YAANI BEKI KAPIGWA CHENGA NA KIPA KALIWA.. MAKOMBO VIPI JMN
@jmstudio1157
5 жыл бұрын
umelogwa nn umeona apo kipa kapigwa chenga unaona rmx nn
@mnzavachris5423
5 жыл бұрын
John Pou usipanik wala hakuna haja ya POVU blaza.,em fanya kusoma tena ujumbe vizuri. Ila Yanga mbn ilishambuliwa sana na ni kwamba tu Rayon washambuliaji wao hawakuwa makini vy kutosha zingelikuwa za kutosha. Kuna haja ya kufanyia kazi kubwa yahitajika kwenye ulinzi. Ila iwe funzo tuache kuwa ombaomba + muda sasa kubadilika kama waTZ kwa pamoja. Hongereni Yanga.
Пікірлер: 34