Hakika nimekuelewa Mch. Kimaro asante kutukumbusha kuwajali na kuwakumbuka wazazi wetu hata km wametangulia, kweli nlishaona watu wanaopiganiwa na Bwana hata km hawajaokoka katika baraka na usimdhulumu au kumdhihaki mtu wa namna hiyo
Amen Rev Kimaro neno lako nimelipokea kwa unyenyekevu limenibariki
@OnyangaJoseph
7 ай бұрын
Amen
@geraldlazaro4523
7 ай бұрын
Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen
@upendogreutert199
7 ай бұрын
Mchungaji Mungu akubariki kwa Somo hili la Kwaresma hasa kwenye hili eneo lakuwajali wazazi na wazee sisi wachaga tuna Shida jamaniii, Mungu atupe ufahamu tupone na vizazi vyetu.
@pascasmushi5379
7 ай бұрын
. to work hard . . . to say no . . . to practice good habits and set boundaries . . . to train and to prepare . . . to ignore temptations and provocations . . . to keep your emotions in check . . . to endure painful difficulties. Self-discipline is giving everything you have .
@imanisanga-sm2hm
7 ай бұрын
Aminaa!
@judicalosika7642
6 ай бұрын
Pale katika Daraja la kikavu, paliwahitokea ajali ya Basi na gari dogo (Rainbow na gari dogo la waJapan) Ukitokea Arusha ukivuka daraja kulia Kuna ka-mnara kadogo kenye majina ya waliofariki. Usishangae siku Moja Moja ukakuta waJapan wakiweka mashada pale!!!
@pisi_kalii3721
7 ай бұрын
Mchungaji Hii testimony ya babu ni Divine health. Uje utufundishe how to obtain the blessing ya Divine Health
Пікірлер: 23