Mama tunakupenda hatuwe kundaman wakachukuwe familia zao waandamane
@kiatu
6 ай бұрын
Kwa nini CHADEMA wanashindwa kuelewa kuwa maandamano sio mbinu maarufu ya kufikia malengo ya uhuru na uchumi bora kwa walio wengi.. Watanzania sio risk takers at least kizazi hiki (20 to 60 yr olds). Jambo likaloifanya CCM ku-pay attention sio maandamano - conditions za kuandamana kwa Watanzania baado kidogo. Ajabu haitakuwa maandamano bali atatokea rais wa namna ya Hyt Magufuli ambaye ataona hitilafu zilizopo kwenye katiba na sheria zetu na atalikwamua taifa pengine kwa kauli moja tu na kwa vile bunge letu lina utii sana kwa viongozi wa juu kuliko katiba basi ndipo Watanzania wataingia kwenye ustaarabu mpya. Kwa hiyo tuwe wavumilivu na tuendelee kuelimishana na kushinikizana. Halafu Tanzania sio CHADEMA au CCM. Kuna players wengi, ni kosa kwa CHADEMA kuwa - alineate players wengine katika kufikia uamuzi huo.
@margarethpolepole7438
6 ай бұрын
Mama usiwe na wasi kabisa hakuna atakaeandamana nani akale vurungu wapeleke familia zao
@NdageKitahama
6 ай бұрын
Hakuna haki zaidi ya maumivu kila kona bidhaa zimepanda nauli juu kila kona kilio matozo juu kila kona ni kilio mafisadi wanaiba pesa za umma hakuna sheria zinazochukuliwa wapo mitaani wanakula bata tu kuna usawa hapo?
@margarethpolepole7438
6 ай бұрын
Usihangaike sana Mama hao wanataka watoto wa maskini watakaoandamana wale virungu watoto wao wako Ulaya wanasoma huko ilikuwa kipindi cha mwaka 1995 sasa hivi tunataka amani tu hatukupata Uhuru wa kumwaga damu
@elibarikimollel7149
6 ай бұрын
Maridhiano tangu..mpaka Liniiiii?!
@deogratiuswambura7597
6 ай бұрын
Watoto wenu wapo kwenye maofisi ya sekta nyeti wamasikini jkt na kulima bira vyanzo
@KangaMaluguru
6 ай бұрын
Kwa mara ya kwanza 2025 CCM kwangu (×)
@ahmedissa7882
6 ай бұрын
Kila la kheri Mama
@ZaitunAbdallah-ol1bb
6 ай бұрын
Chadema una watanzania hao waongo hao CCM hawana dira wala muwelekeo maandamano lazima mimi zanziba lakini nawatakia kila la kheri na maandamano lazima lazima lazima lazima si ya amani CCM wanaogopa maandamano ya amani ??????????? Tuta andamana Tanganyika na zanziba kwa ukahaba wa CCM
@godfreymkocha2919
6 ай бұрын
Kwani hii ni hotuba ya Rais ya leo tarehe 13 Januari 2024 au?
@deogratiuswambura7597
6 ай бұрын
Kiongozi aoni hata aja ya kuzungumzia viwanda katika taifa anaro liongoza na watu wake sijawai sikia
@mashannapapaaa9582
6 ай бұрын
Wewe achasiada zahovyo munapuuza main yawatanzania
@user-lr1sd3wq4d
6 ай бұрын
Ktk hayo maridhiano wanaichi wa kawaida waturudishie kufanya biashara huru kama magu tupate maokoto hali ni ngumu maisha magumu jamani. nyie mnajadili mambo makubwa ss wa hali ya chini ni shida tyuuuu 😂😂😂😂😂
@EdgarMwaninyaga
6 ай бұрын
Ukweli wanasiasa wanajijali wao ckuzote Mimi cwezi kuingia kwenye kuandamana kipuuzi badala ya kwenda kujiangaiki Hawa wanajali matumbo Yao .kesho mbowe akiitwa ikulu anatulia jamani tujifunzee kitu hapo hakuna lolote kama vp mutaona
@EliaEgbert
6 ай бұрын
Mh rais dhibiti mandamon u
@ruwaichijoseph5946
6 ай бұрын
Wanaleta furugu ni watawala na ccm ,kunganania matumbo yao nchi sio mali ya ccn, akina nani wazungumze,mtadaiwa damu za watanzania ,
@deogratiuswambura7597
6 ай бұрын
Yani raisi anasema vyama vya siasa kazibyao nikuona wanayo kosea mbona tulipiga kerere kuusu bandali yetu hakutusikiliza !
@ZaitunAbdallah-ol1bb
6 ай бұрын
Muongo huyo hana lolote tuandamane kwa amani anataarisha jeshi hiyo ndio sera za makufuli huyo na makufuli chama kimoja
@hildandumbalo5827
6 ай бұрын
Amani hakuna Tz ujinga na ulaji wizi mnanenepeana tu na family zenu wanyonge mmasai sehemu za madini watu wanahamishwa. TUNATAKA " KATIBA" VYEO VYAKO UPUNGUZIWE
@OmmyJames-xn7ji
6 ай бұрын
Jipange hakuna miujiza ya Tec 😢😢😢😢😢😢😢
@deogratiuswambura7597
6 ай бұрын
Viongozi mmekuwa teketeza jasho ra watanzania usiongeree shure toka uhuru mpaka reo
@BarackntabindiEmoro-bo1xp
6 ай бұрын
Mnapiga makofi ya nn sasa au mnajua mtateuliwa make mnaongea na mamateua
@KIDORBOYS
6 ай бұрын
Kwani nyie mumeshachukua haki za watu WENGI sana au mumesahau
@user-lb8jd9ut4i
6 ай бұрын
Mboye utumbie ukweli mungu akulinde uxikubali kunyamasishwa
@deogratiuswambura7597
6 ай бұрын
Ivi tanzania kuenderea ni serkali kujenga shule tu ndio kazi ya kujinadi kiongozi mkubwa wa madaraka ya mwisho
@deogratiuswambura7597
6 ай бұрын
Ati maendereo ni kujenga shure parepare zilipo kuwepo nikuongeza madarasa nikujenga shl
@deogratiuswambura7597
6 ай бұрын
Watanzania wataishi kwa shule na kazi hamna mnapeana na wanenu akikosea hapa anaamishwa wizara hire
@ahmedissa7882
6 ай бұрын
Mushimiwa mbowe anataka urais kwa lolote
@saiditasher8362
6 ай бұрын
Muongo muongo tumekuchoka pumbamvu
@user-lv1ki7nn7t
6 ай бұрын
Wewe mbowe beba familia Yako iwe mstar wa mbele Tena helikopta siku hiyo hakuna kuruka shenzi ,mnajifanya kutishia Ili kumtingisha mhe rais nchi isitawalike Sasa karibuni hiyo tarehe 24,tena viongozi wa chadema woote muwe mstar wa mbele siku hiyo no udhuru tukawanyooshe shenzi nyie ,mkishaingiziwaga pesa za ruzuku mnakaaga kimya wewe mbowe karibu sana tukutane dar hiyo tarehe 24 shenzi kabisa
@rashidyusuphwewenimtotowam1761
6 ай бұрын
Atakae mpiga mwizi ni waliokwisha ibiwa kama wew hujaibiwa maandamano haya hayakuhusu kaa pembeni
@irambadc5167
6 ай бұрын
Mbowe msaka Tonge huyo,haha jipya,kweli na atoke namkeo watangulie mbele,asichemshe maji halafu aunguzwe mtu mwingin!e
Пікірлер: 35