Kinara wa Azimio Raila Odinga hii leo amefichua kuwa rais wa taifa jirani la Tanzania Samia Suluhu Hassan alikuwa nchini wiki mbili zilizopita kujaribu kuwapanitisha na rais william ruto ili kusitisha maandamano yanayoendelea nchini na ambayo yamesababisha vifo, majeruhi na hata uharibifu wa mali.
Негізгі бет Raila Odinga afichua rais wa Tanzania alijaribu upatanisho
Пікірлер: 414