Jaman naombeni like zetu maan hii enter view ni mwanzo mwisho chap chap
@albertchuwa9055
7 жыл бұрын
jonijoo we ndo mtangazaji wa vijani....badest presenter en creativity...namaliza bando kiivi
@francolazaro8646
6 жыл бұрын
Daaahhh hii sehem had nmerdia kuangalia Mara ya Tatu kwa sku tofaut... Imekaa poa... Viver Roma🇷🇴🤘🏿
@eddeysabaly2478
7 жыл бұрын
Daaah!!!!! Roma mungu akubariki we na family yako pamoja na kazi ya mikono yako kiukweli huwa napenda sana kazi zako kaka
@waukweelinikkon6555
7 жыл бұрын
Daaah mtangazaji,ukiniona nidai soda,uko vizuri sana kwenye kazi yako
@umydaddy4697
7 жыл бұрын
Nakupenda bure roma. Cool boy. Very chaming
@lucymassawe2835
7 жыл бұрын
hahahaha, nimependa,akiulizwa anajibu hapohapo,sio wengine,the the you know that,zinakua nyingi,big up Roma
@hongeramwinuka1834
4 жыл бұрын
Hahaha ametisha
@neemajohn1719
4 жыл бұрын
Ninamkubali Roma kwasabab ni mkwel
@orestafungafunga5005
3 жыл бұрын
Uyujamaa noma sana hii interview sichoki kuiangalia mzee
@neemamahusho6193
4 жыл бұрын
umeonaaa eeh ngonga like hapa Kama wampnda roma
@peterkirway1287
4 жыл бұрын
Chimbo
@shubaibe5802
7 жыл бұрын
wooow..big up Roma ft.Jonijoo..nimewakubali I say
@mussa2555
7 жыл бұрын
Mwanangu naenjoy sn kutazama Interviews zako Bob! Unaumiza sn bob! Keep it Up!
@emmanuelmdemu8133
7 жыл бұрын
Brother umeua mzeeee Jonijooo Now You Now ni Shiiidaaaah aiseeeh
@BadBoy-od9bd
6 жыл бұрын
Jonijooo,,upo mbali sana mzey,,komaa sana coz shoo zako zakibabe hakukuti mtu bongo,maswali classic sio yakinafki,sana,,uku ndo pakutolea stress kibabe,,alafu ujue nn,,natumia jina lako mtaaa hahahha,,jonijoh boy apa
@justineelius4972
6 жыл бұрын
nimependa sana hii interview ya roma maana ya hicho kiswahili ni noma sana.jonijooo tisha sana kaka👍👍👍👊👊
@kihagazochangwe9252
6 жыл бұрын
Daah aseee. jonijooo so mtu mzuri. hatafi sana
@revocatusmbangule8730
7 жыл бұрын
hahahaaaaaa huyu jamaa ni ana akili sana aseeee hata majibu yake very logic
@frankkiwara3228
6 жыл бұрын
+Jay Lee Tz aj
@EdghaMoses-js8lj
10 ай бұрын
Daaah Roma katishaaaaa sana. Huyu mwamba mwamba kweliiiiiiii
@athumantemba8992
6 жыл бұрын
Daaah hii interview ya Roma haijawahi kutokea,,Kali sana
@officialj.dollatz4460
5 жыл бұрын
Jonijooooo mmekutana na mwamba full raha yaan maswali bless majibu bless #romaaaa
@saidahj2543
7 жыл бұрын
Roma umetisha...ati utafufuka ukifanywaje😂😂😂😂
@jackisongirani245
3 жыл бұрын
Kama unamkubar huyu mwamba weka like japo 💯 tyuuu tuiuane Wana 2030
@mushxwaggz5258
7 жыл бұрын
interview kali kabisa big up 2 Roma-Jonijoo
@petermmasi9607
5 жыл бұрын
Jon jo unatisha kwa maswal ya hapo kwa hapo htr sn na roma umetisha pia kwa kujib maswal fasta fasta bila kuyumba yumba big up san kwenu wote wawili
@jjvehjjlokol9272
6 жыл бұрын
Roma upo vizuri kaka duuuu vizuri majibu yako PW Ila nimeielewa ya 3:5
@andrewsalmo-bq4hr
Жыл бұрын
Jonijooo aje tena wana wanamsbria📌
@yasintafanuel9080
5 жыл бұрын
yaan jaman jon joo nakupenda mpaka nachanganyikiwa laa hadi raha
@neyfttyyagwa2531
4 жыл бұрын
Hahahahahhaha kwelii watanga twaongeeaaa khaaaaa c kwamajibu hayoooo
@kaizasamson8639
4 жыл бұрын
Roma nakukubali kaka my brooo wa nguvuuu
@nobledaqury8564
7 жыл бұрын
Namkubali sana Roma god bless u broda
@sadullahrajab77
7 жыл бұрын
Dah yani we mtangazaji wanaowapa tuzo we awakuoni nn dah unanikonga nyonyo ndau
@saambovutv8864
6 жыл бұрын
Duh, jinsi unavyouliza na Majibu yanavyoporomoka na enjoy kinomaaa nomaaa mzazii
@emmanuelntemi5708
7 жыл бұрын
daaaah kwa mfano unachokaje sasa kutanzama na kusikiliza unachokifanya yaani umbunifu wa hal ya juu sio poa
@muktartz7314
7 жыл бұрын
much respect@roma2030 sema kwenye vipuri umenivunja mbavu😂😂😂
@marymungi2104
7 жыл бұрын
umetisha mzee baba nimecheka hatari ulivyo sema comment kumbe ww mwenzangu na mm maana na mm napenda sana uko poa kwenye kujibu penda sana
@hopekacheranga2065
5 жыл бұрын
Roma, Mr Blue and Fid q are my Best. I Call them "teachers"
@charlesesigira5418
5 жыл бұрын
hot interview, hakuna muda wa kufikiria, bandua bandika, wewe ndiyo msanii siyo wengine..aaa unajua aaa ...
@erickpallangyo1325
5 жыл бұрын
ukiona mwanaume anaoga maratatu mara nne kwasiku hahahaha
@knourisgalis967
6 жыл бұрын
dah!!! nmeipenda hii interview jmn appreciate u ppo
@brightmpembela5177
4 жыл бұрын
Jon Joo nakuelewa Sana brother
@sophianjiku6524
4 жыл бұрын
Yaan roma nakupenda bure unajibu hadi raha hata muulizaji anauliza vizur
@motrathefuture
6 жыл бұрын
Aisee nimeipenda hiyo story ya mama IVAN 😂😂😂 ... THATS Love man
@tupacmassanja9171
3 жыл бұрын
Upo good sana boe
@ferouzmasoud4741
4 жыл бұрын
Noma sanaaa 👊 👊🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@zakyahya4645
5 жыл бұрын
Bigup mzee baba maswali na majibu yote konk
@ninjaisma7983
6 жыл бұрын
Kali sana 👊 nmeenjoy kichizi
@mushojey8389
7 жыл бұрын
Dah muulizwaji na mjibuji mpo fasta nimependa
@annamariamlolwa5409
7 жыл бұрын
Ha haaaaanh kipuli Nakupenda saana mkatoliki
@christiankimena2454
7 жыл бұрын
Zungumza ya Roma inaonesha ana uwezo mkubwa sana Wa kifikiri
@ayoubcosmas1248
6 жыл бұрын
Nzuri saaana
@ayoubcosmas1248
6 жыл бұрын
musho jey Saaaaa Aaaaa
@francolazaro8646
6 жыл бұрын
musho jey mashine
@danfordallenkumwembe2242
4 жыл бұрын
Kama umesikia mwanaume anaoga mara moja Kwa siku, gonga like
@aminathaabubakarmasoud565
4 жыл бұрын
Love you brother Roma,,,, You make me laugh 🤣😘👏👍👍
@sarahbenny5575
7 жыл бұрын
uko vizur Roma wengine wanajifanya et kiatu cha laki mbili looh....
@evangeliquehb4640
7 жыл бұрын
Sarah Benny kabisa
@mdachiog5211
6 жыл бұрын
Sarah Benny kweli
@credokashinga1918
6 жыл бұрын
😂
@evancelusekelo1957
6 жыл бұрын
Nakubali
@isaacpoulnho9050
5 жыл бұрын
Sarah Benny mmhh nawe
@angelinajoseph1248
4 жыл бұрын
Myy best singer
@amosirutibu1242
7 жыл бұрын
safi sana kazi nzur na ubunifu wa kutosha
@brightmpembela5177
4 жыл бұрын
John Roma mm mshabiki wake Sana Ni msanii namba moja Tanzania nishatafta Sana nambaake sjapata Kama Kuna msaada naomba nisaidie nipate mawasiliano yake.
@andrewdegera4413
7 жыл бұрын
hahaaa salute jonijooo sema Roma kanikosha eti ukiona boy anaoga maranyingi per day wasiwasi 😂😂😂😂 Mi naungana na wewe Roma
@fofomohammed6253
6 жыл бұрын
Andrew Degera 😀😀😀
@bonifasmbaule8307
5 жыл бұрын
Andrew Degera
@africanprince9949
3 жыл бұрын
Naqubal sana brother romaa
@hamismalimungu9959
7 жыл бұрын
inatakiwa wakupeleke global TV maana kunamtangazaj mmoja hovyo sana
@kibongobongo4608
7 жыл бұрын
Hamis Malimungu Umesema kweli kabsaa
@mosesmwananje7384
5 жыл бұрын
Yule mwanzo wa kipindi cha mpaka home sijui Brighton
@nazilkassim870
4 жыл бұрын
good
@justinamarwatv8415
4 жыл бұрын
Nawapenda sana jonijooo na roma. Maswali na majibu faster
@rachelmkumbwa8710
4 жыл бұрын
Yaan roma he's not only handsome but also tarented
@ramyramsey2338
7 жыл бұрын
aseee mwang first interview nacheka mwenyew Mzee
@lissochacha5218
4 жыл бұрын
Du!. hawa jamaa wapo sawa kwa kuuliza na kujibu B gp sana vijana
@kiramirajabu1511
4 жыл бұрын
Kweri mzeee baba Roma nimkari2
@aerialairtv8928
3 жыл бұрын
Yooooohhh nii gudii sanah
@jumanneuyuya4211
3 жыл бұрын
Roma nakuelewa mwamba mpe salamu jonijoo
@tatunaally1510
7 жыл бұрын
Hahahahaa nimependa ya kipuri kweli ww mwanaume
@umydaddy4697
7 жыл бұрын
Aisha Amani me too. Nimecheka sana
@abyhabibabiber8865
6 жыл бұрын
😂 labda afu
@signalboy4260
7 жыл бұрын
kaka uko vizuri kinoma
@ashuramamaashuraaachekuvaa7798
6 жыл бұрын
Rabda age ndio mumvalishe na akivalishwa ayafufuka hahahaaaa
@hawatodos3133
4 жыл бұрын
Mm mshabiki wako no 1 nakukubali sana
@raelamar2819
7 жыл бұрын
tishaaa sana babrai keep it up
@faridahwiliam1246
5 жыл бұрын
mependa majibu na maswali fasta fasta,,, Good big up saana
@simuyangu1356
6 жыл бұрын
Roma uko vizuri..majibu yako hasa ya kipuli yameniacha hoi..sasa nitafurahi if one day i meet with you kama dk 10
@yusuphasenga8192
5 жыл бұрын
kama umemkubali Roma like apo
@mathayolistermwena5183
4 жыл бұрын
Pamoja janya nakubal
@elymsagala
7 жыл бұрын
Naikumbuka Sana hiyo show ulipiga iringa uwanja wa samora uliumiza.Kipindi hicho Una hit na songs*Tanzania*Mr president*Fake pastorBalaa
@niwaelnathaniel5450
4 жыл бұрын
Dalili za mtu mkweli,akiulizwa anajibu chapuchapu, uko juu Roma tumsifu yesu kristu!
@zennakailo8106
7 жыл бұрын
hahahahahahah 😀 Roma😂😂😂😂nakukubali San
@cruizk8183
4 жыл бұрын
Hapo kwa Nay🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimecheka sana
@alfredymatofali3878
5 жыл бұрын
Umetishaaaa broooo
@salamanyamoga4054
7 жыл бұрын
Yan Roma nakupendaga bureeeee Nice interview
@youngkillermsodoki7664
6 жыл бұрын
Salam ya nay wa mitego 😀😀😀😀😀
@sakinandoile9439
7 жыл бұрын
duuuh labda nife mnivalishe Nimependa hilo jibu Ahsante Roma
@ruditaboti3157
7 жыл бұрын
Nataman niirudie. Umetisha kinoma
@damianmwamelo4509
7 жыл бұрын
Dah ukiacha Vanessa Roma noma katika excrucive zako pamoja sana mzazi @jonijooo
@lukasmiyuda5868
6 жыл бұрын
Upo makini jonijooo upo makini roma
@timothmwakakusyu4563
7 жыл бұрын
asante sana roma uko vizuri sana ktk interview zako bt hata mimi situmiagi waret hata siku moja na siku nikiibeba naiweka kwny bag la mgongoni soo mtu anawezajua nimebeba daftari kumbe waret na kwny bag
@ntullyjanga33
7 жыл бұрын
Romaa amejibuu vzr mpka rahaa i see youu ila ka hayuk poaa vlee
Пікірлер: 514