Hii ni nzuri sana sababu inarahisisha kujua changamoto za wafanyabiashara nimeipenda hii
@yasiniselemani9318
3 жыл бұрын
mh nimekuela Sana umeziona kiundani Keri za wafanyabiasha na sio kuwakandamiza wafanyabiasha mungu aendelee kukupa busara hizo mkuu 🙏🙏🙏
@ambokileasheengai1140
3 жыл бұрын
Kulimaliza tatizo ni kufungua kiwanda tu karibu na mikoa hiyo basi,,siyo kusubiri mzigo toka dar es salaam
@yahyamajidyahyahilalal-har8762
3 жыл бұрын
Ahsante Sana🤝🏻. Nimemuona Kirahumba
@lugaziarutta3367
3 жыл бұрын
Safi sana
@mwilemwasenga7066
3 жыл бұрын
ccm oyeee
@emanuelmwanga4
3 жыл бұрын
Iyo haisaidii mzee watu tumeshapigika mnakumbuka shuka wakati kumekucha amko sirious na hizi mambo
@naimasaid7763
3 жыл бұрын
Safi
@smolletmwakamele4275
3 жыл бұрын
Busara mku RS
@saidbakari1127
3 жыл бұрын
Wanasiasa mungu anawaona.
@sikuzanibusanya6423
3 жыл бұрын
Yani jamani Cement imekuwa changamoto mnoo hadi mifko Erf 25000 mmmmmm
@daktar_kapaku_natural529
3 жыл бұрын
Daah muone uyo Muha nahuo msaraba hahahahaha eti mwisho wa relikwani hyo ndio sababu Muha na tukisema mwanzo wa reli
@geraldgm1217
3 жыл бұрын
Cement Kenya Tsh.12K...karibuni
@geraldgm1217
3 жыл бұрын
@Change Mindset Tsh.12k
@leecode6135
3 жыл бұрын
Yaani ukitizama hata huo uwekaji wa cement ni very local duuuh yaani kma 1970 duuuuh
@fahadfaraj1822
3 жыл бұрын
Tatizo nini unadhani
@athumanitanuke6795
3 жыл бұрын
Tuliipenda wenyewe tupambane na hali yetu Ni sawa na mpishi yuko jikon , chakula kiko tayar ila hafikish mezan ukiuliza tatizo ni nn eti hata yeye mwenyew hajui Kumbe mkuu wa nyumba amefunga mlango Hiyo ndiyo Cement Nondo Mabati Mafuta ya kula Hii ndiyo nchi ya uchumi wa kati
@solemba595
3 жыл бұрын
Waache soko huru la cement kutoka nje kama zamani, kama wanaachiwa local supplier Lkn Bei 25000 mwananchi wa kawaida atajengaje?
@sabrimohammed2799
3 жыл бұрын
Tunaisoma namba sasa na tutaisoma sana mitano hii
@omaniworker548
3 жыл бұрын
* mhhhhh
@abuumusabukolo814
3 жыл бұрын
Na sukari na mafuta ya kula pia jamani
@baragatimaingu5623
3 жыл бұрын
Kwenye sukar mngeenda namna hii wala isingekuwa 2800
Пікірлер: 22