Oya kiswahili burundi siyo noma.Sema hao waliomhoji maswali ndio hawakunyosha kiswahili ipasavyo ila ujue vigogo hapa ambao kama wangekuwepo aisee nanyi mngeshangaa.Mimi mrundi wa asili kindakindaki ambaye alikivalia njuga
Chui namkubali sana.Lakini Landry title zako zinabowa sana.Unapaswa kutafuta mtu ambaye atakuwa anakusaidia kuandika captions zako
@allyjabiri
14 күн бұрын
Landri ambia wasani wenu waimbe nyimbo zao kwakiswaili nchi nyingi iliwafike mbali watafute makolabo pia wasambae nnje yainchi
@Deezoboy
14 күн бұрын
Ila watu wa Burundi 🇧🇮 mbona ni ngumu saana kupata watu wanaojua kuuliza maswali vzr au ni lugha 🤷🏼♂️😂 Landry mbona siwaelewi au nianze hzi kazi na mimi 🤦🏽♂️nije kuokoa katika kitengo chenu cha utangazaji 🤷🏼♂️
@nshimirimanacelestin2930
13 күн бұрын
Oya kuna wanaojua na wengine ambao hawajui.
@Kimementocomedy
14 күн бұрын
kiukwel mziki hauna mipaka
@radicaemmyradia
13 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂kiswaili chawa Burundi shida angalia title ya hiii interview ya hittop tv 😂😂😂
Пікірлер: 50