I salute GenZ. They are doing what the most ardent opposers to bad regimes have never been able to do.
@carolinederi5690
3 ай бұрын
Kenya iliuzwa tayar the arrival of Ben hinny was something else to kenya
@marykimori8929
3 ай бұрын
This is not a constructive dialogue, i feel like throwing out.👩💻
@mikeotwani8974
3 ай бұрын
Sisi wote ni wakenya tumechoka bana
@nurdinmfamau3493
3 ай бұрын
Sawa Nyie Andamaneni Lakini Msiingie Msiingie Barabarani Nakuharibu Nakuiba Mali Zawatu.
@SmilingGears-zg4yf
3 ай бұрын
Eeeeeeii,chenesa ,!!! Na ata SI Moja,haya ni mahajabu!!!Niko Arabia natasama na mshangaooo!.
@RachealNambuya
3 ай бұрын
It's true brother m7 is the biggest problem in Uganda that the reason even me I run away 🏃🏃🏃 from Uganda 😅😅
@Newsaintsburgher7International
3 ай бұрын
Mandamano na jeneza yake🤣🤣🤣
@lennykishoyian456
3 ай бұрын
Omosh unakuanga sawa kweli😅😅😅😅😅
@Billcl8nyon
3 ай бұрын
Akili muhimu mtu wangu
@danielmnuvi7
3 ай бұрын
Ruto nimafi na wachawi wachomwe
@Kuminamoja1995
3 ай бұрын
Mnakula sana mirungi tatizo ila kijana akili sasa🇹🇿
@LENNAWAMBANI-xf7lr
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂nice one
@Exmachin
3 ай бұрын
Si Gen Z watengeneze tear gas zao
@obongo96
3 ай бұрын
After bill imepita 11th tutasupply
@hebrew1214
3 ай бұрын
Amani amani amani. Bila Amani hakuna maendeleo. Vurugu zinasaidia nini?
@muktarkassim6647
3 ай бұрын
Dhuluma Ina Saudia nini
@obongo96
3 ай бұрын
Unajenga nchi na ishauzwa na pesa inaibwa
@hebrew1214
3 ай бұрын
@@obongo96 Kwa hiyo kwa kufanya vurugu itasaidia nchi isiibiwe??
@hebrew1214
3 ай бұрын
Una ushahidi na unalolisema ndugu?
@obongo96
3 ай бұрын
@@hebrew1214 wacha kila mtu akose. Tuharibu nchi tuone wataiba nn
@GetrudeAmmo
3 ай бұрын
Watakuja na bunduki zao
@tiananzisa
3 ай бұрын
Casket 😅😅😅
@RoseRose-tf3ke
3 ай бұрын
Kama baya ni baya
@WanjauKariuki
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@marcuskilel1016
3 ай бұрын
😂😂😂😂
@RoseBaumann-u1f
3 ай бұрын
Those who pay you that money will reach to an end
@barkanassir2528
3 ай бұрын
Tuwaachie wenyenguvu waendelee kuishi kama wataishi milele
@lissajeruto5373
3 ай бұрын
😢😢Jenezaa
@FredrickcEmase
3 ай бұрын
Omosh omosh ameshangaa 😂😂
@GraceWilliam-d1w
3 ай бұрын
Tunamshukuru mungu tanzania kuna amani na utulivi
@FatwimaZahrau
3 ай бұрын
Hata Kenya nihivyohivyo lakini nihuu UONGOZI waruto tu watu wamevumilia wamechoka na katiba yasema maandamano nisawa kujitetea Alafu kama imepata hasad endeleeni kuomba mana hapa duniani jambo lolote laweza kukufika usishangae mwenzako
@AtifaIslam-t6g
3 ай бұрын
Utulivu wa kuuwana kill siku ndio waita utulivu utulivu kuuwa albino na kuwanyogoa viungo vya mwili albino saa hii roho mkononi na waita utulivu
@SikudhaniKulonda-jy1bq
2 ай бұрын
@@AtifaIslam-t6ghpooooo umeonaeeee. Mm nko tz Kuna vituko ata kuliko Kenya yetu
@festonyakaya4646
2 ай бұрын
Watu wa utulivu mlipeleka wapi Maghufuli?
@jean-claudem.2515
3 ай бұрын
zakayo cannot stop ma Gen Z
@OkumuManyala
3 ай бұрын
Omosh jaluo jinga💥💥💥💥💣💣💣
@AtifaIslam-t6g
3 ай бұрын
Shida ni wabunge kuplewa mishahara ya mamilion sijuu kazi zao kubwa nini gov mbunge women rep ni waninj awa wote
@JewaOfficial
3 ай бұрын
Channel ran by mr president himself
@denlagztagal5523
3 ай бұрын
Dangerous than wot tuko ready...
@denlagztagal5523
3 ай бұрын
Don't give us uwoga tutawakamia wote am ready rutto is my prezzo
@charlesowuorganda5752
3 ай бұрын
Ni vile hawange weza ku beba ma kaburi yao
@maurine3503
3 ай бұрын
WALAI HII YA LEO NI MOTO😂😂😂😂😂
@muzafarsharif9465
3 ай бұрын
raila atulie atuachie ruto tudeal na yeye ,, raila akiandamana ataharibu
@marykimori8929
3 ай бұрын
Mufanye nini naye! Tukiwa wapi. Nyie ropokeni but kwa ruto musisubutu kumugusa. Si mumelipwa tu nyie
@CynthiaChepkirui-nq3vr
3 ай бұрын
ñxt tunakam na shimo na mjanga
@peninahmuthoka8667
3 ай бұрын
Kidogomo tu crazy
@CarolyneAshivende
3 ай бұрын
Hahaha
@NiyonkuruGodwin
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@barkanassir2528
3 ай бұрын
Sasa nikuulize hàyamaisha vile yanavyotupeleka sibora tukufe tuuu Sisi walalahoi
Пікірлер: 62