The best interview ever. Mimi mwalimu na nimeisevi hii ili nije niwasikilizishe wanafunzi wangu💪💪💪
@clara-ri9wt
3 жыл бұрын
Hongera sana......unajua kujieleza na tukaelewa uhalisia wa unachokiongea ......happy for you broh
@abdulmalikhamadi8634
3 жыл бұрын
Congratulations brother kwa mfano sisi tuna kwama wapi kwa mfano tuamkeni vijana wale wasoma comment nipeni like zangu niongezee ada🏃🏃🏃
@raineryduwe7588
3 жыл бұрын
Vipindi kama hiki ni muhimu sana Kwani vinatoa hamasa kwa watu kujuwa afanye nn ili aweze kuwa rubani 'big up'
@abdulmalikhamadi8634
3 жыл бұрын
@@raineryduwe7588 kweli kabsa my dear
@suleimansoud4575
3 жыл бұрын
mauwAj yapembAchmba
@zahraramadhan2373
3 жыл бұрын
WOW oooo napenda watu kama Hawa amakweli elimu ni ufunguo wa maisha love you so much. Laki naogopa kazi hii nakuombea kila la heri katika kazi yako h 💖💖💖💯💯😀😀🖐️🖐️
@bas2823
Жыл бұрын
PROUD OF U DEAR SON👌 MY SON IS A COMATIONAL PILOT ALSO! STUDED IN NEW ZEALAND👍 CONGRATULATINS SON👌 SUPER GREAT👍
@otiliahaule5180
3 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Rubani Devid Na tangazaji pia mpo vizuri sana Namuheshim sana rubani✈️ maisha Mwangu mana wanakazi kubwa kwakweli From oman Arabun
@priscakabeya1184
3 жыл бұрын
Natamani angekuwa Mwalimu wavijana wenzake, ni role model nzuri sana kwa vijana Wenye ndoto kama hii
@loishiyesamwel1374
Жыл бұрын
Hongera David unanifurahisha Sana, kwanza unaongea kiswahili kizuri bila kuchanganya na lugha za kigeni,eti kwa kuwa wewe ni rubani.
@vijiliamwakyelu1295
3 жыл бұрын
Nimeipenda sana hii natamani wanangu wapigane mpaka hapa,congratration to you kaka
@jaffjeff6912
4 ай бұрын
Kikubwa nia malengo na kujipanga kumuomba Mungu
@husnajuma5919
3 жыл бұрын
Wangap wamependa kaka akiongea pia yuko vzr
@neemamajana3078
3 жыл бұрын
Nimetiwa moyo sana, Mungu nakuomba umujalie Eliya Mwanangu kwani kusomea Urubani ndiyo ndoto na maono yake. Mungu tunakuomba utujalie sisi Wazazi wake neema ya uzima, afya njema, uhai na kuishi miaka mingi ili tuweze kumfikisha Eliya kwenye malengo yake. Mungu tunakushukuru kwani umefanya tayari umesikia Anima.
@hustlertv1271
Жыл бұрын
Ushamba huu kwan ndio mpak uunyeshe uma kuwa unaomba
@jaffjeff6912
4 ай бұрын
In Shaa Allah amiin thumma amiin
@user-vh7ll3vp7w
2 ай бұрын
AminA,,
@reginapeter1625
3 жыл бұрын
Hongera sana sana David.ume relax wakati wa kuelezea na kujibu maswali pia nimejifunza mambo mengi ambayo pia nilikuwa siyajui.Mungu azidi kukulinda na kukufanikisha zaidi
@nestoryremy8088
Жыл бұрын
Hongera sana David mungu akupe maisha marefu na nataka there una roho nzuri ya kusaidia watu na taifa la Tanzania umetupatia mwanga wa kujuwa kuhusu gharama za urubani na ajira zake mungu akubariki sana.
@muznahmuznah8601
3 жыл бұрын
Mtoto wng wa kwanza wa kiume pia ana ndoto ya kua rubani wa ndege hv sasa yko ktk mitihan ya kumaliza 4 baba yke alimuahidi akimaliza 4 atampeleka kusomea hicho anachokitaka ktk nchi yyte itakayotoa mafunzo vzr nasubir aje akimaliza mitihan yke nimuoneshe hiki kipindi ili aone kijana mweziwe
@Williamjamessr
3 жыл бұрын
Kipindi kizuri sana, nampongeza sana Mtangazaji kwa kuuliza maswali vizuri yenye mashiko pia nimpongeze David kwa uweledi mkubwa alionao katika taaluma yake ya urubani! 👏👏👏
Lovely. God bless you mightily Captain David Matonya. You are a good role model for aspiring youth.
@maihussein3553
3 жыл бұрын
Weeeeeeee wagogo tupoooo mbali akina matonya
@margrethemanuel7501
3 жыл бұрын
Very smart n calm...kuna vijana wadogo but very calm, bright
@user-qm1eu5kp7n
4 ай бұрын
Asante kwa maherekezo yote nilitamani kuwa rubani nanitakua Heiman
@mrsdeborahurio
3 жыл бұрын
Mungu akubariki mwanangu David! Mungu timiza ndoto za kijana wangu pia...amina!
@muniradaudi440
3 жыл бұрын
Amin
@mussabinford9872
2 жыл бұрын
Kipind kizuri snaa mtangazaj na pilot wtee mpoo vzr I have enjoyed much
@tumajunior6080
3 жыл бұрын
Ubarikiwe kijana mungu akilinde kwenye kazi yako akuweke mukononi mwake nikiwa nakijana mwenye ndoto ya urubani
@sophiakaaya8290
3 жыл бұрын
Hongera sana Mungu akusaidie sana na akuongoze katika maisha yako umetimiza ndoto zako.
@pendopeter1790
3 жыл бұрын
Wow uko vizuri Rubani wetu, unajua kujieleza....Hongera sana
@christinakomba3524
3 жыл бұрын
Asante Sana nimejifunza kitu maana nilizani kua rubani mpaka usomesana kumbe atakidato cha 4 Asante Kaka umejieleza vizuri Sana bilahata majivuno barikiwa Sana.
@mariethangoma6317
Жыл бұрын
Congratulatoins Boy...your drea m has come true...be blessed❤and all the best in your journey to drive a big one❤
@10gb27
3 жыл бұрын
interview nzuri sana, nime enjoy kuiskiliza. David anaonekana ni mtulivu kiakili licha ya umri wake, ni taswira inayohitajika kwa mapilot. inaleta amani unapopanda ndege ukakutana na utulivu huu. nina swali moja, unaushaur wowote kwa anaetaka kuingia kwenye u-pilot akiwa na umri above 35
@deucecadico1879
3 жыл бұрын
Very interesting,nimefurahi kusikia kijana mdogo Kama David Matonya akinieleza with more confidence kubwa kiasiki hiki... Good boy utafika mbali na Mungu akubariki Sana...
@ashashaban6484
Жыл бұрын
MASHALLAH MASHALLAH. ALLAH AKULIPE KILA LA KHER INSHALLAH NDUGU YETU MUNGU AKUONGOZE INSHALLAH
@yusuphmathias4729
3 жыл бұрын
hongera sana kaka nimefurahi umeereza vizuri sana mungu akutangurie katika kazi yako
@MrTouch-rm4rh
3 жыл бұрын
Congratulations bro wish you all the best mungu akubaliki upate mstari wa 4
@alexernestmalimamahadjle4761
3 жыл бұрын
A
@andrewkazungu6542
Жыл бұрын
Yes., continue 🇹🇿🎧🎤🌟
@abdillaahimatthew9414
3 жыл бұрын
Maashallah nimeipenda hii interview imetulia sana, big up bro even me I wish it but there is no way. Therefore I'm so grateful to hear it. 👏
@bensonkaaya9214
3 жыл бұрын
P
@RajabKAMIS
3 жыл бұрын
Asante sana kwa lesson nzuri David. Tumejifunza mengi kwenye hiyi interview. Mungu awe nawe katika carrier yako God bless 👍
@priscakabeya1184
3 жыл бұрын
Yuko vizuri sana congrats to his parents 👌
@ashuraselemani5979
3 жыл бұрын
Mashaalahh mungu akusimamie kila la kher mtoto mzur
@muniradaudi440
3 жыл бұрын
Mashallah mungu akuzidishiye elimu yko n akupe maisha marefu sana akuondolee husdaa Inshllah hongera sana 😍😍
@sudaydaudi1079
3 жыл бұрын
Congratulation brother david plus udoba family,,msalimie sana aunty lucy
@wakuwaumizatz7626
3 жыл бұрын
Mgogo
@servantkombo8225
3 жыл бұрын
Good job from DCT Sec to South Africa. Mgogo wa kwanza kuwa rubani😁😁😁
@rogasianmarandu537
3 жыл бұрын
Hongera sana kijana kwa kusimamia ndoto yako yakusomea urubani angalia Mungu alivyo mwema umefanikiwa Mungu azidi kuku onyesha njia zaidi
@zacharianicodemas184
2 жыл бұрын
David ungetutajia range ya mishahara ya ma rubani pia na masono yanayohusiana na urubani but thank you in All 👏👏👏👏👏👏
@sultanalnaamani2156
3 жыл бұрын
Hongera sana co pilot jitahidi uwe full pilot Mungu atakujalia utafika unapopataka muombe Mungu sana pia uwemwangalifu unadhamana ya roho nyingi katika ndege.
@koudrashabani1912
3 жыл бұрын
Mashallah
@AnnaLucas-dh7dg
4 ай бұрын
❤❤❤ hongera Yako mwenyezi Mungu akulinde
@paschalmugabe2226
3 жыл бұрын
Hongera mtangazaji na pilot wetu kiukwel mpo vizur mno
@is-hakabinruweikh3833
Жыл бұрын
Ebwaba kwnz nimekufanyia uchunguz una akili sana u are so skilled big up xana
@amnegharib5196
3 жыл бұрын
Mashaallah Allah akuongoze....
@teresiamgimba5498
Жыл бұрын
Asante sana kwa elimu nzuri nimejifunza mengi
@happyfabian7399
3 жыл бұрын
Nimempenda uyu kaka anaongea vizur
@masundelwa
3 жыл бұрын
Jamaa yupo smart sna
@NuruKabia-bx9nh
Жыл бұрын
Daaaah can't believe congratulations dav
@pioustrevol3468
Жыл бұрын
All the Best Brother. Always simamia Kile unachokitaka Ndo unawezq kua tofauti na Wengine Na kupokea mafanikio yako Kutoka kwa mungu
@kimsamir965
3 жыл бұрын
Mungu ambariki David matonya mungu akuzidishie kiwango namtakia kla la gheri dereva ndege.
@abdallaabedi2354
3 жыл бұрын
Inapendeza sana kusema ukweli.maana kuanzia anaehoji na mhojiwa wote wamejieleza vizuri mno na hakika mm binafsi nimeenjoi sana kipindi 👊👊
@salehsalumsaleh425
3 жыл бұрын
Nice dialogue I appreciate
@josephtaletian1242
3 жыл бұрын
Good job our young.
@suleimanmrita1992
7 ай бұрын
so nice to you umejielezea vizuri sana na akili yako ipo tumamu sana ndomaana ukawa rubani nimekupenda sana na kz yko ni nzuri sana komaa bro uwakika wa maisha upo sawa kwako mungu akuongoze sana
@othmanshahib1115
3 жыл бұрын
Utakuta mswahili anamkosoa wazungu anarusha tan 300 yeye ukimwambia arushe hata jiwe la kilo moja litamrudi na kumtoa ngeu ya kujuta salute mzugu
@doreencharles2836
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@joelagala8914
8 ай бұрын
Ooo9h!!!! So nice jmn lazma ndoto tutimizeeeeeeeeee❤❤❤❤❤❤ love u gud role model
@mzeemuhsin7891
3 жыл бұрын
Good Job David .Kwa kweli umetufungua sana katika kutimiza ndoto za vijana ambao wangependa kufikia hapo ulipo.Mwenyezimungu akuongoze kufikia malengo yako..
@mariamagoa7686
3 жыл бұрын
Interview nimeipanda sana. Imeniamsha mno
@joshuastephano9150
3 жыл бұрын
So Cong my bro your speech is as a lesson to me and other s,thanks alot
@user-es2yt1jc4i
5 ай бұрын
Niombe kila anaesikiliza animée mimi niweze mtumikia mungu.niweza wapa nguvu.niombeen saana iman
@kingelieshabani7235
Ай бұрын
Asante sanaaa kwa majibu yako rubani
@kanaanimkisi5290
Жыл бұрын
Napenda Sana kuskiriza Story Za Maruban Jinsi Ya kuendesha Ndege Sjui Kwann yaan Ningekuwa Na Uwezo wa Hela Ningeenda Kusomea
@fatmaahamadabass8080
Жыл бұрын
Mashallah mashallah Mungu akulinde mdogowa.
@rose44ngotee33
3 жыл бұрын
Hongera sana kijana mwenzangu am really proud of you
@deouskulinduka5717
Жыл бұрын
Safi sana mdogo wangu umesom lakini haujisikii unaongea kiswahili kizuri San hakika wew in mtanzania halisi Mungu awe nawe ktka maisha yako yote
@mamounmamoun7877
3 жыл бұрын
Safi sana Mungu akubariki na azidi kukuongoza
@enterenter7798
Жыл бұрын
Maa shaa Allah hongera San
@joyceassey2347
6 ай бұрын
Dear Lord, you blessed me with two kids son & daughter,,, please and please one of them if not both should be a pilot in Jesus name I pray.Amen.
@mwahiyalitunaisubiriykwaha9503
3 жыл бұрын
Hongera sana kk mungu akutangurey kwakirakit
@deogratiustimoth4070
2 жыл бұрын
Dogo rubani name kukubali sana unajielezea vizuri sana katika fani yako
@elynekaakyoo3142
3 жыл бұрын
Kaka mungu akupe maujuzi zaidi barikiwa
@mlengineeringconsultancylt5250
3 жыл бұрын
Umetisha
@carenkachecheba5538
3 жыл бұрын
Hongera sana David.. Mungu akutangulie ktk kila hatua maishani mwako
@MuhammadiMnyawi
17 күн бұрын
Masha a llah kila hatua dua
@andrewmsenga308
3 жыл бұрын
Jamaa anajua sana kunyoosha maelezo 👊
@catherinebosibori7977
3 жыл бұрын
Thanks to the Lord
@-zj2zd
Жыл бұрын
Daah yani brother unauliza maswali vizuri sana 🙏
@JacknJacksosanga
Ай бұрын
Brother hongera sana
@aishahassan9812
3 жыл бұрын
Masha Allah Masha Allah nakuombea kher hongera san
@geraldgedi4657
Жыл бұрын
David Matonya nafurahishwa sana na maelezo yako maana unatengeneza ndoto za vijana wanaokufuata kiumri.
@user-pg5ir7wl6v
4 ай бұрын
Mtangulize Mungu unakuwa. Juu zaidi
@MohammedAli-rh5si
2 жыл бұрын
Hongera sana pia ahsante kwa kunitia moyo kijana wangu ana ndoto hyo ila changamoto ndio hyo pesa ila tangu ana miaka 2 alianza kuonyesha hicho kipaji hadi sasa japo bado mdogo ila bado yupo ktk hyo ndoto
@mwanakombojuma9029
3 жыл бұрын
Kweli kabisa maisha yanataka uvumilivu🥰
@azizahamadi8414
2 жыл бұрын
Hongera sana mungu akuongeze kaka ang katika kazi yako
@innocentjoseph9029
3 жыл бұрын
Poleni kwa kazi ngumu na ya hatari.Ulisema unahakikisha uzito wa abiria na mizigo.Baadaye ukasema hupimi ila unakadiria.Vipi kuhusu makadirio yoko kama hukupatia sawa sawa na kwa Bahati mbaya uzito ukawa umezidi, nani atawajibika
@balizahuibrahim3187
2 жыл бұрын
Asante sana kwa kutushawishi na sisi tunatamani kuwa marubani
@falesikitumbo4308
3 жыл бұрын
ok dogo nime kuelewa soma sana nita kukodi uje kuendesha ndege yangu
@abalfadhilabdulqahari3018
3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@elvisoscar9912
3 жыл бұрын
@@abalfadhilabdulqahari3018 😋😋😂😂😂😂
@ramlamburi9743
3 жыл бұрын
Hii interview nimeipenda Sana, natamani mwanangu aje kuwa rubani, Mimi nilikosea kuchagua.
@swafiyamansur4326
3 жыл бұрын
Mashallah
@zawiajuma715
3 жыл бұрын
Hongera sana Allah akuhifadhi
@danielngomuo
4 ай бұрын
wow nafurahishwa kusikia ivo bro, hata mimi nina ndoto kama zako
@godwinkasaizi882
3 жыл бұрын
Kaka Mama hakuhusika hata kukutia moyo. Hongera Sana jitahidi kusema wazazi. Kama wote wapo hai.
@radar41
3 жыл бұрын
You Did it Bro... Ila kwa gharama hiyo watoto wa buza wataishia kurusha ungo tu asee haina jinsi
@naomibenjamini2088
3 жыл бұрын
Hahaaaaaaaaaa
@desderathalyamuya8856
3 жыл бұрын
😁😁😁😁😁
@aliceudoba3672
Жыл бұрын
Unawanga wee basi tania weka hata imoj ya kucheka unajifanya uko sirias
@rehemamgongwe300
Жыл бұрын
Umefanya vizuri mwanangu huo niujasiri mzuri
@robertmasagasi6407
3 жыл бұрын
Mungu akusimamie mdogo angu, Dodoma inajivunia uthubutu wako.
Hii nimeipenda sana Hongera sana kwa kutuelimisha kuhusu ndege
@chaichai8351
3 жыл бұрын
God bless u
@edwardkhatiya4561
3 жыл бұрын
Hapo kwa ndege kugongana kwa kweli zimewahi gongana. Lakini hii ilitokea baada ya rubani kuafuata ushauri wa flight controller pale chini badala ya TCAS
@msajohn2035
3 жыл бұрын
Wooow! Am very inspired wid ur ctr
@Summerbtz
2 жыл бұрын
Dah nimependa sana hii interview ngoja niwaombee wanangu wanangu waje kuwa marubani
Пікірлер: 461