Hongereni sana yaani mungu anapowakutanisha watu wawili wenye nguvu moja na mawazo sawa lazima mambo yaende sawa mungu azidi kuwa upeo zaidi na zaidi
@josephmuiya2934
2 жыл бұрын
Huyu dada yupo vizuri na kazi zake ziko vizuri sisi tunakampuni ya maroli dar na tunafanya naye kazi wana kuja kwa mda na wanarudisha spear kwa mda tumuunge mkono kwa kumpa kazi
@zuhurakilonzo4187
2 жыл бұрын
Basi nipe kazi namie joseph kaka niwez kujikim mana dah nmekata tamaa bado naishi
@davinadaniel2794
2 жыл бұрын
Rose Ni msanii wa kuigwa na wasanii wengine, nampenda sana Hana makandokando anajiheshimi anaelewa Ni nani kwa Alina Nani, Congrants ROSEEE
@ibba8082
2 жыл бұрын
Nililo furahiya Zaidi Ni pale Nilisikia "Rose Ndauka na Mumewe.Yani Nimefurahi sana kumsikia yuko Kwenye Ndoa Hongera.
@asiabushiri7566
2 жыл бұрын
Nampendaga sanaaaa uyu rose kusikia yupo na mumewe yatosha HOngera 👌🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@soloartist_ivanvespalusind1609
2 жыл бұрын
Hongera zao, Ndauka ndiye star aliyewahi nivutia. Hongera Mungu aendelee kuwajalia maisha yenye baraka zaidi
@habibaathman7953
2 жыл бұрын
Perfect couple yenye akili hapa mjini..Mmebuni biashara nzuri sana...ya spea Mungu awazidishieni
@liophilip957
2 жыл бұрын
Hongereni Sana Rose na Mumeo, Mungu awatangulie kwa yote.
@mako331
2 жыл бұрын
Huyu ni msanii ambaye anajielewa sana, hana muda wa scandal za kujingakijinga, and when you respect and love your husband/wife you will be blessed
@abuyunusmohamed6961
2 жыл бұрын
Hongera Sana dada rose unafaa kuwa mbunge ukatutetee na wananchi
@RichMotherr
2 жыл бұрын
Amen One day yes
@mosessamwel7038
2 жыл бұрын
Vizuri sana.Ndiyo maendeleo hayo na siyo kumiliki magari ya kifahari na kujisifia sifia.Rose u mfano mzuri wa kuigwa na jamii na kuwa miongoni mwa wanawamke shupavu.Kweli wewe ni mama wa ukweli.Hongereni familia na kiongozi wako mmeo.
@zakayomasingoti9238
2 жыл бұрын
Wakina ginimbi 😃
@elizabethshana5941
2 жыл бұрын
Hongera mtumishi!!! Wewe na familia yako Ni nuru nzuri....hakika nakupendaaa rose
@joslinchuwa1298
2 жыл бұрын
Rose hongereni sana mungu awatangulie Huyu Dada anatumia nafasi yake vizuri wasanii waige mfano .
@monadinadi5295
2 жыл бұрын
Sio yule iren kula Bata tu ndio kaona jambo La msingi hongera rose
@christeternallifetv5959
2 жыл бұрын
Hongera Sana rose na hafidhi aisee maisha ni safari
@stellah3844
2 жыл бұрын
Hakuna dada alikua akiniliza kwwnye movie kama huyu nampenda sana anajua na anajua tena
@hellenpetter4094
2 жыл бұрын
Nampenda sana huyu dada katika bongo movie walotulia na ndoa zao ni huyu rose ndauka na iren paul... Huwezi kuwasikia kipumbavu
@angeldavid7432
2 жыл бұрын
Since day one kukuona ktk tasnia ya uigizaji nlitokea kukupenda Sana na nnamshukuru Mungu upendo wngu ulikudondokea wew mtu ambae ni makini Sana. yesterday today and tomorrow sitachoka kukupenda na nnakuombea ufike mbali zaid na zaid❣️❣️❣️
@marthamahule3346
2 жыл бұрын
Hongera Mama Kwa kupambana ili kufikisha ndoto zako.✅✅✅kazi nzuri
@rosemarsel3731
2 жыл бұрын
Akina Rose hatujawahi shindwa congrats my lovely
@otianasanga9106
2 жыл бұрын
Hata Mimi nampenda kupita maelezo namuelewa MUNGU awatunze
@asiamohd5516
2 жыл бұрын
Rose unajitahidi Mashaallah. 😘
@didaamohsin6594
2 жыл бұрын
Hongerenii sanaa na mumeo rose ndauka
@lucyjeremia1381
2 жыл бұрын
Mashalla 😍 😍 mungu nakupenda Sana dear wewe huna uswahili jmn mungu awe nanyi
@fadhroshlove1511
2 жыл бұрын
MashaAllah mungu azidi kuwalinda na kuwapa nguvu ni mfano wa kuigwa wallah nawapenda sana
@gradnessshitindi3694
2 жыл бұрын
Waoooooo nakupenda Rose wangu
@salomemasano8280
2 жыл бұрын
Hongereni Sana mwenyezi Mungu abariki kazi zenu
@khadijanjama8721
2 жыл бұрын
Huyu dada katumia vizuri nafasi yake ya umaarufu si kina mwafulani 😆😆😆
@esthermalamsha2847
2 жыл бұрын
Kabisa
@eliaskahory7116
2 жыл бұрын
Saaaaf best sio kujinad mitandaon wakat unaishi nyumba yakupanga. Rose ndauka all the best I wish to u.
@sweetluc2660
2 жыл бұрын
Hongereni sana Mungu a ibaliki kazi yenu njema Rose umependeza na mmeo
@hassanmpemba5747
2 жыл бұрын
Hongera Rose ndauka kwa maendeleo zaidi mungu awazidishie na awalinde na mahasidi
@hallin9561
2 жыл бұрын
tatizo la uwekezaji wa mtu mweusi unakua na kupotea, sijui uwa tunakwama wapi, maombi yangu kwenu mkue na muwekeze nchi nzima hongereni
@RichMotherr
2 жыл бұрын
I love this couple ❤️ They mean to each other Keep fighting darling Rose U inspire me
@stellahchristopher2469
2 жыл бұрын
Kwa mara ya kwanza wasanii wa bongo movie kufanya jambo la kugusa jamii Mungu awatie nguvu hongera dada
@obedpeter7500
2 жыл бұрын
Ni mfano Wa kuigwa hongera na wasanii wajue sio kuuza sura mitandaoni na kuonyesha maumbile yao,mumeo anafaida kuwa na wewe mungu awatangulie na muwe watulivu na umsikilize mmeo tumieni wakati vizuri
@bahatiagape7121
2 жыл бұрын
Naomba nafas best angu Rose Ndauka 🙏🧎
@shukranjulius9526
2 жыл бұрын
Hakika Mungu awe kiongozi wenu wengine wajifunze kupitia wewe my sister 🥰🥰
@mwanalisabakari1203
2 жыл бұрын
Allah awatangulie kwa kila jambo lenu
@modestersalmon7764
2 жыл бұрын
Mungu awabariki nyie ni wasanii wa kuigwa mpo Kama baba na mama na mnapendeza wengine wanataka umalaya tu Mungu awabarrik sana
@prijoseph4665
2 жыл бұрын
Oh yesi hawa ndo wasanii tunaowahitaji bongo hii.
@ejidemaswalikinoja5643
2 жыл бұрын
Hongera sana miss Ndauka kwa hilo na kwa kila, ila hata hivyo njia zako zimekuwa za kiafrika zaidi,kiungwana na hata kuna dhaifu ila linafutika kwa ustaarabu wako binti 🤔🤔Sema tu jamaa aliniwahi ila nilikuwa na mpango nije dar kukutembelea 🤣🤣🤣🤣
@mosamossile9113
2 жыл бұрын
Big up my lovely sistert one step 🚶♀️Ahead Everday
@rehemaseif1785
2 жыл бұрын
Ma'ashallah Tabarakallah. Allah s.w awafungulie mafanikio zaidi
Wasanii wengine waige huo mfano .waachane na mambo yasiyo na maana kwenye mitandao.Mungu azidi kuwainua Rozi.
@tongaMushi-wu6lo
2 жыл бұрын
huko vizuri ndauka mungu akujalie.
@didahrajab9322
2 жыл бұрын
Hongera dada nakupend bure huna mambo mengi ww kazi tu na sio majungu na kujiona km wengne
@mrlongrichlongrichagent1929
2 жыл бұрын
Halo kweli Nancy umepata milioni 100 zako kutoka kampuni ya Mzee momo hadi umefungua kiwanda hongera sana😀😀
@evancekimath7405
2 жыл бұрын
Hongereni sana, inatia hamasa....!!
@jamhuri_imala3976
2 жыл бұрын
Mbarikiwe sana kwakuammepambanana adui mkubwa wataifa letu TANZANIA yani umaskin
@jescajulius8023
2 жыл бұрын
Nakupenda da Rose
@zamdakimaro2973
2 жыл бұрын
DA!NIMEONA FURAHA SANA HUYU NDIO MSANII WA KIKE WA KWANZA KUJITAMBUA INGAWA WAKO NA MUMEWE ,WENZIO WAMEBAKI KWENYE KUJIANIKA KWENYE MITANDAO ONGERA ROSE
@khdigahk4246
2 жыл бұрын
Hongera msr hafidhi❤️
@ludobudege1662
2 жыл бұрын
Hongera sana dada yetu ndauka
@Bruno-ed1ps
2 жыл бұрын
Huyu dada nampenda tangu nikiwa mdogo naomba mniunganishe naye
@ruuspicyasmr1694
2 жыл бұрын
Njoo nikuunganishe
@azzamahamdu7039
2 жыл бұрын
😂😂😂
@Bruno-ed1ps
2 жыл бұрын
Ningekuwa na uwezo daaah
@binthkhamisi1097
2 жыл бұрын
Njoon na kenya mutyufungulie bihashara na tyufanye kaz kathik maofisin mwenu...
@aishaddddhh6272
2 жыл бұрын
Hongera sana dada rose
@williamwilifred6563
2 жыл бұрын
Da dadaetu ww nimojayawarembo wanaojielewa umeamuakuishimaishayandoa achahayomanungaembekama kna nanii kaz kuekt maisha hongerasana sctery
@chivyabwire746
2 жыл бұрын
Hongera sana mama usisahau kuweka kabranch Tanga
@azzamahamdu7039
2 жыл бұрын
Hizo sasa ndo kazi dada rose ww na mumeo.nguvu kazi kwa vijana.MZIKI WAACHIE KINA GIGY😂
@allymapande7241
2 жыл бұрын
Nakubali sana kaka kwa jambo hili
@fatimahants1526
2 жыл бұрын
Hongera kwa khatuwa ya mafanikiyo na kutowa ajira kwa vijana
@Profshab_Company
2 жыл бұрын
Hongeren, millard sauti ipo chini kwenye hii video
@modysultan6170
2 жыл бұрын
mmm mbona ipo sawa
@tato8979
2 жыл бұрын
Mungu awabariki
@paulinacherement2534
2 жыл бұрын
Mashallah ALLAH barik
@khadijanjama8721
2 жыл бұрын
Hongera sana dada
@pierreben8699
2 жыл бұрын
Workshop or kiwanda?
@kaykay4629
2 жыл бұрын
Congratulations 🎉
@joycehaule9717
2 жыл бұрын
Nakupenda Rose
@gracekirway8720
2 жыл бұрын
Hongera sana
@rubensaitoti6839
2 жыл бұрын
Hongera sana
@farajagrant4660
2 жыл бұрын
Ongera Sana
@jabelakiza2085
2 жыл бұрын
Naweza kupata no. zamuhusika nikaombe kazi?
@kasukukasuku3896
2 жыл бұрын
Kampuni ya radiator inatengenezwa?inarepair?au inaundwa brand new?
@tusajigwemathias9185
2 жыл бұрын
Mungu azidi kuwainuaaaa
@njiwapori8749
2 жыл бұрын
Kiwanda au garaje jaman
@faustaraymond3303
2 жыл бұрын
Huyu dada nampenda sana sana
@frankngoloka2589
2 жыл бұрын
Hongereni sana
@niriacatering172
2 жыл бұрын
Hongeren sanaa
@marconzilankoma7581
2 жыл бұрын
Hongera sana
@mohammedsalum6376
2 жыл бұрын
Nakubali sana nilileta rejeta yangu apo kwenu ubungo mpo vizuli sana 🙏
@michaelessau4706
2 жыл бұрын
Sorry broo hizi rejeta zinatengenezwa kama new brand au zinafanyiwa Kama renovation ambazo zimetupwa?
@khadijakisungs923
2 жыл бұрын
Apo sawa lakin kwenye suala lakuimba dada Apo sikuungi mkono
Пікірлер: 195