Acheni kuchafuana kumbukeni Kuna watu nyuma yenu mnajishusha sana
@jonhchamsa3366
Жыл бұрын
Dah yan nyie ndg zang kaz kuangalia kasoro zawatu t zakwenu hamZion
@rukiakhamis-le6kg
Жыл бұрын
Wewe alilolisema unaliona dogo?
@hassankimwan4402
Жыл бұрын
ayo ndo salaf wa leo watu wakuwapiga radi
@khamiskhamis2957
Жыл бұрын
Kama ww umeona makosa yetu unaruhusiwa kurad pia tatizo lenu hata mnapokosea hamtak kurekebishwa ilo ndio tatizo leo mnaongea maneno ya kufru kabisa
@khamiskhamis2957
Жыл бұрын
Masufi niwatu wajinga kabisa alafu wacheka mnafanya istizaa na dini ya Allah
@hemedisalim812
Жыл бұрын
Tatizo huyu anae radd hajaelewa maana ya maneno. Alitakiwa kwanza aelewe vizuri lugha ya kiswahili na misemo yake ya mjini. Haikumaanishwa maandamano Kama anavyofikiria yeye. Hapo imemaanishwa kutilia mkazo au kusifia ubora wa huyu mtu alitajwa.
@khamiskhamis2957
Жыл бұрын
Uwongo huo ww pamoja na walidi nyote Haman akili ww kama shekh huwezi kuongea maneno kama hayo huwo ni ujahili mkubwa
@mohamedsaid1804
Жыл бұрын
Hapo unamjibia wewe. Lakini kubwa zaidi ni kuwa hawezi kujua siri ya mtu. Unaweza kumuona mwema ww lakini kwa Allah asiwe hivyo. Hujasikia kuwa kuna maimamu ni wachawi wakubwa. Nani atajua zaidi ya Allah mwenyewe.
@mishaalabdallah001
Жыл бұрын
Ubora wanaoujua wao lkn Allwah haujui??mpka wasisitize....Punguza ushabiki Al Akh fuata Haqq...utazikwa peke Yako.
Пікірлер: 10