Mkuu wa mkoa wa Tanga Balozi Dkt. Batilda Buriani amelitaka jeshi la polisi mkoani humo kusimamia misingi ya nidhamu,haki,weledi na uadilifu kama ilivyo kaulimbiu ya jeshi hilo.
Dkt. Batilda ameyasema hayo katika hafla ya utoaji wa sifa na zawadi kwa askari wa jeshi la polisi mkoa wa Tanga iliyofanyika katika viwanja vya kambi ya jeshi la polisi Chumbageni
Негізгі бет RC BATLIDA ALITAKA JESHI LA POLISI TANGA KUSIMAMIA HAKI
Пікірлер