😂
@halidijuma1884
21 күн бұрын
JADIDAH vs HIZBY ,, hapo ndipo mayahudi walipotufikisha,,, kumbe hata usalafi munapeana tu kama pilau sio ??
@Abdallahsufiaan
25 күн бұрын
Kassim mafuta is typing......
@mobilespecialschool4216
25 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 we mpuuzi kweli
@issaabdallah1205
26 күн бұрын
ATI DUNIA ILIVOKUWA TAMU jani munamuelewa huyu eti dunia tamu
@salehrashid-fx9rq
20 күн бұрын
Natarajia kasim mafuta atatoka hadharani kumradi ndugu yake na kumwita hisbiya
@nusalim3389
27 күн бұрын
Kwahio hapo hio picha ya mohd mafuta kwenye kadi ya kijani ni picha ya dharura kisheria😊 kama ya fedha na paspoti? Chama ndio kimefanywa saddu dharii'a ,ila wenzao answar wakitumia chama kama chambo wanakuwa mahizbi
@Yayouselim
19 күн бұрын
Nan muandishi wa hiyo mustasfaa mbona hubainishi kuwa ni alghazali ambae mnamwita mtu wa bidaa😅😂😂
@yunus-or3ny
25 күн бұрын
Ata kasim mafuta anacho kakificha
@jamalsaid7475
4 күн бұрын
Majadida ni mfano wa Cancer (Saratani) Hatari hii
@jamalsaid7475
4 күн бұрын
Ust Kassim Mafuta jibu hayo lakini vile ni ndugu yako ndio Ahlus Sunnah? Wacha kuficha Haki!
Пікірлер: 318