Rais William Ruto amewahakikishia wakenya kuteua baraza litakalomwezesha kuafikia ajenda alioahidi Wakenya. Akizungumza alipohudhuria ibada katika kaunti ya Nyandarua, Ruto alifananisha msimu huu ulioleta mabadiliko serikalini kufuatia wiki chache za maandamano, kama muda wa mwanamke kujifungua.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
Негізгі бет Ruto: Nitawachagua mawaziri watakaonifaa
No video
Пікірлер: 4