SHALLOM...uyu pastor hunibariki sana...nafurahia kama kwamba nko pamoja nanyi hapo kwenye kongamano
@EstherMbogella
Жыл бұрын
Amina mtumishi
@noelmbosa2736
Жыл бұрын
Mungu akubariki baba umeeleweka barikiwa sana
@kanankirastephano4880
Жыл бұрын
Wasipo sikia basi huna hatia mbele za Mungu, Amen
@modesterntas
Жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@jumarobert4929
2 жыл бұрын
Huyu pastor ananibariki sana jaman yan Mungu anaishi ndan yake ubarikiwe baba,nakufatilia sana
@timothtonollah4736
3 жыл бұрын
Mungu akutunze baba uwendeleee kutupa neno
@EdmoningTv
3 жыл бұрын
Kwer kibisa timoth
@mirindiabeli3195
Жыл бұрын
Namna gani kupata vitabu alio andika baba Mchungaji magembe
@myself4128
3 жыл бұрын
Kweli viwango vya kiroho vimepungua sana katika kanisa,nakumbuka zamani Kulikuwa na upako usiokuwa wa kawaida na kanisa lilikuwa na umoja wa khali ya juu! Mama mmoja aliwahi kufiwa mumewake sababu ya Ukimwi,wamama kanisani wakafunga na kuomba wakamwambia Mungu Amponye yule mama sababu mumewe alikuwa hajaokoka ndiyo maana alipata ugonjwa ule naongea miaka ya 92 mpaka leo yule mama hajawahi hata kuumwa mafua,Kuna shuhuda nyingi kubwa zaidi basi tu siwezi kuziandika
@EdmoningTv
3 жыл бұрын
Mungu akubalik kwashuda njema
@milliardere9177
3 ай бұрын
Andika zitasaidiya wengi
@shedrackboniphace7755
2 жыл бұрын
Aseee nmebarikiwa mnoo, 🙏🙏🙏
@halimamohamed8821
2 жыл бұрын
Asante
@janetchinga5617
3 жыл бұрын
Amen amen 🙏🙏
@hoseakamwela2080
3 жыл бұрын
Amen baba barikiwa sana
@bizzobakhesa6473
3 жыл бұрын
Kweli leo mungu atusaidie
@GHOSTTOWNRECORDS44
3 жыл бұрын
MUNGU utumia mwenye anapenda hili atimize makusudi yake ,kweli kabisa mtumishi.
@danifordfirislameck2215
2 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@gloriaeliasy4860
3 жыл бұрын
Samahani jaman mafundisho ya asikofu moses nayapenda Sana anapatikana wapi na kanisan analo patikana niwapi
@EdmoningTv
3 жыл бұрын
Dar majumba sta
@lucasmwambene6284
3 жыл бұрын
ameeeeeen mungu atusaidie kwa kweli hiyo
@EdmoningTv
3 жыл бұрын
Kwer lucas
@KenethMbughi
Ай бұрын
Ni ukweli mtupu mtumishi
@mariamkisoma1988
3 жыл бұрын
Ameeen
@newbornhaule1635
3 жыл бұрын
Mungu ameamua aseme na kanisa kupitia watumishi wake waaminifu wachache aliojisazia...
@EdmoningTv
3 жыл бұрын
Kwer kabsa
@kassimulele5293
3 жыл бұрын
Kabisa
@petersaoli3942
3 жыл бұрын
Mafundisho yenye uzima
@gabrielisack7786
3 жыл бұрын
Mchungaji anayesema kweli bila kuficha kitu chochote kile.
@johnbuya1003
9 ай бұрын
Nyie mnasema mnyama mbona hata siku yenu mnaabudu ni ya mnyama
@abednegombangile8845
3 жыл бұрын
Thanks
@raymondthomas3960
3 жыл бұрын
Wazee wanaojua history ya kanisa lilitoka wapi sio wachungaji Wa Kisasa Wa kunywesha maji
@jumahamic9104
3 жыл бұрын
Hii ndiyo inaitwa makanisa saba ya ufunuo
@EdmoningTv
3 жыл бұрын
Kwer kabisa @juma hamic
@annamrsmoses7413
2 жыл бұрын
Baba unaongea ukweli mtupu umewagusa wachumia tumbo
@sirfabiano767
3 жыл бұрын
Hao wote ni wazungu hahahahah
@myself4128
3 жыл бұрын
Wangepewa kazi Waafrika Wangesafiri vipi ?tumia hekima!we umesafiri nchi ngapi? Au umeleta wangapi kwa Kristo?
@halimamohamed8821
2 жыл бұрын
Mchungaji samahan san san nahitaji kuongea na wewe tafadhali
@prudencesumbane2886
2 жыл бұрын
Ukitaka ongeya naye ingiya KZitem, utafute Moses magembe, uta pata number yake na mafundisho yake mingitu uko
Пікірлер: 43