Wangapi mmemuona magufuli kweny video hii Gonga like
@Kenyan_Duke
5 ай бұрын
Kikwete alikuwa anamfanyia kampeini kuwa rais
@user-sj7su2fb5i
2 ай бұрын
Alikua amekaa kaondoka kabisa
@epifaniakavishe9282
5 ай бұрын
Nipo apa baad ya msiba wa Lowassa
@chiniyamuti
5 ай бұрын
Hata mimi ndugu yangu.
@rogersiddy
5 ай бұрын
Kbsaaaa na mimi pia nimekuja hapa kwajili yake kuona unafiki na ukweli
@chiniyamuti
5 ай бұрын
@@rogersiddy tumeshuhudia unafiki wa hali ya juu sana.
@Abunowman182
3 ай бұрын
Katika Hili sijaona unafiki mana Lowasa alikuwa na uwezo wa kukanusha hayo wakati yupo hai. Kama hakuweza kukanusha wakati huo manake ilikuwa ni kweli.
@Olengujati-uo6gx
5 ай бұрын
Jamaa aliogopa kumpa apeperushe chama cha ccm ili isijulikane ukweli hakika mngefichuka mnoo huyo mwamba angewagonga sana
@ADAMJUMA-qz6pu
5 ай бұрын
Matapeli ya kimataifa wote 2 ndo wameifikisha tz hapa ilipo panya road hawa wanatupiana mpira sasa hivi anajifanya ana uchungu
@user-fg6xi3xu6t
5 ай бұрын
Ulikula nchi wew kikwete
@awadhally1052
5 ай бұрын
Kwel kabisa
@godfreyjames8582
3 жыл бұрын
Anaeangalia 2021 gonga like pa kama umemuona anko Magu twende sawa
@abednego3876
5 жыл бұрын
JK alichemka sana enz zake , ila kwa ku2pa JPM ulifanya la maaana mno
@edwardmkwelele
5 ай бұрын
JPM HAKUSHINDA
@michaelngalo1808
5 ай бұрын
Tumejifunza Mengi. Leo Huyu huyu Mh Kikwete anamsifia Mh Lowassa but alimdhalilisha, alimkejeli na kumtukana hadaharani na kumuita kila jina baya.
@chiniyamuti
5 ай бұрын
Yaani huyu binadamu nimemshangaa sana, Mzee Warioba amesema ukweli.
@homeboybeyondtheborders4935
5 ай бұрын
Ila japo wengi wanatoa maoni kwamba Lowasa hana hatia ila kuna kitu kipo kati kati ya utajiri wake...Nyerere alimkata sijui sababu ila kutakua na kitu.
@patrickKitambo
5 ай бұрын
Lowasa ametoka familia tajiri na nyerere aliamini katika ujamaa kwaio mtu yoyote mtanzania mwenye hela yeye alimuona msaliti ndo maana hata kaka yake mengi alikua anaitwa elitera alinyang'anywa ghorofa lake pale moshi mjini sababu ya hio sera ya ujamaa
@pendokatindasa2281
5 жыл бұрын
Hongera KIKWETE MAGUFULI OYEE
@laurentsidibalama8640
Жыл бұрын
Nani kaona jpm alivyosimama nakuondoka kuongea na Simu 😛😛😛😛
@Officialldjiza
5 ай бұрын
Dah tupo wote ndugu
@dominicksangu8934
5 ай бұрын
Chanzo cha lichimondi ni wewe mwenyewe kikwete huna hata aibu huon
@awadhally1052
5 ай бұрын
Kwel kabisaa
@michaelngalo1808
5 ай бұрын
Mh Rais Mstaafu Acha kutuchanganya! We unasema ulishiriki kuamua sasa ulishindwa nini kusimamia huo mchakato hadi mwisho?
@arcardbessa8105
5 ай бұрын
Wabongo😂
@jskconceptscreativity1575
5 ай бұрын
Na kitu najiuliza kwann tukodi mitambo hakuna njia nyinginee, umeme ni dili hadi sasa😢
@judyngowi391
5 ай бұрын
Na DP World ndio mshaingizwa chaka
@Abunowman182
3 ай бұрын
Kwani mikataba yote anasimamia rais Jua urais ni taasisi.
@malcomx4067
5 ай бұрын
Huyu mnafiki, kwenye msiba analia na kuwadanganya wa Tanzania kuwa yeye na Lowasa walikuwa marafiki sana… mnafiki, mnafiki, mnafiki.
@hassansimba7276
5 ай бұрын
Hiyo ni Siasa mtu akifa Huwa tunashiriki mazishi bila kujali tofauti
@hassansimba7276
5 ай бұрын
Alituletea Magu Jembe
@emmanuelaben-df6yr
5 ай бұрын
ukiwa na rafiki yako kakosea uwezi kumkemea kwa sababu siku akifa unaogopa kuwa mnafiki
@EshaHamd-ed9yv
5 ай бұрын
Huyu Mzee anaonyesha kuwa ni mnafiki anajiliza kinafiki sana maana hata kwenye hutuba zake ni za kinafiki Wewe mwenyewe ndiye wa Kwanza mlaji Rushwa wengine wanafuata nchi umeiwacha Maskini Kwa Maslahi yenu na Familia zenu ndio munaofadika wananchi wanalala na njaa nyinyi. Na Familia zenu mumestarehe kumbukeni Dunia ni Mapito iko siku mutaondoka na mutakwenda kujibu Mambo muliyoyafanya ni makubwa Jahanam inawasubiri Kila anayedhulumu ikiwa ni Kwa Siri au dhahiri Kazi kwenu
@awadhally1052
5 ай бұрын
Kwel
@elibarikkiakyoo
5 ай бұрын
Mungu unayaona shughulika nayo maana kwa Miaka zaid ya 9 bado 😢😢😢
@rogersiddy
5 ай бұрын
Kweli kbs huyu mnafiki sio kidogo
@yunusimchala6569
5 ай бұрын
Kipindi chake na sasa maisha yakoje?
@angellomarcel5677
5 ай бұрын
Hilo nalo neno
@yusufuheri6524
3 жыл бұрын
Duuuh yahni kikwete anaongea alafu namuona magufuli kwa mbali alafu eti leo hii historia inaniambia eti kesha kuwa raisi na kesha kufa yahni hii dunia hii. Hakika neno LA mungu ni fumbo la imaani. Eh bwahna nimeamini matatizo ni weusi ulioko nyuma na mbele ni kweupe peh
@dominiquemushy895
2 ай бұрын
Mzee kikwete Mungu atakuona,
@jemedarikalimasi5754
Жыл бұрын
R.I.P DR JOHN POMBE MAGHUFULI
@edsonmnego4030
18 күн бұрын
Na angepitaga huyo unae muongelea hvo hizo hela mbn ungezitapika Mzee sema basi tu
@elishakayagwa9371
5 ай бұрын
Huyu mbwa ndiye mwizi wala Lowasa hakuhusika
@Lahyzeecrucial
5 ай бұрын
2024 wake up!
@user-ig5yn4zp2u
2 ай бұрын
Siasa mnazofanya mnabahati watanzania wengi hawaelewi kama ulaya kw wasomi mngekuwa na wakati mgumu sana, ila fanyeni yote mnayoona ni mema kwenu ila mungu anawasuburia.
@sethjohnson7266
Жыл бұрын
Kujitetea ni kazi kweli kweli. Wakati hayo yote yakifanyika si ulikua Rais wa Nchi?? Na wewe ndo ulikua na mamlaka kuliko mtu yeyote hapa Tanzania
@bakaringuto
Жыл бұрын
Eti rais hausiki, eti rais hakujua company Gani imechaguliwa?!?! Hii ndo Tanzania
@vladiminlenin8883
4 жыл бұрын
Jamani kwenye ishu za kitaifa usteuwe rafiki na ndugu zako watakuangusha maana utswaonea aibu kama huyubmwenzetu yalivomkuta
@user-ig5yn4zp2u
5 ай бұрын
Mnatudanganya sisi ila hamnauwezo wa kumdanganya mungu
@kassimtanda7321
4 жыл бұрын
Baba ulikua sio mtu wa site. Ulikua kitikilefu officeni
@sirionecompanylimited8165
5 ай бұрын
Duhh😢
@jacksonjacksonjacksonjacks9879
2 жыл бұрын
Apo ndo tatizo lilipoanza Rip baba yetu magu😭🙏🇹🇿ameni
@angellomarcel5677
5 ай бұрын
Hii nchi hii...Kuiona Mbingu ni kazi sana...
@paulokiwango21
5 ай бұрын
Sio kwa nguvu zao ila ni kwa neema ya Jehova Mungu
@michaelngalo1808
5 ай бұрын
Kumbe Lowassa aliambiwa ajiuzulu!
@judyngowi391
5 ай бұрын
Wakati alisema aliamua kujiuzulu mwenyewe
@kwisa4899
Ай бұрын
Sasa hii kama hii mbona mpina kaonekana kalikosea Bunge hii issue hata Bashe si kafanya
@mkuluwaukae2221
Жыл бұрын
Maana ya kua rais ni nn?ulifanya nn kama rais? Kushiriki kuamua mpango na kushiriki kua kampuni gani ? Hahahhahaaaa hakuna mwizi anaweza sema mbele za watu maelfu kua yeye ni mwizi, NEVER IN AFRICA
Sasa lowasa alikuwa jambazi kamili. Kikwete msibani kwa lowasa umemsifia kweli
@isaaabdala7016
5 ай бұрын
Huu ndio ukweili wenyewe.unataka.aongee uongo.kikwete.haongei.uongo.na Ameongea huku mwenyewe.ansikia.sasa.unfikiwake.nn
@MrA24G
5 ай бұрын
Home boy umeongea ukikuta baba wa taifa anakukataa kuna jambo hapo.
@judyngowi391
5 ай бұрын
Ndio maana Magu alikuwa anayaita mafisadu
@muhammedmachimbo6304
5 ай бұрын
Kikwete ni snitch kinoma
@EmmanuelLupoja
Ай бұрын
Nimejikuta namuangalia jpm tu
@naturelle1097
5 ай бұрын
Leo hii mgao kila siku sababu ya kosa hilihili. .limewakwama kooni kama kijiba cha samaki 😂
@user-sj3wf5vz7l
5 ай бұрын
Wewe ulikuwa wapi? Ukweli utakuja kujulikana tu
@guyasidotto1198
5 ай бұрын
Malipo ni hapa hapa Duniani
@EmmanuelLupoja
Ай бұрын
JPM yuko kushoto pale
@GeofreyKhamis
5 ай бұрын
Rais wang pendwa Jpm 2
@ramadhanchenga4606
5 ай бұрын
Sasa ww ndo ulikua rais mbona hukumuwajibisha
@user-mx2tx5eg9x
5 ай бұрын
Ulimsaliti mwenzako, RIP Lowasa
@uledimtumwa2406
5 ай бұрын
Kikwete bhana ni Hatari sana 😂😂😂😂
@abbasmkambara5815
5 ай бұрын
CCM wajanja sana hata huyoo lowasa walimpeleka chadema kuaribu tu
@mangsonsamson7712
4 жыл бұрын
Msanii tu
@tahirnephessalum3678
5 ай бұрын
kwahiyo Richmond hawakupiga hata tsh kumi bali walitaka kupiga
@emmasonanjawe9042
5 ай бұрын
Ukweli utakutesa milele
@seifmohamedseif9384
6 жыл бұрын
bora uliweka ukweli wazi
@lossarungira965
5 ай бұрын
Ukweli upi huo? Sijui kwa nn watz tunapenda kudanganywa
@emmanuelaben-df6yr
5 ай бұрын
Najiuliza tu kwa Nini hakumwambia wakati ule wakiwa wote madarakani
@faisalhassam3721
Жыл бұрын
Safi sana mheshimiwa maneno yako kuntu. upo vizuri
@aman1leonard914
5 ай бұрын
😢
@odoieriasmonga6591
5 ай бұрын
Kwa udhaifu huo ulitakiwa hata wewe ajiuzulu kwani ulitakiwa ufuatilie hadi kuhakikisha kua kampuni imepatikana yenye sifa na uwezo
@beproductive839
5 ай бұрын
Magufuli oyeeeee😂😂😂😂
@EphataPallangyo
5 ай бұрын
Kikwete angestahili ajiuzulu yeye mnafiki wewe
@user-ep7uz3tk3f
5 ай бұрын
Sema, sema,semaaaaaaaa!
@breymbasa3451
5 ай бұрын
4:33 Kuna bango linasomeka Lowasa ni nungu nungu Eti ukimkumbatia umeumia Hivi nae kama yu hai right now anajiskiaje? Napengne kashaujua ukweli baada ya kuujua ukweli, Nakama alilipwa aandike Mpaka leo zile pesa zimempa nn? Dah asee najiuliza sana kila nikipiga hatua moja mbele
@seifmassoud2686
6 жыл бұрын
Kama hukuhusika ulichukua hatua gani? Na mpaka leo nani kachukuliwa hatua? Msituzuge bwanaa
@twalhamnyira5318
Жыл бұрын
Kwahiyo wew hujaelewa wap? Acha kukaza fuvu
@mbesseonlinetv5389
2 жыл бұрын
Kama u.emuonaagufuli twende sawa mbesse online TV SUBCRIBED
@user-ep7uz3tk3f
5 ай бұрын
Safiii!
@user-ig5yn4zp2u
5 ай бұрын
Tafuteni mwingine wa kusema maana siasa zenu bila kumtengenezea mtu ajali hamuwezi
@shedrackpiniel6800
5 ай бұрын
RIP mzee lowasa
@abelimwakijungu1226
5 ай бұрын
Dp world kanuni gani zimefuatwa?
@nabiiolary3526
8 жыл бұрын
lowassa hahusiki
@ibrahimgwasma235
5 жыл бұрын
angekuwa ccm angekuwa anahusika ciyo?
@leaherasto929
5 ай бұрын
Rest In Peace Lowassa marafiki sio watu wakuwaamini
@meshack3266
5 ай бұрын
Baba mnafiki uyuuuu
@andersonjohn6984
5 ай бұрын
This is politics daah, you don't know who to trust
@felixkamkala3303
5 жыл бұрын
Aliahaidi na ametekeleza mh Rais
@user-zl3le1wz2u
5 ай бұрын
Yeye sheria haimbani anasema anavyojisikia kisa tuna bunge dhaifu
@EliasOlenasilafamily
5 ай бұрын
Siku naye tukimuaaga real nawaambia hii nchi tunakuwa matajiri
@AhmedTamimi-cu9op
5 ай бұрын
Ngoja na wewe ufe ndio utakuja jua hujui kama tadinu tudani
@paskaziasholla7471
4 ай бұрын
Kwakweli mnafki ni yule unaekula nae
@user-if8uh3cp8s
5 ай бұрын
Zambi hiy itakutafun mpak mwisho
@elishabenjamin535
5 ай бұрын
Sura ya lowasa itakutafuna mpka ukome
@vradmirlenin8290
Жыл бұрын
kikwete alikuwa good leader ila hao inz wa kijani sas waliomzunguka mdo tatzo
@agnesmbogo3753
4 ай бұрын
Wewe unahusika utaungumoto
@user-ep7uz3tk3f
5 ай бұрын
Mnasemaje hapo!
@user-ig5yn4zp2u
5 ай бұрын
Acha unafiki ww ni msafi mungu akija hata leo?
@visiontanzania2022
5 ай бұрын
Na kwenye Msiba wa Hayati Edward Lowasa uongee hivyo hivyo
@efronaaron6772
5 ай бұрын
😂😂
@dicksonkilupa2258
5 ай бұрын
TUMWOMBEE KWA MUNGU MTU ATAKAYEFUATA BAADA YA KIFO CHA LOWASA. SISI ACHA TUWASIKILIZE TU.
@user-ic7oo1vt4v
5 ай бұрын
Tuimbe nyimbo za maombolezo mambo yameisha hotuba zinakumbusha mazito
@user-jo1zp7fj7r
5 ай бұрын
jana kachafuriwa leo msiban anasifiw
@SamsonDaniel-vo4dj
5 ай бұрын
wewe kama raisi ulikuwa wapi?wewe ni mtuumiwa namba moja
@manfredangelo3701
5 ай бұрын
R.i.p lowassa
@allywaziry7489
5 ай бұрын
Hili ndio linalomuua lowasa aisee
@rehemakarafuu-xi1py
5 ай бұрын
dah
@user-ig5yn4zp2u
5 ай бұрын
Wazee wengine ovyo sana, sema tu duniani tunapita
@edwardmkwelele
5 ай бұрын
Unafiki
@user-ig5yn4zp2u
5 ай бұрын
Ngozi nyeusi ni taabu sana umesahau hadi ulipotokana nae
@stephenndagalla8183
5 ай бұрын
Kigugumizi chote hicho ni dhahili ni maelezo ya uongo mtupu na MNAFIKI.
Пікірлер: 187