Hayo yakijiri, Rais William Ruto ametangaza mazungumzo ya kitaifa kati ya vijana na wadau wengine kuanzia jumatatu ijayo ili kuangazia maswala yanayoendelea kuibuka nchini. Rais akiwataka vijana kusafisha nia na kujitokeza kwa mazungumzo hayo ya siku sita.
Негізгі бет Rais Ruto atangaza siku 6 za mazungumzo ya kitaifa
Пікірлер: 128