amen ubalikiwe nyimbo. imetuli nakweli yanakuja. mambo magumu hakika tumezoe. huwa tunavuka tu
@adamjulius9782
7 ай бұрын
Barikiwa Sana mtumishi, japo unapigwa ila wenye hakili tunakuelwa. Wakumbushe watu kwa sauti kuu tumekalibia 🏠🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@christinasebastian9546
6 ай бұрын
amen amen Mungu azid kutupigania barikiwa mtumishi wa Mungu
@samjuniorofficial4552
7 ай бұрын
Shida ni kusubiri evangelist atumike kama pastor haiwezekani,,,kila mtu kwa line yake.... God bless you mtumishi kwa jaribu watu ujifunza mengi labda mungu anakutayarisha may God who called you guide you and correct you
@MsafiriJeanmar
7 ай бұрын
ainuliwe Baba Mungu mwenyezi kwaa jili ya watumichi wote wanaopenda kiisimamia nenola Bwana katika kweli Mungu awabariki ninyi wote lakini sina msaada lakini katika maombi tuko pamoja tuombeane katika Bwana asate
@MGALILAYABillionaire
7 ай бұрын
Majaribu kwa mtu wa Mungu ni kipimo cha imani, tunapitia majaribu mbalimbali kila siku. Kwenye afya, watoto, ndugu, huduma, biashara n.k majaribu haimanishi kuwa mtu ni mtenda dhambi au Mungu hasikii maombi, hapana. Kumbuka Mungu alimruhusu shetani kumjaribu Ayubu maana Mungu alikuwa anajivunia mtumishi wake kuwa ni mkamilifu namwaminifu na hawezi kumuacha Mungu. Pole kwa yote unayopitia mtumishi endelea kutunza uaminifu wa Mungu, maana ni yeye mtetezi wako, yu hai na atasimama kukutetea, haijalishi unapitia mangapi na makubwa kiasi gani, simama na Yesu anapigana vita vyote vilivyo mbele yako. Majaribu ni lazima kwa wana wa Mungu 🙏
@Pendopasilika
7 ай бұрын
Barikiwa mtumishi wa MUNGU kwa faraja na kumtia nguvu
@MGALILAYABillionaire
7 ай бұрын
@@Pendopasilika Amen Amen 🙏
@abelmakito-go3qo
7 ай бұрын
Simamia neno la Mungu katika haki wanadamu hupita tu,na huwa n agent wa kutumiwa kwa maslahi Bali neno la Mungu husimama katika haki, Amen
@TimothbenardToyibahora
7 ай бұрын
Mwenye haki anaishi kwa imani. Imani yako ndio itakufikisha ng'ambo barikiwa
@MGALILAYABillionaire
7 ай бұрын
Amen Amen 🙏 ni vyema kusubiria Mungu siku zote. Ubarikiwe sana mtumishi kwa neno. Tusijikite tamaa tuzidi kusimama and counting it all joy when we meet trials of various kinds, for you know the testing of your faith produces steadfastness. 💪💪
@Lilian20248
7 ай бұрын
Manabii wa siku za mwisho wanaanza kuonekana waziwazi kupitia jina la Yesu kama ilivyosemwa kwenye biblia. Mungu awahurumie sana🙏🙏🙏.
@damarisnyaata
7 ай бұрын
Mungu wetu mtetee mtumishi wako
@lillianwakesho258
7 ай бұрын
Usife moyo,kaka,jitie nguvu humu duniani,uwe mwema uwe mbaya watakusema tuu Cha mhimu nikumpendeza mungu pekee.
@masikanasta1027
7 ай бұрын
Vraiment
@Deboraclementgm
7 ай бұрын
Amen Amen tuzidi kusimama ubarikiwe mtumishi
@mamarohosafi2046
7 ай бұрын
Unawacha njiri ya yesu sababu nni kama uriitwa na mungu basi imara kwa neno la yesu
@NickoMwaibanje
7 ай бұрын
Shetani aliisha shindwa wewe pambana Mungu akubariki
@gracekageth5977
7 ай бұрын
God bless you ,man of God
@DAUDIMWAMBALASA
7 ай бұрын
mungu akujalie sana baba
@DeboraNeno-s5o
7 ай бұрын
Poleee Mtumishi MUNGU Akutetee Baba
@gracengairo6214
7 ай бұрын
Mungu akutetee sana tunakutegemea baba
@MaryyBenjamini
7 ай бұрын
Mtumishi mungu akubalik san
@furahag3098
7 ай бұрын
Mungu azidi kukutia nguvu majaribu yapo lkni mungu ako pamoja nasi🙏🙏
@ConsolataEmmanuel-jk3jm
7 ай бұрын
Usiogope mungu yupamoja nawe
@VederckoAsajile
7 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@AMBROSIJOSEPH-qc7xo
7 ай бұрын
Ahsante mtumishi mimi hapo kwenye mahubiri yako umenifungua nashukuru mungu
@AMBROSIJOSEPH-qc7xo
7 ай бұрын
Majaribu ni kipimo cha imani uko vizuri wewe endelea uko sahihi
@savinosalamba9174
7 ай бұрын
NJAAAAAAAA ZINAKUFANYA USHAMBULIE WATUMISHI WA MUNGU AMBAE WAMEKAAA KIMYA ,NGOJA SHETANI AKUPE ADHABU
@emmanuelmateru2190
7 ай бұрын
Ila zitafakari njia zako, kwa kipindi kirefu umekua ukiwashambulia watumishi wa Mungu wakubwa sana. Kuna uliowagusa Mungu akakasirika. Hubiri Injili acha kushambulia watu ambao hukuwatuma wewe.
@savinosalamba9174
7 ай бұрын
Wew sio mtumishi,wew ni WA shetani
@jovettedenise2591
7 ай бұрын
Welcome back mutumishi❤
@barakamsigwa4588
7 ай бұрын
Anawaambia ukweli kua wawa fundishe watu kumtafuta Mungu sio miujiza
@adamjulius9782
7 ай бұрын
Wewe nikiungo mhimu ktk kuujenga ufalme wa Mungu
@SatruminMasawe
7 ай бұрын
Amen mtumish
@ryobanchagwa2499
7 ай бұрын
Nakuombea sana baba
@kakatito4651
7 ай бұрын
Good. Job🎉🎉🎉🎉❤
@QueenNyondo-h1m
7 ай бұрын
Amen🙏🙏 Amen
@DeboraNeno-s5o
7 ай бұрын
Kweliii binadamu hatujatulia mzidi kutuombea
@Patricksivaindiazi
7 ай бұрын
Endelea bro napenda injili yako Yesu akuongezee upako :wakosee manabii wetu waongo hapa kwetu Kenya
@benjaminwafula
7 ай бұрын
Mtumishi wa mungu asifiwe yesu nimetafuta ile song ya mwendelezo wa kiapo cha damu nimeitafuta lkn sijafanikiwa kuiona
@IskariMasawa
7 ай бұрын
Wamemfutia zote hazipo KZitem
@Mkwizunasbu
7 ай бұрын
Amen
@anastazia3014
7 ай бұрын
Amina
@azizafrancine301
7 ай бұрын
Amena
@NiyogushimaAudace-jk7nv
7 ай бұрын
Kinywa cha Bwana usi never give up chapa kazi kwa nguvu
@EmmaMtega
7 ай бұрын
Amina tunakubali
@emmanuelmateru2190
7 ай бұрын
Jifunze kwa waliofanikiwa, sio kuwapiga vita.
@DeboraNeno-s5o
7 ай бұрын
AMENI
@MatildaVenance
7 ай бұрын
Wewe huna injili unamaneno wasio na ufahamu wanasema kweli
@OtavinaBenitho
7 ай бұрын
Kaka songa mbele nakupendasan
@sofiaamuri4995
7 ай бұрын
Mungu azidi kukutiya nguvu mtumishi wa mungu
@JuliaLumande-r4p
7 ай бұрын
❤👍🙏
@JacklineMoti
7 ай бұрын
Huna sauti mtumishi wa Mungu
@bahatimshali2731
7 ай бұрын
Unauliza kama hana au unamaanisha ana sauti?
@julianamwamgogwa
7 ай бұрын
Hapana usiache angalia mungu alivyokuwa anakutumia
@peacemwesiga
7 ай бұрын
❤❤❤
@machilafaustin9473
7 ай бұрын
Hiyo namba hapo Ina KAZI gani
@samjuniorofficial4552
7 ай бұрын
Mama anaungua ukitaka kumjulia hali pia ukitaka kumsaidia kwa chochote,,,labda wajua better hospital
@HelbethMlelwa
7 ай бұрын
KZitem yako imechezewa kitu gani?? Nina uzoefu kidogo na youtube huenda ningekusaidia
@OmegaChurch-t5g
7 ай бұрын
Huyu siyo muhubiri ni pepo mjinga sana
@MGALILAYABillionaire
7 ай бұрын
Mtu mbaya na aliye na shetani ndani yake huona wengine wote ni wabaya kama wewe. Mapepo yaliyo ndani yako ndio yanamtusi mtumisha na wala sio wewe. Heri ukatubu na uombe msamaha maana utalipwa kwa kadiri na matendo yako na kila neno unalolitoa kinywani mwako utalitolea hesabu.
@masikanasta1027
7 ай бұрын
Wendo mtu mbaya Mungu akusamehe kumtukana mtumishi wake
@samjuniorofficial4552
7 ай бұрын
Kila maoni ni allowed even Jesus Christ till the last minute walimdharau last second they said surely He is son of God. I can't judge na nakuhurumia pia😢
@joshuamwanaharakari9849
7 ай бұрын
Mwinjilist hatutaki tukukose, tutakuchangia.
@rachelmawole2828
7 ай бұрын
Songa mbele Mungu yupo na wewe usikate tamaa,vita na majaribu yapo ila Mungu yupo kutushindia.
@geofleyfreeniellukaorgen2js5h
7 ай бұрын
Apo nikweli mtumishi
@edinahbastard7835
7 ай бұрын
Amen 🙏🙏
@patsonkyando1732
7 ай бұрын
Siyo majaribu, huyu Cassian yangu zamani hahubiri injili Bali kuwashambulia na kuwasema vibaya Watumishi wa Mungu wengi tu hapa Tanzania na nje ya Tanzania
@estermathias8354
7 ай бұрын
Lkn si anasema ukwel? kwàni kuna shida gani.au na ww ndo wale wale.
@trophywilson7211
7 ай бұрын
alizidisha mno
@Pendopasilika
7 ай бұрын
Mti uzaao matunda mazuri ni lazima upigwe mawe
@NiyogushimaAudace-jk7nv
7 ай бұрын
Na wewe ndo walewale alicho kuwa nasema ndo ukweli au na wew ni pimbi
@PericyKiko
7 ай бұрын
Anawapnya na kiwarudisha sehemu sahihi sasa wewe unataka awaache wasione ufalme wa Mungu, wote alikuwa anawasema Wana mikataba ya illuminati
Пікірлер: 84