Kuna kitu Cha kujifunza kwa wenzetu wa kenya ifeka wakati wa kuondoa woga nchini Tanzania tuseme enough is enough
@rainekisha
2 ай бұрын
Mjue kuwa politics it's life
@AhmedHassan-vl5zf
2 ай бұрын
NI mjinga wewe hayo maandamano yanayo zaminiwa na kabila la Kikuyu hawakuwa happy nafasi zote wamepewa wakenya
@PabloEscobar-wt1fq
2 ай бұрын
Yataka roho mshkaji wangu🔥🔥
@jedidahbintidaudi8241
2 ай бұрын
haswaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa..niseme tena haasswwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@felixmsale9244
2 ай бұрын
Tanzania ni nchi ya waoga .Marais wake ni miungu wadogo.kama huyu Mama nae kajitambulisha rasmi yeye ni kiziwi hasikilizi wananchi kabisa.
@leonolinga2834
2 ай бұрын
Power to the GenZs, Power to the people of the nation 💪🏽🫡🫡🫡
@chancelebishopofficial2785
2 ай бұрын
Erick omondi ✊🏿✊🏿✊🏿✊🏿
@kassimbayuu
2 ай бұрын
Dj smaa upo sahihi kabisa
@Keemoji12
2 ай бұрын
Kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
@zeinababdi4757
2 ай бұрын
Power to the people , especially the youth who lost their lives for justice and calling out the leadership
@isabellarkageha7707
2 ай бұрын
Hoyeee gen z saa hii tutasukumana kwa traffic jam ......na hao 😅
@stejasatv7349
2 ай бұрын
Kumekucha mkuuu❤️❤️❤️🙏🙏🙏
@aliijumanne8293
2 ай бұрын
We are winning 🥇 this move..... Lakin bado kazi.....
@unjuusalvatory5331
2 ай бұрын
Nevertheless of its majority setbacks, democracy remains to be the most practical approach of governance for the modern demanding humanity. You got it Mr. President, lead to demonstrate and influence others🇰🇪
@jeremiahcharles6027
2 ай бұрын
Wakenya ,kwa sasa inatosha ,, serikari imewasikiliza ,wanapaswa kumpa muda Raisi wao ,,,,na SI kupanga maandamano yasiyo na maana yoyote kwa sasa zaidi ya kuivunja nchi yao wenyew,,wakenya Mh raisi kawasikiliza ,sasa mpeni muda aiendeshe nchi kwa utulivu
@cath-ef7wd
2 ай бұрын
Umesema sawa kaka
@cooljay9489
2 ай бұрын
tulimpa mdaa akatudanganya. alf kuskiza wanachi si favor ni katiba.
@emmanuelmasanja6040
2 ай бұрын
Kwa kweli wampe muda
@yahyakabaila
2 ай бұрын
Nchi ni wananchi
@trendz_2548
2 ай бұрын
Baaaas tuende kazi
@fuadbawayo9233
2 ай бұрын
Kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 nchi yangu
@yussufoptic
2 ай бұрын
Mawaziri hawana shida, ajiangalie yeye mwenyewe "chombo cha mabepari"
@halimahassanungura4588
2 ай бұрын
Hivi sasa ndo amejua kua hana washauri wazuri😊
@mosesg.pendael8381
2 ай бұрын
Muda ulikuwa hauruhusu. Angeharibikiwa kama angefanya mapema. Usisahau alianza. Lkn hakuendelea. Hakuwa na Back up
@Brunotarimo10
2 ай бұрын
Tanzania inafaa tuwaige Kenya Uwaziri tanzania ni kama ufalme . Ndo maana kila wakati nasema tanzania inaitaji katiba mpya
@omarnimrod1369
2 ай бұрын
anza wewe.
@tatukingi2543
2 ай бұрын
😂😂😂tulieni tuwaoneshe mambo yanavyo fanywa mpka tulize hili kazi ndio.mkurupuke n.a. nyinyi
@Elizabeth-gq9kl
2 ай бұрын
Mpiganie katibakwanza ndio mutaanzakuandamana kamasisiku kenya
@Brunotarimo10
2 ай бұрын
@@Elizabeth-gq9klkatiba mpya itatuondolea utawala wa kifalme . Eti baba yako alikua na cheo fulani kwa serikali na mtoto wake anapewa cheo
@Maishanimaamuzi
2 ай бұрын
@@Brunotarimo10mambo ya kijinga wakenya wamekataa kufanyiwa
@MuniraShughuli-kc7vj
2 ай бұрын
Bado hajasema na atasema tu😂Genz hoyeee🎉😂😂
@faiththwagi238
2 ай бұрын
Hoyeee
@mustaphabett5616
2 ай бұрын
Congratulations 🎊 my president...we kenyan genz we are so grateful now....let the work begin.....we are proud of you baba.....lets end this vice of corruption
@KassimAlly-xp4dz
2 ай бұрын
Ur not genz i can see
@dayahkibadeni185
2 ай бұрын
my president my hope my happiness
@Elizabeth-gq9kl
2 ай бұрын
Kwerakabisa.
@yasminoluoch169
2 ай бұрын
Lione hili naye kubwa jinga😂
@wambuageorgemutua1930
2 ай бұрын
My Kenyan people we keep on pushing....#RutoMustGo
@Majambo_Duniani_Tv
2 ай бұрын
Eric Omond
@piusrweyemamu3900
2 ай бұрын
Umemuona Mh. Rutto anataka kulia😢😢😢
@UmmyZakiah
2 ай бұрын
na amekonda wallah nikama hakuli
@ChumanaSusi
2 ай бұрын
Bado tunazidi kumfinya makende zake bila huruma hadi asalimu amrita. Hapa kenya 🇰🇪 hakuna wajinga wa kucheza na ruto. Ataenda nyumbani. Alikuwa ametuzoea sana
@piusrweyemamu3900
2 ай бұрын
@@ChumanaSusi hongereni wakenya, Mmeamua.
@piusrweyemamu3900
2 ай бұрын
@@UmmyZakiah 😂😂😂
@UmmyZakiah
2 ай бұрын
@@piusrweyemamu3900 🤣😂amekua kama mkufi imediately
@pendomalisa9308
2 ай бұрын
Ahsante
@salimmwakaribu942
2 ай бұрын
Huku bdo anauwa vijana wetu Ruto must go
@sophiekindem9071
2 ай бұрын
People's Power 💪 🙌 🙌 🙌 Nguvu ya Wananchi Siyo Mchezo..
@tuwasalimu
2 ай бұрын
hongera muheshimiwa ruto kwa maamuzi yako
@FelistersMejumaa-xi2ge
2 ай бұрын
Comments zote zilizo comentiwa in English niza Wakenya congratulations my fellow Kenyans l like this 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦 proud of my country people
@KassimAlly-xp4dz
2 ай бұрын
U will alwys b slaves kwenye nchi yenu wenyewe
@mwalimunyerere
2 ай бұрын
@@KassimAlly-xp4dz Please write without grammatical errors; until then, we can talk about slavery.
@martinmwasubila8762
2 ай бұрын
Mwafrika jikomboe ktk nyanja zote, hata ktk lugha...ipende lugha yako mama...kutumia lugha ya kikoloni ni sehemu ya utumwa wa kifikra! Kujifunza, kuelewa, kuongea kifasaha na kumudu vizuri lugha za nje ni jambo jema na zuri na linafaa LAKINI zisitufanye watumwa ktk nchi zetu ...lugha zetu za Kiafrika kwanza zipewe kipaumbele cha kwanza. Mfano KISWAHILI ktk nchi za Afrika Mashariki na kati tukipende, tukiongee hata kwenye majukwa rasmi ya shughuli za kiserikali hata kimataifa!
@mwalimunyerere
2 ай бұрын
@@martinmwasubila8762 kwanza kiswahili si chetu. ni lugha ya pwani. kama wewe si Bajuni, unazungumza lugha ya mtu mwingine. HAHA
@martinmwasubila8762
2 ай бұрын
@@mwalimunyerere pwani hiyo iko wapi?
@Keemoji12
2 ай бұрын
🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
@JosephAlakonya
2 ай бұрын
Inafaa tufanye maandamano Moja ya mwisho so that he can fire himself too.....#RUTO MUST GO🇰🇪
@classicwaisala6677
2 ай бұрын
Ujinga sasa
@USDisdoomed
2 ай бұрын
Wazimu ww😂😂
@zeinababdi4757
2 ай бұрын
Watanzania waoga sana, Kenyans dont play
@laurine7898
2 ай бұрын
Kazi bado, ndio tumeanza tu, mambo ni mengi mda ndio mchache. Governors na mcas tunawaweka rada hakuna kuchezea jasho letu.
@Alfredo_Kenya
2 ай бұрын
Power to all Genz kenya
@abassimussa7473
2 ай бұрын
Bunge livunjwe tafadhali ruto🇸🇸🇸🇸🇸🇸 tupige Kura tena
@malongoisack5811
2 ай бұрын
Usijali hiyo inakuja soon Na itakuwa solution no 2 Ikishindikana solution no 3 itafanyika ambayo ni Ruto kuresign
@billjames1216
2 ай бұрын
Ww ni wa nchi gani hii unataka kupiga kura kenya???
@annanzallo1150
2 ай бұрын
@@billjames1216😂😂😂 sio Kenya
@leeheyon
2 ай бұрын
well said
@michaeljuma254
2 ай бұрын
Ruto knew on Tuesday atapinduliwa serikalini ndo maana anajaribu kubadilisha mwongozo. So I don't understand what will happen on Tuesday kwasababu hashtag imebadilika na kua #RutoMustGo
@Qqambaa
2 ай бұрын
😂😂😂
@henryachila5448
2 ай бұрын
Shida yetu ni ruto as long as bado yuko pale hatuna amani, atashuka
@sarafinawanja8549
2 ай бұрын
Kenya my nation God bless you
@cath-ef7wd
2 ай бұрын
Wewe shida yako ni ubinafsi
@yasminoluoch169
2 ай бұрын
Bado Tuesday ataanguka tu
@hanashhanash535
2 ай бұрын
He try to remove are little problem but we can't forget the big problem is You, still we stand Ruto must go
@billjames1216
2 ай бұрын
Huyu Ruto bado haaminiki my friend bado twa tazama tu
@mosesg.pendael8381
2 ай бұрын
Kwa lipi?
@ChumanaSusi
2 ай бұрын
Tutampeleka nyumbani. Tumemfinya makende hadi amesalimu amrita ya Gen Z
@ChumanaSusi
2 ай бұрын
Tutampeleka nyumbani. Tumemfinya makende hadi amesalimu amrita ya Gen Z
@ChumanaSusi
2 ай бұрын
Tutampeleka nyumbani. Tumemfinya makende hadi amesalimu amrita ya Gen Z
@aaa64sa13
2 ай бұрын
❤🇰🇪❤ Gen Z....🤜👍❤❤🎉
@KhamisBeja
2 ай бұрын
All that we need is transparency zakayo
@Farajahelene23031
2 ай бұрын
From 🇨🇩 roto must go
@salimomar-n7s
2 ай бұрын
Ruto must go
@sultanmswahilitv4864
2 ай бұрын
Kenya ni nchi ya watu wenye akili mingi sana
@messiasulleydidy2585
2 ай бұрын
Sanaaa...
@cath-ef7wd
2 ай бұрын
Hamna kitu ovyo kabisa
@SamuelOuma-uy2ci
2 ай бұрын
Mimi ni mkenya ila huwa nawafatilia na kusikiliza habari kutoka kwenu
@remiomar7154
2 ай бұрын
Ukisikia hiyo hutuba utasema Ni kweli mtatimiziwa anayoyasema ..... Mm simuamini hata robo
@jumakassim8718
2 ай бұрын
Hata mimi simuamini muongo sanaa
@ChumanaSusi
2 ай бұрын
Huyu ruto.ni pepo wa urongo. Lakini round hii hana chake. Amekataliwa na nchi nzima hadi watoto
@rajabdibwa6415
2 ай бұрын
Huyu hata Rachel alimpata kwa kumdanganya😂😂
@Chrisscherry
2 ай бұрын
Hapo sasa now we are fixing the Nation hta US Embassy tunakuja kusafisha huko
@somoeomar4861
2 ай бұрын
Basi kazi iendelee sasa
@elijawakaba
2 ай бұрын
Na bado
@marrymakoi1588
2 ай бұрын
Mungu akutie nguvu unateseka sana. Wanaokitesa wasubiri bakora toka kwa Mungu.Sisi jirani tunakuombea tunajua iko vita kubwa sana lakini Mungu atampigania utavuka salama pamoja na familia Yako.
@martinsafaris4314
2 ай бұрын
Apa ndio napata revelation as to why the major general was eliminated. If only he was there...he would be the one standing like Traore. They saw it coming. I have lived in Kenya for 17 years. Now in Tanzania But Ruto must Go anyway. Gen Z ❤
@ilovejesus9303
2 ай бұрын
Nlichojifunza ni kwanza woga ndio adui wa maendeleo. TANZANIA bado sanaaa. Viongozi ni Miungu watu. Tupo katika usingizi mzito, hali za wananchi ni mbaya sana ila hawana wa kuwasemea.😢😢
Lapili tunalo subiri kila police aliye piga risasi mwana nchi maramajo afute kazi kibarua nacho bado hajapona
@olomweneabongela1717
2 ай бұрын
Huko awezi ndugu yangu kwa salama wa taifa na yeye binafsi.
@laurine7898
2 ай бұрын
@@olomweneabongela1717 hakuna kisichowezekana, tupe mda tu, kwa wakati wake vitu vitanyooka, wala sio rahisi, ni ngumu tena sana, lakini tunaamini Mungu na pia tunao ujasiri haki zetu tutazilinda. Watch this space.
@erqmusic5973
2 ай бұрын
Na ivo ndio tuna need bro...coz taifa ni mwananchi na karao KAZI yake ni kulinda mwananchi sio kumuua jo😢d@@olomweneabongela1717
@mkambotv5418
2 ай бұрын
Ruto must go.... Bado hajasema yani mpaka aseme. Wakenya hatupendi ujinga.
@lapozzydone5203
2 ай бұрын
Namna hiyo Anza fresh.. Tunataka mawaziri watenda kazi sio mafisadi.
@DrNdii
2 ай бұрын
Katiba ya kenya iko na kitu kinaitwa freedom of speech,unakosoa hata raisi, lakini tanzania ukichoka shati lenye sura ya raisi unafungwa ama upotee mazima,badilisheni katiba
@bakariomari24omar21
2 ай бұрын
Bado wakenya tunataka hela walizoiba na wevi wapeana za umma wakamatwe ikiwa mmoja wao Ruto
@catherineshayocwbp.2093
2 ай бұрын
Honera Raisi ni maamuzi ya busara na yanastahiki pongezi kubwa... Ila waliokufikisha apo ni wabunge ambao mbali na kuwasikia wanaowawakilisha wakisema nou...bado walipitisha zike sheria hao ndio wanastahiki haswa hiyo adhabu...! Wakaombe kura upya kwa wananchi wao! Wao ndio sabbu ya wananchi kukosa trust na wewe....i pray all goes well...Gen Z Asanten.
@zayumar2955
2 ай бұрын
Duuu makubwa bado yanaendelea ila Jmn ndugu sky tunaomba uwe unatuelezea kwa kiswahili tupate kuelewa kwa uzuri zaidi make wengine tuliishia la 7 B kingereza tunakislilizia Kwa bombaa😅😅😅😅
@rainekisha
2 ай бұрын
Ahahaha
@zayumar2955
2 ай бұрын
@@rainekisha we usicheke acha tu ni mbaya sana kutokujua kinge make unakuta kuna mambo yanakupita 😂😂😂
@ankalmzito254
2 ай бұрын
Kama kuna MKENYA yeyote humu inua mkono ✋ juu..
@sonnyr1899
2 ай бұрын
Mwigulu za jioni?
@boazmisango9797
2 ай бұрын
Mbona ndio kumekucha Na bado naona ata yeye akienda sugoi
@jeffchurum1431
2 ай бұрын
Na wakirudi nyumbani wapitiye barabara kuu tuwazidikishe na tunyoroshe kila mtu viboko tatu moto za hiyo miaka tatu wametupotezea. Hizo whips zipakwe mafuta.
@ZULFAMURAMBA
2 ай бұрын
😂😂😂
@yasminoluoch169
2 ай бұрын
Am proud to be a kenyan..thank you g.zee ..leo wameanguka nayo mawaziri wamekuwa job less kama ss😂😂😂😂😂😂😂..
@emmadora7848
2 ай бұрын
But they already have life aiseee si sawa na wengine
@directortwicep3028
2 ай бұрын
Huyu jamaa anawakati mgumu sanaa
@rainekisha
2 ай бұрын
Waafrica wenzangu mutaogopa kenya 🇰🇪...my country we getting their
@kemalhussein2532
2 ай бұрын
Reduce the rent of house, school fees, and food
@barazanaphtally
2 ай бұрын
Good job Mr. President
@midundotechtz6843
2 ай бұрын
Nasema hivii mh. Ruto anaangaliaga GPS 11:09
@MoinaminaAmina-qh1jb
2 ай бұрын
Ruto atavunjwa yéyé lazima yaondelewe madarakani hafai kua raisi wa Kenya
@cath-ef7wd
2 ай бұрын
Who is fit enough? You foolish
@Hassan_Mengi
2 ай бұрын
GenZ wa Bongo wajifunze kwa wenzao wa Kenya wasikubali huyu “maza” na “sisiemu” yake kuwaonea… naishia hapo.
@michealouma2410
2 ай бұрын
Anguka nayoooooooooo😂,,bado sasa IG of police
@amanisanga5897
2 ай бұрын
Sisi wakenya tunamuelewa ruto anafuta mawaziri kazi ili kulinda kazi yake bado tuko na wewe...
@Talk2Dennis
2 ай бұрын
Next we are recalling all the MPs."The powere belongs to the people" not the leaders Tanzanias understand this.Viongiozi ni nyinyi sio Samia
@Chawamsafi1
2 ай бұрын
Sasa mzee malizia miaka yako kwa amani usijekufia kwa kiti 😂
@ChumanaSusi
2 ай бұрын
Hawezi maliza huyu .mKora fisadi mkubwa Wakenya wamemumulika kama tochi
@USDisdoomed
2 ай бұрын
Bado tunataka wale polisi wauwaji wakamatwe pia
@samuelmwatsuma4462
2 ай бұрын
Mpaka kieleweke...
@ShillahChao
2 ай бұрын
Hiyo sio dawa hata hao wataiba tu
@saidyabdalla7410
2 ай бұрын
Uku tayari
@billskeez92
2 ай бұрын
Tuendelee kuitazama hii movie hadi Mwisho
@davidwalalason7630
2 ай бұрын
Ausio
@ARNOLDKARISA-fs3ht
2 ай бұрын
alafu muchukue mafunzo
@FredMaulid
2 ай бұрын
Watanzania tuna cha kujifunza hapa
@NoName-pp4lo
2 ай бұрын
Picha ndo linaanza bado ni teller movie haijaanza
@jeffchurum1431
2 ай бұрын
Does the pressure increase or decrease?
@jackiemuthami1723
2 ай бұрын
Creases na Bado 😂
@PabloEscobar-wt1fq
2 ай бұрын
Increase 🤣🤣🤣🤣
@JanetAhmad-v3h
2 ай бұрын
sawa sawa eric omondi oyoo
@waendaotvcom204
2 ай бұрын
Miguna miguna nimekuita marambili unge kaa kimya😂😂😂
@abdullahkazungu4025
2 ай бұрын
Koome na mudavadi walifaa pia waende kwanza koome aki ..
@halimahassanungura4588
2 ай бұрын
Bado picha inaendelea
@MohamedMangongo-n9t
2 ай бұрын
Ndo amejiongezea maadui
@barrynzeyimana6270
2 ай бұрын
Ameanza mapema.
@MwemajaphetyZackalia
2 ай бұрын
Kuna nchi africa azina serikali ni vikundi vya wahuni angalia vizuri sana akuna rais alikuwa gaddafi wengine wanajua kukopa kulipa wanalipa wanainchi poreni ngozi nyeusi
@swalehemusa4546
2 ай бұрын
Kweli kbs vikundi va kihuni hakuna tena viongozi labda angalau traore anajitahidi nchini mwake
@emmadora7848
2 ай бұрын
@@swalehemusa4546kafanya nn huyo Traore huko bukina faso?
@roselynealima3618
2 ай бұрын
😂😂mnajua nacheka nini? Send a thief to catch a thief #Ruto must go no matter what😆
@rajdaboy
2 ай бұрын
Tumeenjoy sana
@geniuskid2544
2 ай бұрын
Gotha tenaa😂
@3erffeoui86
2 ай бұрын
ANGUKA NAYO BADO YEYE PIA AENDE ZAKE
@africanmandetraveler2847
2 ай бұрын
Sisi watanzania kuliko kuvunjwa miguu bora tukae kimya,Hatuwezi kinukisha kama Wakenya sababu tunalima chakula kwa wingi na tukishiba ugali na wali kisha tusikilize Diamond siku inaenda.Wewe na akafe kwenye maandamo.
@emmanuelmasanja6040
2 ай бұрын
Wacha nicheke tu😂😂
@yussufoptic
2 ай бұрын
Sasa angetowa hotuba yake katika lugha ya kiswahili hangeskika?? Anafkiri wa kenya wote wanajuwa iyo lugha ya kigeni?! Africa tutajikwamuwa na ukoloni lini????????
@lenniefei6710
2 ай бұрын
Kiingereza ndio lugha ya biashara jitambue Kijana .....Mulipumbazwa na Nyerere hadi leo mumekua nyuma kama koti
@yahayaannu3663
2 ай бұрын
Viva Gen Z 🎉🎉🎉🎉
@ISSACKRICHARD
2 ай бұрын
Dj smaaaaa ni atariiiiii😂😂😂😂😂😂
@midundotechtz6843
2 ай бұрын
Sasa anaanza kuwa na akili
@jedidahbintidaudi8241
2 ай бұрын
Rais anaesikiliza w/nchi...hata kama waliandamana lakini kaskia..sie tumelia pale Kariakoo tukaletwea RC na Minister of Finance kutubembeleza tufungue tuu maduka lakini bila suluhisho..kazi kweli jmni
@nasrimwangangi313
2 ай бұрын
RC ni nani please
@jedidahbintidaudi8241
2 ай бұрын
@@nasrimwangangi313 Regional Commissioner
@Tg.7_7
2 ай бұрын
Kuongoza Taifa kama Kenya, honestly akili zako lazima ziwe zinakaa kichwani! Maana kuna maraisi akili zinakaa sehemu nyingine kabisa za mwili 😂😂
Пікірлер: 259