Kama umesikia iiiiihiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii kama mm gonga like Apo chini
@denismakweba3870
4 жыл бұрын
Hahahaahhah 😂"ukishindanishwa na akina mama lazima utashidwa 😂 😂 😂"
@radhiambwana8787
4 жыл бұрын
Upole na hekma ya juu ndo imemfikisha hapa alipo Husseni Mwinyi.
@alihaan7652
4 жыл бұрын
umeongea jambo nyeti San muheshimiwa ukaskazn. kusini. upemb na uuunguj. hlo ndo kuta gumu linayo ifany zanzibar isipge hatua nakupenda sana magu msem kweli. naipend ccm
@hajihassan5433
4 жыл бұрын
Tatizo zaidi ni kwa Wapemba kwa sababu wakiwa madarakani wanapendelea kupita kiasi mfano Maalim Seif, Mpemba yoyote asiyemsapoti Maalim Seif huyo anatia shaka lakini aliwaumiza sana sana Waunguja kiasi cha kujenga chuki kubwa sana na fitna baina ya Unguja na Pemba. Na hata hiyo Pemba Wakaskazini wanajiona wao ndio Wapemba kwa upande wa Kaskazini Unguja wana tatizo la ushamba sana wamechelewa kusoma mfano tunae Mhe. Omar Haji Kheir Waziri Wa Tawala za Mikoa na vikosi vya SMZ anatokea kisiwa Cha Tumbatu hivyo anapendelea Tumbatu kwao vibaya mno sio Kaskazini kwa Ujumla. Kusini Unguja hawa afadhali kidogo wakiwa madarakani wanakuwa "balance" hawapendelei sana kwao na kukosa kwa Mhe. Shamsi wamefurahi sana kwa sababu Serika ya awamu ya sita (Mhe. Amani) Serikali yote aliwapa wao Mhe. Shamsi alikuwa Waziri Kiongozi, Ramadhan Muombwa Mwinyi alikuwa Katibu Mkuu Kiongozi, Pandu Ameir Kificho (Spika) Haroun Ali Suleiman alikuwa Waziri wa Elimu, Samia Suluhu Hassan Waziri Wanawake na Ustawi wa Jamii nk pia Makatibu Wakuu na Wakurugenzi kadhaa lakini cha ajabu wote hao hawakufanya chochote kwao utashangaa ukiiona Skuli ya Makunduchi utashangaa ni bora mabanda ya mbuzi wakati kulikuwa na miradi kadhaa ya Maskuli. Kwa maoni yangu Dr. Mwinyi ni chaguo sahihi sana na Maalim ajiandae kama anasema anaporwa mara hii ndio kwanza tunataka tumpore, anagombea na Waziri wa Ulinzi. Kura ya ndio kwa Dr. Mwinyi, Maalim naomba ujitafakari ulikuwa Waziri Kiongozi Urais wa baba yake Dr. Mwinyi miaka 36 iliyopita, Usultani gani huo?
@alihaan7652
4 жыл бұрын
sasa nauona tochi mpy inataka kuimulik mwanga wake katk kiza kinene kilicho kuwepo zanzibar. dokt mwiny ni ww sasa tumulike wa zanzibar. magu baba isaidie chag tochi hii isije zimwa n weny ftina za ukabila ambz zpo chini kwa chini. kisiw chetu ni kidgo sana kukibdilish. eny viongz weny uzalendo shirikianeni na rais wet mtarajiwa ili munyooshe nchi na kuijenga vyem ifike wakat kula na kutumia vbya madarak iwe ni kikomo. munatmbea nchi mblmbli na kujionea hatua nzuri za kimaendeleo bas naiwe wigo kwetu. nawe Dr mwny safixh chma chetu usiwe na muhali na mtu ataekuw fisadi na kuijumu uchumi wa nchi yetu pendwa. mungu akuongoze vijana wa zanzibar tuntk mabdiliko. na hkun wa kubdlisha nchi ispokuw yule kiongz mkni tulomuamin na kumtegemea km ww Dr mwiny. ww ni mpole smrt. upo bright pia. tubdilishie nchi yetu tusiusudu vya watu.
@mahamoudduchi3318
10 ай бұрын
@@hajihassan5433punguza ujinga na uhafidhina chuki mara nyingi huzaa hasadi na choyo.
@DottRoBroc
3 жыл бұрын
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!
@arafataliomar7432
4 жыл бұрын
Halafu tukae tukisha baguana tuseme ni wabara ndio wanaosababisha haya leo watupatanisha hawa
@hashimabdallah673
4 жыл бұрын
Waache kweli ukaskazini na ukusini upemba na uunguja
@aliabeid6226
4 жыл бұрын
hapo umesema Mr president tatizo la zanzibar ni ubaguzi kila mmoja anjiona yeye n bora kuliko mwenzake
@vuaimuhidin6343
4 жыл бұрын
Thanks Mr president 4 bring us golden mind.
@sandalalutubija235
4 жыл бұрын
Kama umesikia gihiiiiiii inamaana hakuna mambo ya chenga chenga
@hashimabdallah673
4 жыл бұрын
Yaani John Pombe Magufuli mungu akulinde tukutane uso kwa uso ujue na wengine wazembe uwanyooshe
@salumjuma3152
4 жыл бұрын
Kweli kabisa haya mambo ya upemba na unguja ukusini na kaskazini ndio yanaila Zanzibar Hebu tuamke kwa maslahi ya wazanzibar
@salimmawiya6473
4 жыл бұрын
Wapo hapo wabaguzi wanaoleta upemba na unguja
@petromtakati2975
2 жыл бұрын
Bola angekuwagaa mwinyi tu pumbavu
@selemankishema5780
4 жыл бұрын
Uzuri wa CCM wanahazina saana ya viongozi saana tena saaana.
@mwinyimkuu1045
4 жыл бұрын
Ccm oyee
@KS-iw7qv
4 жыл бұрын
Yah..... nipo pamoja na wewe.... maana jaribu kuvuta picha HAPO MBELE kwa MFANO tu aangalia... Majaliwa,Jafo,Kabudi, Lukuvi.... n.k
@vascokasambala2159
4 жыл бұрын
Ipo poa
@abbyadams8691
4 жыл бұрын
Inhiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!🏃🏃🏃😆
@iviejustified8109
4 жыл бұрын
Kabisa mzeee... Nakubaliana na wewe... Mimi na mama yangu ni dah hauwezi kutubadilishaaaa... Mwinyi Hessein ni kama baba yake... Wanelewa kunyenyekea... Mungu awabariki saaana
@AbuwNibras926
4 жыл бұрын
Dr.Mwinyi anastaili kabisa atakuwa Rais bara
@madiyaahmad7453
4 жыл бұрын
Yaani hadi raha❤❤❤
@julessebintu6525
4 жыл бұрын
tuseme ukweli sisi wanyarwanda, wakongo,waganda, wakenya,warundi,wa uganda, Tanzania ni wazungu mukichwa. wanatuzidi uzalendo wakupenda inchi yao. NYERERE ni mutusi tunafahamu alikuwa na akili yawa israeli. iko nahakili yakuona mbali njomana wa Tanzanie wanaishi amani
@sasha-ri7tf
3 жыл бұрын
Nenda huko na corona lako ukawaongoze mashetani wenzako.
@zubeirsalum128
4 жыл бұрын
Kwa Zanzibar hii labda mufanye Mambo yenu yale yale mpira mutiye kwapani Ila kwa kura wazanzibari hatufanyi kosa Hilo. kura husemi mwinyi hatumpi ng'oooo
@williammatondo
2 жыл бұрын
Mlaze mahali pema pepon
@anthonyzambi4415
4 жыл бұрын
Namuona marehemu raisi mstaafu mkapa hapo akiwa anafurahi
@sautiyamwanamke5560
4 жыл бұрын
Yes! Damu mpya na mambo mapya. 👏👏👏👏 tumepata kijana atakae kwenda na speed ya SGR💪💪💪💪🔥🔥🔥🇹🇿
@ameyashey3174
4 жыл бұрын
Nani kasikia SHIKAMOO SHIKAMOO SHIKAMOOooo😂😂😂😂
@emmanueldavid6367
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@kulwamigo9127
4 жыл бұрын
Binafsi Mwinyi hata mm namuelewa sana huyu kk. Mungu hamtupi mwema.
@masharubundevu3765
4 жыл бұрын
Huyo hakuchaguliwa na Wazanzibar, co chaguo lao kwa mujibu wa kura na wajumbe wsliotoka Zbar ni 35 tu nando kura walizopata wazanzibar
@sharifjuma1220
4 жыл бұрын
Jecha uyee 😎 tunajitazamia mara hii mnachukuwa uraisi kwa janja ipi. You can fool people sometimes but not all the time.
@bernardndemba2253
4 жыл бұрын
Acha chuki Kijana wewe ikifika siku ya uchaguzi nenda kachague unaemtaka
@sharifjuma1220
4 жыл бұрын
@@bernardndemba2253 wacha wewe mie sinachuki yeyote wacha kunifikira ubaya. Nimesema ukweli, na utakuja kuniambia. Stay tuned. Ccm democracy in progress. Jecha si kawaweka na juzi kawavua nguo. Yaani vituko kwenda mbele.
@sharifjuma1220
4 жыл бұрын
Na mke wa Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi. Yuko Dodoma kwa taarifa yako. Katika makada wa mkutano mkuu.
@mariamuseifu3065
4 жыл бұрын
Ccm oyeeeeeeeeeee
@harithahmeid8704
4 жыл бұрын
Kwailo zanziba hujatushawish kabisa uyu mtalii tu znz rabda mtuzulumu tena ktk uchaguz.....znz huna ndugu ww.
@stevenpaul4818
4 жыл бұрын
Hahahahahahahaaha
@mwarabulaizer5918
Жыл бұрын
Kwakweli wezangu mimi binafsi ni kama namwona rais wangu aliye tangulia mbele za haki kama yupo hai dah RLP rais wangu mungu akulaze mahala pema peponi
@hatibbaraka3956
4 жыл бұрын
Hapo kweli umesema, lakini tatizo lipo hapo Upemba na Uunguja, hatuendi na tatizo lipo kwake mzee unakaa sana Bara huku kwetu hao watu wako ndio wanaoharibu mambo uje utoe povu angalau mara 1 kwa mwezi.
@zephrydanaromwanabhajamari2345
4 жыл бұрын
Hongeereniw
@asmahassan7570
3 жыл бұрын
Had usifiw na magufur ujue umefny kubw😂😂😂
@ukweliunauma4570
4 жыл бұрын
Ndio kura atapata zanzibar, tunajua sote atashinda, Jamani vitisho vya nini? Tuna ndugu zetu msituulie tena kawa siasa kwa tamaa za madasaraka, Jamani anae jua maana ya eeeeheeee ihiii mtaona matokeo. 🤔🙄🙄
@kombochaliii3187
4 жыл бұрын
Asante mueshimiwa kwa kuyaongelea hayo w2 waache ubaguz
@mrfix6596
4 жыл бұрын
Dah! Hapo mwisho mheshimiwa nimekuelewa kwa mbaali, makamo wa raisi wa Zanzibar unataka akuzidi umri bila shaka, 😂😂😂 usijali, tutakuwekea mstaafu meja.🏃🏃 wengi hamtonielewa, ila screenshot hii meseji, tukutane November 2020,
@salimmawiya6473
4 жыл бұрын
Mheshimiwa Magufuli umewachana hao washamba wanaoleta upemba na unguja
@sumayahfathi9413
4 жыл бұрын
Mashallah Allah akamtangulie, Akampe utulivu zaid ya hayo aloyafanya nyuma,
@shamimhayat7637
4 жыл бұрын
Hiiiiii
@cidewashington467
4 жыл бұрын
We Magufuli weee mtumishi wa Watanzania chapa kazi Raisi wetu tupo nyuma yako sisi Watanzania , Allah akujalie afya njema . Amiina
@aminaomar9675
4 жыл бұрын
Usultani Naina hapo
@babusadala5732
4 жыл бұрын
Wanatushinda kwel kweli mweee ...😅😅😅😅😅
@Deep-state
3 жыл бұрын
Kenya and Tanzania we are one jameni
@vuaimuhidin6343
4 жыл бұрын
Huyoooo ameshapita ccm oyeeeeee
@narxtz
4 жыл бұрын
Hatari hatari saaana
@maulidmasanja1502
4 жыл бұрын
Pambana mzee
@festomsoffe3767
4 жыл бұрын
Mwinyi pokea kura yangu kwa moyo mkunjufu
@konceptualagency4837
4 жыл бұрын
Magu hataki kumakia shikamoo
@hashimmloso8984
4 жыл бұрын
Sefu..huyo
@pandungozi1072
4 жыл бұрын
Kiini macho heavey👌😎
@peter2020laizer
4 жыл бұрын
You spoke well Mr president
@lyrics_forum
4 жыл бұрын
Hiki chama ni Hatari mno, Kina Wafuasi kibao na Sera zao hua hazipindipindi🙋
@rebeccantenga3311
4 жыл бұрын
I love ccm
@benjaminmangu4833
4 жыл бұрын
Tunzeni hii comment, "Dr. Mwinyi is going to be the next president of URT after Dr. JPM."
@salimkimaro2311
4 жыл бұрын
I agree with you bro.
@martinemasanja1633
4 жыл бұрын
Akipewa Zanzibar hawezi kuwa raisi wa jamhuri
@franciscomasungulwa3575
4 жыл бұрын
You are talking about 15 years later
@benjaminmangu4833
4 жыл бұрын
@@martinemasanja1633 kwa nini? Ngoja tusubiri!
@benjaminmangu4833
4 жыл бұрын
@@franciscomasungulwa3575 Duh, unamaanisha ombi la mzee mwinyi litafanyiwa kazi?
Пікірлер: 84