Rais Uhuru Kenyatta anatazamiwa kuzuru miradi mbali mbali ya maendeleo katika kaunti ya Mombasa hii leo. Mojawapo ya miradi hiyo ni uzinduzi rasmi wa daraja la liwatoni pamoja na kuanzisha ujenzi wa daraja la makupa. Miradi yote inalenga kupunguza msongamano na kuboresha uchukuzi wa kuingia na kutoka kisiwani.
- 3 жыл бұрын
Rais Uhuru Kenyatta azindua rasmi daraja kwenye kivuko cha Likoni
- Рет қаралды 9,055
Пікірлер: 26