Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan leo Oktoba 11, 2024, ameshiriki zoezi la Uandikishaji kwenye Daftari la Wapiga Kura wa Serikali za Mitaa Katika Kitongoji cha Sokoine Wilaya ya Chamwino - Dodoma.
Akiwa kituoni hapo, Rais Samia alipanga mstari kama mtu wa kawaida ambapo ilimchukuwa muda kidogo mpaka kuweza kufikiwa zamu yake ya kujiandikisha.
Негізгі бет RAIS SAMIA APANGA MSTARI KUJIANDIKISHA DAFTARI LA WAPIGA KURA DODOMA
Пікірлер: 12