Big up my mother SSH rais bora kabisa nchini Tanzania na barani Africa. Mwenyezi mungu akujalie afya njema nayenye baraka wewe pamoja na familia yako yoteeeeeee!!! Aminaaa!!!
@anuarymyekakimolo4785
Жыл бұрын
Tanzania of my dream Mungu TUNZA NDOTO YANGU ITIMIE
@mwanadigital1
Жыл бұрын
Yah iyo ndugu..ndugu...ndugu nimeipenda sio kukwezana Kama vile wengine maboya
@richardnganya2311
Жыл бұрын
RC mkuda
@danielgadiye7983
Жыл бұрын
Mkuu
@sharifaamrani654
Жыл бұрын
Mama Samia Sasa mlango wa mbiguni kwako upo wax kwa haya ya hakii
@jamalsaid7475
Жыл бұрын
Tanzania 🇹🇿Hoooyaah Best country to live at the moment in the world 🌎 Pongezi Mama Dr President Samia Suluhu Keep it up Neema hio
Adui akikusifia jichungze ulipo kosea,upinzan mchongo,R I p magu
@hasanichengula68
Жыл бұрын
R j p hitila
@lucasharison2441
Жыл бұрын
Mama tunakuelewa mwazoni tulikuwa atukuelewi sasa uko vizuri mungu azidi kukuongoza Amina
@mbwanarajab4756
Жыл бұрын
Ulitaka upinzani wateswe na kupimwa mkojo km alivyo fanya best yako? Wewe ni km ng'ombe tu anayependa kuchungwa bila ya kujua ana haki ya kufanya anachokipenda bila ya kuvunja sheria Nenda alipo na wewe
@litha2000
Жыл бұрын
@@mbwanarajab4756mtumwa wa fikra danganywa Toto ngombe mkundu wa Bibi yako mshamba wa siasa
@joshuaswai8203
Жыл бұрын
Una tatizo rohoni toa choyo moyoni Kila Jambo ni wakati wake magu anahusika hapa
@ahmedhamis
Жыл бұрын
Hongera Mh
@emmanuelmwafubo-rd3rs
Жыл бұрын
Mama nakupenda umewezaaaaaaaaaaaa
@jamalsaid7475
Жыл бұрын
Kweli kabisa Boss Love 💘💜💛💚🧡 Tanzania 🇹🇿 Na Rais Dr Mama Samia Suluhu Hassan We love 💘❤💗you Neema hio
@mrishojuma1080
Жыл бұрын
Tukienda ivi TZ tutafika tupendane tueshimiane tutende haki
@benedictmrisho1800
Жыл бұрын
Wanasiasa mnapoitana ndugu mnajua maana yake? Neno ndugu Tz linamaanisha kutendeana mema kama ndugu wa damu. Hilo mliweke rohoni mwenu. Msichubuane .
@uzimameditv8148
Жыл бұрын
maridhisno wakati inchi inainiwa
@mbwanarajab4756
Жыл бұрын
Vilaza wwsiosoma ndio wenye majungu , angalieni hata wanayoyaandika hayasomeki vizuri
@mbwanarajab4756
Жыл бұрын
SAMIA SULUHU HASSAN , MUNGU AKUHIFADHI NA AKUPE MAISHA MAREFU MNO TENDA HAKI MUNGU ATAKUPA MAISHA MAREFU SANA
@babajohn8308
Жыл бұрын
Mtu hawazi hata kuangalia kalatasi ilio karibu yake et ndo kiongozi 😁😁😁
@mbwanarajab4756
Жыл бұрын
Kalatasi ni nini? Hivi wewe mwenyewe hukuweza kusoma vizuri ukajua kazi ya karatasi alf unaongea pumba tu
@gracematata3077
Жыл бұрын
Tunamukumbusha Samia Sabaya bado yuko jela. Just delayed is justice denied. Set Sabaya free just like you did to Mbowe.
@simonballu1124
Жыл бұрын
kwanini unashindwa kuwa address kama waheshimiwa unawaita ndugu yangu why? punguza kichocho wewe mtoto wa MOHAMED BABU hao ni viongozi wa vyama lazima uwatambue kama inavyotakiwa mbona ndugu yenu asipoitwa DKT anafura? jifunze protocal wewe mkuu wa mkoa rudi shule ya uongozi.
@imelidamfikwa7954
Жыл бұрын
Ndugu inabalance utu,uheshimiwa una Mungu tu,cc binadamu tunakwezana pasipo sababu.
@levidavid1156
Жыл бұрын
ndugu yangu ni bora kuliko. mhe ndugu yangu
@karimkassam571
Жыл бұрын
Kaka hiyo ndio Ccm ina mbinu 99.9.9999 upo hapo
@hanifamziray277
Жыл бұрын
Shangwe.mpk.raha kwA wamama
@jamalsaid7475
Жыл бұрын
Mama Dr Rais Samia Suluhu Hoooyaah. Tanzania 🇹🇿 Tunawapenda nyote Peace and love 💘❤💕💓💖 Best country to live at the moment in the world 🌎 Tanzania 🇹🇿 Hoooyaah.
Пікірлер: 33