dah huyu demu anaimbaa bhn nmemsikiliza Zaid ya Mara 10 hichii kidemu kinajua
@Sesakwaukweli3
Ай бұрын
Appy hii sauti yako ni ya dhahabu keep fighting nakuona ukipambana na kina Ayra starr soon yaani kibongo bongo hakuna anaeza pita ktk hizo line zako uko poa sana nafatilia sana kazi zako uko vzr na humu hujamuangusha Roma umemtendea haki
@immakulathamwambi3868
29 күн бұрын
Mmh kiitikio ni hataree❤❤❤❤
@bcozhenry2698
Ай бұрын
Appy anasababisha nisubiri vipande alivyoimba yeye, ROMA anisamehe tu.... Vocal la Appy halivumiliki kabisa
@user-oy1ym6lx2i
2 күн бұрын
Appy is the Tanzanian Sia, more love from kenya
@abedimhjeshi593
Ай бұрын
Brother 🎉🎉 Roma UNA JUWA MPAKA UNA KERA KAKA 🎉🎉🎉 mwenyezi mungu azidi kuku bariki sana ✌️✌️🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡.
@KisekeMtanganyika-zz8ti
12 күн бұрын
Appy kapata na zote namwachia mngu❤❤❤
@hopenicefavori
Ай бұрын
🙏🏾 Asanteni god kwa yote na kwaachiye unipinganiye Roma yote tu mwachiye god nipe lik zangu nauseme Amen🇨🇩
@stanleyandrea5153
Ай бұрын
Ngoma hii Kwa kwel naskiliz mara nyingi since day one niipate
@b3falampendwa758
Ай бұрын
Roma thank you for remembering to defend/fight for,mothers (wives)...We appreciate you for bringing Appy to this platform.Both of you be Blessed.
@b3falampendwa758
Ай бұрын
Our GOD Never Loose. He wins always.
@BrandonAngelo-ux8bu
Ай бұрын
Huyu dada anajua sana anasauti flan hivi yakipekee hongera sana Appy, Roma nae mh! Nifundi aswa
@user-ec1ib2do7x
22 күн бұрын
Good combination between roma + appy always this people you have never disappointed me .
@schoolofsuccess666
Ай бұрын
Roma umeua wacha watu wapush sensema Ila umeua sanaa mwachie mungu apush huu #Roma
@AllyBabu-kr6lg
Ай бұрын
Kumbe Appy ni kazuri piga kazi uko na legend ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@Didieuoxy
Ай бұрын
Niko Wa 500 ki like nipeni zangu unajuwa roma❤❤
@leonardmsomi9735
Ай бұрын
Huyu demu ni sumu,,,,, hii ndo sanaa, full ubunifu coz hiyo sauti alivyoitumia sio simple kuiga.
@princesadon5017
Ай бұрын
True kaka fundi sana
@emmanuelkereto4344
12 күн бұрын
Bonge songi bro keep it up.
@DIEUDONNEPRAY
29 күн бұрын
From 🇨🇩🇨🇩 Naomba piya support yenu ndugu zangu wa Tanzania
@ADOKINGDIGITALSATELLITE
Ай бұрын
Wananguuu huyu Roma wa 🔥🔥 weka like zako hapa
@magilojofrey
Ай бұрын
❤
@RamadhanKiwembela-fb1jk
Ай бұрын
Kwa marapa wakike huyu appy amekuja vizuri sana Aendelee kupambana
@AmiryJuma-fy6pz
15 күн бұрын
Duuh happy anajua sn
@DanielMushi-ce3lo
Ай бұрын
Legend Roma.... Thanks Bro
@sumanyavoice7844
Ай бұрын
Nakuona mbali sana dada APPY
@bahaticlement1
Ай бұрын
Appy anajuwa kuimba kihisiya sana,l imagine collabo yake na Linex itakuwaje?
Samia ameanza kuonga watu wa kuiba kura samia acha wizi
@SixTechlmt
Ай бұрын
hii nyimbo hii mara ya 100 naiskiliza per day, huyu roma michano yake hata kama ni baharia una cheat lzm roho ikusute afu happy kamaliza mazima
@kennedymatiko6830
Ай бұрын
Duh! huyu Appy ni hatari Like kwake
@dicksongeorge7745
Ай бұрын
Mmh huyo dada jamani, mtu na nusu, sijui niongee maneno gani ili niridhike kwamba nimemsifia.
@user-yn1xz1ti5v
Ай бұрын
Roma na huyu dada ni noma
@imansylvester768
Ай бұрын
Cm yangu ya leo ya kwanza mwanangu kanipigia cm ananambia ckiliz Roma namwachia Mungu😊
@kidatokassim7616
Ай бұрын
Appy ni msanii mkali sauti ya kipekee
@momforever6456
Ай бұрын
yaan Roma kaua
@nelsonchristopher1989
Ай бұрын
Huyu Appy ni mkali sana
@Clistophermatafa
Ай бұрын
Halafu konde bana ameshindikanika huu mwaka ni wake hata SAMIA anamkubali huu TEMBO play sensema utanielewa❤🇧🇮🇹🇿🇺🇬🇷🇼🇸🇸🇨🇩 like it guys
@GodloveSimon
Ай бұрын
Jamaa kuba ngoja kachana sanaa anasema kuwa mjin ukixhndwa lud kwen inaitwaje ile ngoma
@rehemanyika7652
Ай бұрын
Nitasimama tena
@maziyanomaloz
Ай бұрын
Bonge la album 🔥🔥🔥🔥 Kenya imependeza kweli🇰🇪
@user-nf5kw3gn2x
Ай бұрын
Roma we noma kaka
@mwengemaregesi173
Ай бұрын
Appy wa moto huyu
@user-pb2jx5zm3k.MBUZIII
Ай бұрын
ROMA I miss you BONGO 😂😂 bado unatisha 2 noma @taphanegmbuzi 🐐
@Fredymhema-xq2dv
Ай бұрын
Tuache kwa Roma Ananya Lakin appy. Naye kajitahidi sanaaaaaaaaaaaaaaa❤❤❤
@SepamaybeMsafii
Ай бұрын
Burundi 🇧🇮 we are here to show love ❤❤❤
@bindatalent6972
Ай бұрын
Sijui nimsifie nani maana duh ❤
@hashkhantantrasiraji118
Ай бұрын
Wazee tutunzee familia zetu ndo zinazogusa mioyo yetu Roma umetisha sana ila huyu Demu nomaa kauwa sana yuko humble sana ❤🙏
@eggysulle7988
Ай бұрын
Kwel wanawake wa kuficha waume wa watu wapo
@alhajiFashions7563
Ай бұрын
Appy❤❤❤❤ hii sauti aaaah High creativity ❤❤❤
@user-ul3in1yt8f
Ай бұрын
The song is amazing,, namkubali sana roma lkn uyu dada namkubali sana ata ngoma zake,, dear dingi ni nyimbo inayogusa maisha yangu kabisa,, her voice is superb
@walker695
Ай бұрын
Sema sautii ya huyuu mama 🔥🔥🔥
@clemensiadaniel8479
Ай бұрын
Yupo good good zaidi ya sana
@fuadking597
Ай бұрын
Yaan anasaut ya kipeke nzur sana kwel m saut ake ndo inanifanya nisikie nyimbo zake
@user-cr5kr1vm2x
Ай бұрын
Appy saut aliyo nayo dah namuona mbali sana vaib ipo juu kwa kaka roma maua chuku 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
@josephfrank4446
Ай бұрын
appy 🎉🎉umeuwa dada na unajua kubabake❤
@halimamohamed6150
Ай бұрын
You are the best Appy, hii sauti❤
@radaonlinetv1922
Ай бұрын
Kuanzia Leo ni Shabiki wa Roma... Dada umetisha xana hongera
@DaudAshery-ie2pf
Ай бұрын
Happy ni msanii wa daraja la juu saana
@RehemaSalum-vp6rf
Ай бұрын
❤ one love from oman
@stylebender8870
Ай бұрын
It’s her voice for me ❤
@CollinsPrince-s2w
Ай бұрын
Umetisha sanaaa kaka❤
@RichWise671
Ай бұрын
This is Appy on 🔥🙌🙌
@Curioustraveller254
Ай бұрын
OMG gal got vocals for days
@user-sn4fu7hd6u
Ай бұрын
Appy na sauti yake ya kipekee sana bravo san
@dundoonlinesingeli
Ай бұрын
huyuu appy na vocal yakeee nomaa na nusuuu
@jamesalfred6675
Ай бұрын
Kuna nyimbo halafu kuna hit,hii ni bonge la ngoma aisee..Appy nakuona mbali sana Dada yangu Mungu ni mwema,unajua mpaka unajua tena🔥🔥🔥
@boubamachana2434
Ай бұрын
From Burundi the song is hit
@hassanimindu851
Ай бұрын
Mpaka nyumbani kwako kaondoka
@Saiditofikisaidiramadhan-mk2xi
Ай бұрын
MSANII WANGU PENDWA ROMAA 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@ShedrackFchirstian-vp1bn
Ай бұрын
Kwani zuchu kamvunjia naz diamond au ni uzushi tu,, make sioni kama zari anashindia magimbi
@johnjoshua-ts6hq
Ай бұрын
Wasaka tonge bhana😢😢😮
@DekelvaSoujaboy-mb8ps
Ай бұрын
Ngoma kali mzee baba appy na mkubali sana love from Drc Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@user-oc3zg3tj3p
Ай бұрын
Huyu appy ni 🔥🔥🔥🔥
@AllyShaban-um3kr
7 күн бұрын
Demu kaua anae bixha na bixhe2
@gadafimuemede2985
Ай бұрын
Hii Ngoma ni Kali sana 🔥🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@chidi_don
Ай бұрын
Unyama ni mwingi sana bro yani huna baya bro 🔥 💯 😢
@user-zo1ym2te7r
Ай бұрын
Uyu apy wamoto sana
@mikemutabuzi3665
Ай бұрын
Bonge la ngoma❤❤❤
@zingibariboy
Ай бұрын
This is my favorite song 🎉🎉
@vicentfarres2201
Ай бұрын
Appy umetisha dadaakee
@timothykaiza327
Ай бұрын
Best song in the album
@cecykaitanus7873
Ай бұрын
Perfect message. Well done Roma hukoseagi aisee. Dada pia ana sautinzuri sana ya kipekee
@afidbillmusic8461
Ай бұрын
Appy ni 🔥🔥🔥🔥
@gideon-athuman-jumanne-kai9256
8 күн бұрын
I hope sikumoja nitakutana na appy nakumuambia jinsi alivyobarikiwa sauti maana kwa comment naona aifai napia King Roma👊
@denishaule6314
Ай бұрын
Mara ya nane sasa nasiiza youtube
@WebPeter13
7 күн бұрын
Roma salute jamaa Appy umeua, umeimba kwa hisaia ni true story ninii?
@johnsonmaarifa3582
Ай бұрын
Huu wimbo Nimeurudia mara 20
@mrantena_
Ай бұрын
Dadangu appy sio siri umetisha sana, keep it up sister, chorus 100%
@jacquelinegama8001
Ай бұрын
Huu wimbo umefanya baba angu katukumbuka kutupigia simu akakiri anatamani kurudi nyumbani je tutampokea???? Akaambiwa baki huko huko😭😭😭 i wish hili dude lipate airtime zaid liwazindue baadhi ya wanaume wa ovyo Huyu dada na vocal yake kwenye game ameleta radha nzuri wabana pua tumewachoka
@ditrickfedrickkihombo3324
Ай бұрын
Mumpokee tu, ukute nae walizidisha dozi kwa waganga
@kinyuarobert6466
Ай бұрын
Appy's Godsent❤️
@chakuboyofficial9720
Ай бұрын
Appy ni next level 🔥🔥🔥 ana sauti nzuri tz nzima akuna kama yeye
@fundiseif1096
Ай бұрын
Namuachia mungu 🔥🔥🔥
@hashimmac4032
Ай бұрын
Anko Roma na Aunt Appy it is over mmemaliza mmetisha kinoma big up sana mmeutendea haki🔥🔥
@hollanddutch-day
Ай бұрын
Appy she got fantastic voice
@MajutoElliasi
Ай бұрын
Wario wafungia wanaume za watu siwaoni kuraiki
@chesterbrand6723
Ай бұрын
Viva baba Viva brooh Viva Roma....
@abdallahkassim318
18 күн бұрын
Lov you Appy.. Vocal
@bellrajkachafuo7813
Ай бұрын
Huyu dem yuko Kama yy hakuna wakufanana nae you kill it❤❤❤
Пікірлер: 346