Ivi niutajiri gani mtu unaweza pata kupitiya damu ya mutu kweli walaniwe walaniwe walaniwe inatiya hurumu imagine mtoto mdogo hajuwi lolote mnamuuwa eti mupate utajiri . Utajiri gani kwakuuwa mtu
@atutweve4160
3 ай бұрын
Ally is my G una moyo sana hata ukiongea weee kaka 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@amemasudi5735
3 ай бұрын
Wanaturudisha miaka kumi Nyuma kw nn binaadamu tuna tabia za wanyama kiasi hichi dah tumrudieni Allah
@marcelinenakafu7039
3 ай бұрын
mtoto pole mimi ni mama nalia sana juuyako mama pole mtoto uliliasana haukupata msahada mpakaukakataroho pole mama kwakifa kibaya uliyopota
@surusuru1994
3 ай бұрын
Mash Allah Tanzania mbadilike jmn wazury saan hawa wazugu watz neema tunaletewa namung ila tulivu wapubavu
@AlvinKhim-lc1jo
3 ай бұрын
Rest in paradise
@sonnyr1899
3 ай бұрын
Alafu utasikia kuna jinga flani linakuja hapa eti linaomba like
@MichaelMathew-j3f
3 ай бұрын
Hahahahahahahahahaa jmn
@jovinathasavoie8018
3 ай бұрын
Huyu mganga yeye anaishi nyumba ya majani,masikini wa kutubwa sasa atakupaje utajiri???tuwe na akili jaman. Nimefurahi afadhari watu na jeshi wamekuwa na ushilikiano
@kimzymamy6594
3 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭
@weremaamos1742
3 ай бұрын
Kwenye hili tunahitaji kufanya maandamano nchi nzima ya amani ili kupinga huu ukatiri kwa ndugu zetu.
@malkiawagiza1327
3 ай бұрын
Kweli, sielewi kwa nini mtu aliua mtoto asiye na hatia.
@naernnn8961
3 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭
@YasiniMkakile
3 ай бұрын
Muumba kaumba wote sawa,waliofanya hivyo wachinjwe kiungo kimoja kimoja au wachemshwe kwenye mafuta wakiwa wazima
@AsimweKaswara
3 ай бұрын
Jamani wauwawe hazarani kabisa
@Shakur-Said
3 ай бұрын
Adi apo bado hajatuelewesha why albino wanasakwa....maybe mwili yao inakitu kikubwa kweny sayansi
@KuwakuMalumba6895
3 ай бұрын
Dini nihupendo tu! Kuwa Muslims ☪️ ao Christian ✝️ kitu shakwaza ni hupendo! Alibino ni mutu kama mutu yoyote! Dungu zangu tumu ogope MUNGU! Dini nihupendo tu! MUNGU pekeye diye ana umba sisi bina damu!🇧🇮🇨🇩🇹🇿🫵🏿👊🏿
@alibinali_
3 ай бұрын
Comment yako haiendani na nikacho ongeliwa hapa
@KuwakuMalumba6895
3 ай бұрын
@@alibinali_ mimi nilisema dini upendo, kuwa Muslims ☪️ ao Christian ✝️ dini yakwaza ni upendo. Tumu ogope MUNGU! Alibino niwatu kama sisi! Dini ni upendo! Stop ✋🏿 Stop ✋🏿 stop ✋🏿 sisi wote tuli ubwa na MUNGU tu!🇧🇮🇨🇩🇹🇿👊🏿🫵🏿
@sheikhyusufdiwan2489
3 ай бұрын
بارك الله فيك
@billskeez92
3 ай бұрын
Asante sana Ally Masubi👏👌
@snkhannassoro2404
3 ай бұрын
Bint mrembo, duuh
@AishaTabi-e2z
3 ай бұрын
Ukweli kbs 😢😢😢
@darajalakidatukilomgi2362
3 ай бұрын
Tuanze na kuchoma moto nyumba zote za waganga wa kienyeji, tukimaliza funga jela mtu yoyote anayeonyesha Dalili za kuamini uganga wa kienyeji
Пікірлер: 25