IBADA YA KUSIFU NA KUABUDU 04/09/2022
SOMO : UNAISHI KWA NENO AU KWA MANENO?
Mathayo 12 : 33 - 37
33 Ufanyeni mti kuwa mzuri na matunda yake kuwa mazuri; au ufanyeni mti kuwa mbaya na matunda yake mabaya, kwa maana kwa matunda yake mti hutambulikana.
34 Enyi wazao wa nyoka, mwawezaje kunena mema, mkiwa wabaya? Maana, kinywa cha mtu huyanena yaujazayo moyo wake.
35 Mtu mwema katika akiba njema hutoa mema; na mtu mbaya katika akiba mbaya hutoa mabaya.
36 Basi, nawaambia, Kila neno lisilo maana, watakalolinena wanadamu, watatoa hesabu ya neno hilo siku ya hukumu.
37 Kwa kuwa kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.
Kwa maoni na ushauri:
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053
Email: rev.kimaroe1@gmail.com
Негізгі бет REV. DR. ELIONA KIMARO: UNAISHI KWA NENO AU KWA MANENO?
Пікірлер: 148