Rais John Magufuli ameweka wazi sababu za kufanya mabadiliko madogo kwenye baraza la mawaziri kwa kuwabadilisha Waziri wa Katiba na Sheria hivi sasa Dkt Mahiga na Prof Kabudi aliyeteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
#Uteuzi #AzamTWO #AzamTVApp #AzamTVUpdates
Негізгі бет Rais Magufuli aeleza sababu za kuwabadilisha Prof Kabudi na Dkt Mahiga
Пікірлер: 9