Heshima haipewi kiongozi mwizi, rais anayetaka kuifanya Kenya Mali yake binafsi, hatumtambui . He must go.
@matukutajuma156
3 ай бұрын
DJ SMAA KENYA WANA KATIBA YAO NA TAMADUNI ZAO TANGANYIKA TUNA KATIBA YETU NA TAMADUNI ZETU RAISI KWAO SIO MUNGU MTU KAMA RUANDA!!
@mohamedsuwari2588
3 ай бұрын
Very good answer for this Analyst.Kenya we don't take Presidents as GOD.
@abdulswamadabdallashee5802
3 ай бұрын
Kweli kabisa ndugu yngu mwambiye ukweli Huku Rais nikma MTU wakawaida ,
@abdallazakaria6953
3 ай бұрын
Yow brother Sky.....pin this please......
@aby.beka1630
3 ай бұрын
sio kenya tuu dunian kote mwandish kaz yake ni kuuliz hawan makos bhan~
@CandyLoud
3 ай бұрын
Mwambie kweli maana hii ya leo hajui asemalo Sma wewe sio Mkenya na kuna mengi huyajui
@abdallazakaria6953
3 ай бұрын
Infact the journalists asked the right questions zenye kwa ground tulitaka aulizwe
@shantisam-wo8wj
3 ай бұрын
Period
@BenBella254
3 ай бұрын
Maswali aliyoulizwa ni yale wananchi walitaka aulizwe😂
@JIMBO_MEDIA
3 ай бұрын
You are getting it wrong. Hayo maswali hayakuwa ya Wanahabari yalitoka kwa raia. So usilaumu waandishi wewe hauko neutral uko upande wa Ruto 😂
@kevicristian2738
3 ай бұрын
Without two D you can not understand Dj asma😂
@salmasaid7058
3 ай бұрын
Kbs
@salmasaid7058
3 ай бұрын
@@kevicristian2738d gn nyinyi mumezoea kuabudu raisi nop cc tuko n democracy kwetu sw
@naqiahmad26
3 ай бұрын
Dj asma binafsi nakukubali, lakini usiingize udini kwenye siasa, kiongozi wa Siasa hachaguliwi na mungu. Umemshusha sana mungu kwenye macho yako
@eliassospeter
2 ай бұрын
Huijui Biblia wewe soma hapa warumi 13:1
@yusufmwangichannel6692
3 ай бұрын
Kenya kuna demokrasia unaeza uliza chochote kwa kiongozi wako bora yasiwe matusi na haya pia yanafanyika pia nchi za ulaya, kama Biden uulizwa maswali magumu na wandishi wa habari Ruto ni nani
@kwisa4899
3 ай бұрын
pia Trump hadi alikua anachukia cnn
@Dearm-ome2in1huba
3 ай бұрын
I am a Kenyan citizen and I look closely at your KZitem but today you were not given the best among Ruto and they have news when Ruto was growing up he was asked a question Ruto answered other things
@hassanomar1041
3 ай бұрын
Bro Sma, kuna vile labda umezoea wataka rais waulizwe maswali kulingana na cheo chake na hizi ndio bado tunarudi nyuma ila fuatilia round table za awali pia alikua anaulizwa maswali kama haya na Mohamed Hussein. This is kenya Uhuru wa wanahabari upo.
@allycruzz3991
3 ай бұрын
Real talk
@kelvin8324
2 ай бұрын
I think it's the first time baadhi ya watanzania for first wameona hii....Kenya ni kawaida tu
@AbubakarAlly-th6op
3 ай бұрын
Kosa lako smaa hujaimaliza kuiyangalia mchambuzi mkubwa kama wewe kitugani kinakushindwa kumaliza kuiyangalia yaani leo umeboa smaa, ulitakiwa uiyangalie yote kisha ndio uchambue sasa utatoa faida gani hali yakua wewe hujamaliza kuiyangalia
@mpjozzegalvanize4926
3 ай бұрын
We ni miongoni mwa anti-fuse, lala mbele mzee
@Qqambaa
3 ай бұрын
Mi ni mkenya kachambua vzr 😂😂
@allankenyali1535
3 ай бұрын
uyu kama ame hongwa na RUTO this SNS ni Kama wafwasi wa RUTO Wana taka Kenya tuangamie
@hadijagere
3 ай бұрын
😂😂😂😂 kunywa maji kidogo
@Chettymlambalipsi-lb9km
3 ай бұрын
Familia ya SNS,FUSE nimerudi kwenye kipindi baada ya simu yangu kupotea sasa tupo pamoja
@FrancisDonald-go9cs
3 ай бұрын
Poie sana ndugu karibu tena
@kasaisatv9765
3 ай бұрын
Karibu tena
@alphadreammedia
3 ай бұрын
😊😊😅😅😅
@maxwellnzai9542
3 ай бұрын
Dj sma,,,tunamujua raisi wetu,ndo maana kulikuaa hivyoo
@nicoledinga9948
3 ай бұрын
He don't get it...ruto is a psychopath and that's how he should be treated
@GentleGiant-pj2rk
3 ай бұрын
You are the psychopath, Ruto is beyond your level of thinking and acting
@tinakaitsa7334
3 ай бұрын
In Kenya we have boring president 😢
@ibrahimsalim6835
3 ай бұрын
Ndugu Hawa walilazimishwa na ruto huo ndio ukweli na kule kuvamiwa na wandishi was habari nikwasababu ruto ni nimzuri wakuongea bro huyo twamfahmu sana.kweli ruto siorahisi kumuolewa mpaka uwe Kenya coz amedanganya sana.tosha hio mdahalo wa ruto haukuwa na maana hivyo.shukran
@JastoLeleJnr
3 ай бұрын
Kenya kuna uhuru wa media Sma, hao waandishi waliuliza maswali ya wakenya kutoka ground and Ruto did not give clear answers to all the questions...one thing i must agree with you though, it was not the right move for the president to conduct any kind of interview given the intensity of the situation at hand..... and by the way, i think It's the responsibility of the journalist to ask the hard and critical questions
@WILLY_SKY1
3 ай бұрын
You are right better angefanya huyo Dennis Itumbi hapa alimdanganya the ground is still hostile
@rosemaryogambe4498
3 ай бұрын
Dj Sma wachana na wakenya utaumwana kichwa bure. Haujui machungu tunayoyapitia wewe si mkenya haujui katiba ya kenya. Chambua ya kwenu tafadhali hautawai kupata wakenya waki waste time yao wakizichambua mambo yenu.
@BigZhumbe
3 ай бұрын
Wakenya hawataki kumsikiliza RUTO they want to hear what they want to hear na sio tatizo lao ni hasira na maumivu yanayomsikiliza RAISI ni kama Dj Sma alivyosema timing ya interview ndio mbaya na hata RUTO angekuja na facts nzuri kiasi gani bado watu wasingemuelewa.
@Abbasbakarsth
3 ай бұрын
Sure
@JosephAlakonya
3 ай бұрын
Sorry Wana SNS mauwaji yalitokea GITHURAI NA RONGAI
@bravo8324
3 ай бұрын
Kwa Mara ya kwanza nimeshwidwa kumaliza video ya sns. Mtu uko bias lakini unatuambia unaupande ….. nimelose respect sana na wewe. I thought una akili sana
@emmanuelnzaligo6262
3 ай бұрын
Dj smaa sawa ila usisahau ukinunua umeme makato yameongezeka!.
@yasminmustafa2282
3 ай бұрын
Ati you were disappointed by who?as who?...learn the kenyan culture you will understand how we think and operate...anyway your opinion on our political arena is non validative
@kwisa4899
3 ай бұрын
mwizi anapewa heshima
@athmanabushir1622
3 ай бұрын
kaka tafadhali mambo ya kenya tuachie wakenya sns hufuatilia sana chanel yako rais wetu tumechoka nae sai ndio aseme ukweli. siku zote wakati mtu ako na hasira kauli anayotoa huleta maana kuliko kumuacha ajiandae ndio atudanganye.
@Abdullah-hb6sf
3 ай бұрын
Kabsa bro
@abuuaisha6110
3 ай бұрын
Kweli kabisa
@ashabaibe1450
2 ай бұрын
Uko upande wa ruto sijui ndio asmaa you're not a Kenyan and you can't understand chenye Kenyans wanapitia kama hukupenda wanahabari wetu focus na tanganyika yenu yenye mumekaliwa na viongozi lakn mko kimya sasa ww kama nani wasema hujapendraa pyeeee #Rutomustgo
@janeCosmas-p8v
3 ай бұрын
Funga domulako wewe Mtazania wewe sio mkenya naukome kabisa
@BenBella254
3 ай бұрын
In Kenya we have free media. Kiungo muhimu katika kujenga Demokrasia
@GeorgeAkasha-zx2rj
3 ай бұрын
Kwahilo wakenya hongereni, mko na free media and most of the media it's vibrants.Kongole karibu Tanzania ila Mimi napenda kuangalia sana Citizen Tv ya Macharia.
@jafaribori5428
3 ай бұрын
Naitwa Mr. Bori nakufatilia sana kutokea hapa UK England hakika upo vizuri mdogo wangu nimefurah sana na uchambuzi wako.
@thierrybisimwa3312
3 ай бұрын
Bro, this is the real democracy, sio kukosea rahisi heshma. Wali mkatisha alipo kuwa na kwepa swali, the guy is smart but the reporters were smart too. Tz jifunzeni kitu apa sio ku ponda tunacho kililiya Kilasiku accountability ya leadership.
@KhamisBeja
3 ай бұрын
DJ sma hii ungengoja kama siku mbili Tatu bro ukafwatilia deep alfred kiter kutekwa kwake imekua issue coz he was a former member of parliament but watu wanachukuliwa bro fwatilia
@kawogoremigius8152
3 ай бұрын
Nafikiri Wakenya wampe muda Rais Ruto ,, na pia alikuwa sahihi kufanya roundtable ili kuonyesha serikali imeonaje na inachukua hatua gani ,, kuliko kusubilo muda upite , wananchi wanatakiwa kupata taarifa hasa Rais kuongea mapema zaidi kukiwa na matatizo makubwa kama hayo yaliyotokea Kenya
@lucasmartin431
3 ай бұрын
Yaani ulivyo Hara Dj sma....ningekuwa karibu ningekupokonya mike
@RamadhanBurji
3 ай бұрын
Mm ningemfuta kazi, maana hajui wakenya wanafeel vp
@stevenchai-h6i
3 ай бұрын
Hujui lolole tuachie wenyewe huyu
@wemakalama6458
3 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
@ttss7716
3 ай бұрын
Kabsa huyu namuona hajielewi akwende uko nyau😂
@hollymore4904
3 ай бұрын
Ni sahihi katka hili kafel
@jumajames1767
3 ай бұрын
😂😂😂😂
@allycruzz3991
3 ай бұрын
Real talk
@Ibrahimkhamis005
3 ай бұрын
Sns mie ni mtanzania lakini hebu niulize mbona hamuongelei uchafu wa tanzania kwa viongozi wetu mie najua kuwa mnafahamu kila kitu kuhusu mambo yanayo endelea tanzania
@GeorgeAkasha-zx2rj
3 ай бұрын
Mkuu unajifanya hujui tofauti ya katiba za kijamaa na Katiba za Kibepari?
@JosephLadisilaus
3 ай бұрын
Kwel kbs hawaon uchafu unaofanyoka tanzania apo umefel sma sema na tanzania
@billjames1216
2 ай бұрын
@@JosephLadisilaussasa ata wakisema mambo ya Tanzania nyie mtafanya nn??😂😂Habari ni biashara my friend and kenya will always sell more than Tanzania
@makaoyafutaa1302
3 ай бұрын
WanaSNS Rais wetu ni mdanganyifu mno😂😂 ndio maana hata alikuwa anakwepa maswali mengine, hongera sana wanahabari wetu Joe, Linus na Erick Latiff 😂viva✊💪
@janeCosmas-p8v
3 ай бұрын
Watazania nyinyi wakatiwote uwamwanjifanya mwanjifanya kujuwa sana Matapeli wa tazania wengi
@hamooummar7298
3 ай бұрын
Mm n mkenya lkn uyo jamaa jajaua vzr siasa za Kenya au hajamjua vzr Ruto, ungefatilia paka kwa Ground Dj Sma ndo uchambue!
@ENGLISHMOVIES-DOCUMENTARIES
3 ай бұрын
Who cares what you think bro...in kenya the president is not worshiped, and that was dialogue conversation so keep your punitive observations to youself na uache kutupigia kelele...i really like this channel 'sns' but this guy is totally underrated
@jameskitoto3315
3 ай бұрын
Ndio maana napendaga Makala 360 by Fredrick bundala and frank
@mohammadabdul45bb57
3 ай бұрын
bro umesema ukweli ameamsha hamasa upya
@LameckOtuomameshack
3 ай бұрын
HEBU mtangazaji kuwa mkweli una uhakika VIONGOZIwote wamechaguliwa na MUNGU ?! haujui viongozi wengi wa kiafrilka wanaingia madarakani baada ya uwizi 🎉😢🎉🎉🎉🎉🎉😂😂🎉🎉🎉🎉😂😂🎉🎉🎉 12:02 12:04 mkubwa wa KUR 13:03 13:05 A ina
@NikodemusOgembo
3 ай бұрын
Kenya tupo na Uhuru kwani President ni mwanainchi tuu
@allankenyali1535
3 ай бұрын
president sio mungu mwambie uyu mpuzi KAZI yake kumteta ruta nashangaa anajifanya kuchambua kizungu
@agwalubifaridah7079
3 ай бұрын
Leave us alone sns
@valeriusfelix7379
3 ай бұрын
Waandishi walikuwa hovyo mno....Interview imeendeshwa kwa hisia zaidi, haikuwa Objective..That's is Obviously plain..Intervention wkt mmoja anaongea imekuwa ikijirudia sana.
@lucasmartin431
3 ай бұрын
Dj sma hujui Chochote kuhusu siasa za Africa.....Waandishi wa Habari wanatakiwa wapongezwe.....Wameonesha vieango ambavyo si vya karne hii. In short una Bwabwaja tu. I'm sorry for that
@abdallazakaria6953
3 ай бұрын
Brother huezi kuelewa hii kama we si mkenya.........hiku tuko na uhuru wa uandishi wa habari.....so the president can be asked anything cause he is a servant of the people.....he owes every citizen an explanation
@nasorsaid5371
3 ай бұрын
Kenya hawarambi wanasiasa matako ukizingua....chembe kidev lazima ukae.....wacheni uboya sns....ameulizwa maswali ambayo raia walitaka aulizwe....wacheni uboya
@chrisnyarugeta8814
3 ай бұрын
Before huu chambue, you need to have all the resources, sio kwaku fatilia one interview moja . The MP walisema NUMBER ZAO ZIKO OPEN na akuna alie pigiwa simu.
@b-creative4662
3 ай бұрын
Mbona sns hamuanikagi uchafu wa serikali yenu? Yaani likitokea Bongo mnakuwa mabubu!! Limetokea la bandari hamjachambua kiundani kazi kushadadia ya watu tu!! Hivi mngekuwa mnafanya hivi na bongo si hata hata tozo isingekuwepo!! Poor mind😢😢😢
@timebakar
3 ай бұрын
Kwani kosalao nn hapa anchambua mahojiano jinsiyalivyo kuwa nakumuonea ruto hapo walipo muhoji😢
@vinnyinjenga
3 ай бұрын
wewe wachana na mambo ya Kenya,ruto is our servant,he is our servant we are his Boss,hapa sio tanzania mnapiga upinzani risasi 30 na hakuna kelele
@evansogutu4167
3 ай бұрын
Tunamjua ruto vile wewe unamjua Mama Samia
@BrianHuncho-kc5zs
2 ай бұрын
Ruto hafai kupewa nafasi yoyote ....tunamjuwa sisi .... kwa hiyo siasa za Kenya ...tz amuwezi elewa .....# RUTO MUST GO #ZAKAYO SHUKA
@benoseaone
3 ай бұрын
Kitu kikubwa Ruto alichoniudhi ni kukubari kuwa kibaraka wa USA na NATO na Kuishambulia Urusi. B yake ni kuwabebesha wakenya mzigo mkubwa wa kulipa madeni ya WB na IMF. Asitudanganye waafrica, alitaliwa kusimama kama a leader of Africa.
@firdaussheikh4817
3 ай бұрын
Walimfanyia vibaya😢😢😢😢😢 wanaifanya km vijana wote walikua na kazi wakati saa zote kenya Africa sio rahisi wote au half of the country. That's disrespecting the president. They didn't want to question him just kumnyanyasa tu😢😢😢 🇬🇧
@nextstudiostz
2 ай бұрын
Unaposema Fact and logic, kwenye hii video unatoa fact and logic and umetumia vizuri sana points zako kwenye uchambuzi. Kaa apa🔥
@kiatu
3 ай бұрын
Presenter please don’t judge people. Things like watu “wote wanaotumia logic…” and the like. Just present the facts or your opinion and let others not be coerced to believe or think the way you do. Huo ni ushauri wangu. Otherwise unakuwa na point za maana according to you ila presentation kaka. Na maana logic ni kwamba “. Logic sio njia pekee ya kufikia jibu au conclusion especially katika mambo ambayo ni complex, may for some.
@jedidahbintidaudi8241
3 ай бұрын
umeongea vizuri mno mtangazaji..i saw the samething..ila mwanzoni nafikiri again he wanted to bring the otherside of the story and the reason why delivery yake haikuwa vizuri ni vile alikuwa ktk kipindi kigumu. ila mie nimemu-admire sana Rais wa Kenya. Majibu yake yalikuwa toshelevu. wana Rais mzuri sana..Najua anamapungufu mengi ila sasa anakuja na gear nyingine..Atafanya vizuri mno na Kenya itakuwa mfano mzuri sana kwa Africa. kwanza hata kipijndi hiki amejitaidi..sarafu yao imepanda kwa ghafla..sio mchezo ktka kipindi hiki. na mengine mazuri tuu jamaa kesha fanay..ila shida ni courruption and opulence ya viongozi wake tunaomba tulete basi iliobaki DJ-Sma au? tulete basi twasubiri..napenda uchambuzi wako..yur analysis is good brother!
@RamadhanBurji
3 ай бұрын
Pumbavu mtangazaji ww,,, Kenya Rais syo mungu wala jeshi la polisi syo mungu,,Twaofia mungu tuuh ila Rais na polisi wakienda kando na shelia yetu,tutawa adhibu
@KC-wj7yh
3 ай бұрын
Nyinyi watanzania yamujuwi mana ya Democracy. That’s why hamiwezi sema or comment about Kagame. Kwani in Rwanda kinacho endelea niuchaguzi? Nyinyi niwaoga tu. Ur mixing maendeleo na democracy. Kagame kill anybody ataetaka gusema ukweli Munajifanya wachaganuzi jalibini museme Kagame , mutakiona chamutema kuni
@philipkahindi3499
3 ай бұрын
Brother usjaribu kumtetea uyu jamaa kabisa ssi ndo twamjua hafai wanahabari wetu wapendwa walikua sawa kabisa in short amechosha Kila mtu
@Mohammad_shidogo
3 ай бұрын
Respect is earned not demanded,A good leader earns respect from those he leads and a Bad leader he doesn't deserve any respect we tazama duniani viongozi madhalimu walivyo fanywa humu duniani!!!! Ruto had lied to Kenyans multiple times,na the good artiquet of a leader ni Kuwa mkweli wala siyo kudanganya,haswa ninapo kuuliza swali uni danganye katika jibu lako watarajia niendelee kusikiza uwongo wa majibu unayo yatoa,kuna tofauti ya kusikiza ukweli na kusikiza uwongo.....
@ombeniyohaneaustin8415
3 ай бұрын
Tupo pamoja toka cape Town south africa 🇿🇦
@jameskitoto3315
3 ай бұрын
Kama hii ndio analysis yako yenye huwa unasema kwamba unapeana receipt then jua umepotoka saana. Ruto has lied to us alot and still he was lying even if we try to corner him, still never said any truth, just dodging us. DJ sma tulia kwa mambo ya wakenya, ama unataka wakusalimie? Angusha nambari wakusalimie, hehehehhe🤣🤣🤣
@kepharichard4183
3 ай бұрын
Acheni kuvuruga nyinyi watanzania mnajifanya wachambuzi hayo mambo hayawahusu vibaraka wa government.
@aby.beka1630
3 ай бұрын
sizan kam iyo ni kaulinzul husem watanzania kwa mawaz ya mt m1 ten wasem et hayatuhus inaonekan km uwezowak wa kufikilia ni mdg~
@shantisam-wo8wj
3 ай бұрын
Ewaaaa😂 hakuna Kitu wanajua 😂ebu waongee kingereza kidogo
@cath-ef7wd
3 ай бұрын
Kiengereza ni nn c in ukoloni tu bado mnakumbatia nyinyi wakenya...muko ovyo sana.@@shantisam-wo8wj
@RamadhanBurji
3 ай бұрын
Hawa hata hawajasoma
@RamadhanBurji
3 ай бұрын
@@aby.beka1630Niukwel, even me I am a Tanzania but I am educated in kenya . kenya are more Educated than Tz
@mwambogathegreatfilms001
3 ай бұрын
Dj smaa huwezi kupatia kila kitu kwa uchambuzi huu umebugi kaka..hAo waliamuhoji ni professionals they knw what they are doing bro..Na mimi ni mkenya but hufuatillia sanaa SNS na almost zote but kwa hiii umedhihirish wazi na kuonyeashe how you guys hundle hawa wanasiasa ,hamko huru uko kwenu munawaabudu sanaa,its high you start working on your country's democracy its evident hamko huru nyinyi
@lowasamollel9852
3 ай бұрын
Kenya kuna waandishi wanaojielewa na wanajua haki yao pia niwataalam sio nyie wa Tz ambayo wengi wabebaki kama machawa wa serikali na hawawezi pigania uhuru wa vyombo vya habari
@OmmyJames-xn7ji
3 ай бұрын
Bongo tuko poa kaka hawo wote wanaomba waje huku kuishi sababu KWAO ni SHIDA NA UWIZI
@BigZhumbe
3 ай бұрын
Unaongelea uhuru upi, wa habari zipi? Maana habari zote za ki politics za Tanzania ziko mitandaoni.
@allankenyali1535
3 ай бұрын
uyu JAMAA wa SNS KA HONGWA NA RUTO TEAM #KOT #GENZ uyu me hongwa let's visit
@BigZhumbe
3 ай бұрын
@@allankenyali1535 So miaka yote mnakubaliana na Dj Sma leo kaongea vitu hampendi ni kahongwa ni Raisi mliompa kiti wenyewe 🤣🤣
@abuuaisha6110
3 ай бұрын
@@BigZhumbeHatukumpa kura bali aliiba kura
@patrickochieng79
3 ай бұрын
SNS just know the owner of this two Media group they supported the opposition last election .. ndio maana they abush ivio even me .... Sijapenda how they handle
@abdulswamadabdallashee5802
3 ай бұрын
Please halafu usifikiriye huko kwenu Tanzania ukaliganisha na Kenya, nyinyi bado hamujielewi kisiasa ndio ukaona kuanzia Tanzania ipate Uhuru wake mpaka Leo chama NI kimmoja tuu CCM, kwahivyo nyinyi hamujielewi kisiasa kwahivyo wacha kulaumu wakenya wanavyofsnya saii kwa Rais ruto
@RamadhanBurji
3 ай бұрын
Kenya is our country,tuwachie inchii yetu wenyewe,, Nivile kile Mtu amtaki Ruto,Hata Raia hatumtaki, kenya tumesoma nandyo maana hatuwezi bebwa ufala
@SAMA-jw4fr
3 ай бұрын
Wanasema mfa maji haachi kutapatapa sasa Ruto kayakoroga wacha ayanywe Bravoo Kenya mmeonyesha mfano Nyie ndio mabwana wa East Africa huko kwengine ni Coward peoples
@abdallasaid5593
3 ай бұрын
Dj sma humjui Ruto ...he deserved hyo kikaango .... au tukusalimie ndugu😂😂😂
@vitumbikomsiska1080
3 ай бұрын
Tatizo nyie Tanzania you compare with your country which doesn't have democracy at all.Killa mutu anasifiya Tanzania anasifia Raisi.
@sophiahmedza929
3 ай бұрын
😂😂Watu wana salimiwa jamani. Uyu Dj hajui ngeli ya Tuta. Tume,Tuko,. Rest in Peace to the fallen 😢😢😢
@kelvin8324
2 ай бұрын
Kenya hatupangwingwi President is our employee kama anataka kazi lazim ajibu maswali venye tunataka.....tupeeni huma mama samia one week muone aki badili mpaka dini ....sisi ndo wale wabaya...🎉🎉
@Abuunuwayra
3 ай бұрын
Kaka Kenya Tulisooma Katiba Vizuri..Na pia Tunajua Uhuru wetu uko wapi Sasa wewe Wala Usisononeke
@jedidahbintidaudi8241
3 ай бұрын
nimeskia round-table yote. Napenda vile wakenya wanaujasiri na kumuuliza Rais wao maswali magumu..na pia nimemuona Ruto anaakili ya kuzaliwa. Kenya wanaRais shupavu..mie napenda sana Ruto..Kenya wampe mkuu nafasi...ngoja ss nikachuue maji nisikilize kaka zangu hawa
@carlytube338
3 ай бұрын
Bwana sns unatakiwa kumjua mhe. Ruto vizuri kabla ya hii video at least ungeelewa hii video vizuri, ukimuuliza chochote ata kisichomhusu atakujibu kwa utaratibu mpaka umwamini labda kama unachomuliza unakijua kwa undani. sir. this people knew what they are asking him
@mosesmuyamwangi7905
3 ай бұрын
Ruto alipiga chenga maswali mingi. Kenya twahitaji revolution
@b.k.5659
3 ай бұрын
Kiongozi hachaguliwi na Mungu hio ni kama kusema Hitler alichaguliwa na Mungu, pia Idi Amin alichaguliwa na Mungu?
@BraveMajaliwa-gf7ru
3 ай бұрын
Umewahi kuona wapi mtu muongo kupewa heshima tatizo ruto anaongea sana .
@katsopolechonyiboy4896
3 ай бұрын
Ww hujuwi akili ya raisi wetu huyu tuachie wenyewe hujuwi chochote
@saidymbagalla6622
3 ай бұрын
Ktk vitu vya kipuuzi uliozungumza ni kusema kiongozi anachaguliwa na Mungu..! Ni Mungu gani anachagua viongozi? Mungu anaidhinisha tu kile mlichochagua na sio kuchagua... Ni viongoz wangap tunaona wanapinduliwa? So inakuaje Mungu amchague kisha ampindue Mungu anamambo mengi ya msingi usimsingizie upuuzi huo
@Laughfun48
3 ай бұрын
Sma wacha kujichanganya. Uko neutral at the same time haufurahii maswali aliulizwa haufurahii vile alikatizwa hakupewa muda kujieleza amechaguliwa na mungu🤷🏾nimekua nikikutambua lkn hii analysis umeniangusha ebu jiskilize tena na ujichambue pia😂😂
@romanusjuma-up6eb
3 ай бұрын
Ruto anawaita Wahalifu- Criminal tena Kwa uhakika. Sasa wanapombana Ruto kuthibitisha Hilo mbona unamtetea? Acha kabisa uhuru wa habari Kenya uko safi.
@everrineanyango7410
3 ай бұрын
Our president is having mental health challenges.he is mad
@mariamkassim9925
3 ай бұрын
Respect
@everrineanyango7410
3 ай бұрын
@@mariamkassim9925 andika comment Yako nkt
@hamooummar7298
3 ай бұрын
I gat u my fellow kenyan😂hjui tofaut ya reply na section ya kukoment kiujumla😂
@mariamkassim9925
3 ай бұрын
@@everrineanyango7410 🤣🤣🤣🤣 makasiriko ya nini ama leo hauna chakula
@cocotz1892
3 ай бұрын
@@mariamkassim9925😂😂😂
@StellahSteven
3 ай бұрын
DJ ukitaka kufanya uchambuzi wa suala fulani ni muhimu sana ujue historia na uwe na details za jambo husika. Kwa mfuatiliaji mzuri wa siasa za Kenya akikusikiliza anajua kabisa huna clue kabisa kuhusu kenya na hasa historia ya siasa zao. Kwanza unakosea vitu basic sana kama majina ya maeneo na watu. Sehemu iliposemekana kuna massacre sio Kibera ni Githurai. Mtu aliyeonekana kukamatwa kwa namna kama vile anatekwa sio mbunge. Ni mbunge aliyepita wa Jimbo la Nandi eneo la Bonde la ufa huko. So huna clue ya vitu basic kama hiyo. Jambo la pili, unachambua masuala ya kisiasa ya kenya kwa mentality na uelewa wa siasa za Tanzania. Bro Kwa nature ya uhuru wa kisiasa na uhuru wa habari wa Kenya it is very common kabisa waandishi kuuliza maswali direct bila kuyapaka mafuta tofauti na Tanzania. Unachochambua wewe ni unaweka mtazamo wa kitanzania katika masuala ya kikenya. Totally Wrong Bro!!
@abdulswamadabdallashee5802
3 ай бұрын
Kiogozi wakupewa heshima niyule mwenye buswsra na ukweli lkni sio huyu kiongozi wetu Rais Ruto ambaye NI muongo na muuwaji sasa huyu hawezi kupewa heshima
@3erffeoui86
2 ай бұрын
sma kuna mambo kadhaa nadhani ujui lakini sio kwa ubaya kitu cha kwanza hii katiba ya kenya 2010 inapitia mwanaichi yeyoyote uhuru wa kumu weka kiongozi accountable hii asira yenye unaona sahii ya Gen z ilianza mwaka jana finance bill 2023 kuna baadhi ya vitu mahakama ya kenya ilipiga kwa sababu ziko kinyume na katiba lakini RUTO NI NANI hivo hivo alifanya anaglia video kwa inbox sahii nakutumia
@HasaniSalum-k2q
3 ай бұрын
Watu wa kenya jifunzeni kupitia Libya. Jifunzeni kupitia kwa Bashar Alhasad Saivi kwakipindiiki Yataingia makundi mbalimbali yatakuja kuendesha maandamano kama ilivo kuwa IRAN lakini serikali ya iran ilisimama imara na maandamano yaliisha president Ruto Imarisha Majeshi yako Dili na kila mtu na kila makundi Ambayo yatahararisha usalama wa Kenya
@vincej9275
3 ай бұрын
Wewe SNS hujui Ruto, hujui wakenya wamepitia shida kiasi gani kwa sababu ya huyu Ruto !!
@rukkynassor2279
3 ай бұрын
Wewe hujui kenya tunayopitia maisha .serekali ni wizi wakubwa hujui hao wafanyakazi pesa zao zinavochukuliwa na serekali .kila mtu amechoka na hii serekali
@SamiaGullam
3 ай бұрын
You small boy umeshawshi lipa nyumba, food na pressure that I rowing our Land umesoma Kenya but you don't know Kenya how it's doing with our current president .STOP TOO MUCH TALKING
@Africaamkenitznawenuso
3 ай бұрын
Ruto watakuuwa achia ngazi haraka kimbia kadri uwezavyo. Wamekupania vibaya mno wakenya. Uongo wako umekuponza. Na hakuna alie jitia kimbelembele kama ww kumpinga puttin akabaki salama. Haimanishi kuwa kuna mkono wa putin. Ila puttun ni taa ya dunia. Ona kinacho kkta mpuuz wwe
@yasminoluoch169
3 ай бұрын
WEWE ACHANA NA KENYA UJUI ANYTHING ABOUT KENYA TUMECHOKA KUDANGANYWA TUMECHOKA KUBEBA UFALA STOP TAKING SIDES HUYU ZAKAYO NIMUONGO NA STIL ANAENDELEA KUDANGANYA YY HAJALI HE JUST THINKING ABOUT HIM SELF...#ZAKAYO MUST GO
@wambuageorgemutua1930
3 ай бұрын
Sns hakuna kitu unachambua hapo, siasa za Kenya wachia wakenya...huwezi elewa hii maneno...you are so personal
@khamissalim5160
3 ай бұрын
Wqtanzania hamuwezi tufundisha lolote kuhusu demokrasia na freedom of speech,mumezoea kuramba miguu wanasiasa mpka rais wenu,
@kevicristian2738
3 ай бұрын
Freedom of speech kuchoma bunge😂🤔
@kevicristian2738
3 ай бұрын
Demokrasia kuiba Mali za watu🤔🤔🤔
@khamissalim5160
3 ай бұрын
@@kevicristian2738 tiii sheria bila shuruti,hayo ndio mulozoea
@chomasensi
2 ай бұрын
Siasa za Kenya huwezi elewa hadi uishi humu. Hakuna mtu aliyemkosea Rais heshima, katiba inatupa uhuru wa kujieleza bila woga. Kenya tunaamini Rais anachaguliwa na watu, mungu hatujai muona akipiga kura.
@mussahsalihd9602
3 ай бұрын
Afadhali tu wwe utake support uko sababu hujui tunachopitia humjui ndomana wapambisha kipindi, ungekua ground na hii hali usinge ona ubaya wowote uyu jamaa kuonewa
@makwegarashid-ui1oe
3 ай бұрын
Mawazo ya wakenya yashakuwa negative kwa Ruto,kwa kipindi haikuwa sahihi kufanya huu mdahalo. Pia waandishi hawakuwa na heshima ya nafasi ya Urais, waandishi walipaswa kuheshimu nafasi ya urais walikuwa wanamkandamiza walikuja na majibu yao. Kwa mantiki hii hadhi ya nafasi ya urais Kenya imedhalilishwa sana. Mawazo yangu Rais yeyote atakeyatawala kenya hatopewa hadhi.hata mtoto ndogo akijisikia kumtukana rais anaweza na asifanywe chochote. Wangempa nafasi Ruto alikuwa anamawazo mengi Zaidi mazuri na anaonyesha ni kiongozi mzuri sana.
@romeotv2542
3 ай бұрын
Bro it's better you focus on gaza and not Kenya 🇰🇪...we kenyans we know what we want ....# ruto must go... Please we know how the democracy works ...
@johnwahomemwangi7754
3 ай бұрын
wakenya tunataka ruto ayajibu yale maswali ngumu. hatufichi uchi sie. free media muhimu sana.
@Lingisa47
3 ай бұрын
I just listened to this content and it’s clear you don’t fully understand the situation in Kenya. The round table was initiated by the president himself, which shows his lack of strategic thinking. The purpose of the interview or round table was to clarify things. I respect SNS as a good platform, but please don’t make Kenyans angry with your uninformed comments. You don’t know how much we Kenyans have suffered under our president. Let me ask you this: how can a Member of Parliament or minister attend a fundraiser and contribute 50 million shillings? Where did they get that money? They are stealing from us. If the president was disrespected during the interview, it’s because of his own wrongdoings. Please make sure you have the correct information when discussing Kenyan issues. This is a democratic country, and if he doesn’t answer questions properly, he deserves to be cut off and made to answer correctly.
@MohamedSalim-bn7yq
3 ай бұрын
Sasa wewe Kilicho kukera ni kitu gani hapo? Unamjua Ruto vizuri ama una taka tucoment matope hapa.
Пікірлер: 442