Lidela will do well kwani dela kulivaa si kazi kazi nikulishikilia The way this mama ana shika kiuno dela litamfaa
@msenangu3142
2 жыл бұрын
Mama jumwa kajumuisha 1+1=11
@sharleekachii7560
3 жыл бұрын
Mheshimiwa Aisha Jumwa ,,,,,,,,, wape akili
@mwamambomohamed3817
3 жыл бұрын
Pamoja ashajumwa 🙏🙏
@samuelmukula3210
2 жыл бұрын
Together with Aisha jumwa
@huseinsenior4429
3 жыл бұрын
Chungwa lishaliwa kitambo bado wembe ni ule ule nimkali lakni auwezi pasua kuni✅✅✅🔥🔥🔥moto wa gesi huu maneno UDA team hustler
@MabawaVocal
3 жыл бұрын
PROBLEM WITH KENYAN LEADERSHIP IS THEY DONT LEAD OR HAVE VISION,THEY ONLY BLIND US WITH JOKES AND WE CHOOSE THEM ONLY TO REALISE THEY ARE JOKING WITH KENYA
@TeslaMedia418
3 жыл бұрын
Kile ruto amejenga for 2yrs baba will twist it in a week
@abdulwahiduthari6191
3 жыл бұрын
We see what he has done for 76years babu kushindana na mjukuu wake hahaha
@annechemtai6018
3 жыл бұрын
Kama babu wako
@jettjeremy3227
3 жыл бұрын
Kabisa..Ruto ni mwizi. Mbona hawa wapinga mdomo wamuulizi mbona mradi zake za 2013 kama laptop na stadia haja fanya..ni nini hatafanya mpya 2022 akishika ushukani
@abdulwahiduthari6191
3 жыл бұрын
@@jettjeremy3227 laptop angeidhinisha Huyo mkora wenyu unye, sai ataleta Kenya war 3 ruto ni sawa na yesu na musa walisalitiwa Na watu WA tamaa mwishowe wakajutia usaliti wao
@maryachieng1019
3 жыл бұрын
Am telling you even the freedom we are having today ,its because of RAO.
@MultiKenyana
3 жыл бұрын
Weeeeh 😂😂 kenya sihami
@blackyblack3578
3 жыл бұрын
Huduma namba hiko wapi wanataka kuiba Kura hawa wa bbi sio
@jumawilson5654
3 жыл бұрын
Whatever Raila did to Hon Aisha Juma! She's very bitter and takes things so personal as though there are permanent enemies in politics. Who would imagine one time Uhuru and Raila would be on the same table lo
@lmashua
2 жыл бұрын
Love love Aisha
@siryahesabu8206
3 жыл бұрын
Shangwe, vigelegele na nderemo, tusherehekee wapwani wote, kwani baada ya shujaa Mekatilili wa Menza, akaja Ronald Ngala, Ngala akafuatwa na Karisa Maitha, na sasa kionhozi amesha rudi, Huyu hapa Aisha Jumwa Karisa. Wapwni hoyee!!. Aisha Jumwa tuko na wewe. Mungu akubariki.
@ajasetto45
3 жыл бұрын
Can somebody do the translations? Hatuelewi hiyo lugha ya aisha pokomo au?
@osmanhaji2156
3 жыл бұрын
Hatari dada yangu.
@johnnjenga9675
3 жыл бұрын
Habari ndiyo hiyo 🤣🤣🤣
@elmaxcyber1594
3 жыл бұрын
WACHA BANGI MAMA
@msenangu3142
2 жыл бұрын
Liji papa alitokomea wapi upo bado I miss him
@vionaachiengaching9768
3 жыл бұрын
Mama kiberti goma bure kabisa kwende kabisa
@msenangu3142
2 жыл бұрын
Mama kapiga six kiuno hicho ogopa
@AnonymousAvatarAA
3 жыл бұрын
Aisha Jumwa nakupenda bure...
@lebkn177
3 жыл бұрын
Aisha hoiyeee
@vincentnyawa
3 жыл бұрын
Hiyo kesi yako Mama iliendaje?
@jumawilson5654
3 жыл бұрын
Labda ndio yachangia machungu haya yote
@zuhurasalim8280
3 жыл бұрын
Aisha umenyonya chugwa limeisha Sasa wamunyonya ruto I pity ruto
@mscantraah8210
3 жыл бұрын
Yes 👏🏻👏🏻👏🏻🤣🤣👍🏻👍🏻
@chaliwakisiitv5193
2 жыл бұрын
huyu ni tako lenye mavi mingi
@esaulibuku9176
3 жыл бұрын
Wapi pesa ya cdf ya kilifi county,hio ndio inafanya unakimbilia kujificha kwa wezi
@aliandrew3537
3 жыл бұрын
Yupo opposition wamshike, danganywa tu na kua hustler ni wezi ila sisi tuko na ruto jueni hivyo
@esaulibuku9176
3 жыл бұрын
@@aliandrew3537 hatuwezi ongozwa na kabila mbili milele,sasa ni wakati wa kabila ingine
@aliandrew3537
3 жыл бұрын
Hiyo ndo kauli mbovu so hatakama ni madwanzi/wajinga Hawana sifa za uongozi tuwape tu hata kama ni boroka halifai
@esaulibuku9176
3 жыл бұрын
@@aliandrew3537 ni wakati wa kabila ingine
@maryachieng1019
3 жыл бұрын
Hizo zote ali nyakua
@alexfikiri5200
3 жыл бұрын
We we yako yameisha mama utalima sikitambo msituletee uhusela wenu nanyinyi mnatuibia pesa
@vincentoyoo7533
3 жыл бұрын
Life is too harsh. She is here again throwing insults while the man who they killed at his home in Ganda ward is gone leaving his wife and children orphaned. It would be ideal to tell the people what your plans are when you take power instead of yelling at Mr Odinga 24/7.
@freizbuyuka9989
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 wa utaniuwa
@ruttogeoffrey1163
3 жыл бұрын
Up
@kibaopipa3474
3 жыл бұрын
KUMBE ULIKUWA USHAZOWEA KUMNYONYA BABA NDIO MAANA UNA DOMO KUBWA SAA WAMNYONYA RUTO DUUUH ISEE KURO NO KURO PAPA SHKUNA
@abdulwahiduthari6191
3 жыл бұрын
Kuro inyokwe
@vincentnyawa
3 жыл бұрын
BBI inaongeza fedha mashinani. 35% kila county, wanaoshukiwa na wizi wa fedha, mashamba nhk watashughulikiwa haraka Sana. Constituencies zitaongezwa. Wengi watapata ajira, pesa zitaongezeka sababu ya ongezeko la eneo bunge. Ni vibaya hivyo? Someni BBI wenyewe. Chungenii wanaopinga mjue wanapinga Nini. BBI kuko kerereni.
@MabawaVocal
3 жыл бұрын
HIYO PESA NI WEWE NA MIMI TUTATOA NA WABUNGE WATAONGEZEKA NA NI WEWE NA MIMI TUTAWALIPA,SHIIIDA NDIYO HIYO,ILA SIO HAYO TUNGEUNGA MKONO
@vincentnyawa
2 жыл бұрын
@@MabawaVocal Afadhali tulipe kwasababu ya wingi wa wafanya kazi kwasababu hata wakiwa wachache zitakazo kuwa-Saved hatutaziona.
@judithachieng2099
3 жыл бұрын
Acha kutaja jina LA raila we mama mkiishajichagulia kundi cha wezi tuko tunawangojea
@msenangu3142
2 жыл бұрын
Wamlembeeez
@raziaidd2392
3 жыл бұрын
Aisha mothomotho😂😂😂
@mealiabdalla3919
3 жыл бұрын
Sauti ya kiume toka hapo mama
@gracemoses3062
3 жыл бұрын
Unataka sauti nyororo upeleke wapi!
@alwattanchinga
3 жыл бұрын
Bado mapema Aisha
@ELYJAAZ
3 жыл бұрын
Hicho kiswahili nakimenya
@richardochola6382
3 жыл бұрын
Semenya ashasema
@jamesmwongera4679
3 жыл бұрын
Siasa ya utoto peleka huko
@georgemunyenya5849
3 жыл бұрын
Wapi bwana yako amanihuyo pastor
@maryachieng1019
3 жыл бұрын
Apate bwana wapi na matusi hizo zote na kuzeeka nayo.
@oliverhassan4934
3 жыл бұрын
Wacheni ufala mpeni huyu anabonga poit Kingi amefanya nini mtu aseme hapa give me like down hapo👍🏿
@jacksonmusyoka8837
3 жыл бұрын
Mama Malaya tu
@skyforcetracking5272
3 жыл бұрын
Mama YAKO Kwanza kabla ya mke WAKO
@ramadhanmusa2035
3 жыл бұрын
Malaya ni mamako kumaee
@sheddyulamkamba6585
3 жыл бұрын
Wewe wacha hio yako ni kelele',tunataka vitendo ,simiradi kila mara na hatuioni,wakenya wamechozwa'na viogozi bila matendo,mtatumikia waliowachangua lini ,kila siku siasa duni,stop misusing tax payers money,pia naona hio kiti pia ukiionea kwa viu sasa'
@jettjeremy3227
3 жыл бұрын
Hamna msimamo jiuzulu nenda UDA mdomo tuu bure kabisa
@Ashley_family123
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤞🤞🤞🤞sema tu 🤣🤣🤣
@vincentnyawa
3 жыл бұрын
Huyu hawezi kutufunza tumkane kiongozi wetu Kingi. Kila kabila inaweza kuwa Rais. BBI ni marekebisho ya katiba itakayo wezesha kila kabila iweze kuwa Raisi. Naikuje niipigie kura
@maryachieng1019
3 жыл бұрын
BBI is just abridge to bring Kenyans equally, financially, and the rest.
@alaskassmkirao3484
3 жыл бұрын
Wee bbi ulishaisoma unitumie coppy na mimi
@ruwaramadhan4272
3 жыл бұрын
Viongozi wapwani mmechanganyikiwa
@vincentnyawa
3 жыл бұрын
Waache watafute tikiti ya kuenda nyumbani. Wamechoshwa na kazi.
@psychedelicmind5743
3 жыл бұрын
Raila ndio amewachanganya
@John-qr4kf
3 жыл бұрын
Hiyo sauti🤔
@jettjeremy3227
3 жыл бұрын
Ruto ni mwizi ya shamba na pesa za wakenya..cheki historia yako
@aliandrew3537
3 жыл бұрын
Aliiba kwenu, hujatembea ukaona kenyatta family wako na shamba weza tembea from VOI TO MALINDI HILO HAMLIJUI MEAONGELEA 100 ACCRER
@danielnchoko9400
3 жыл бұрын
Baba tosha
@maryachieng1019
3 жыл бұрын
Ni muizi zaidi usipo jiadhari anaweza kuiba hata mwili yako.
@flavianawuor1967
3 жыл бұрын
Malaya wewe
@Kosiwa
3 жыл бұрын
na wewe marefu
@darwinsymoh6148
3 жыл бұрын
Kwan ww si mwanamke?unatoa wapi nguvu za kutukana mwanamke mwenzako?
Пікірлер: 101