riba na faida zote ni ziada, ila tofauti yake ni njia za upatikanaji wake. mfano : mzinifu na aliye kwenye ndoa wote huweza pata watoto, watoto hawa wote ni watoto ila tofauti yao ni njia ya kupatikana kwao. Allah ameharamisha riba na ametuhalalishia biashara (faida). quran (2:275). - Isihaka Ngunike (Islamic banking and finance student in Muslim university of Morogoro)
Пікірлер: 3