Naibu Rais William Ruto amejitokeza kwa mara nyingine tena amejitokeza kumshutumu Rais Uhuru Kenyatta na kinara wa chama cha Odm Raila Odinga kuhusiana na masaibu yanayomkumba serikalini. Ruto ambaye amekuwa ziarani katika eneo la Kericho amedai maafikiano kati ya Rais Kenyatta na Odinga yalilenga kumhujumu kisiasa.
- Күн бұрын
Ruto ajitokeza kumshutumu Rais Uhuru na Raila Odinga kuhusiana na masaibu yanayomkumba serikalini
- Рет қаралды 17,553
Пікірлер: 49