Oya wanangu wa hip-hop gonga like nyingi kwa rostam. Hii ngoma kali sana.nomaaaaa killed. Parapanda.
@bidabidatz
6 жыл бұрын
Rosta shilawadu twawakubali sanaa nyimbo nzuri,. gonga like, na tupia content yako Kama una wakubali Rosta...
@siriligeorge8239
6 жыл бұрын
SHILAWADU TOP TEN BONGO 360 no
@dicksonchota3813
6 жыл бұрын
Nawakubali sana rostam
@jesscahmshana5104
6 жыл бұрын
SHILAWADU TOP TEN BONGO 360 Wa2 wasiojulikana
@kisakageorge7706
6 жыл бұрын
Noma ♨🚒
@mussaramdhani8224
6 жыл бұрын
Usipo isikiliz kwa makin huwezi kuelewa kilicho ungelewa
@jacksonalex1437
6 жыл бұрын
Mh Hii research sio poa jaman Wametumia sana Akili 🙌 leteni like hapa kama wew ni Mtanzania unaejua Historia ya Hii nchi na ni Mzalendo pure
@mcdave7914
6 жыл бұрын
*hakuna Hip hop bila Rostam kama unakubaliana na Mimi gonga like hapa*
@johnhermanmuna6334
6 жыл бұрын
watu wawili adimu alafu makini Sana'a wanaharakatiii haoo bonge La song so kuimbaa mapenz tuu
@zachariasirigwi1913
6 жыл бұрын
MC DAVE
@aslammuca7800
6 жыл бұрын
Kweli kbs
@mdarahalifa5896
6 жыл бұрын
Nikweli
@joachimsurati174
5 жыл бұрын
Hiyo kweli
@charleskombe
6 жыл бұрын
Nimependa idea ya wimbo,,,ni ubunifu mkubwa sana,,,keep going guys
@bakarninga8216
6 жыл бұрын
Nani alitamani ngoma liendelee isiishie hapo twende pamojaa,,,,,,,, hop video itabeba content nzima ya yaliyomo 💪💪💪
@abdallahamadi9380
3 жыл бұрын
Wasafi waje wajifunze, these guys are pure class. Much respect from Kenya.
@tongoramakongoro6044
5 жыл бұрын
Namkubali sana Roma maana nyimbo zake zinaendana na wakati uliopo,uliopita na ujao hongera sana Roma mkatoliki
@sammyma9533
6 жыл бұрын
Rostam in the building Gonga like hapa kama unaelewa
@petersonshaezra1314
6 жыл бұрын
Daahhhhhhh Roma kazi nzuri sana unanijua kuichambua serikali yetu 👏👏👏👏👏👏👏
@ayubuwilliam7439
6 жыл бұрын
awaa jamaaa wanaweza wanafuata baada ya Wcb
@fadhilhatib7899
6 жыл бұрын
Roma salute mzee mungu amekupa kipaji na kwel unakitendea haki inshaallah mungu akuongeze zaid ya mafkifrio
@kingswebe3251
6 жыл бұрын
Siwasifii kwasababu tu wengine wamewasifia ila nawasifia kwasababu mnastahili pongezi. Ngoma kali.
@mkudelukoo3458
5 жыл бұрын
,hex
@khadijahassan3504
4 жыл бұрын
😂😂💞💞💞👌👌👌👌
@chandewaleo3853
6 жыл бұрын
wimbo wa taifa anae kubali agonge like
@dicksonchota3813
6 жыл бұрын
chande waleo
@chandewaleo3853
6 жыл бұрын
DICKSON CHOTA
@johneegeorge7724
6 жыл бұрын
chande waleo good
@frankjully5457
6 жыл бұрын
wimbo Wa taifa bado ni kwa ngwaru
@gaspermagambo5997
6 жыл бұрын
Hahhaha fala kweli
@ernestndauka9301
6 жыл бұрын
Daaaah!!! Moro vs Tanga (MoTa) hizi ndio nyimbo ambazo zinatakiwa kitaaa!!!
@kakaisaack4014
6 жыл бұрын
Mnakubalika hadi huku Kenya, It's Rostam beiby,, Mnatishaaaaaaaa hatariiii
@simonmwangi4936
6 жыл бұрын
Hip Hop was ment to address certain issues affecting the society and i fell this two guys are keeping it that way, in a revolutionary direction.East Africans Shakur.
@abasimageta7695
6 жыл бұрын
bonge la ngomaaaa wananguuuu rostaaaaaam mmeipiga serikali kiaina! kama unawakubali rostam gonga like
@godfreykiwango9962
6 жыл бұрын
bonge la ngoma
@scolasticachapuga8745
6 жыл бұрын
abasi mageta ni hatar jmn hawa kwel wanaharakatiii
@abasimageta7695
6 жыл бұрын
Scolastica Chapuga kabisaa
@jumakweweta2271
6 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@challesteddy375
6 жыл бұрын
ni moto 😂😂ET eeee cjui bhna
@mkobaofficial8037
6 жыл бұрын
Alieimba chorus Nani? Dah! Mwandikeni kwamba ft flani yupo Vizuri sana Kama Umenielewa Gonga like.
@athumanjuma2772
6 жыл бұрын
junior sebastian aliesimama kwenye chorus katisha saaana.
@@Lilgaspaog sio one six ni atani yule aliepiga colas ya stamina asiwaze
@divarechol8657
6 жыл бұрын
Rostam huwa mko makini zaidi ya kimbunga balaaaaah kama unakubaliana na mimi gonga like hapa.
@riscaoscar6209
6 жыл бұрын
Safiiiiii haaaaaaa🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃
@davidboneji6003
6 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/k5qA22iFb2t6dpw kama umechiki interview ya mzee majuto akinyonywa mali zake gonga link hapoo
@youngfaustine8255
6 жыл бұрын
diva rechol balaaaaa xana
@divarechol8657
6 жыл бұрын
Hadi naifurahia mistari
@sinyatipapactock6673
6 жыл бұрын
Roma ni mwanaume wa ukweli
@brassbandnbb4855
6 жыл бұрын
Nimecheka Sana'a Hii idea nishida kwakweli, ongereni sana
@phil_kioko_
6 жыл бұрын
Kenya we lack such artists who can talk real issues concerning our country. Kudos Rostam
@mnzavachris5423
6 жыл бұрын
PHILIP KIOKO they are there but i think your mediaS aint promoting the ideas
@chengorama357
6 жыл бұрын
No one, talk about corruption
@makariouscharamba5371
6 жыл бұрын
PHILIP KIOKO mtapata tabu sana
@stephenziro8530
6 жыл бұрын
Ask susumila what happened
@MrTimmanu
6 жыл бұрын
we have conscious artists too in Kenya talk of Mc mutant and Kitu-sewer plus others only that the industry is crooked too hence less favoring to hardcore conscious music but if one wishes, one gets to even listen and support such artists by buying their albums and playing their music
@enockkitomarys4909
6 жыл бұрын
upande wa kingunge tupia like yako hapa mapemaaaaa........
@vicentcostantine3393
6 жыл бұрын
John malechela?
@vicentcostantine3393
6 жыл бұрын
Wakapata tabu Please hide my id noma sana
@patkawal30
5 жыл бұрын
kama akili Nywele basi hawa wana Tele isee..... weeeh!! very creative i must Say... like moja tu yanitosha
@kenethlupenza8203
6 жыл бұрын
diamond kasome kwa huyu jamaa, duuh jamaa anajua aiseee! gonga like hapa
@regnaldswai2997
3 жыл бұрын
sanaaa
@shukurukondo357
3 жыл бұрын
Uongo huoii
@mortishavida2273
6 жыл бұрын
Eyoooooo!! Nayiskiliza mara 10 Bado sijamaliza kabisa!!! Bonge la ngoma! Hatareee!! 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥!!! Mambo ni #Rostam ndo habali ya mjini kwa Sasa!!!!!
@DylerRuther
6 жыл бұрын
Hahahaaa rostam Ni hatareeeeeeeeeee u guys mnafanya hiphop tamu Sanaaa yaaani. Yaan mtu unanogewa kusikia kila nenoo yaaani. Rostam u guys are the best ase
@karimumimbi5829
6 жыл бұрын
Rostam wanaweza sana
@joeshine2410
6 жыл бұрын
Nimekubali wazazi nyie wakali kino salute kwenu
@dayanadonadi5873
5 жыл бұрын
joe Shine safiiiii
@wakushineclassic798
6 жыл бұрын
Good idea pia hizi ndo jumbe ambazo zinatakiwa kwenye jamii yetu because hakuna mtu anaweza kuwa na idea kama hii mi naona kama ngoma iko vizuri sana na pia nikitu ambacho kimekuja kitofauti kabisa kwa sababu naamini hakuna hata mtu angeweza
@aminatanzanya7475
3 жыл бұрын
Mi nawapend ila sielew huw wanamanish nn
@bongelabwana7523
6 жыл бұрын
eeeh eeh sijui ni watu wasiojulikana , magoma kama haya ndo yenyewe unaweza ombea mkopo benki gonga like kama unawakubali hawa mtu bee !! rostam !!! salute
@stanzaalmighty7356
6 жыл бұрын
Ahahahaha
@mnzavachris5423
6 жыл бұрын
Bonge LaBwana ambayo yanasaidiwa saiv au mabenki gani hahaha
@najmaothuman3741
6 жыл бұрын
Bonge LaBwana salut!!
@jackmando8587
6 жыл бұрын
bonge la ngoma
@happyngomaa9079
6 жыл бұрын
Jaman haw watu salot wenye roho mbay watapata tabu sanaaaa nyerere ad kudanga na vibamia habal anazo hahahaaaaa eb like
@lutherking3666
6 жыл бұрын
Happy Ngomaa Hahaha c'yo pouw asee
@kigolaabdul8610
6 жыл бұрын
Machine ya moro plus equipment ya tanga...imeunda kiwanda kimoja cha hip hop. #big up two geniuses
@mariamchikoko5498
6 жыл бұрын
kama umewaelewa rostam gonga like twende sawa.good song
@OmarAli-wr1ti
6 жыл бұрын
Yani tng mwaka umeanza hii ndio ngoma Kali
@ochuhassan22
6 жыл бұрын
Duh hawa jama wakovibaya sana munatixha sana pprpnd duh !!!!!!! Noma
@revocatusmwemezi2075
6 жыл бұрын
Ngoma Kali Sana Kama umeikubari like hapa
@manisule7668
6 жыл бұрын
Good music sjaona sababu za basata kuijadili hustle is real my niggaz. Parapanda inalia iko juu
@dayanadonadi5873
5 жыл бұрын
Mani Sule pamoja
@ntawurusigajaphet813
4 жыл бұрын
Mwezi October, 2019 naisikiliza vyema kutoka +257,🇧🇮🇧🇮🇧🇮 ❤❤❤
@chumkhamis8924
4 жыл бұрын
November Switzerland 🇨🇭🇨🇭🇨🇭
@revocatusmwemezi2075
6 жыл бұрын
Kama umeirudia Mara mbili like hapa
@yedb1287
6 жыл бұрын
Revocatus Mwemezi mara saba sasa na sio nikikoma
@mkuluwaukae2221
6 жыл бұрын
mm toka jana nairudia mpka sasa hivi..umeme umekata nkanunua power bank ghafla😆😆😆😆
@ivannyboy4627
6 жыл бұрын
nahis ntampa dem mimba ntapitiwa Kisa rostm
@mnzavachris5423
6 жыл бұрын
we jamaa sengerema sana imekubidi nikutusi sana naeda *5 saiz
@shaibumahanda6501
6 жыл бұрын
Na zaidii
@venture_rafael
6 жыл бұрын
HII NGOMA IMEIMBWA NA NANI? JIBU;NA WATU WASIO JULIKANA
@MrNzuva
6 жыл бұрын
I am a KENYAN BUT you guys are the best!
@swahiliuniverse9328
6 жыл бұрын
HII NI KUNTU... ROSTAM NYIE NOMA SANA kwa filamu za bongo bofya kzitem.info
@shodristvtv6121
6 жыл бұрын
Kama unWakubali rostam gonga like 🔥
@basilking5964
6 жыл бұрын
Hahahaha kama umeickia #parapanda inavolia tulie wote😢😢😢 👏👏👏👏 gonga👍👍
@faustinenicholaus5483
6 жыл бұрын
mipango ya mungu na nimekumis swaiba!!
@nigeriacultureandtradition8527
6 жыл бұрын
Mistari ya Roma na Stamina haijawahi niangusha, pia sifa dhabiti kwa beat kali kutoka kwa ma producer Daxo chali na Marco chali
@dayanadonadi5873
5 жыл бұрын
Bongo Sinema og
@apologizekiity1826
6 жыл бұрын
Sawa wakikataa kuwakosoa kwa ukali tutawakosoa kwa kwakunyegeza 🌙 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@faustinenjingo2667
6 жыл бұрын
huu ndo utakuwa wimbo Wa taifa kama unakubali ngoga lake twende
@deniskinyua6986
6 жыл бұрын
Kenya 🇰🇪 all the way. Thumps up guys, for the nice creativity. Salute
@chokaihassan8962
6 жыл бұрын
Nyie jamaa ni nyoko. Wahuni si watu wazur
@ntawurusigajaphet5335
6 жыл бұрын
From +257, Burundi kama unawakubali Rostam gonga like
@racheljnicolao3654
6 жыл бұрын
Hii ngoma kali sana, initajika umakini wa hali ya juu kuilewa. Big up ROMSTA.
@stuartdavid4284
6 жыл бұрын
ROSTAM nyie noma ujumbe ufike tu unakostahili kufika
@yussufhimid5676
6 жыл бұрын
Rostam ndio kitabu cha taifa letu kama unabisha sikiliza mistari ya humu hapo ndio utapata majibu gonga like ukiwa unaikubali rostam
@wilsonwizzo2483
6 жыл бұрын
Daaah japokuwa mi ni wcb damdam ila nyie rostam nawakubal ile mbaya Mad love from 254
@mnzavachris5423
6 жыл бұрын
Wilson Wizzo welcome to join the club
@evonngamogwa5570
6 жыл бұрын
Stamina) & roma hawa jamaaaa wanajua mpaka wanaboa manina
@evonngamogwa5570
6 жыл бұрын
ROSTAM JUUUUUU
@frankkotte117
6 жыл бұрын
Na huoni aibu kusema uko wcb mwanaume😂
@wilsonwizzo2483
6 жыл бұрын
Frank Kotte komaa ki mpango wako😁😁
@rizikichitanda6583
4 жыл бұрын
nani anaisikiliza iii leo 27 mwezi wa 09 2019 gonga like
@juxnapendastailizakeyassin7608
6 жыл бұрын
Hizi ndo nyimbo tunazohitaji tz.safi sana vijana.Tipo pamoja
@kidagodbless6001
6 жыл бұрын
Kwa ngoma hii mlitakiwa kuitwa ikulu.... Much respect Rostam..... Apreciation.
@GeorgeMichael13
6 жыл бұрын
Hawa jamaa wanakuwaga na idea ngumu sana ambazo mtu kawaida huwezi kuwaza... Safi sana wazee wa kazi mnafikisha ujumbe kwa namna fulani
@brec.tvonline6394
6 жыл бұрын
George Michael #true
@sesiliasebastian6867
6 жыл бұрын
George Michael kwel wana kuteta ukiwa nao bila kujijua
@kelbeckmusicworld1736
6 жыл бұрын
George Michael iyokweli
@nelsonngalya9892
6 жыл бұрын
Kabisa,,,,, hizi ideas ni za kuumiza kichwa sanaaaa,,, no one can expect such a output
@agerpityswai1555
6 жыл бұрын
George Michael kabisa
@AbrazaNewsKE
4 жыл бұрын
Kenyan and this Month I've been watching all of Roma's art
@faridahwiliam1246
6 жыл бұрын
safiiiiiiiiii saaaana mabrothers nawakubali had napitiliza
@kingofkings7525
6 жыл бұрын
Hawa majamaa wawili nawaombea kwa Baba wasikorogane maana wanafanya ngoma Nzuri kweli kweli.
@geophreyephraim3564
6 жыл бұрын
Ila nyie jamaa msitengane maana moto wenu siyo wa nchi n balaaaa ngoma yaakili sna saluti ✌✌✌.
@michaelkinyaha4299
6 жыл бұрын
Hahahahahaha!!!!
@mbodzebemasika7477
6 жыл бұрын
Roma na Stamina..mko sahihi ki hiphop..naskitika mnasumbuliwa
@mustafamohammed4916
6 жыл бұрын
Mama wa nyumba kumi ushasema dear
@trafficmanager2924
6 жыл бұрын
Parapanda lazima Ilie.
@kautipeamri6647
6 жыл бұрын
Acha kabisa
@moranilesoile9125
5 жыл бұрын
mbodze Bemasika p
@tedymnyamwezi7607
4 жыл бұрын
Nomaa
@yonarashidimbwambo2299
6 жыл бұрын
Yaan hii kaz nzur vizur vyema vyedi nawakubali an #ROSTAM juu sana
@ummulkheirzubeir6320
6 жыл бұрын
Kwel rostam mmetisha R I P NYERERE /KINGUNGWE MPUMZIKE KWA AMANI
@josephchalambo5112
6 жыл бұрын
😀😀😀😀
@farishakisha2563
6 жыл бұрын
Nawa kubali kweli munatowa maneno ya maana 👏👏👏
@frankswai8225
6 жыл бұрын
U guyz u are doing Great and nice creativity too. keep it Up .. Nice song Nice everything.. keep Good Music alive.
@gabythomson9581
6 жыл бұрын
ni watu wasiojulikana👏👏👏👏👏👏😁😁😁😁
@saidahj2543
6 жыл бұрын
ROSTAM aki mnatishaaaaa...💖💖💖💖🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪..napenda mnavyolilia wanyonge thr music
@kibahasrall7387
6 жыл бұрын
KENYAN GIRL 🔥🔥🔥
@saidkoreshen8368
6 жыл бұрын
Rostam munatisha sana nomaaaaaaaa mnooooooo
@tomaskali3932
6 жыл бұрын
KENYAN GIRL reqlies
@marryshamale2882
6 жыл бұрын
KENYAN GIRL I like Roma, by the way anatetea haki, tz like corr.
@abeidseleman7140
6 жыл бұрын
KENYAN GIRL p
@faulatafahmi7733
4 жыл бұрын
I really love this song...u guys rock!! Wallahi Leo nasikiliza..u r so talented MaashaAllah!!
@dullymohaaz1723
3 ай бұрын
2024 nipeni mauwa yanguuuuu
@njulaikitchen5965
6 жыл бұрын
Cjawahi kucomment lakin Leo hakuna namna aisee Leo nimekubali kabisa hii ngoma km na ww wakubali dondosha like yako hapa
@ivannyboy4627
6 жыл бұрын
duu toka nizaliwe Leo ndo nasikia muziki usio wa mapenz. hapa waweza kumutia mimba mwanafuz bila kujua Kisa rostm
@Alegria_doPovo
6 жыл бұрын
Ule ujumbe wa kuzimu aliomba ney wa mitego umefika big up kwenu #RoStam Inabid mfanye ngoma moja hv na kala Jeremiah
@gloriousn6425
6 жыл бұрын
Walimpiga nani,? Na ni akina nani ? na nini alifanya? 😂😂😂😂😂🤣🤣
@victormuriithi9560
4 жыл бұрын
Ni watu wasojulikana
@sweetbertsangi2397
6 жыл бұрын
Daah ngoma Kali sana kama ingekuwa na video ingekuwa fire
@kijoticomedian9331
6 жыл бұрын
Kama unakubali hii ni nyimbo ya taifa gonga like👇👇👍👍
@issamohamed9199
6 жыл бұрын
Nyie viumbe vya ajabu aise bonge la ngoma km unapend video liwe bonge la chupa na 24 hours lifikishe 1m gonga like hapa🙌🙌
@bahmanseif6076
6 жыл бұрын
Nawakubali san ninyi viumbe, yan hata muimbe taarifa ya habari mm bado takua upande wenu #ROSTAM 👏👏👏
@goodluckalike4157
6 жыл бұрын
Hii ngoma imelindwa na sisi mashabiki ....walitaka kuinaniliuuuu......ROSTAM never give brothers for how many challenges you come across........🔥 🔥 🔥
@BernardoAbduelMsuyaTv
6 жыл бұрын
Number one on trending in Kenya..Bonge la Songi
@tunguizengo5996
6 жыл бұрын
KsLeo Online TV noma sana yaan 🔥🔥🔥
@ramadhankisila452
6 жыл бұрын
Thanx for your love kenya
@cosmaslucas7408
6 жыл бұрын
KsLeo Online TV sana watu wanguvu
@omaribignation9761
6 жыл бұрын
KsLeo Online TV namba wataisoma wenyewe
@rinuscosmas6039
6 жыл бұрын
hapa mziki wa Hip Hop utahit saana
@yussufally8668
6 жыл бұрын
Hili Goma Kali sn mungu awasimamie ktk kazi zenu Amiin
@mabulamsabula3125
6 жыл бұрын
Audio tu 1M views ,,,,noma sana
@aminatanzanya7475
3 жыл бұрын
Napenda nyimb zawo ila sielew wanachoimb hat kidg
@amani2555
6 жыл бұрын
*Kama unataka video 📹 ya ngoma hii kama mimi gonga like hapa*
@askofutzday2457
6 жыл бұрын
MREMA MLOWE
@deusmathayo3753
6 жыл бұрын
MREMA MLOWE yah
@amani2555
6 жыл бұрын
Good 🔥
@kimungujuma3696
6 жыл бұрын
Nyimbo zuri sana
@tinasanta4080
6 жыл бұрын
MREMA MLOWE nataka aiseee
@blackmamba7553
6 жыл бұрын
Daaaaaa hawa jamaa ni very creativity "kuna Dada anaitwa mange plz hide my ID" #ROSTAM kama unawakubali hawa jamaa gonga #like
Geofrey Phinias, hawa jamaa sio creativity.....sema HAWA JAMAA NI VERY CREATIVE.
@blackmamba7553
6 жыл бұрын
nimekubali bro ni very creativity
@franchise.licensing.institute
2 жыл бұрын
There's art, talent then there's being a professional. rostam are professional, they have the ability to tackle any subject matter through their craft and still deliver! This is masterpiece
@chalombulu5705
6 жыл бұрын
Rostam nakubali msuli wenu uko timamu saana mnabadilisha muonekano wa sanaa pia tasnia ya muziki mungu abariki ridhki ya mikono yenu
@danfordmwingira8512
6 жыл бұрын
Wamenifanya nikafa baada ya nqoma kuisha nkafufuka daah tishaaaaaz @rostam kama umefeel ka mm achia Like 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏😉
@hbstz373
6 жыл бұрын
Danford Mwingira unaakili sana mwanangu 😊
@patrickutouh87
6 жыл бұрын
noumaaaa ila me roma tu jamaa hafai comandooo
@hassanmohamedi7585
6 жыл бұрын
Hatariii sanaa kama unawakubali ROSTAM weka like yako
@deuspetro6268
6 жыл бұрын
Kufungia parapanda sio fresh.km bado watu wasojulikana poa.Tanzania ni moja one love
@musinijumanne4706
6 жыл бұрын
Duh iyo misamiati hatar lazma urudie kusikiliza #ROSTAM big up
@kbdmsafi_tz8094
6 жыл бұрын
parapanda sio Mchezo
@brighttv7785
6 жыл бұрын
dah Roma mkatoric tisha sana mzee baba with you're ninjas stamina
@georgewaweru8271
3 жыл бұрын
Magufugli pass our regards 🇰🇪❤️🇹🇿 RIP
@iankxwick1192
6 жыл бұрын
ROSTAM ndio @J.Cole wetu Afrika ...... CONSCIOUS MUSIC [With love from Kenya ]
@DiboboTv
6 жыл бұрын
Moto wa kuotea mbali Hata kabla ya kuskiza +254 hapa mbio
@DREAM_FOCUSPRO
6 жыл бұрын
Parapanda greatest hits Kwangoma Kama hixi zinauzwa wapi Keep it up my bruhs
@mashdem6608
5 жыл бұрын
Mimi Mkenya lakini ngoma hii inacheza kwenye mrudio. Piga like hapa kama waskiza Rostam 2019
@ahmedbasaleh4528
6 жыл бұрын
HAHAHA SIMBA LIKE HAPA
@barytz5977
6 жыл бұрын
Nyinyi sio #Rostam ni nyokooo
@BESMARTTELEVISION
6 жыл бұрын
Full kung'ata na kupulizaaa yani wameimba kama PANYA.😂😂😂
Пікірлер: 3,7 М.