Awatokomeze wote nakupenda mseven kwa kutokomeza mashoga
@alimomade2712
2 ай бұрын
Big up Museven, and Sky
@mdl6463
2 ай бұрын
Mungu ibariki 🇹🇿 TANZANIA Mungu ibariki 🌍 AFRICA
@JosephBilombelejosbimtungwa
2 ай бұрын
Ninyi waoga tu
@awadhrajabu1403
2 ай бұрын
Tena Awatokomeze Kabisa Shelia Kufuata Muhimu
@KampangaKampanga
2 ай бұрын
Lakini Sheria za mungu mnaacha 😅😅 haya nimaajabu kwakweli.
@Hamisi8465
2 ай бұрын
Shelia inasemaje😂😂hakuna uhuru wa kuandamana?!
@hemedjackson2261
2 ай бұрын
Huyu sio Ruto 😂😂😂 ohooo, mjomba ana akili zake peke yake mchaa huu
@JeannetteManirambona-o6m
2 ай бұрын
😂😂😂mjomba hataki ujinga
@nshimirimanacedrick2006
2 ай бұрын
sio kenya alipigana vita vikubwa mandamano kwake hilo swala ndogo
@JeannetteManirambona-o6m
2 ай бұрын
Mseveni amesema musicheze na moto 😂😂😂
@FranckDaniel-cc5rg
2 ай бұрын
Safi
@brianbaltazar6198
2 ай бұрын
Big up museveni
@ndiiyolazaro1125
2 ай бұрын
Mseven sio mtu wa kumchezea😅
@mtulivu-ir1nq
2 ай бұрын
Big up sana museven🔥🔥🔥
@reubenkissinga5802
2 ай бұрын
Wanapewa Kesi ya Uhaini,,,jela Maisha au kunyongwa
@MS.independent8934
2 ай бұрын
Wata nyooshwa kweli mzee achezagi huyo sio Ruto 😂😂
@jumakibwana1810
2 ай бұрын
Uelewa wako ni kidogo Katiba ya kenya ni tofauti na katiba za inchi nyingi za africa wengi wao ikiwemo tz bado wanatumia katiba ya mkoloni tu but Kenya ni tofauti kabisa so huwezi mfananisha Ruto na Mseveni kila mmoja hawa katiba ndio inamuongoza
@nyembomajid1262
2 ай бұрын
museveni anaongoza Kwa ubavu ao lugha rahisi ni ditecta ruto ao Kenya ina democratia ...Mimi kuwa shauri vijana wetu kutoka uganda wasijaribu Tena wavumilie shida atakapo Toka mzee maisha itakua shwali
@victorguapo7827
2 ай бұрын
@@nyembomajid1262museveni n mwanajeshi hes a 4 star general
@MohammediKihimbwa-bj4pf
2 ай бұрын
Baada ya uganda kukataa ushoga ndiyo wanaanzisha maandamano ao wasfrica feki wanyoshee
@Hamisi8465
2 ай бұрын
Unajua maana ya corruption ama kizungu kimekupita
@eddechriss2664
2 ай бұрын
Tatizo la M7 ni kushindwa tu kudhibiti rushwa, lakini ni kiongozi mwenye misimamo mizuri sana kwa mustakbali wa Uganda na hata Africa
@JohnCage-we6tp
2 ай бұрын
Ni Sawa kujibishwa ila huyu mtu kashapat ten dah 1986 yupo madarakn mpak leo yup madaraj duh miaka 38 mpak leo ni yeye t Alf hao west anawatukan wamulizi kitu
@sonnyr1899
2 ай бұрын
@@JohnCage-we6tp Inabowa kwa kweli kisha mwanae mku wa jensi, mke wake sijuwi mshauri wa raisi.
@jaymwinyi6957
2 ай бұрын
@@sonnyr1899😂😂😂Uganda bado wako ukoloni
@hamisramadhan-eb3ie
2 ай бұрын
Mi naungamukono huu niujinga sisiwa africa tunajali utu wamtu hatuwezi uendelea kutumika namashoga wakigeni 😢
@CadeauZabibu
2 ай бұрын
Atawauwa
@SaraphinaKidoti-qe7gi
2 ай бұрын
Apo kumbe mzee yupo sahihi wazungu wathenge sana
@Hassan_Mengi
2 ай бұрын
Yupo sahihi kivp? Huyu ni kibaraka wa hao hao wazungu anaowatukana. Huu ujanja wake yy na Kagame wa Rwanda asieujua nani!? Mzee ameona kinachoendelea Kenya, ameona nguvu ya umma noma sana haiwez, ameogopa kupinduliwa na vijana wake sasa ni kutoa jumbe za vitisho na kusingizia nchi zingine😂
@rumdeesonsoa1811
2 ай бұрын
Unayaamini maneno yake akikwambia ni watu wa nje? Mtu amekaa miaka 40 madarakani kuna mwananchi yupi ambae hajamchoka?
@rizikimohamed2449
2 ай бұрын
Duuuuh yani balaaa tuu
@worldhappiness1181
2 ай бұрын
Anaijia siasa, we unafikir hata Kenya angekuwepo Uhuru yangetokea yale.Rais lazima iwe na Sura mbl, ukiruhusu watu wakuchukulie mnyonge, umepotea. Watakuzoea ndo yale watu wanaenda kula Ikulu.
@rumdeesonsoa1811
2 ай бұрын
Hamna mwananchi ambae hajamchoka huyu rais. Yuko madarakani karibia miaka 40 sasa na nchi imedidimia kiuchumi
@hasanimkamba8377
2 ай бұрын
daah kweli huyo mwamba sio ruto
@emanuelmaraki9758
2 ай бұрын
Kwani katiba ya Uganda inasemaje Iko sikuu Yao maisha yanaendaa
@raulianraphael6853
2 ай бұрын
Safi sana Mzee wetu kama mkoloni chin ya Malikia wametutawala zaid ya miaka 100 why waone mzawa wa nchi huru ndan ya nchi yake alioilinda Aman kwa kipindi chote alichokaa madarakan miaka >35 kua hafai kakaa mda mrefu Issue s miaka mingap Issue n Aman kwanza Maendeleo,mshikamano nausawa Vp uwe na Mabadirishano ya viongoz alafu aman iwe kama Maji jungian Angalia Congo,Somalia na Sudan Alaf mnipe jibu Democracy imesaidia nn apo Na kama Issue n kukaa sana madarakan bas nchi kama Kenya na Africa kusini wanao bad Irish viongoz maisha yangekua kama peponi wananchi wasingekua wanalia kila siku
@alimkumbukwa8363
2 ай бұрын
Uyu anjfichia kwenye kukatza ushoga Lkn serkl yke n haina jipya ata kidg
@hajjiomary2383
2 ай бұрын
Wanyoshe kenya wanataniwa na kuaribu nchi
@MursalLusinde
2 ай бұрын
Hawa waganda wamekurupukaa kwa kuiga ya kenya wanashindwa kujua kwamba kule kenya kinacho walinda waandamanaji ni katiba yao inaruhusu kufanya hivo.. hawa wenzetu walipaswa wajiulize kwanza ule ujasiri wa watu wa kenya na kiburi wanavitoa wap.? Jibu ni katiba yao inawalinda na inaruhus maandamano ya amani kwa wananchi kma hawana imani na serikali yao.. je waganda walilijua hili kabla kuandamana.? Wamelichuma janga bila shaka itatoka adhabu kali iwe fundisho.. ukilichuma janga utalila mwenyew aise
@yasminoluoch169
2 ай бұрын
Sasa wewe wajielewa❤
@DeusRobart
2 ай бұрын
mwamba huyuapa🕺
@yahayahussein3224
2 ай бұрын
Kiukweli mseveni ni raisi mwenye msimamo wa nch yake hongera sana hata sisi tz hakuna kikundi wala watu wanaweza kutuharibia amani acha wakenya watumike hawajui kijacho kwamba nikibaya sana
@ramadhankakai7303
2 ай бұрын
Mnaishi na Rais mmoja miaka karibia 40 kwani ni baba yenu mzazi? Huu ujinga tuliumaliza na Kenya toka enzi za Moi na mbwa wenzake
@Khalidniya380
2 ай бұрын
Nashangaa watu wanasupport maandamano Kenya na mnapinga maandamano ya Uganda bure nyinyi kabisa
@ndikumanaismail5419
2 ай бұрын
Tunataka mabadiliko Museveni ameshakawiya sana madarakani na akuna chochote kinachobadilika watu wanatesekatu apishe wangine
@alimkumbukwa8363
2 ай бұрын
Aaaa uyu rais bn anzngua
@kiatu
2 ай бұрын
Nchi iko kwenye mavumbi baado anadhani yeye ni rais bora.
@soudmoshmnyika5813
2 ай бұрын
Watu kama ninyi huwa hamkosi
@abdulyabdunuru1476
2 ай бұрын
Ila mzee sasa amezeeka apishe na wengine
@KesslyTravelZanzibar
2 ай бұрын
Nenda ww😂😂😂
@ndikumanaismail5419
2 ай бұрын
Museveni yeye sio mungu kubakihapo milele kwa nn sasa iwehivo? Ufisadi ahuwezikuisha Africa mpaka mtuajitoleye kama magufuli wamesha tunyonya sana wanainchi wanateseka Sana tunaishia inchizawatu kwasababu ya viyongoziwetu wabaya
@ndikumanaismail5419
2 ай бұрын
Mandamano iyondodawa yao kunabaki Congo napo tumechoka na Rwanda pia na Burundi pia watu wanatesekasa viyongozi wetu niwatunishi wa mabepari namanisha mabeberu
@Hassan_Mengi
2 ай бұрын
Mu7 anaogopa kupinduliwa😂
@Bumutz-po2df
2 ай бұрын
😅😅😅😅😂
@salimomar-n7s
2 ай бұрын
Waugunda na wa tz niwaoga
@Clever-l8v
2 ай бұрын
Sawa ila faham wezi ndio uwoga hawana munaandamana kenya au munaiba
@zainajirani5296
2 ай бұрын
Sikiliza kero za Wananchi wako
@sonnyr1899
2 ай бұрын
Aise hizi koo zakuchukuwa nchi kuwa mali yao 😢😢 wanabowa
@yasminoluoch169
2 ай бұрын
WENYE MMASEMA HUYU SI RUTO KOMAAAAAA ...EA MKO NYUMA BUT KENYA TULIBADILISHA KATIBA NA TUNAJUA HSKI ZETU SO MPUZI KAMA MSEVENI ATA YY ANGEKUWA KENYA TUNGEMNYOOOSHA....
@khamis9187
2 ай бұрын
Jiangalie museven yasikutokee ya albashir na mugabe..bora uachie mamlaka kabla hujadhalilika..
@eleven-in5qw
2 ай бұрын
Umesoma hiyo nakala kwa mda mrefu saana na naana ikiwa fupi
@Hamisi8465
2 ай бұрын
Wanamuogopa bure mzee... Wangejitokeza wengi kama ilivyokuwa kenya angekamata wangapi
@Ryannkae
2 ай бұрын
Sindio
@jameskilasa759
2 ай бұрын
Kenya iko kwenye ukolon inaongozwa na wazungu na kenya sio uganda mzee
@Hamisi8465
2 ай бұрын
@@jameskilasa759 Acha ushamba... Unajua ukoloni... Museveni ni mkoloni tosha
@djafro8729
2 ай бұрын
Kweli musevi ni dictator
@godfreyjob6063
2 ай бұрын
😂😂😂😂
@johnmichaellukindo21
2 ай бұрын
Uwongo mkubwa etie wahusika kutoka nje 👎 arriba demokrasia!
@khamis9187
2 ай бұрын
Uganda hakuna tofauti na nchi nying za africa, zaidi ya miaka30 museven upo madarakani, nini umekifanya tofaut na nchi nyengine.
@CadeauZabibu
2 ай бұрын
Iko muwaji utawauwa suko muwaji
@kidatokassim7616
2 ай бұрын
Watu wanaenda kuekelewa makosa wasioyajua huko kortini Gen Z ya Uganda hawana bahati
@jumashedafa
2 ай бұрын
Ngoj wanyooshwe...hapa unaend kupewa kesi tu mf; uvunjifu wa amani, uhaini, uharibifu wa mali za umma, uhujumu uchumi n.k...Yan hawa wanafanywa kama case study ili nawe ujue kama huamin nenda barabaran nawe ukawe teaching aids
Пікірлер: 75