Unaweza kupenda mitandao lkn sio maisha yako ya ndoa kuyaweka mtandaoni na unachofanya unampa sababu yakuwa na wanawake wengine.
@user-qh8kl9mu5w
28 күн бұрын
Hana akili, ukiolewa na msanii lzm ujiandae kisaikolojia
@winniesimon850
25 күн бұрын
Weeee dada ni mshamba to the maximum. Eti tukapeana space. Akishika kiuno ndo kula yako tulia bandika makope yako. Kwanza Huna uzuri wowote. Upo kama jini
@winniesimon850
25 күн бұрын
Tumbo limekuvunjia ndoa hahahaha
@user-zq2be4xr1o
28 күн бұрын
Wewe mwanamke haujaolewa ju yakudum kwenye ndowa labda ulikuwa na Malengo yako fulani umeyatimiza unajisepa , ninafurahi kuona umeamuwa mwenyewe kumuacha barnaba kimtizamo wangu mimi mungu anampenda barnaba, sababu ungekuwa kikwazo maishani mwanamke
@kassimchuo5290
28 күн бұрын
Toto la mama kimbo hiloooo pendeza sanaaaaa like mother like daughter ❤️❤️❤️
@BIENVENUMUHINDOLULIVIRO
29 күн бұрын
Mnapo owa muwe munaangaliya ni mwanamke gani anafaa kwenye ndoa siyo mwanamke anaye jihisi kama nimzuri zaidi ,natena awe mtu ambaye anauvumilivu napia mama mkwe kama hawa hawafai
@ScolaMussa-il4fs
29 күн бұрын
Achakutaja wasanii wengine pambana na ndoa Yako Raya itakugharim
@uwezawamungumkuu.amaniafrika
29 күн бұрын
Barnaba Kushukuru Mungu wako kwa yote. Endelea na kazi na maisha yako . Amen.
@user-st1zs1ng2x
29 күн бұрын
Makiki ya kipuuzi.. Kwani hukujua unaendakuolewa na msanii?? Na wasanii wa bongo kama tujuavyo uchi ndo unawatambulisha
@farahanafarer7588
29 күн бұрын
Utani utani utajikuta huna ndoa kabisaa
@user-ye7hg5pn7x
29 күн бұрын
Barnaba kazi unayo duh kuacha Tena usanii, mbona mwanamke huyo akirudi Tena timbwili,kisa usanii,,,🤣🤣Sasa alivyo kuoa hukujua kama msanii,mh mh
@issazalala4907
29 күн бұрын
Pcha lina anza raya mwenyewe yupo uchi matiti nnje lakini analia mumewe kashika kiuno ngoja ni 😂🤣🤣 tusome dini ili tupate muongozo
@svt3
29 күн бұрын
Halafu alipo olewa alifahamu vizuri kazi ya mme ni usanii na kuwashika shika wanawake iko ndanii ya usanii
@caesar7745
29 күн бұрын
Hawa wanawake bure kabisa. Wanaume tutengeze hela
@zakiangumbe6739
29 күн бұрын
Aaah raya mwenyewe by hat na Barnabas hawaendani. Ila pale kwenye kiuno kamependeza .shikamoo 🍠
@BintiHamisi-lh3xx
29 күн бұрын
Nlitaka nseme lkn asante umetangulia 😂😂
@MwamvuaKing
28 күн бұрын
Umeonaeeee.
@mwanaibrahim2444
29 күн бұрын
hunahaya wewe dada mbonawewe upo uchi na hajawai kukataza kuvaa ivo
@rehematawalani733
20 күн бұрын
Mwenyewe kajiona kavaa😂😂😂😂😂
@aromaofzanzibar
29 күн бұрын
Nilitaka kuuliza hizi music video na photo shoot si zinakuwa controlled na ma producers wanavyo plan na nguo kuna stylist au vipi
@sabihasalim942
28 күн бұрын
Niliona Interview ya Barnaba ya wasafi ameulizwa similar question akasema Yammi ndio amechaguwa hilo vazi😮
@sabihasalim942
28 күн бұрын
Hata kama ni kazi but kuna limit... Amem Disrespect his wife wake .🥺
@awatifalghanim1106
29 күн бұрын
Mashaallah umependeza…
@user-vj1ek5us4r
27 күн бұрын
Huy muislam kweli kuowa sharia
@mj.tv.forpeople992
29 күн бұрын
Pumbavu hujui kazi ya mume wako
@SUNDAYMRGAMINGTZ
29 күн бұрын
Kumbe kwenye maisha unaweza kuowa mwanamke mkubwa kabisa.... Lakn akili ndogo...
@Hussein-gx4qu
29 күн бұрын
kwani we ulikuwa hujui wanawake akili zao ni ndogo sana yaani ni fupi
@ConfusedAlien-xk3sh
29 күн бұрын
@@Hussein-gx4qu😂😂😂siyo wote mimi King,ang,anizi
@user-gj2mm3ko8m
29 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂Kweli
@BintiHamisi-lh3xx
29 күн бұрын
Aaaweeeee😂😂 izi za mtandaoni noma sana
@ZenaMsumagilo
29 күн бұрын
Malaya huyu kwani hakujua anayemuoa ni msanii na hii ni ni sehemu ya kazi yake. Bas na aende ataoa mke mwengine mwenye kujitambua.
@CafeJohn-jz8ri
26 күн бұрын
Kazi kazi
@user-gb5pe1qj2h
14 күн бұрын
Mke mwenye kuijua din awez kuanika ndoa yake kwenye jamii alafu unatak stala wakati mwenyew unastar mke wamtu ayo nimavaz yakujianika mitandaon muongopen mungu
@godlistenobed9299
28 күн бұрын
Nimekupenda da raya ❤❤
@elizabethdamas-zp9xl
29 күн бұрын
Jmn Raya rudi kwa mumeo wew ndo tunakujua ni mke halali icho kitu sidhan kama ni cha muhimu sn had umuache mumeo kazi yako ni kumuombea ndo mana Mungu amesema mke amuombee mumewe sas muombee mumewe na sala zako ndo zitamuepusha na hayo mambo yte dia na pia iyo ni kaz yke kma unavyojua wasanii msameeh thn muombee sana usimruhusu shetan aiseh afu ukimuacha mumeo unampa artym uyo manzi mwngn jiamin ww ndo mama lao rudi kwa mumeo
@Farajahelene23031
28 күн бұрын
I love you rahya you're a good women
@mhabimina4023
28 күн бұрын
Raya she knows how she is ,don’t let anyone disrespect u 👌
@suzanfabian9099
28 күн бұрын
Mh!! ungecomment kwa kiswahili tu😅😢
@salamamamashenge5493
27 күн бұрын
@Chris Favors Kaka unajua kazi lako kikukweli unajua Kukuliza you deserves the Flowers 💐
@cantonamaster9001
29 күн бұрын
❤❤
@janengowi-lt9gu
29 күн бұрын
Tatizo hapo Mama amekuwa mtu wa katikati ndoa ikishakuwa na mtu Kati kwisha habari
@magrethdaniel8441
28 күн бұрын
Mmmmh we umepambana na barnaba wapi jamani barnaba alifanikiwa miaka ya nyuma Sana
@MaryamMoshi
20 күн бұрын
Mmmmhhh yetu macho
@KissaMwaifwani
29 күн бұрын
Kazi anayo Barnaba pole aliyekutuma kubadili dini Kwa ajili ya familia hiyo ukitaka ndoa Uache mziki
@Mileyb.
23 күн бұрын
She's vry honest coz she love tht guy indeed
@jukaelyelisha6311
28 күн бұрын
Mi naona huyu Dada hana hekima maana huwezi mwanika mme wako hivyo duh kazi kweli
@user-bc3lh5ss6c
29 күн бұрын
Raya hakuna wa peke yako dunia nzima shaurilo😂😂😂
@aromaofzanzibar
29 күн бұрын
Wazungu wanasema don’t make permanent decisions on a temporary situation. Hiyo ni kazi na imeshakwisha Barnaba hajasema kama anamahusiano lakini ukuzidi kumsema sema utafukuza akatafute mapenzi na Amani kwengine.
@fathiyahmuzney7367
28 күн бұрын
Haswaa wajina umeongea we muache aendelee kuvimba kichwa kujikuta ana mmudu sana barnaba
@azirajuma553
27 күн бұрын
Ushauri mzuri sana dada,anatakiwa atulie kwa sababu mumewe alikuwa kazini.
@KhadijaMohammed-gw2xo
29 күн бұрын
Mekaup iyo ana uzur wowote
@JumaNyoni-ob2wz
19 күн бұрын
Ila raya😅😅😅😅😅
@salama1113
29 күн бұрын
Kwahiyo unataka ummiliki😂😂😂😂
@fatumapilyimo8784
29 күн бұрын
Umependeza sana mamii
@shamlimah5682
27 күн бұрын
Tell her to show u her really face not makeup
@ashminaabdulla8946
24 күн бұрын
Mm iyo Lipstick 💄 hataree😂😂❤❤❤
@rehematawalani733
20 күн бұрын
Huyu haiwezi ndoa alifikiri ndo a lele mama haaaaa😂
@merinankullua5874
27 күн бұрын
Mmmmh ,umembadili dini inayoruhusu ndoa za wake wengi
Balinaba huyo mke hakufai maana hata mwenyewe yupo uchi
@hanifaally4694
29 күн бұрын
Toa ndoa mtandaoni dada Lol
@martinclassic7595
29 күн бұрын
My blood chris 🔥🔥🔥
@Maria-dg6ik
28 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@kassimchuo5290
28 күн бұрын
Upo sahihi sanaaa da rayya penda sanaaaaaa and u looks so beautiful ma dear .....unahaki ya kuongea unavyoweza mama (mtu chake)cha halali kinauma mamaaa
@kassimchuo5290
28 күн бұрын
Toa cheche mama usiogope rayya beiby a..k.a boss lady toto la kitangaa hilooo❤❤❤
@PendoPeter-rr4jk
29 күн бұрын
Sasa ache Kila kitu mtakula hiyo ndoa,ww mdada kitu huji mwanaume anaweza kuwa smart kwenye macho Yako lkn ni msaliti balaa, njia pekee ya kulinda ndoa yk ni maombi, cyo mtandao shetani haogopi maneno yk bali unampa nguvu ,jifunze kubadilika unaongea sana hd unakosa radha
@user-gj2mm3ko8m
29 күн бұрын
😁😁😁😁😁
@ZenaMsumagilo
29 күн бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅 kweli anakosa radha
@AshaMohamedi-re4yy
26 күн бұрын
Ujafunzwa Dada rudi tena kwasomo
@matanohassan9667
29 күн бұрын
BARNABA MTU SAFI UTAJUA FAIDA YAKE UKIONDOKA MWENGINE AKIINGIA NDIO BC
@roseb8052
23 күн бұрын
We Mama ninani I mean what if I love you
@eliuskamwelwe1018
28 күн бұрын
Sema yammy mzuri sana ,huyu dada ana sura personal sana😅😅 cjui barnaba anateseka na nn
@MwamvuaKing
28 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@user-dq1lm2be2u
27 күн бұрын
Tena wanaendana sana na yammy😂😂
@MohamedMkota
26 күн бұрын
hawa ndowalimwengu wanakugeuka dakika😅😅
@AsiaAbasi-fg9gu
23 күн бұрын
Sasa umeambiwa kinachoishi ni sura
@MuniraShughuli-kc7vj
29 күн бұрын
Mbona hupendi kujistir Raya maungo wazi kichwa wazi si swa dini hairuhusu na Tatoo kwa juu🤔
@user-nk4oq4ek9y
29 күн бұрын
Karembo kweli mmpaka sauti jmn
@rogerabdallah439
29 күн бұрын
Ushaanza umalaya
@user-nk4oq4ek9y
29 күн бұрын
@@rogerabdallah439 sasa kama ni mrembo nisiseme kweli
@rogerabdallah439
28 күн бұрын
@@user-nk4oq4ek9y aya 4 u
@aminakipande5645
26 күн бұрын
@@rogerabdallah439😂😂😂 kumekucha
@winniesimon850
25 күн бұрын
Sio mzuri ni makeup
@user-mo3wn6cc7h
29 күн бұрын
Ni kweli Barnaba hakua wa design hiyo jamani hata mm nmeshangaa😊
@MsAggie5
29 күн бұрын
Ame ji update 😂😂😂😂😂 Wanaume shikamooni 😂😂 Hao ndo wanaume, matukio lazima. Akae Kwa kutulia
@mkemiabenzn7811
28 күн бұрын
Ha haha., Barnaba hapa alijichanganya sana. Hawaendani hata kdogo na huyu sura nzito🤣🤣
@rehematawalani733
20 күн бұрын
Nenda salama mama tunakutakia maisha mema
@fetychina3969
28 күн бұрын
Ume mbadirisha dini barnaba alafu unamuacha Mungu anakuona na umekosea sana kaa utafakari
@@MwamvuaKinghalafu aombewe msamaha insta inahusu nini ??
@Zuu673
29 күн бұрын
Kisoda kweli kiki bado inaendelea
@christinamwangoc4779
29 күн бұрын
Ki kweli mnatulazimisha sanaa kuwasikiliza
@aminabakari5408
26 күн бұрын
Nkwel mapenzi hayaganyiki mmy
@MohamedOmari-wb4oy
25 күн бұрын
Apo kwenye kiuno napo nishida Ata mm nisingekubali lakini sio kuondoka kwako sio Sheria iyo mamaa
@mamawamireille4872
28 күн бұрын
Barnaba pole mkewako na mama mkwewako wote niwamoto nihatari
@LovenesyMhame
13 күн бұрын
Ila kam ndo mara y kwaz ilitakiwa umuskiliz nin anasem kuhus hilo na upend wake kwako upoje n angekuomb msamah maish yakaendelea
@ReginaMachibia
22 күн бұрын
Unampa tu adui nafasi we dada
@hawababy120
28 күн бұрын
Tukia ile nikazi kwahio humuamini mme wako!!!unaitaji canceling wee dada.
@sisifaty9183
28 күн бұрын
Alikuwa anataka kutoka mjinga utajuta .kwani nyumba .maduka nini huoni mafuriko yanavyo kuja uliza Dubai matajiri wako huko mtoto kama kunasababu zingine hapo sawa
@matridamwalyoyo1735
29 күн бұрын
Kik abd
@GraceMalley-ly2xn
24 күн бұрын
Ila Raya lazima amsamehe Barnaba na pia vaeni Variety stile fupi sawa lkn acheni kuvaa matako wazi hatupendi, tunaomba zipite chini ya makalio mstalii wa makalio hatutaki kuona.
@RomanMwinyi
28 күн бұрын
Ww mwenyewe sio mwana mke wa manaa sasa izoo nguo gani ivi mwana mke akiwa anajitambua alaf kaolewa ana wezaa kuvaa nguo kama izoo uyoo chulaa amna mwana mkee appoo
Пікірлер: 381