Sehemu ya Mahubiri niliyohubiri Jumapili ya tarehe 16 june 2024, yenye kichwa cha somo UMOJA WETU NGUVU YETU
Siku hii ilikUwa ni maalum kukumbuka kuanzishwa kwa Kanisa la KKKT, kwa upande wangu niliona vyema kumzungumzia Askofu wa kwanza wa Kanisa letu, Hayati Dkt Stefano Moshi ambaye alibeba maono makubwa ya ujenzi wa Hospitali ya K.C.M.C, na mimi namchukulia kama mtu wa mfano kwangu 'Role Model' kwa kazi kubwa aliyofanya
Негізгі бет Role Model Wangu | Hayati Askofu Dr. Stefano Moshi na Ujenzi wa Hospitali ya K.C.MC
Пікірлер: 8